EE BWANA USIKIE - J. MGANDU
Jina la wimbo: EE BWANA USIKIE
Mtunzi: JOHN MGANDU
Organist: PETER PERFECT
Studio: UCHAJI MEDIA
Usisahau kusubscribe, kulike na kucomment
ASANTENI.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC @JugoMedia @rajopro @thegalaxypro6219 @tumainitelevision @KwayaYaMtSeciliaMakuburi @kftstjosephcathedral @kmkmakuburi @kwayayamt.josephmfanyakazi2842 @kftstjosephcathedral @kwayakatolikitza2042 @radiombiu372
Пікірлер: 143
Ninaposikiliza wimbo huu huwa nakumbka mbali Sana barikiwa Sana wakatolik wenzangu,mungu yupo amen
Wimbo mzuri sana, mbarikiwe mno
Asanteni sana,Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni
Hakika nitamwimbia bwana mpaka sikuyangu ya mwisho wimb wangu niupendao hata nikiwa na magum nayasahau
Mungu ni mwema🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana,wewe tu ndo kimbilio letu,tukihitaji msaada
Asanteni wimbo mtamu
Wakatoliki mmekuwa mkiimba kwa utulivu sana big apu
@gustavhokororo6112
29 күн бұрын
Hakika Nyimbo za Katoliki zimetulia sana
Amina Amina ❤❤❤
Neema yake Mungu wetu na iwe kwenu naye Baba muumba wetu atukushwe Milele. ❤
Nyimbo nzuri sana
Nmuogope nani🙏🏽
Napenda kuwapa pongezi waimbaji lakini kumkumbuka kwa sala mtunzi wa wimbo Dr. John Mgandu aliyekuwa nguli wa mziki enzi za uhai wake!
Umekuwa msaada wangu usunitupe.
Kwa kweli Mungu umekuwa msaada kwangu usiniache popote
Huu wimbo kiukweli unatia nguvu ya neno
Hakika umekuwa msahada wangu na usinitupe ee Mungu,
@alexnkayamba8193
5 ай бұрын
Hakika ndo msaada pekee
Kati ya version zote this is the best Hongereni sana wanakwaya pamoja na mwalimu wenu. Kaka kilangavana umetuchezea kinanda safi sana.....weka like apo kwa ajili ya kumsifu mungu❤
@jacquelineissah5374
5 ай бұрын
Yaaan mziki mzur sana, nyimbo yangu pendwa nyakati zote🥰🙏
Wimbo mzur na biti lake pia 🙏🙏🙏🙏
Kama wewe uliyetaja mapumbuli ni mkatoliki basi kuwa na Kiasi katika kuongea la si hivyo utatuangusha wakatoliki wenzako hatuja pokea mapokeo ya matusi wala kuwa kera watu wa Mungu acha waimbaji waimbe wote wasikilizaji wataamua.
Iwish am one of you guys nimeipeda sana
Wimbo ni mazuri sana na unatafakarisha kweli! Hongereni.
Ongera Kwa kazi nzuri ya kumtumikia mungu
Nmefurah San wimbo mzur San👏👏👏🙏🙏🙏
Wooow❤ hongera sanaa ✅ wambaji kwa wimbo nzuri sana yakupendeza
Blessed nice song
Kazi nzuri. Inazifanya tungo na nyimbo za wakongwe wetu kutosahaulika au kupotea
Wimbo mtulivu sana...heko kwa kazi mzuri 🎉
Enjoying from Spain 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸
Hongereni Sana
❤
Lovely
Kazi nzuri sana Mungu awabariki
Great
Nimebarikiwa sana na wimbo huu hadi nimelia ....................
Hongereni sana sana
Hongereni sana majembe yangu kazi nzuri
Mungu AWABARIKI Kwa ujumbe mzuri hakika nimebariki sana Mungu awatunze
@alexnkayamba8193
6 ай бұрын
Amina
Hongereni sna kw kumtukuza mungu hawabariki sna tena sna
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Saf
Kwa wimbo huu na jinsi waimbaji walivyouimba na kuucheza sasa Kanisa linarudi kwenye mstari wake (njia yake)
Hongereni sana... Organist pia big up,...👏👏👏
@alexnkayamba8193
5 ай бұрын
Asante sana
Sichoki kuusikiliza jamn huu wimbo mbarikiwe san, mmeimba kwa utulivu wa hali ya juu🙏🙏♥️♥️
@uchajimediautumewaamani
2 ай бұрын
🙏🏼
Mungu hakika umekuwa msaada wangu usiniache
Wimbo mzuri👍
Hongereni sana. Kazi nzuri mno. Mungu azidi kuwabariki sana🙏🙏
Wimbo mtamu unaguza rohoni
Pongez kwenu mnatutia nguvu amen
Muziki wa wa kutoa nyoka pangoni. The best quality version of this song. Very sweet!. Congratulations!
