Jezi imempendeza yani kaendana nayo like zenu wadau
@ngassakissimba564016 күн бұрын
Eng Mungu akulinde sterling wa hii safari ya furaha kwa Wananchi🙌🙌🙌
@Dopa511516 күн бұрын
Welcome mwamba wa lusaka timu ya wananchiiiiii 💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥
@AdveraJames16 күн бұрын
Mungu akutangulie mbele tkt kazi ya kufnya kazi na Club hii.wana malengo na vision ya kufika mbali
@DjFae.b25516 күн бұрын
Naomba like za mwamba wa lusaka hapa 🎉
@rukiakyaka182716 күн бұрын
Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Kheir na Nusra Wachezaji wetu Inshaallah
@MonahMosafiri15 күн бұрын
Mungu amlinde chama wetu maana maadui ni wengi
@geeasap82515 күн бұрын
He has shown respect, he has not stepped on the team's flag.🎉🎉
@monicalucas373816 күн бұрын
Karibu home of joy mwamba wa Lusaka(Triple C)🤝
@GodwiniFwelo16 күн бұрын
Hii yanga jamani hadi raha
@GodwiniFwelo16 күн бұрын
Daima mbele nyuma wao
@kabujeasukile546215 күн бұрын
Karibu sana MWAMBA wa LUSAKA 💚💛💚💛💚💛💚
@HellenAlquin16 күн бұрын
Kwahyo chama ni yanga kweli jmn mbna bado siamn mwenzenu
@GraceNdambo-t8w
16 күн бұрын
Amini tu,hakuna namna
@malietamaliet16 күн бұрын
yanga tunae na tunatamba nae x20 per day😂
@owenfweta323916 күн бұрын
Jamaa noma sana 🎉 Naomba like za triple C
@LossaruNgira16 күн бұрын
Yes mwamba, achana na rangi za shari😂
@Evance-op4jw15 күн бұрын
karibu mwamba
@amaniomar175516 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka 🇿🇲
@user-mo6df2wr2w16 күн бұрын
Bom trabalho chama🎉
@FirdausyAbubakary-bl2wo16 күн бұрын
Hapo ni wapi mbn pataamu saanaa💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💫💫
@yes_yes131016 күн бұрын
Ila makolo siwalisema Chama hana nidham😢, mbon sio kweli, anasema naweza kuitoa hii flag hapa, nisije kuikanyaga😊😊 yani anaheshim Logo ya YANGA SC, alafu ndio wanasema hana nidhamu, kitendo tu cha kuchelea tu kukanyaga bendera inaonesha nidhamu kubwa aliyo nayo😢. Sitaki like ya Mtu😅.
@omarymtotela375116 күн бұрын
Zaid mbele
@aproniamasatu581016 күн бұрын
mambo ya kutambulishwa show room kasha sahau
@KhatibuKimaro15 күн бұрын
Nakutakia kilalakher kwenye kaziyako mpya mwamba wa lusaka jr❤❤❤❤❤😅😅
@CristopherMwashamba15 күн бұрын
Kazeeka uyo
@AllyMasangaluka-bm5ib16 күн бұрын
Gamond kwazi kwake lasilimaliyakutosho lyo hapo
@Carolina-sm5zt16 күн бұрын
Umependeza Mwamba wa Lusaka
@anithqpaul392316 күн бұрын
Yanga mbele nyuma mwiko kazo hiendelee
@HasnatShaban16 күн бұрын
💛💛💛💛💛😊
@devothaignatius525616 күн бұрын
Amependeza mno
@vincentdaud995415 күн бұрын
Chama tripple c mwamba wa lusaka waziri wa furaha , tabasamu na mafanikio
@salemarahbi917116 күн бұрын
Yanga hatuna jbo dogo wallah 😅😅😅😅😅😅
@kurumwagodfrey705216 күн бұрын
Chama big brain middle
@oscarBreezy-u8e16 күн бұрын
Jaman Uzi umemkaa kichiz yan
@lucymsheshi587115 күн бұрын
Sometime msiwe mnaeeka hizi behind the scenes 😊
@mwansasujonny353615 күн бұрын
Msirudie tena kumsimamisha Chama hapo asije akateleza
@francepaul7711
15 күн бұрын
Umeonaa Eeenh
@michaelcretus149016 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@mishlay816415 күн бұрын
Tatizo mnamfanya awekichaa zaidi na wengine wote waonekane hakuna kuna kitu , bifu itakayotoka hapo wezubiri uone
@AliceLameck16 күн бұрын
Mbona pazuri hapo
@AthumaniAdamu-g6z15 күн бұрын
Kwan Kuna shidoo
@abubakarishariff848915 күн бұрын
Ana hatari yoyote kaishiwa ndio amekuja kwa washamba wenzie
@MobileMobigo216 күн бұрын
Yangaaaaaaa
@ommykiss704916 күн бұрын
Mwambaaaaaaaa wa lusakaaaaaaaaaa
@ElikanaStephen-sk9mz15 күн бұрын
Dah , mbona mashart mengi wakati wa picha mzee😢😢.
