ILA TX DULLAH 😂 / ANADAI CHENCHI KIBABE NA HAJATOA HELA | HIVI NI KWELI

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 116

  • @bhuzahope2746
    @bhuzahope274628 күн бұрын

    Kuna mtu atakuja kupigwa wazeee 😂😂😂 maisha magumu kitaa..michezo hiyo

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory527428 күн бұрын

    AFU MKIWA MNAONGIZA HELA KUPITIA WATU AMBAO HAMJAWAPANGA NATOA TAMKO KUANZIA LEO MUWE MNAWALIPA FIDIA KWA KUWAPOTEZEA MUDA WAO. KUWAPA SHORT DEPRESSION YA NUSU SAA KWA KUWATENGENEZEA PESA ZENU😢😮

  • @aghamedia

    @aghamedia

    28 күн бұрын

    Lzm wanapewa kitu mwishoni bhana

  • @Hellyphones

    @Hellyphones

    27 күн бұрын

    Huwa wanapewa mwishoni wanaelekezwa kuwa yalikua masiala ila kwenye content hizi clip Huwa wanakata

  • @pascosalvatory5274

    @pascosalvatory5274

    26 күн бұрын

    @@aghamedia ELFU2 NDO KITU KAKA KWEL UMEPOTEZEWA MUDA NUSU SAA AU LISAA KABISA MR.

  • @pascosalvatory5274

    @pascosalvatory5274

    26 күн бұрын

    KUUSU KUPEWA PESA UONGO ZONGINE HAWAKATU TUNAONA WANAPEWA ELF 2 WANAJICHENGA

  • @mbokaicon5507

    @mbokaicon5507

    26 күн бұрын

    Punguzeni makasiriko,ujuaji na Roho mbaya wakifanya wazungu sawa tukifanya sisi Kelele

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior28 күн бұрын

    Sema hiii ya kucheza na watu wakiwa kwenye kazi zaooo siyo mzuriii dar jua kaliii afuu anatembeaaa mtu mzma anafamiliaaaa afu mnamchoreshaaaaa siyo pw

  • @imanifirempala1370

    @imanifirempala1370

    28 күн бұрын

    😅😅😅Amna bwana wakitoka hapo huwa wanawapooza kdg

  • @Ndenza

    @Ndenza

    28 күн бұрын

    Nawenyew wapo kazin ety

  • @xaverisunday699

    @xaverisunday699

    26 күн бұрын

    Point kubwa sana

  • @GosproAlex
    @GosproAlex28 күн бұрын

    Wanaho mkubali #Tx_Dullah_subaru ngonga like 💪

  • @TANAD365
    @TANAD36528 күн бұрын

    sema dulla anapenda sana hivyo viatu

  • @bladechiko3512
    @bladechiko351227 күн бұрын

    We back like we never left........hivi ni kweli...watching from Dubai💯💯💯

  • @andreatutu6179
    @andreatutu617928 күн бұрын

    Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃

  • @killerwizzyofficial2157

    @killerwizzyofficial2157

    28 күн бұрын

    anazingatiwa ya maji mzee

  • @rehemayona2223
    @rehemayona222328 күн бұрын

    Yaani kumbe mnamsumbua mtu alafu ampi chochote sio sawa iyo mtu kachoka najua lote. Sio sawa sijapenda

  • @juniorsonofgod5675

    @juniorsonofgod5675

    28 күн бұрын

    Yess, mi pia sijapenda 😢

  • @barakayesaya5000

    @barakayesaya5000

    28 күн бұрын

    Si amenunua taulo hapo au simu yangu haionyeshi vizuri

  • @dreamersonlinetv6496

    @dreamersonlinetv6496

    27 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/e3-Fso-YncTFlLg.htmlsi=_aRiNdBla6li77DJ

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse184228 күн бұрын

    Anayeonekana mjanja kumbe hamna kitu😅😅😅😅

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w28 күн бұрын

    Hiviiii hawa wanaoimb wanawachumba 😅😅😅

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory527428 күн бұрын

    WE SANYA WEWE UNALIPA HAO UNAOWASUMBUA AU UNAWALIPA PRESHA2

  • @israeluronu9958
    @israeluronu995826 күн бұрын

    😂😂😂😂😂Mmh at Alikipa aendelee na melody hiyohiyo😂😂😂😂

  • @user-iw7gy9dt1c
    @user-iw7gy9dt1c28 күн бұрын

    Jamaa anaongea mwenyewe 😂😂😂😂😂

  • @muddytv1513
    @muddytv151327 күн бұрын

    Nakupendanaaaaaa uku kuimba 😂😂😂😂😂 uyu nae anabana pua minaweeeeeeee minaaaaaaa

  • @babasandra638
    @babasandra63828 күн бұрын

    Mwaacha mzee wawatu anajiongelesha

  • @micahhazard8457

    @micahhazard8457

    26 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb280828 күн бұрын

    Hiki kipindi nilikua nimekimiss kweli jamani ❤❤❤❤😂😂😂

  • @user-ls3dx5gr6f
    @user-ls3dx5gr6f11 күн бұрын

    😂nyie mnazambi sana mmemuachia jamaa maik sijui ata anaongea na nan

  • @OsbonMusa
    @OsbonMusa28 күн бұрын

    😂😂😂 tx ametisha sana

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 haea wanaoimba nipo hoiii

  • @justinsamwel4946
    @justinsamwel494628 күн бұрын

    Ila juster master

  • @user-ub5ce1ym8m
    @user-ub5ce1ym8m25 күн бұрын

    Jamaa wa vitabu mic ime zimwa yeye anaendelea kuongea🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AffectionateBakedBuns-op2jb
    @AffectionateBakedBuns-op2jb28 күн бұрын

