#IRINGA

Askofu Mkuu, Dk.Barnabas Mtokambali ndiye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ambayo yalifanyika, Juni 13, 2024 katika Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), lililopo eneo la Mlandege, Iringa Mjini.Aidha maadhimisho yaliambatana na tukio la kuwaapisha viongozi wapya wa Jimbo la Iringa Kaskazini yaani Askofu wa Jimbo, Katibu na Mtunza Hazina.

Пікірлер

    Келесі