Huyu Hapa Mshindi Wa Kwanza Kutoka Ivory Coast Katika Mashindano Makubwa Ya Africa Kwa Mkapa
#QiblateinOnline #quran #quranrecitation #qurancompetition
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline
Пікірлер: 203
ALHAMDULILLAH QUR'AAN NI KITABU CHENYE MIUJIZA MIKUBWA KUWAHI KUTOKEA DUNIANI KWA MUDA WOTE, ALLAH AKBAR..
Masha Allah kijana yuko vizuri anachunga hukumu na anajua kuzipa haki yake herufi 💯❤❤❤❤
Mashaallah Allah ampe maisha mema na siha ya mwili
MashAllah MashAllah MashAllah TABARAQA AR RAHMAN
Nandio maana walimpa sura nyingine mbali naile aliyoichagua hata wao majaji waliona hilo,mashallah alafu bwana mdogo sana
@HajiMakame-ib5km
3 ай бұрын
Mashallwaa
MashaAllah, Infact ameupiga mwingi no doubt , Allah ampe Afya njema, maisha marefu , na Riziki yenye wasaa, na pia apate pepo Firdaus yauma turjauuna fiih ila llaah thuma tuwaffa kulla nafasi bimaa kasabat wahum laa yudhwlamuun. "Baqara 2:281
@Banzok700
3 ай бұрын
Aaamin ya rabb
@NanaNana-xo2og
3 ай бұрын
Ameen
TANZANIA ,TUNAWEZA , PIA NI JAMBO JEMA , WAGENI WALIOPATA USHINDI....NI ZAIDI YA SAUTI NA AHKAM .PIA MBINU ZA KUSOMA ,KUZIIA PUMZI TOKA KT PUA, UTULIVU.. NK....HONGERA TANZANIA KWA KAZI NZURI YA KUANDAA HILI JAMBO....
Mashaaallah ametulia ana papara alistahili ushindi arafu ana pumzi katika usomaji wake na sauti yake imetulia hana kitetemeshi arafu anajiamini maana mengine wanatetemeka wakisoma
@allybobsaith
3 ай бұрын
Samahani next time usitumie neno ‘mengine’ tumia neno ‘wengine’ neno mengine kwenye sentensi yako inaamaana ya kwamba wenzie alieshindana nao hawajui chochote. Ni kurekebishana tu ahsante usilipokee negative
Anamix saut za mohammed ayoub...... Maaa shaaa allah. #confdnce iko juu sannnah
Alistahili MashaAllah 🎉🎉🎉
Inshort ivoreycoast huu ni mwako wao yani mpira waliupiga mwingi duniani na akhera pia wanaupiga mwingi mashallah salamu zangu kutoka kenya
Swali la kwanza sura Annisai ambapo aya zake maarufu sana kuhusu twahara Sura ya pili surat twaha kisa cha musaa maarufu Sura ya tatu Arrahmaan maarufu hyo sura
Maashaallaah nimekupenda!kwa ajilia allaah ❤❤
Ibrahim Sow jazakallahu lkheir
Kijana yuko vizur, nchi za africa magharibi sasa hivi zinawekeza kwenye dini
@naimasbuguza2395
3 ай бұрын
Sasahv??!!!!
@handenitakuru6696
3 ай бұрын
Eti 😂😂😂 Tanzania kwenu ndio mnawekeza sasahivi
@slowclimbertothetop4572
3 ай бұрын
Wenzetu wapo serious kwenye kila jambo
@user-uj2ym8ku8p
3 ай бұрын
Sio saiv yani jamaa wameanza kitambo sana
Mashaa Allah ❤
Tz wange mchukua mtoto kwenye mashindano kutoka pemba au kondoa wangeshika nafasi ya kwanza
@maryamudunga1094
3 ай бұрын
Kondoa niuhakika
@abdukhan4718
3 ай бұрын
Nakumbuka kabla haya mashindano ya Al-hikma Wapemba walikua wanashiriki na kuchukua nafasi za kwanza
@user-pg6dr3mo5t
3 ай бұрын
Jidanganye tu wivu uwo wekeni mashindano yenu na nyie tuone @@abdukhan4718
@user-pg6dr3mo5t
3 ай бұрын
Acheni ubaguzi hata kijana wetu kajihid kuchukua ushindi watatu sio masihala nyie wepemba unapenda kujidsifu tu lakn hamna lolote tunataka vitendo sio maneno😏@@abdukhan4718
@user-pu8yl2zj8x
3 ай бұрын
Mwakani hayo
Masha Allah ,Allah amzidishie zaid na sisi atufanyie wepes kukihifadhi kitabu kitukufu cha qurani
@NanaNana-xo2og
3 ай бұрын
Ameen yarraby
Mashallah allahu yubark lahu
Maa shaa Allah tabaraka Allah ❤
Mashaallah Allah yubarik minhu na akuongezee kipaji chako .😊
Alistahiki kwa asilimia 💯
حفظك الله ما شاء الله تبارك الرحمن ❤ دوم يارب العالمين
Mashaallah alistahili kushinda hata usomaji wake katulia sana
Wow this is so good to see people coming to hear Allah message
From Ibrahim to Ibrahim. MashaAllah. TabarakaAllah.
