Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Pili.
All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #africa #news #trending #history #global #information #facts #best #education #shorts
All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #africa #news #trending #history #global #information #facts #best #education #shorts
Пікірлер: 46
Aa,Shukran sana ndugu Istanmbuli kwa kutupa historia yetu.Ninge kuomba ungefanya la busara ukatunga kitabu ama vitabu ili vizazi vijavyo wajue historia ya mji wao.Shukran
Shida zenu ni zetu Zanzibar 😥
The truth might be bitter, however , it must be told. Kudos my brother. Keep on enlightening the masses.
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Shukran bro.
Ukweli lazima ijulikane. Bora sisi waswahili wa huku TZ, waswahili wa Kenya kwa kweli wamepitia kipindi kigumu!
Kaka ssfi sana.tunaomba nasisi wahuku Tanzania. Tuangarizie mwambao wetu.kuna tetesi tanganyika haina bahari
Hatukuyajua na tungependa kujua zaidi historia YA MOMBASA panic kwa UJUMLA historia naipenda na kusoma pia,akeny TUNA matatizo YA kujua sana tusiyoyajua.
Usolijua ni usiku wa giza. Shukran mzee wetu.
Truth is an offence.mungu akulinde bro.
Mashaa Allah mzee wetu stambuli umetufunza mengi katika historia hii kwa ushahidi yaliyo tokea na wala usishtuliwe na kuudhika kwa wanao tia kasumba na maneno ya chuki sababu hawana ushahidi wowote. Ukweli kila siku utabaki ukweli na ukweli umetu dhihirishia kwa ushahidi. nakutakia umri mrefu na afya mzee wetu Stambuli🌟.
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa kunielewa.
Umefanya vizuri kutuelimisha na tunafuraha tutazidi kufaidika kupitia ukurasa wako wa youtube. Asante sana Sheikh Stambul nakupa kongole.
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Shukran sana ndugu yangu.
Excellent analysis
Shukran sana stanbul
Your doing a good work Mzee stanmbuli👏👏.We need people like u
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Ahsanta sana ndugu.
Mashallah....
Allah ibarik fik
و عليكم السلام Nakushukuru
🙏🙏🙏🙏
10:50 historia muhimu sana. Asante kwa juhudi bwana Istambuli
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Shukran sana. Du'a zenu muhimu.
Ahsaant ndugu yangu Stanbul
Inategemea ni kwale sehemu gani haswa maana ipo sehemu za milimani na ipo sehemu za chini baharini.... Robert matano anatokea kwale juu milimani haswa zaidi ya maili 3
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Naelewa ndugu yangu. Lakini, kwa mujibu wa maelezo niliyonayo inamaanisha Kwale yote kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi mwengine kutoka sehemu hiyo! Na, hizo zilikuwa hila na njama za Waimgereza tu.
Toboa……..!
At least 1k people watch uwafikie
Nime furahi sana stambull
ASSALAAMU ALEYKUM MZEE YANGU MOMBASA BELONGS TO BAJUNI PEOPLE WHY PEOPLE HATE US TOO SAD 😢😢😢😢😢😢 MY ALLAH WILL HELP US INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwa ufafanuzi
و عليكم السلام و رحمة الله و بركاته Thank you very much. Tufanyiye hisoriya ya Mombasa izungumziwe vyuwoni na masajid. Jee unacho chuo wewe tuhudhuriye? الله يحفظك في امان الله
Mzee unapoteza Muda mrefu kuelezea vitu kidogo
@bwantanfumo4283
2 ай бұрын
Ni muhimu aeleze Kwa kina
Kwani hivi waarabu ni waafrika?
@maragolihistory2118
Жыл бұрын
Real Arabs are part of Africa. The omanis and Yemeni can claim Africa because they are part of Africa.
@maragolihistory2118
Жыл бұрын
There are many black Arabs even the Barawi can claim and be rightfully Africans. Example the Barawi. There are many others in Sudan.
Ushauri tu. Usitumie muda mwingi kwenye kitambulisho. Pili, zama kwenye maada moja kwa moja, mtandao ni gari la kasi, huku kila mtu ana haraka. Una nafasi ya kutoa elimu, usiipoteze kwa kutumia mbinu zisizo mwafaka na kizazi cha sasa.
ukweli ni kuwa mzee wako ndio alikuwe mbele kuiuza mombasa kisha asitosheke akatulea ushia east africa kwa mara ya kwanza.familia yenu imetugawanya kwa mali na dini yetu.
Hujui kutangaza ww??
@stambuliwash.abdillahinass8123
Жыл бұрын
Napenda kuhishimu maoni yako. Lakini, si wewe utowe kanda yako tukusikiye ukitangaza?!
@Shaa2r
Жыл бұрын
Ndio nyinyi ukweli una wauma, umuhimu ni ukweli anao sema na si muhimu anavyo tangaza.
@nidaquincy3275
Жыл бұрын
hasemi utakacho kisikia,ywasema upasacho kisikia.waama wataka kinyume na hayo,sikiza BBC
@maragolihistory2118
Жыл бұрын
Wesonga wewe ni Mganda.... please keep off.
@chriswasonga1782
Жыл бұрын
@@maragolihistory2118 Wewe mshamba, mm naitwa Wasonga na sio Wesonga kama jina hili hujalisikia Kenya wewe sio Mkenya