Japheth Koome amejiuzulu kutoka wadhifa wa Inspekta Jenerali

Inspekta Jenerali wa Polisi Japhet Koome amejiuzulu. Aliyekuwa naibu wake Douglas Kanja atashikilia wadhifa huo kwa muda kwenye mabadiliko ya idara ya Polisi yaliyowasilishwa na ofisi ya rais

Пікірлер: 36

  • @nicholaskioko5572
    @nicholaskioko557222 күн бұрын

    To resign means is guilty for what he has done with is juniors

  • @user-sb6ek7vn8e
    @user-sb6ek7vn8e23 күн бұрын

    Good move. His resignation was long overdue.

  • @estherkirigo8427
    @estherkirigo842723 күн бұрын

    Justice for all the dead, injured and the abducted.

  • @pp8100
    @pp810023 күн бұрын

    Now is the right time to sue him... he has to pay for his atrocities

  • @mwituamweene9850
    @mwituamweene985023 күн бұрын

    Na Bungei aende pia so we salimia him.

  • @edinahkemuntomainya6551
    @edinahkemuntomainya655123 күн бұрын

    Askari wote wafutwe Kazi.Wale wote waliowaua watu.

  • @butyknho4995
    @butyknho499523 күн бұрын

    Koome be charged for murder in Hague!

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian970023 күн бұрын

    Bado the lady kome.. Fire them all Mr Ruto

  • @SlighterShisiali
    @SlighterShisiali23 күн бұрын

    It was long overdue

  • @user-cy6lm1sc5r
    @user-cy6lm1sc5r23 күн бұрын

    Waaaaaeee aje sasa😊

  • @DivineVelvet

    @DivineVelvet

    23 күн бұрын

    Tu hivo. Kalale. 😂

  • @arec254
    @arec25423 күн бұрын

    Semeni amefutwa kazi

  • @FestusKilonzo-eo4ks
    @FestusKilonzo-eo4ks23 күн бұрын

    Nacional😂😂😂? Hawa watu usomea wapi

  • @abdulazizkilai7285
    @abdulazizkilai728523 күн бұрын

    Wabunge washenzi na waizi pia wajiuzulu

  • @RhodaAsimba
    @RhodaAsimba23 күн бұрын

    Aende kabisa

  • @oduedu-nk4qi
    @oduedu-nk4qi23 күн бұрын

    Muuaji yeye, afunguliwe mashtaka

  • @peterkoinange1904
    @peterkoinange190422 күн бұрын

    Huyu anafaa kuwekwa ndani ajibu mastaka wacha hivo anajifanya amejiuzuru

  • @JosephNdegwa-in6rw
    @JosephNdegwa-in6rw22 күн бұрын

    😢

  • @kmipos
    @kmipos22 күн бұрын

    He should now face justice for deaths occasioned by his men and women during demonstrations

  • @AnnMutanu-lp6xn
    @AnnMutanu-lp6xn23 күн бұрын

    Aliwaudumia ....naye amehudumiwa........what goes round comes round

  • @AminaGarero
    @AminaGarero22 күн бұрын

    Rest In Peace Mr OGOLA 😢😢

  • @SupremeKimani
    @SupremeKimani23 күн бұрын

    When its too late

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba747522 күн бұрын

    Sadly,this butcher will not be prosecuted for heinous crimes against Kenyans.

  • @gordonomondi7161
    @gordonomondi716122 күн бұрын

    Oh God will he suffer NIGHTMARES FROM THE BLOOD OF the innocent Gen-zs?

  • @peterpeter5297
    @peterpeter529723 күн бұрын

    I remember this guy when he was appointed he chest thumbed himself too much now he understands what it means table turns. It's Time for accountability

  • @Alex-qo8ld
    @Alex-qo8ld23 күн бұрын

    Otek simol

  • @margaretwinnie7133
    @margaretwinnie713321 күн бұрын

    Alisema bunduki si kalama, mbona kalamu imefuta bunduki?

  • @margaretwinnie7133

    @margaretwinnie7133

    21 күн бұрын

    Ati bunduki si kalamu

  • @samjuma4207
    @samjuma420723 күн бұрын

    Ameenda na damu kupelekea watoto wake walaniwe chini ya jua milele ata

  • @profmasumbuko2288

    @profmasumbuko2288

    23 күн бұрын

    Amen

  • @AnnMutanu-lp6xn
    @AnnMutanu-lp6xn23 күн бұрын

    Kooome ???I can't imagine

  • @JohnathanMottoka

    @JohnathanMottoka

    23 күн бұрын

    ❤Kenya but usususus zt

  • @JohnKamau-sx2nu
    @JohnKamau-sx2nu16 күн бұрын

    Koome anafaa kuwajibika kwa mauaji ya vijana alisema waziwazi wahudumiwe mkuu wa polisi kusema hivyo ati mawe mtu apigwe risasi shem on him

Келесі