IBILISI MKE WAKE NI NANI?- NDACHA VS Pr MAZINGE

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 233

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg Жыл бұрын

    Ndasha mungu akihifadh na akuajaalie mwish mwema napend sana maubir yakoo

  • @hmha9728

    @hmha9728

    Жыл бұрын

    Mwisho mwema ataupata inshallah akiingia katika uislam ila kama yupo huko bas hawez pata mwisho mwemaaa asilan

  • @jamesombaso9493

    @jamesombaso9493

    Жыл бұрын

    Asante kaka

  • @user-yh4ge7gc3o

    @user-yh4ge7gc3o

    3 ай бұрын

    Pesa ndacha itakutumbukia nyongo

  • @benardombinya7708
    @benardombinya7708 Жыл бұрын

    Keep it up ndacha let God give you more for the good work you do for evangelism ministry

  • @Efflix_123
    @Efflix_123 Жыл бұрын

    Mazinge is a comedian,....

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    You are correct

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Жыл бұрын

    Ndacha wafundishe 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 proffessor wa vitabu mr Francis ndacha wafundishe

  • @godloveabraham5088
    @godloveabraham5088 Жыл бұрын

    Ukristo ndiyo dini ya kweli na Yesu ndiye njia ya kweli ya kufika kwa Yehova

  • @kayembeyves6422
    @kayembeyves642217 күн бұрын

    Majina ni Kayembe yves kutoka komgo drc niko south Africa nataka kitabo chako mimi nadambaza video zako apa nakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nyaungaosiemo9341
    @nyaungaosiemo9341 Жыл бұрын

    Ndacha ni moto Mungu akubariki

  • @AminaFuraha-gi7ii
    @AminaFuraha-gi7iiАй бұрын

    Ndacha Mungu akuzidishiye Mara elfu

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064Ай бұрын

    Ndacha kiboko ya Mazinge, ongera sana mwalimu Ndacha🎉🎉🎉🎉❤❤❤ unajibu bila chenga, Mazinge ni m'babaishaji tu hana lolote

  • @dennismajesonlenamunyi7761
    @dennismajesonlenamunyi7761 Жыл бұрын

    I like the way Paulo is reading....the reader is marvelous

  • @zuhura.suleimanmwamwari3083
    @zuhura.suleimanmwamwari3083 Жыл бұрын

    Yesu aliingia kwenye sinagog sinagog ni msikiti so yesu ni muislam mpende MSI pende

  • @kayembeyves6422
    @kayembeyves642217 күн бұрын

    Ndikwendete yesu kristo yesu yesu yesu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @irenekaluse3213
    @irenekaluse3213 Жыл бұрын

    Ndachaaaaaaaaaaawpige nyundo hao wasio waelewa

  • @JamesOdhiambo-wu2pj
    @JamesOdhiambo-wu2pj9 ай бұрын

    Mwalimu Ndacha unakazi kweli wale unafunza, wana masikio na hawasikii

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 Жыл бұрын

    Atawanyoosha FRANCIS NDACHA, mutabatizwa leo

  • @kugotwa004
    @kugotwa0047 ай бұрын

    Mazinge doctor hatari sana

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 Жыл бұрын

    Kiboko yenu ndacha hata muite majini😂

  • @emmyndunge6406
    @emmyndunge6406 Жыл бұрын

    Ndacha mungu akubariki sana

  • @AminaFuraha-gi7ii
    @AminaFuraha-gi7iiАй бұрын

    Wislam mutubu Yesu chritu atawasamehe

  • @halimasalim3985
    @halimasalim398511 ай бұрын

    Allah akuifathi ya Rabb na akulipe siku ya haki Sheikh Mazinge❤

  • @ModestyBleise-oj5ch
    @ModestyBleise-oj5ch Жыл бұрын

    Ndacha kuja timboroa please we need to get this good gospel that you have

  • @amongreyson1326
    @amongreyson1326 Жыл бұрын

    Mazinge badala ajibu swali anapinda pinda hata haeleweki,Hakuna shekhe hapa janjajanja nyingi 😁

  • @panadomadola3064

    @panadomadola3064

    Ай бұрын

    Mazinge hana lolote

  • @LucyKioko-rn3ll
    @LucyKioko-rn3llАй бұрын

    I love adventist my church

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    Subhanalha ❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Жыл бұрын

    Mama wa mwenzio ndio mama ako na wake za Mitume ni wanaadamu wanasifa za kuzaa na kuzaliwa. Lkn Mungu hana sifa ya kuzaa wala kuzaliwa. Km unaakili timamu huezi kufananisha mfano wa wake za Mitume na Mungu. 😊

