Wimbo huu niliusurbiri Kwa Muda sanaaaaaa. Asante Sana sanaaaaa
@RabanMuriuki
Жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo huu, na hongera kwenu nyote
@hilarybwagidi-fm2yg Жыл бұрын
Huu ni wimbo bora bora sana. Katika watunzi wenye kuuenzi Muziki Mtakatifu wa Kimapokeo Tanzania ni Maestro Venant Mabula. Vijana hawa wamenikosha sana katika kila idara I hope hata tukitoweka wataturithi kama tulivyorithishwa.
@labaneliasdida.8801
Жыл бұрын
MUNGU azidi kutukuzwa milele na milele!!!
@ibrahimmapunda5896
Жыл бұрын
Dominika ya matawi napenda hii pamoja na ile ya Fr.Kayetta hosana kwa mwana wa Daudi na Mgandu ni mwl.mkuu wa nyimbo za moderato
@peraziakaloly9246
Жыл бұрын
,Nikweli kabisa mwalimu wamefanya kazi nzuri sana
@deomulokozi1143
2 ай бұрын
Kaka, tungo zako hasa Bwana alikuwa tegemeo langu na nirudieni mimi hunibariki sana
@bensonmasingu8210 Жыл бұрын
Woooooow I really love this song u have made my day congrats wakuu
@albertngunga7012 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kama ambavyo Wimbo huu utawabariki wote watakaousikiliza na kuyaishi maneno yake.
@guygerardmaindo3202 Жыл бұрын
Que Dieu vous bénisse.Je vous heureux de vous revoir encore et d'entendre vos belles.Depuis Kinshasa
@veronicanthemba Жыл бұрын
👏👏👏 mungu azidi kuwatia nguvu katika kazi yake🙏
@samuelnjeru4522 Жыл бұрын
i can never get enough of your songs!!! they are such work of art!!!
@AdeltusBrasio3 ай бұрын
Mfalme wa utukufu aweze kuingia Asante sana wanakwaya mmeupiga mwing Kwa bwana wetu yesu kristo
@rehemavickie6521 Жыл бұрын
Niliwasubiri sana kwa huu wimbo finally woooow aaw.
@PPCProduction2022 Жыл бұрын
Kazi murwa kongole ndugu zangu👏👏👏 Utunzi wa Hali ya juu pia Mabula. Simple and sweet 👍👍
@OrganistjamesKtZ Жыл бұрын
Hongereni sana Patiu kwa kuimba na kucheza vizuri👏👏👏
@samsonmuigu2961 Жыл бұрын
Great song.May God bless you.
@maxwellmax3939 Жыл бұрын
Wimbo mzuri hongera sana Despina na kundi lako
@bernomollo5741 Жыл бұрын
Amina sana.Da.Despina...ni kweli Mfalme apate kuingia
@baltazalcornel3743 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana,na siku moja mtuletee nyimbo ya "Shinda Nami Ee Yesu wangu" by G.Masokola
@rosahmtinda6822 Жыл бұрын
Amazing work🎉
@devothabahati6548 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awajalie Kila lililo jema ktk utume huu.
@nerimanawirimiliana2928 Жыл бұрын
Wow wow sauti nzuri kweli kweli nawapenda sana Mwenyezi Mungu Awabariki milele
@masuhukozibukira5327 Жыл бұрын
Ninawapenda sana. Mubarikiwe milele !
@elizabethwanyonyi609 Жыл бұрын
Wimbo mtamu. Tafadhali imbeni wimbo wa Joseph Makoye wa Aleluya sote twimbe aleluya.
@peraziakaloly9246 Жыл бұрын
Kazi nzuri ya kumsifu na kumtukuza Mungu kupitia utume wa uimbaji. Mungu azidi kuwabariki
@BRAMOSCHOOLofMUSIC Жыл бұрын
Napenda sana wimbo huu, na mmeuimba vizuri. Kazi nzuri Mungu awabariki.
@evancemabubu12773 ай бұрын
I'm here again palm Sunday
@caritasbarnabas71663 ай бұрын
Huyu Despina huyu! Salute kwake
@elizabethmihambo1909 Жыл бұрын
Hakika utume na uendelee, hongereni sana Sacred Choral Singers team for the preaching work you are doing, God bless you. Watching from Vatican.