@ArnoldRwegasira-hp9gt16 күн бұрын
Chama alikua anaipenda yanga sana
@linnahcasmir527515 күн бұрын
Ana nidhamu had bac
@user-ne9sk5br3l15 күн бұрын
Mafundi wa bori wapo yanga
@marymoshi57216 күн бұрын
🎉
@Faustine_Charles16 күн бұрын
Mbona mnamsumbua hivyo dah!!! Huu sasa ni usumbufu
@allymngwaya2831
16 күн бұрын
Anatakiwa arudishe hela zilizotumika kunsajili
@EvanceMputa16 күн бұрын
Mwamba uyu hapa
@MoajGraphics16 күн бұрын
💥💥💥
@KafrogyPep16 күн бұрын
Kwa Mwijaku🤣😁
@jumanakamo550316 күн бұрын
WAZEE WA MIZOGA. ( MAFISI ) 😅😅
@user-bo3jd6ng5d16 күн бұрын
Hizo shooting nyengine za magorofan mtakuja muuwane yanga shida Yao sifa zimezidi
@AllyMasangaluka-bm5ib16 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka unawaumiza makolo mkude uyo
@user-dz5jc6pp8e16 күн бұрын
Rangi nyekundu ilikua inamuunguza Rangi hiyo sasa
@AllyMasangaluka-bm5ib16 күн бұрын
Tambulisha ll Simba watuige
@KISABOSHINENEKO16 күн бұрын
Mafunzo ya kisaikolojia ili asahau Makolo
@jumanakamo550316 күн бұрын
Duniani kuna malimbukeni kweli. kumbe mnamfundisha hata vya kuongea. siyo akili zake😅😅
@jumakapilima729516 күн бұрын
So what?
@julaimalidadi639415 күн бұрын
Muhuju utalipa
@IdrisaAbdallah-pf4mw16 күн бұрын
Nataka ile maada ya nan zaid kati ya pacome na chama
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc16 күн бұрын
💚💛💛💚💚💛💛💚💚💛💛💚💙
@hamisishabani407215 күн бұрын
MWAMBA WA LUSAKA!! HAKIKA YANGA KUNA IDARA ZIMEJIPANGA,SIO MCHEZO.MAMBO YA KISASA KABISA.MAZINGIRA NA HUDUMA ZAKE YANI KAMA MBELE KWA SISI TULIO BAHATIKA KUTEMBELEA NDANI YA AFRIKA NA NJE AFRIKA,KWA KWELI YANGA IKO JUU SANA NA IKO.MBALI SANA.NAO HII WATANI INAWAUMA,NA WANAUMIA SANA HASA WAKIAMBIWA YANGA NDIO BABA LAO.YANI WANATAKA NDIO HIVYO HIVYO,NA KAMA HAWATAKI HATUWALAZIMISHI.YANGA NDIO CLUB KUBWA,HAPA NCHINI NA BARANI AFRIKA!! YANGA NDIO GUMZO LA SOKA BARANI AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!! HUDUMA HII NA MANDHARI NZURI ZA KUPENDEZA MWAMBA WA LUSAKA KWA MARA YA KWANZA TOKA AANZE KULIKANYAGA PIRA YEYE NA WACHEZAJI WOTE WA YANGA!! HAKIKA NDIO KWANZA WAMEPATA YANGA!! HONGERENI SANA VIONGOZI WETU WOTE MKIONGIZWA NA INJINIA HERSI SAIDI,MDHAMINI WETU BIG MAN,BILIONEA LA VITENDO,BILIONEA LA DOLARI GHALIB MOHAMMED SAID.HONGERENI SANA KWA.KUIENDESHA CLUB YA YANGA AFRICAN'S KISASA ZAIDI.KWA.KWELI INAVUTIA NI UBUNIFU WA HALI YA JUU SANA!! WATAKE WASITAKE WATAIGA TU,JAPO KUWA WANAONA NNOMMA!! CHAMA KAISHA FIKA SAFARI YAKE ALIYOKUWA AKIITAMANI MUDA MREFU.MUACHENI KAMA ALIVYOOO!!!! KASEMA TUKUTANE UWANJANI!! KAMA MAJI HAMJAYAITA MMAA!!! YANGA WOYOOOOoooo!!!