  • @princessafrash8757
    @princessafrash8757 Жыл бұрын

    Masha Allah! Shekh mazinge wallah sijui hata nikuombee dua gani kila dua nitayoomba nahisi haistahili kulingana na heshma yako ndani ya dini yetu lakini Allah anajua zaidi Akuhifadh tunakuhitaji zaidi ya neno sana

  • @saumodzumbo9671

    @saumodzumbo9671

    9 ай бұрын

    Mashaallaah

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuisАй бұрын

    Msomaji WA ndacha ni hatali sana mungu akubaliki

  • @mudriksalum4752
    @mudriksalum4752 Жыл бұрын

    Mashallah Allah katupa professor

  • @farajapeasonmagota8226

    @farajapeasonmagota8226

    Жыл бұрын

    Ndacha kiboko anasoma maendeleo

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Allahuakibaru jazakumllah kheir ust mazinge

  • @FaraKeys-sz6mb
    @FaraKeys-sz6mb Жыл бұрын

    Mungu ni mmoja sasa ime kuwaje hizi dini wame tuletea binadamu wenzetu wao wame zipata wapi na sisi tumeshindwaje kuzipata bila wao… kwa wema gan walio kuwa nao paka wapewe kibali cha kutu andikia vitabu sisi

  • @kingahmed5442
    @kingahmed5442 Жыл бұрын

    NDACHA KWA KUPOTOWA WATU 😅 MAZINGE PROFESSER

  • @amongreyson1326
    @amongreyson1326 Жыл бұрын

    Nashukuru Mungu nimezaliwa mkristo,Ningekua muislamu maskini Pepo ningeisikia tu 🙌

  • @muhamadsalim5295

    @muhamadsalim5295

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @5ffGg-uy7mf

    @5ffGg-uy7mf

    9 ай бұрын

    Allah akuoneshe haki

  • @omaryabdul2256

    @omaryabdul2256

    8 ай бұрын

    Kwani utaingia peponi?

  • @user-zw4tf5os8b

    @user-zw4tf5os8b

    8 ай бұрын

    Pole sana ndugu yangu

  • @DuliBrillant-mr8er

    @DuliBrillant-mr8er

    6 ай бұрын

    Na huo ukristo wako pepo pia utaiskia tu

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 Жыл бұрын

    Kiboko ya Ndacha ni Professor ALLAH amlinde na madui

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Жыл бұрын

    Haha mazinge ni professor..Allah amuhifadhi

  • @NadhraOmar

    @NadhraOmar

    Жыл бұрын

    Amin

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Ma prof wakiislam ndo haw kina mazinge

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Kwa kweli Allah ako na watu wake na Mungu ako na watu wake na sio siri

  • @panadomadola3064

    @panadomadola3064

    Ай бұрын

    Profesa wa mapepo, hata haeleweki

  • @BarubinaNyoni-it9ol
    @BarubinaNyoni-it9ol Жыл бұрын

    Ndacha Mungu akubaliki ila napenda sana mkutano wa ndacha na mazinge😅😅

  • @kellykellizer7867
    @kellykellizer7867 Жыл бұрын

    Mazinge mambo mbaya sana Ndacha ww nlikwambia usipoteze watu bure kila siku kwenye mjadala unashindwa nahuachi😂

  • @godloveabraham5088
    @godloveabraham5088 Жыл бұрын

    Mwaljmu Ndacha Mungu akupe neema zaidi na hekima zaidi ubarikiwe sana ndugu

  • @fredymligo-hd6pj
    @fredymligo-hd6pj7 ай бұрын

    Mungu akupe maisha malefu ndacha unasoma kweli lakini mazingecanasomo kipisi Cha neno hasomi neno lote

  • @user-on7uj1yy4s
    @user-on7uj1yy4s6 ай бұрын

    Mazinge Wacha vituko yesu ndiye njia

  • @sergesnshimirimana6049
    @sergesnshimirimana6049 Жыл бұрын

    MNGU NI MWEMA tunawafatiria sana burundi

  • @zuhura.suleimanmwamwari3083
    @zuhura.suleimanmwamwari3083 Жыл бұрын

    Dini ya kweli ni islam

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Dini ya kweli ni kuwasaidia yatima na wajane

  • @alexandermulilison5844
    @alexandermulilison5844 Жыл бұрын

    Mazinge Wacha chenga ....jibu swali vizuri.....kama mwana katoka kwa mungu kwa kauli yake, huyo mtoto atakuwa ametoka wapi kwenda wapi? Na mtoto atakuwa nani? Pili mke wa shetani nani? maana ana kizazi chake.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Жыл бұрын