@arnoldrutaihwa3596 Жыл бұрын
Asante sana kwa kutuinjilisha kupitia uimbaji. Mbarikiwe
@moramwita890 Жыл бұрын
Hongereni Sana naona marianus abatendea haki bass
@salomemhalule5213 Жыл бұрын
Amen amen Ninawapenda sana
@julliekilonzo1442 Жыл бұрын
First to comment 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥..Beatiful voices . Thanks for blessing us 🙏 🙏🙏🙏
@godfey5834
Жыл бұрын
Hello despina and team, thanks for giving us this song for the parm Sunday, god bless you all.
@kipchumbakelvin12 Жыл бұрын
May the Almighty God continue blessings you despina and the group not forgetting the production team the good work of evangelization through singing...you are doing an amazing job ❤
@rozianazolanga445011 ай бұрын
Yaaan huu wimbo mzuri sana
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Despina huchuji A girl of God you Deserve it
@traiphonewilliam395 Жыл бұрын
Amazing
@shepherdhermas6763 Жыл бұрын
Beautiful song.Barikiweni🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😘😘😘😘😘😘
@mwl.fadhilinchimbi1289 Жыл бұрын
Very good, mmeimba vizur saanaa but pia nimempenda mpiga kinanda yupo vizuri
@Sining4Godpays Жыл бұрын
Thanks for blessing us with another harmonious song. Keep up with the same spirit.
@JuvenalSimon3 ай бұрын
hongereniiiiiii God bless you
@fransiscarbrunoh6889 Жыл бұрын
Mbarkiwe sana waimbaj kwamajitoleo yen ya kuitangaza habar njema ya wokov
@jacquelinekahamba78723 ай бұрын
❤❤❤ndo penyewe
@IsayaKiona10 ай бұрын
Mungu awalinde milele
@chiramuroki56093 ай бұрын
despina ❤💗
@lydiamaende3036 Жыл бұрын
i just love listening to these voices🥰hongereni sana
@lazarusmulwa6128 Жыл бұрын
wow wonderful
@getrudawillison6929 Жыл бұрын
Ameni Mama kwa kutubariki na wimbo mzuri
@kelvinkiplimo669111 ай бұрын
This is beautiful
@danielmatemu9698 Жыл бұрын
Master Patiu kaucheza kwenye Ufunguo E Major badala ya F Major ulipotungiwa.🎉🎉❤😂
@chiramuroki5609
3 ай бұрын
kwa kweli u makini sana hehe
@nyanjigenkwabi74353 ай бұрын
Wimbo.mzuri sana,sauti za waimbaji nzuri ❤
@gladysndungu34478 ай бұрын
lovely lovely lovely
@johnkeya3293 Жыл бұрын
🤩🤩
@stevenmhina7915 Жыл бұрын
Asanteni sana hakika nabarikiwa
@flova7022 Жыл бұрын
Palms Sunday
@emilianakabunda7881
Жыл бұрын
Hongerenii sanaaaa vipenzii vya munguu
@deucpatrick4850 Жыл бұрын
mkuuuu hatari saaanaaa
@user-tr7gf7wu1l Жыл бұрын
Dumunikatika imani yakuinjilshanasitunafulaikusalikwakuimbapamojananyi
@heavenlymusicproduction4360 Жыл бұрын
Safi
@getrudawillison6929
Жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri Mungu awabariki
@TalentedMusiciansTMO Жыл бұрын
Muziki Mtakatifu 🙏🙏🙏
@AgnesNyivaTV7 ай бұрын
Wow♥️
@piomallya9999 Жыл бұрын
🕊🕊🙏🙏🙏
@roseconstantine7171 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@TM.254 Жыл бұрын
Kazi imetii🔥🔥😂😂kzread.info/dash/bejne/hJlrxKh9d6a5pqg.html
Пікірлер: 70
Wimbo huu niliusurbiri Kwa Muda sanaaaaaa. Asante Sana sanaaaaa
@RabanMuriuki
Жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo huu, na hongera kwenu nyote
Huu ni wimbo bora bora sana. Katika watunzi wenye kuuenzi Muziki Mtakatifu wa Kimapokeo Tanzania ni Maestro Venant Mabula. Vijana hawa wamenikosha sana katika kila idara I hope hata tukitoweka wataturithi kama tulivyorithishwa.
@labaneliasdida.8801
Жыл бұрын
MUNGU azidi kutukuzwa milele na milele!!!