@sosomacharles992016 күн бұрын
Ndo wanavyotangazwa wachezaji wa timu kubwa,siyo kama kule mchezaji anatangazwa kwenye gazeti🤣🤣🤣🤣
Пікірлер: 77
Jezi imempendeza yani kaendana nayo like zenu wadau
Eng Mungu akulinde sterling wa hii safari ya furaha kwa Wananchi🙌🙌🙌
Welcome mwamba wa lusaka timu ya wananchiiiiii 💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu akutangulie mbele tkt kazi ya kufnya kazi na Club hii.wana malengo na vision ya kufika mbali
Naomba like za mwamba wa lusaka hapa 🎉
Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Kheir na Nusra Wachezaji wetu Inshaallah
Mungu amlinde chama wetu maana maadui ni wengi
He has shown respect, he has not stepped on the team's flag.🎉🎉
Karibu home of joy mwamba wa Lusaka(Triple C)🤝
Hii yanga jamani hadi raha
Daima mbele nyuma wao
Karibu sana MWAMBA wa LUSAKA 💚💛💚💛💚💛💚
Kwahyo chama ni yanga kweli jmn mbna bado siamn mwenzenu
@GraceNdambo-t8w
16 күн бұрын
Amini tu,hakuna namna
yanga tunae na tunatamba nae x20 per day😂
Jamaa noma sana 🎉 Naomba like za triple C
Yes mwamba, achana na rangi za shari😂
karibu mwamba
Mwamba wa Lusaka 🇿🇲
Bom trabalho chama🎉
Hapo ni wapi mbn pataamu saanaa💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💫💫
Ila makolo siwalisema Chama hana nidham😢, mbon sio kweli, anasema naweza kuitoa hii flag hapa, nisije kuikanyaga😊😊 yani anaheshim Logo ya YANGA SC, alafu ndio wanasema hana nidhamu, kitendo tu cha kuchelea tu kukanyaga bendera inaonesha nidhamu kubwa aliyo nayo😢. Sitaki like ya Mtu😅.
Zaid mbele
mambo ya kutambulishwa show room kasha sahau
Nakutakia kilalakher kwenye kaziyako mpya mwamba wa lusaka jr❤❤❤❤❤😅😅
Kazeeka uyo
Gamond kwazi kwake lasilimaliyakutosho lyo hapo
Umependeza Mwamba wa Lusaka
Yanga mbele nyuma mwiko kazo hiendelee
💛💛💛💛💛😊
Amependeza mno
Chama tripple c mwamba wa lusaka waziri wa furaha , tabasamu na mafanikio
Yanga hatuna jbo dogo wallah 😅😅😅😅😅😅
Chama big brain middle
Jaman Uzi umemkaa kichiz yan
Sometime msiwe mnaeeka hizi behind the scenes 😊
Msirudie tena kumsimamisha Chama hapo asije akateleza
@francepaul7711
15 күн бұрын
Umeonaa Eeenh
🔥🔥🔥🔥
Tatizo mnamfanya awekichaa zaidi na wengine wote waonekane hakuna kuna kitu , bifu itakayotoka hapo wezubiri uone
Mbona pazuri hapo
Kwan Kuna shidoo
Ana hatari yoyote kaishiwa ndio amekuja kwa washamba wenzie
Yangaaaaaaa
Mwambaaaaaaaa wa lusakaaaaaaaaaa
Dah , mbona mashart mengi wakati wa picha mzee😢😢.