Masha'Allah kinawetu Allah akupe umuli murefu baba💯💯💯
Kz nzuri nshaallah Mwenyezi Mungu akupe afya njema uzdi kuisoma na kuisomesha Quran
Sio kapata sura rahisi kuna mtu anaweza kusoma mbele ya ummati wa watu woote kwa utulivu kusoma qur an sio maskhara allah atujaalie Kheri soote . Ameen ameen
Masha allah ❤
ALLAH amuhifaz inshaa-allah.ila kwangu wote ni washndi ni kusahau tu maana hatuna ukamilfu
Anatoka kwa kina pacome zozua hhhhh. Mashaallah ivory coast na Tanzania kweli ni nchi zenye vipaj vingi. Allah awape rehema zake na pepo zenye daraj la juu Amiin
ALLAH AKUHIFADHI KWA REHMA ZAKE
Mashaallah mashaallah mashaallah ni kijana mdogo tu lakin kawez kuipa haki kitab cha ALLAH kinqvyostahiki kupew kaisom kam inavyotakiw mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤ allah n mkubw
Masha Allah
Masha Allah Ahkami kabobeya sana
Maa Shaa Allahu Tabaaraka Al Rahmaan
Jazaka llaah kheyri
Mashaallah
Maashaallah my son Allah atupe upeo zaid haki umeweza
Mashalla Allah akuhifadhi na ukuepushe na hasadi Dunia
Mashaallah Mashaallah Barak Allah fiik❤️💯
Ma sha Allah may Allah bless him
Mashallah Mashallah mungu azidi kukujalia nour ya dunian nayakesho ahrela inshallah
❤mashaallah
Maashaallah Mungu atuongozee
Fundi sannnah maaaaa shaa Allah, anajua asimame wapi.... Ukiskiliza vzr utaskia sauti ya sheikh Ali asaa ikiitia Kila asomapo (kama anaguna)
ماشاء الله تبارك الله قرائة ممتازة
Katulia maa shaa Allah
Maasha'Allah Tabarak'Allah ♥️
Maashaallah❤❤
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah Kheir
Mashaaallah mashaallah
Mashallah ❤❤
Mashaallah Tabarka Allah
MaashaaAllah MaashaaAllah
Masha Allah ❤
Ma Shaa Allah Tabarakallah
Mashaalah
Mashaallah ❤❤❤
Mashallah!deserv to be winner🎉
Masha-allwah❤❤❤
Mashaallah anyesha msahafu mzima uko kichwani
Mashaallah ❤
Masha'Allah
Mashallah
.masha Allah ❤❤❤
MASHA ALLAH
Uyu kijana iko vizuri
Ma Sha Allah...the beauty of Islam
Masha Allah ❤❤❤
Maashallah
Maashaallah
Mashaaallah
Allah ambarik
MASHAALLAH ❤❤❤
Mashaallah Allah akuongezee Umri ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mashaallah 🙏
Maashallaah!
Mashaah
بسم الله ماشاء الله
Mashaalla
Mashaalah💗💗💗💗
Mashallah!
mashaalah
MASHAALLAH😢😢
Mashallah ❤❤❤
maashallah ❤❤❤
MashaAllah ❤❤❤
MashAllah
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
Allahu Akbar ❤
Yuko vizuri sana
Sijui
Mashaa ALLAH
MashaAllah
Maashaalahu Maashaalahu ❤
Takbirr ttakbir ALLAHU AKBAR maashaa Allah
Bismillah❤
Anajua