    hhhhh dulaaaa mbwaaa kwel 😂

  • @directorshasibu
    @directorshasibu28 күн бұрын

    Ifike mahali sasa txdullah uamue kubadili ivo viatu kak 😅😅😅

  • @frankstephan9309
    @frankstephan930928 күн бұрын

    Wanatuzingulia baba mpaza wetu ak ndimbo😂

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5ui28 күн бұрын

    Ila subaru 😅😅😅😅😅😂😂

  • @numbachogo
    @numbachogo28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 Txdulla nimnomasana 😂😂😂😂

  • @user-it2tr7ny8d
    @user-it2tr7ny8d28 күн бұрын

    Mo town vs subaru😂😂😂😂

  • @PETERNYENZA
    @PETERNYENZA6 күн бұрын

    Haijakaa sawa kufanya masikhara na kazi za watu ipo day kuna mtu ataumia

  • @saidseleman2829
    @saidseleman282928 күн бұрын

    Hivi ni kweli is back 🔥🔥🔥

  • @munixpicentertainment
    @munixpicentertainment23 күн бұрын

    idea kali

  • @nibretstudio
    @nibretstudio28 күн бұрын

    nana ameona mbuzi za dar inakula machungwaaa hahahaha

  • @jacktonjoseph3479

    @jacktonjoseph3479

    26 күн бұрын

    SIO MACHUNGWA TU, MBUZI WA DAR WANAKULA MPAKA CHIPSI YAI......MBUZI ZA DAR ZINAKUVUSHA BARABARA KWENYE ZEBRA😊😊😊😊😊

  • @lawmaina78
    @lawmaina7814 күн бұрын

    Watanzania wapole sana, jaribu hicho kitu huku kwetu Kenya, kila mtu huku bichwa la ugomvi.

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory527428 күн бұрын

    JICHANGANYENI KWANGU MAPEMA SANA VICHWA 2 😂😂😂😂😂

  • @mchangeboy5928
    @mchangeboy592828 күн бұрын

    Eti.. si unajua mambo ya tasnia😅😅😅😅😅😅

  • @ernestchaulema226
    @ernestchaulema22628 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @user-pi8mx6lu5b
    @user-pi8mx6lu5b28 күн бұрын

    Masha biki wakiba msiguse hii komenti😂😂

  • @ronaldngwavi8993

    @ronaldngwavi8993

    28 күн бұрын

    😂😂😂

  • @elishamwaipasi2039
    @elishamwaipasi203928 күн бұрын

    Ila sanya mmeuwa sana tx Subaru 😂😂😂

  • @AssaniMboko
    @AssaniMboko28 күн бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_27 күн бұрын

    Kub......akeeeeeh 🤣

  • @StoneEmanuele-yy3pv
    @StoneEmanuele-yy3pv28 күн бұрын

    Ila tx😅😅😅

  • @CHEKAPLUSSTV
    @CHEKAPLUSSTV28 күн бұрын

    Atal❤❤

  • @diasporastylish
    @diasporastylish28 күн бұрын

    Subaru 😂😂

  • @DeussR6
    @DeussR627 күн бұрын

    Ila platnumz🎉

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome59645 күн бұрын

    Session ya gonga beats inachekesha

  • @wiliammwataro8117
    @wiliammwataro811711 күн бұрын

    Daah😂

  • @NicholausFredy
    @NicholausFredy28 күн бұрын

    Ila tx

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj28 күн бұрын

    Umeweza dulla

  • @TerrorTrove-bx4pg
    @TerrorTrove-bx4pg25 күн бұрын

    𝐀𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐩𝐚𝐫𝐭 😂😂

  • @ivandeus4281
    @ivandeus428128 күн бұрын

    ,,eti maliza sasa niondoke 🤣🤣😅😅

  • @NicholausFredy
    @NicholausFredy28 күн бұрын

    😂😂🙌🙌🙌

  • @theprincejr1417
    @theprincejr141728 күн бұрын

    Nimecheka et hamo bebe na saut kama beberu 😂

  • @AzizSultan-fc7rn
    @AzizSultan-fc7rn28 күн бұрын

    Mnacheza na kaz za watu..