    Ndacha kama hukuacha kupoteza watu moto wa jahannamu unakusubiri

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Moto wa jehanamu ni kwa wale wanaopinga kua Yesu Kristo ni mwana wa Mungu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    @@imageinternational.1100 hahahaaa akiwemo yesu mwenyewe tutaingia naye jehanamu kwa sababu ndo Wa kwanza alopinga na kukataa kuitwa mwana Wa mungu akasema yeye ni mtu alokuja kutwambia kweli aloisikia kutoka kwa mungu hakuwahi kusema mimi yesu ni mwana Wa mungu sasa wacha tumfate yeye

  • @leonardmwayeya13

    @leonardmwayeya13

    Жыл бұрын

    Kinacho nifrahisha mungu nimwanamke au mwanaume nakama mwanaume hivi kwri mwanaume anaza Keri acheni ujinga wakana mazinge

  • @user-yh4ge7gc3o

    @user-yh4ge7gc3o

    4 ай бұрын

    Huyu ndacha hujifikicha na kiswahili kicha panzi

  • @ismaailabuughariyb313
    @ismaailabuughariyb313 Жыл бұрын

    Professor Mazinge utawauwa hao wakristo kwa hoja

  • @gastondofra9151

    @gastondofra9151

    Жыл бұрын

    Mazinge hawezi vunja hoja moja ya ndacha kwabb Ni mindaalo mengi tulisha shuudia.

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Hakuna hoja yoyote hapo bali ni sarakasi tu

  • @panadomadola3064

    @panadomadola3064

    Ай бұрын

    Mazinge ni 0 hamna kitu

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan18 сағат бұрын

    Ndacha kila siku ashindwa

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly29864 күн бұрын

    Ndacha mwalimu bora Africa tuzo nakupa

  • @nourlaboratory
    @nourlaboratory7 ай бұрын

    Namshukuru mungu kwakunibadili na kuwa mkristo japo wakristo wengi hawajui ukwel

  • @alhajijuma3675

    @alhajijuma3675

    4 ай бұрын

    Sasa nijukumu lako kuwalisha uongo uujuao n ukweli

  • @user-ct7zd6he2j
    @user-ct7zd6he2j8 ай бұрын

    Big up ustadh

  • @JemilaMusa-pt3yh
    @JemilaMusa-pt3yh Жыл бұрын

    Ndacha jibu maswali kwaza elimu hauna kwakweli

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo96719 ай бұрын

    Shekhe mazinge Allah akihifadhi vyema uzidi kutuelekeza ishaallah

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 Жыл бұрын

    Hakunakitu kwamazinge

  • @user-fe7nm5bq6r
    @user-fe7nm5bq6r8 ай бұрын

    Nimekuba mazinge sana kwasababu nikiboko chawakirito wafudishe wajiga hanaakili

  • @NurathNassor
    @NurathNassor Жыл бұрын

    Allah endelea kumuhifadhi Sh Mazinge na umpe umriii mrefuu yaan Allah bado tunamuhitaji Sanaaa mafunzo yake n Nuru kwetu Amiiiin 🙏🙏🙏

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Ust mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah mola akuongonze ktk hili inshaallaah

  • @saidiMsume

    @saidiMsume

    3 ай бұрын

    Mazinge mapepo yamekuchanganya,hata unachojibu ni utumbo,nashangaa pumba zinazokusupport

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    Ай бұрын

    Bro unapotea mpokee yesu wacha mawenge

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882Ай бұрын

    Ndacha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Жыл бұрын

    Swali la Ustadh Mazinge halijajibiwa hata 😂😂...

  • @fredrickonyango94

    @fredrickonyango94

    Жыл бұрын

    Hukua makini andiko limetolewa yesu na baba ni umoja tatizo lako unapenda majibu za propaganda kushinda andiko.

  • @barakawabuge5285

    @barakawabuge5285

    Жыл бұрын

    @@fredrickonyango94 onyango soma tena kiswahili kisha utaelewa....jibu bado hata mtoto wa chekechea anafahamu hili ndo maana mnadanganywa kufunga hadi kufa kule shakahola..watu wa yes boss

  • @fredrickonyango94

    @fredrickonyango94

    Жыл бұрын

    @@barakawabuge5285 kweli uislamu bila uongo haupo, mimi vitabu vya majini siwezi amini ni mungu wetu wanamzungumzia bali ni shetani ndie kiongozi wao

  • @cmb6342
    @cmb6342 Жыл бұрын

    Namkubali ndacha Ni genius Ni hatari sana

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan18 сағат бұрын

    Mazinge kiboko

  • @mejukassim
    @mejukassim Жыл бұрын

    Dini ya haki mbele ya Allah ni islam

  • @ishowspeed246

    @ishowspeed246

    Жыл бұрын

    Adam alikua anaenda msikit gan yeye Muslim and Christin conman

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Haki kwenu

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Dini ya haki mbele ya Mungu ni kuwasaidia mayatima na wajane.