Sikia bwana uwe msaada wangu nikuitapo
Amina
Huu wimbo unanibariki sana, much love to the song writer and All singers ♥️♥️
🤲🤲 wala usiniache ee Mungu wa Wokovu wangu
Hongerenii jamanii mmeimba vizuri❤
Jamaaaniii HONGERENI SANA kwa kumsifu na kumtukuza Mungu kama familia. Mwenyezi Mungu mnayemtangaza azidi kuwabariki na muendeleze utume wake kwa njia hii
Kazi njema Peter perfect and the team.
Huu wimbo unanibariki mnoo😊
Mbarikiwe sana. Natafuta sana audio yake
@uchajimediautumewaamani
6 ай бұрын
Tutumie email yako kwa ansrwenyu@gmail.com upate audio yake
Ame
Dominic 11 mwaka b
Wimbo mzuri
Mbarikiwe mnooo🙏🙏
Pure catholics 🎉
Wimbo unafariji❤
Aweee ❤️ da Ansfrida nataka u nifundishe kuimba. 🙄Mmeupiga mwingiii
@uchajimediautumewaamani
Жыл бұрын
😂 nitakufundisha
Hongereni Sana...Taifa langu Tanzania nakupenda kwa Moyo wangu wote
Noted
Hongera Uchaji Media. Mungu awangezee siku za uhai
Ongera sana Mungu awabariki
Hongereni sana mungu awaongezeee siku za kuish
🙏🙏
Safiii 👍 hongereni, asante kwa ujumbe mzuri
Kama vile namwona kev
Hongereni sana kwa ujumbe, MUNGU aendelee kuwainua katika hiyo huduma. Binafsi nimepokea na nimebarikiwa .
@ansfridarwenyumisa9754
10 ай бұрын
Asante sana Francis Mweko, habari za siku
@alexnkayamba8193
5 ай бұрын
Asante Francis, zidi kubarikiwa
Safiii sanaa
🎉 hongereni sana jmn.🎉🎉
Asanteni kwa tafakari njema... Hongera Uchaji.
Nabarikiwa sana ah🥰🥰🥰 Mungu awabariki kwa muda mnaotenga kwaajili yake🙏🙏 💘💘💘💘
Hongereni sana Mungu awabariki, nawapenda bureee ❤❤❤❤❤
Peter perfect 👍 a cool guy
Saaaf sanaaaaa
Pongezi kwenu
@alexnkayamba8193
Жыл бұрын
Asante Calvin
@user-mm1ij1ve3l
9 ай бұрын
Wimbo nzuri Sana. Mungu ni mwema sana.. Uchaji mnatisha . Nawapenda
Usi inche wala usinitupe
👍🏼
🙏🏾🙏🏾🙌🏾🙌🏾
Hii imeenda
@alexnkayamba8193
5 ай бұрын
😂
@gudalifa
5 ай бұрын
Pisi bado inapasua anga ❤
Congratulations my family 👏❤️
@alexnkayamba8193
Жыл бұрын
Hongera sana Dativa kwa majitoleo yako
@dativamtaresi1973
Жыл бұрын
Asante Baba 🙏✨
❤❤eeh bwana usikie🕊❤️🩹
My heart is full.
Hongeren sana Kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwaongoza
Roman Catholic identity. Walokole angalieni na mjifunze uimbaji siyo kupiga mapumpuli yenu na uimbaji wenu wa makelele bila mpangilio.
@petrosanga1366
2 ай бұрын
Kuimba ni utamaduni ambao Kila kundi la watu Huwa na WA kwao na huuona kuwa ni sahihi na ndio unawapendeza kuliko mwingine wowote.hivyo ni vyema kuheshimu namna wengine wanavyoishi
Hongereni Sana Familia ya Dr.Alex na Uchaji Productions...Kazi nzuri, Ujumbe wa Mungu unatufikia...tutakumbushwa Daima...Ahsanteni Sana Kwa Vipawa vyenu Nyote. Endeleeni Kumtukuza Mungu.
What a music!!!....quite consoling.......this is Catholic melody now!!! ✔️👌🏿!!
@alexnkayamba8193
5 ай бұрын
Thanks
Am really touched with the song🙏🙏🙏
Hongereni Saaana Wapendwa ❤️
Proud to be a Catholic family
Nzurii sanaaa ....
Hii sasa ndo catholic halisi
@petropeter1438
2 ай бұрын
Kabisaaa nduguu yanguu sioo za ss hv cjuii tunaendaa wap
Beau texte et melodie. Tres meditative,que Dieu soit loué!
@alexnkayamba8193
7 ай бұрын
Merci beaucoup pour votre appréciation. N'hésitez pas à faire des suggestions pour améliorer toutes les œuvres afin de réaliser en douceur la mission de Dieu.