Japheth Koome amejiuzulu kutoka wadhifa wa Inspekta Jenerali
Inspekta Jenerali wa Polisi Japhet Koome amejiuzulu. Aliyekuwa naibu wake Douglas Kanja atashikilia wadhifa huo kwa muda kwenye mabadiliko ya idara ya Polisi yaliyowasilishwa na ofisi ya rais
Пікірлер: 36
To resign means is guilty for what he has done with is juniors
Good move. His resignation was long overdue.
Justice for all the dead, injured and the abducted.
Now is the right time to sue him... he has to pay for his atrocities
Na Bungei aende pia so we salimia him.
Askari wote wafutwe Kazi.Wale wote waliowaua watu.
Koome be charged for murder in Hague!
Bado the lady kome.. Fire them all Mr Ruto
It was long overdue
Waaaaaeee aje sasa😊
@DivineVelvet
23 күн бұрын
Tu hivo. Kalale. 😂
Semeni amefutwa kazi
Nacional😂😂😂? Hawa watu usomea wapi
Wabunge washenzi na waizi pia wajiuzulu
Aende kabisa
Muuaji yeye, afunguliwe mashtaka
Huyu anafaa kuwekwa ndani ajibu mastaka wacha hivo anajifanya amejiuzuru
😢
He should now face justice for deaths occasioned by his men and women during demonstrations
Aliwaudumia ....naye amehudumiwa........what goes round comes round
Rest In Peace Mr OGOLA 😢😢
When its too late
Sadly,this butcher will not be prosecuted for heinous crimes against Kenyans.
Oh God will he suffer NIGHTMARES FROM THE BLOOD OF the innocent Gen-zs?
I remember this guy when he was appointed he chest thumbed himself too much now he understands what it means table turns. It's Time for accountability
Otek simol
Alisema bunduki si kalama, mbona kalamu imefuta bunduki?
@margaretwinnie7133
21 күн бұрын
Ati bunduki si kalamu
Ameenda na damu kupelekea watoto wake walaniwe chini ya jua milele ata
@profmasumbuko2288
23 күн бұрын
Amen
Kooome ???I can't imagine
@JohnathanMottoka
23 күн бұрын
❤Kenya but usususus zt
Koome anafaa kuwajibika kwa mauaji ya vijana alisema waziwazi wahudumiwe mkuu wa polisi kusema hivyo ati mawe mtu apigwe risasi shem on him