  • @congratulationmayunga3833

    @congratulationmayunga3833

    Жыл бұрын

    Waislam ni makatili saana halafu yanafuga majini mbwa hao waislam 😂😂

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Na huyo allah ni mtu yuko mahali na si Mungu kama huyo allah pia anamuomba Mungu pia

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m7 ай бұрын

    Ww brach hakufahamu maandiko acha kuficha ukweli

  • @FransiscoNjeje
    @FransiscoNjeje29 күн бұрын

    Mwalm ndacha Mungu awe nawe

  • @carlosmenza680
    @carlosmenza6805 ай бұрын

    Video quality ikiwa nzuri sauti inaenda kuwa mbaya

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x844 ай бұрын

    Nyie mnadhani mnahua lugha sana ..ila uelewa wenu mdogooo

  • @yusufjuma8384
    @yusufjuma8384 Жыл бұрын

    Takbiriiii

  • @NadhiraNa-vm5hs
    @NadhiraNa-vm5hs4 ай бұрын

    ❤ Allah akulipe

  • @jpmanotaofficial9041
    @jpmanotaofficial9041 Жыл бұрын

    Uislamu ni sanaa

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @muryangoissa794
    @muryangoissa794 Жыл бұрын

    Wakristo Mnapote sana

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Wewe ndio ulipotea tangu kuzaliwa

  • @saidiMsume

    @saidiMsume

    3 ай бұрын

    Soma vema Quran Yako ili ujue kuwa bible ilkuwapo kabla ya dini hiyo ya mapepo

  • @fabilianothedecor3393
    @fabilianothedecor3393 Жыл бұрын

    unajua kuna kitu watu hawaelewi ila cku za mwisho zitakapofika mtajibu hayo makufuru na na mabishano mbele za mungu tafuteni njia ya kweli na uzima msitafute vilivyopo kwenye giza maana mtapolea gizan enyi wa christo na waislamu acheni hayo mambo maana mungu anahasira na hayo mambo mnayoyafanya upanga upo juu yenu ote

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын

    AchA kupotosha watu mazinge soma matayo 16:13hadi 20 unasoma matatu mmoja unatafsiri

  • @Nacirabdalaambasse
    @Nacirabdalaambasse Жыл бұрын

    Alihadulihi mungu ni kubwa usiwaje Au macafiri hostas mamzigue

  • @aloycesilwela3485

    @aloycesilwela3485

    Жыл бұрын

    Hahahahaha.ndio nini sasa

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 Жыл бұрын

    Hii mishenzi kumbe wanaijua qur an lkn haitak kusilimu

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Mshenzi ww tusilimu tukajitoe muhanga au tukaue watu au tuwe waganga au tutengeneze majini au tukaswali na majin?

  • @user-yz6ho2jr5s
    @user-yz6ho2jr5s4 ай бұрын

    Nyie wakristo ni waongo tu subiri mazing awape vitu vya kiroh

  • @user-db4tv6qn2p
    @user-db4tv6qn2p4 күн бұрын

    Mazinge komedi

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64698 ай бұрын

    Hawa waislam hawana jibu rorote kumujibu ndacha

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 Жыл бұрын

    Huu ubishi niwa kupotosha watu wasio na upeo. Biblia imekataza mabishano. Mungu mwenyewe atalitetea neno lake kama watu awaelewi sio kutia mabishano. Maana asilimiakubwa inapotezatu watu

  • @ZakariaIbrahim-eo3rd
    @ZakariaIbrahim-eo3rdАй бұрын

    Ndacha analipwa bana

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882Ай бұрын

    Hivi waislam mbona wamekubali kuwa kwenye giza 😢

  • @ismailmustafa4553
    @ismailmustafa4553 Жыл бұрын

    Ajaabu watu huwa wanajitahidi kutafuta ilm kuongoza watu kina Ndacha nawenziye ujitahidi kutafuta ilm yakupotosha

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Жыл бұрын

    Allah awagifadhi Masheikh wetu. Amin

  • @paulkiragu4526

    @paulkiragu4526

    Жыл бұрын

    Usilinge mwambie mguu akupe hekima

  • @user-vd6dk4op4e
    @user-vd6dk4op4e Жыл бұрын

    Hakuna dini iitwayo uislamu...dini ni Moja...na Kama ni mbili hizi Dini,mbona waislamu bado wanamsubiri Esah ambaye ni yesu..mbona siku ya kiama wasimsubiri mtume wao ambaye ni mohammad

  • @user-lk7kt2zq2j
    @user-lk7kt2zq2j Жыл бұрын

    Nyi nyi mushaka wayi ona wapi nuru ina changanya na giza nyi nyi wote muko n'a kufuru mungu mwenye Ali ziumba mbingu n'a njii

  • @rayyanswaleh5813
    @rayyanswaleh5813 Жыл бұрын

    Ati yesu alizaliwa kwa neno wala si mke,maryam mamake yesu alikuwa MKE au NENO?????