Chama alikua anaipenda yanga sana
Ana nidhamu had bac
Mafundi wa bori wapo yanga
🎉
Mbona mnamsumbua hivyo dah!!! Huu sasa ni usumbufu
@allymngwaya2831
16 күн бұрын
Anatakiwa arudishe hela zilizotumika kunsajili
Mwamba uyu hapa
💥💥💥
Kwa Mwijaku🤣😁
WAZEE WA MIZOGA. ( MAFISI ) 😅😅
Hizo shooting nyengine za magorofan mtakuja muuwane yanga shida Yao sifa zimezidi
Mwamba wa Lusaka unawaumiza makolo mkude uyo
Rangi nyekundu ilikua inamuunguza Rangi hiyo sasa
Tambulisha ll Simba watuige
Mafunzo ya kisaikolojia ili asahau Makolo
Duniani kuna malimbukeni kweli. kumbe mnamfundisha hata vya kuongea. siyo akili zake😅😅
So what?
Muhuju utalipa
Nataka ile maada ya nan zaid kati ya pacome na chama
💚💛💛💚💚💛💛💚💚💛💛💚💙
MWAMBA WA LUSAKA!! HAKIKA YANGA KUNA IDARA ZIMEJIPANGA,SIO MCHEZO.MAMBO YA KISASA KABISA.MAZINGIRA NA HUDUMA ZAKE YANI KAMA MBELE KWA SISI TULIO BAHATIKA KUTEMBELEA NDANI YA AFRIKA NA NJE AFRIKA,KWA KWELI YANGA IKO JUU SANA NA IKO.MBALI SANA.NAO HII WATANI INAWAUMA,NA WANAUMIA SANA HASA WAKIAMBIWA YANGA NDIO BABA LAO.YANI WANATAKA NDIO HIVYO HIVYO,NA KAMA HAWATAKI HATUWALAZIMISHI.YANGA NDIO CLUB KUBWA,HAPA NCHINI NA BARANI AFRIKA!! YANGA NDIO GUMZO LA SOKA BARANI AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!! HUDUMA HII NA MANDHARI NZURI ZA KUPENDEZA MWAMBA WA LUSAKA KWA MARA YA KWANZA TOKA AANZE KULIKANYAGA PIRA YEYE NA WACHEZAJI WOTE WA YANGA!! HAKIKA NDIO KWANZA WAMEPATA YANGA!! HONGERENI SANA VIONGOZI WETU WOTE MKIONGIZWA NA INJINIA HERSI SAIDI,MDHAMINI WETU BIG MAN,BILIONEA LA VITENDO,BILIONEA LA DOLARI GHALIB MOHAMMED SAID.HONGERENI SANA KWA.KUIENDESHA CLUB YA YANGA AFRICAN'S KISASA ZAIDI.KWA.KWELI INAVUTIA NI UBUNIFU WA HALI YA JUU SANA!! WATAKE WASITAKE WATAIGA TU,JAPO KUWA WANAONA NNOMMA!! CHAMA KAISHA FIKA SAFARI YAKE ALIYOKUWA AKIITAMANI MUDA MREFU.MUACHENI KAMA ALIVYOOO!!!! KASEMA TUKUTANE UWANJANI!! KAMA MAJI HAMJAYAITA MMAA!!! YANGA WOYOOOOoooo!!!
Ndo wanavyotangazwa wachezaji wa timu kubwa,siyo kama kule mchezaji anatangazwa kwenye gazeti🤣🤣🤣🤣
@user-uz6uj1hu1o
16 күн бұрын
Kama Kawa
Utopolo mnasajili wazee
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Acha msimu uanze ndio tutajua ni mzee ama si mzee
@sosomacharles9920
16 күн бұрын
Leo kawa mzee🤣🤣🤣 najua anawauma Chama.
@dicksonmwita9263
16 күн бұрын
Mlete Mzee wako nae asajiliwe
@sosomacharles9920
16 күн бұрын
@@dicksonmwita9263 Safi sana,maana makolo wamezidi.
Mnamchosha jmn😢
@francepaul7711
15 күн бұрын
😂😂😂