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz25 күн бұрын

    Km ni mm huyu mwenye biashara na jua km hili baadae mtu atoke zake aje anichoroshe kwa naslahi yake haki ya mungu nakufa nae

  • @FaridiMussa-qc2bk
    @FaridiMussa-qc2bk28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂tx

  • @CharesWilliam
    @CharesWilliam28 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-dy9tg3bp4w
    @user-dy9tg3bp4w27 күн бұрын

    😭😭😭

  • @Andrew_paul966
    @Andrew_paul96628 күн бұрын

    😂😂

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey705225 күн бұрын

    Hivi ni kweli

  • @pastoryyenzera2736
    @pastoryyenzera273627 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w28 күн бұрын

    Mbona mnaaibisha watu jmniii

  • @sostenkyando2969
    @sostenkyando296928 күн бұрын

    Basi muwe mnawapoza kidogo maana nyie kwenu ni content na mnaingiza pesa

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk27 күн бұрын

    MZEE WA SUBARU UMEIPAKI WAPI NKAIAMISHE😁😁😁

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot194528 күн бұрын

    wasafi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wasafi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wasafi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule26 күн бұрын

    Mwamba Kaachiwa Mic 🎤 Unangulumisha Tu Hana Habari

  • @allymahmudu464
    @allymahmudu46425 күн бұрын

    muwe mnawapa pesa sio vzr kabisa ayamambo yakizamani sana uko watu wamesha vuka

  • @Naahlyan
    @Naahlyan27 күн бұрын

    Iki kipindi kilafanya nimpende motown sany .nikitaman iki kipind lazima nicheke

  • @dengeman4814
    @dengeman481422 күн бұрын

    Ipo siku atapigwa mtu

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia28 күн бұрын

    Sijaangalia ila nakomnt

  • @muddytv1513
    @muddytv151327 күн бұрын

    Uyu aliepewa maiki kavaa na kibegi alkua anaongea nn pekeyake au aljkuta mtangazaji 😂😂😂😂😂

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g28 күн бұрын

    Duu

  • @Hellyphones
    @Hellyphones27 күн бұрын

    Hii michezo mtakutana na mwenye hasira mtakuja kupasuka

  • @DurahRich
    @DurahRich28 күн бұрын

    Mnazingua mazee hii content mbovu, mnaharibu wazee utu wa watu.

  • @user-uq2hg1xu5k

    @user-uq2hg1xu5k

    28 күн бұрын

    Peleka userious wako kwny vikao vya familia

  • @sane_kidd
    @sane_kidd28 күн бұрын

    Me naomben like zenu tu jamn 😢😢😢

  • @pascosalvatory5274

    @pascosalvatory5274

    28 күн бұрын

    LIKE WEWE MUUZA JEZI AU MABEGI AU WEWE NDO SANAYA😂😂

  • @sane_kidd

    @sane_kidd

    28 күн бұрын

    Mm ndo lile jiwe alilolishika dulla

  • @IamIbrah

    @IamIbrah

    27 күн бұрын

    We za nn

  • @dreamersonlinetv6496

    @dreamersonlinetv6496

    27 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/e3-Fso-YncTFlLg.htmlsi=_aRiNdBla6li77DJ

  • @reilaally5481
    @reilaally548128 күн бұрын

    Mnachezea biashara za watu alafu hamnunui sio sawa

  • @mwljohnray1725

    @mwljohnray1725

    28 күн бұрын

    Sanya huwa anatoaga ya Maji Baada ya kumsanua mwana ni kipindi wanashoot

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb27 күн бұрын

    Kuimba Unajuwa

  • @ELIASBLUETICK711
    @ELIASBLUETICK71128 күн бұрын

    I have something to say but I don't trust my English

  • @user-pf2tz2fn4x
    @user-pf2tz2fn4x28 күн бұрын

    Watakuja wabonde mtu asee sio powa

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g28 күн бұрын

    Nitauwa mtu

  • @floodboytz7038
    @floodboytz703828 күн бұрын

    Magol Sana 🙏

  • @halimaamini8015
    @halimaamini801528 күн бұрын

    Mwisho muwe mnawaingisha iyo biashara unampotezea mtu muda kachoka

  • @bongorecaps3558

    @bongorecaps3558

    22 күн бұрын

    Halima unaonanekana unaroho nzur sana hadi nimetamani kukuwowa😂❤

  • @MrMatikiti_kudondoka
    @MrMatikiti_kudondoka28 күн бұрын

    moyo tulia mjini Kuna vya watu

  • @SONGEAGIRL
    @SONGEAGIRL27 күн бұрын

    Hivi mkimaliza kuwazingua hivi mnawalipa au mkiwaambia mna record ndo basi🥺🥺 maana nimejikuta roho inaniuma sana na watu wapo kazi afu kazi ya kuzunguka mtaani 😢😢

  • @africamz1762

    @africamz1762

    27 күн бұрын

    True

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq28 күн бұрын

    Dulaypvizuriiii😂😂

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok252328 күн бұрын

    Tx subaru 👑🏆

  • @juliusgeorge1381
    @juliusgeorge138127 күн бұрын

    Duu acha uongo😂😂

  • @DAZSTUDIO677
    @DAZSTUDIO67728 күн бұрын

    Mmetuigizia apo

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu28 күн бұрын

    Ila mlichofanya sio fea kuchezea biashara za watu so watu wanafamilia

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @andreatutu6179
    @andreatutu617928 күн бұрын

    Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃

Келесі