  • @user-yz6ho2jr5s
    @user-yz6ho2jr5s4 ай бұрын

    Wap vip vya kiroh waelew hao

  • @kenethaliwa8940
    @kenethaliwa8940 Жыл бұрын

    Ndacha upo vizuri Sana,Dunia yote IPO kimya kukusikiliza. Amen

  • @NadhraOmar

    @NadhraOmar

    Жыл бұрын

    Achauongo

  • @AnwarAli-bd5tv
    @AnwarAli-bd5tv Жыл бұрын

    Yaani hawa wakristo mamwehu kweli, ilo jibu lililotolewa mwisho mmelifaham kama mm lakini, maana uyo mchungaji amepigia mfano wake wa Muhammad kuwa mama zetu kiheshma tu lakini sio mama zetu kweli, pia akasema na yesu ndo hivohivo, kwa nilivyomuelewa kamaanisha Hata yesu sio mwana wa Mungu Bali wamempachika kama heshima tu sasa mnao amini yesu mwana wa mungu Shaurizenu

  • @user-wr3ho1ie9k
    @user-wr3ho1ie9k5 ай бұрын

    wwe mazinge hauna mandiko kabisa

  • @EmmyRowland-ir5gh
    @EmmyRowland-ir5gh3 ай бұрын

    Mazinge MBNA nalia😂😂😂

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yqАй бұрын

    Waislam tanunikeni

  • @FaraKeys-sz6mb
    @FaraKeys-sz6mb Жыл бұрын

    sasa kama Africa aipo kwenye vitabu ambavyo wote mna sema ndo vya mungu…sasa tupo kwenye vitabu gani ???

  • @user-so5qv7oz1v
    @user-so5qv7oz1v Жыл бұрын

    Naupenda uislam

  • @panadomadola3064

    @panadomadola3064

    Ай бұрын

    Unapenda dini ya majini

  • @JamalAgostinhoAuasse-nk7ip
    @JamalAgostinhoAuasse-nk7ip Жыл бұрын

    Jamal Agostinho Auasse

  • @hamisikushonda4
    @hamisikushonda4 Жыл бұрын

    Proff Mazinge you are the King Of East Africa in terms of Bible

  • @hmha9728

    @hmha9728

    Жыл бұрын

    Exactly 💯 Allah amuweke tunamhuhitaj

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Mmmmh which africa ????proff mazinge????

  • @imageinternational.1100

    @imageinternational.1100

    Жыл бұрын

    Mmh ati king? We have others who are knowledgable than him and they dont show themselves

  • @ndorejuniour

    @ndorejuniour

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @a_melly

    @a_melly

    Жыл бұрын

    Kujua maandiko ya Bibilia tu na revelation ya neno lake Mungu ni vitu viwili tofauti.

  • @ashurantunzwenimana5975
    @ashurantunzwenimana5975 Жыл бұрын

    Ni tamko la mwenyezimungu,wanakuceka juu unase ukweli,ila unaupinga

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Жыл бұрын

    Mazinge ananguvu zagiza za ubishi na upotoshaji anapuyanga puyanga tu hajui kitu naamini tukiweka mikono Pepo chafu zitalipuka.

  • @abdusheriffsheriff8557
    @abdusheriffsheriff8557 Жыл бұрын

    Wesllam wanatumiaka ujaja tuh ila hawajuwi maandiko

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Жыл бұрын

    Mazinge anaongeaga upumbavu wa kibinadamu tu na asipoangalia atakufa vibaya sana

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    Usimuite yesu uite nabiii

  • @eliamunuo225
    @eliamunuo2256 ай бұрын

    Ndacha dawa yao

  • @user-vt4rp6tq1m
    @user-vt4rp6tq1m Жыл бұрын

    Ndacha wewe nojembee utoe jasho uyo aokoke sante sana mungu maana amekutumia vizuri wakasome upya ndio waje kwako komaa baba hawana wajualo bwebwetu

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk Жыл бұрын

    Ndacha jibu swali umeshindwa kujibu swali