@ibrahimmapunda5896
Жыл бұрын
Dominika ya matawi napenda hii pamoja na ile ya Fr.Kayetta hosana kwa mwana wa Daudi na Mgandu ni mwl.mkuu wa nyimbo za moderato
@peraziakaloly9246
Жыл бұрын
,Nikweli kabisa mwalimu wamefanya kazi nzuri sana
@deomulokozi1143
2 ай бұрын
Kaka, tungo zako hasa Bwana alikuwa tegemeo langu na nirudieni mimi hunibariki sana
Woooooow I really love this song u have made my day congrats wakuu
Mungu awabariki sana kama ambavyo Wimbo huu utawabariki wote watakaousikiliza na kuyaishi maneno yake.
Que Dieu vous bénisse.Je vous heureux de vous revoir encore et d'entendre vos belles.Depuis Kinshasa
👏👏👏 mungu azidi kuwatia nguvu katika kazi yake🙏
i can never get enough of your songs!!! they are such work of art!!!
Mfalme wa utukufu aweze kuingia Asante sana wanakwaya mmeupiga mwing Kwa bwana wetu yesu kristo
Niliwasubiri sana kwa huu wimbo finally woooow aaw.
Kazi murwa kongole ndugu zangu👏👏👏 Utunzi wa Hali ya juu pia Mabula. Simple and sweet 👍👍
Hongereni sana Patiu kwa kuimba na kucheza vizuri👏👏👏
Great song.May God bless you.
Wimbo mzuri hongera sana Despina na kundi lako
Amina sana.Da.Despina...ni kweli Mfalme apate kuingia
Mbarikiwe sana,na siku moja mtuletee nyimbo ya "Shinda Nami Ee Yesu wangu" by G.Masokola
Amazing work🎉
Mwenyezi Mungu awajalie Kila lililo jema ktk utume huu.
Wow wow sauti nzuri kweli kweli nawapenda sana Mwenyezi Mungu Awabariki milele
Ninawapenda sana. Mubarikiwe milele !
Wimbo mtamu. Tafadhali imbeni wimbo wa Joseph Makoye wa Aleluya sote twimbe aleluya.
Kazi nzuri ya kumsifu na kumtukuza Mungu kupitia utume wa uimbaji. Mungu azidi kuwabariki
Napenda sana wimbo huu, na mmeuimba vizuri. Kazi nzuri Mungu awabariki.
I'm here again palm Sunday
Huyu Despina huyu! Salute kwake
Hakika utume na uendelee, hongereni sana Sacred Choral Singers team for the preaching work you are doing, God bless you. Watching from Vatican.
Asante sana kwa kutuinjilisha kupitia uimbaji. Mbarikiwe
Hongereni Sana naona marianus abatendea haki bass
Amen amen Ninawapenda sana
First to comment 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥..Beatiful voices . Thanks for blessing us 🙏 🙏🙏🙏
@godfey5834
Жыл бұрын
Hello despina and team, thanks for giving us this song for the parm Sunday, god bless you all.
May the Almighty God continue blessings you despina and the group not forgetting the production team the good work of evangelization through singing...you are doing an amazing job ❤
Yaaan huu wimbo mzuri sana
Despina huchuji A girl of God you Deserve it
Amazing
Beautiful song.Barikiweni🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😘😘😘😘😘😘
Very good, mmeimba vizur saanaa but pia nimempenda mpiga kinanda yupo vizuri
Thanks for blessing us with another harmonious song. Keep up with the same spirit.
hongereniiiiiii God bless you
Mbarkiwe sana waimbaj kwamajitoleo yen ya kuitangaza habar njema ya wokov
❤❤❤ndo penyewe
Mungu awalinde milele
despina ❤💗
i just love listening to these voices🥰hongereni sana
wow wonderful
Ameni Mama kwa kutubariki na wimbo mzuri
This is beautiful
Master Patiu kaucheza kwenye Ufunguo E Major badala ya F Major ulipotungiwa.🎉🎉❤😂
@chiramuroki5609
3 ай бұрын
kwa kweli u makini sana hehe
Wimbo.mzuri sana,sauti za waimbaji nzuri ❤
lovely lovely lovely
🤩🤩
Asanteni sana hakika nabarikiwa
Palms Sunday
@emilianakabunda7881
Жыл бұрын
Hongerenii sanaaaa vipenzii vya munguu
mkuuuu hatari saaanaaa
Dumunikatika imani yakuinjilshanasitunafulaikusalikwakuimbapamojananyi
Safi
@getrudawillison6929
Жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri Mungu awabariki
Muziki Mtakatifu 🙏🙏🙏
Wow♥️
🕊🕊🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi imetii🔥🔥😂😂kzread.info/dash/bejne/hJlrxKh9d6a5pqg.html
Amazing
@rozianazolanga4450
Жыл бұрын
Amazing