Huu ndio ukweli kuhusu biashara ya Cryptocurrency Tanzania, watu wanatajirika? Nini ufanye?
Ойын-сауық
Biashara ya Cryptocurrency duniani inazidi kushamiri. Tanzania hali ikoje? Ni kweli watu wanatajirika? Anthony Mlelwa ni Mbobezi na Mwalimu wa masuala hayo, anatupa mwanga
Пікірлер: 163
Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed
Upo knowledgeable sana baraza tony kwenye hii crypto. Nmesomasoma kidogo, naona unapita mule mule na zaidi.
video nzuri. Sielewi biashara hii, niambie jinsi ya kukutana na mtu sahihi ambaye atanipatia faida nzuri
@ArodiaIsdory
2 ай бұрын
Nenda makumbusho jengo LA Mwanga tawa office za IRev or Fidelity itapata vyote
@willygraphics360
14 күн бұрын
Unaweza jifunza Online au in person
Kiufupi Kila Biashara ina Risk Zake Na Faida Zake Na Hauwezi Kuingia kwenye Biashara Yoyote ile Ukatusua Siku Hiyi Hiyo na Kwenye Cryptocurreny nayo ni Hivyo Hivyo..Japo ukitulia Kama Huna Taama Sana na Uko na Risk.management Knowledge kuna Hela..Ila Kumbuka kuna ni volatile markets..
Hii biashara ni kamari kwa mtu asiyeisomea ila kwa msomeaji na akafaulu lazima afanikiwe. Hii ipo ktk kila jambo ingawaje kuna biashara zingine hazina formula wengi wanafanya na wanakuja kufanikiwa uzeeni na wengi wanaacha na kila siku wao wanatafuta kazi hatakama wanavyeti smart
Kwa Urahisi Blockchain ni Kama Database tu.Mwisho wa habari..
Leo sky umepatikana haswa yani,mwamba ni kichwa balaa,kila anachokitamka kinahitaji definition ili uelewe ndio maana anaongea sana mpaka anakuover sens mpaka unaamua kuitikia kitu ambacho hakijawahi kukutokea ktk interviews zako. Jamaa anatumia akili nyingi sana na yuko very smart ktk brain yake inamaana ukiwa mvivu kuelewa lazima akuibie ili aende na wakati kulingana na speed ya akili yake inavyomuitaji
@hermanricci
Жыл бұрын
We jamaa una akiri kweri, jamaa ameletwa kuwafungua watu wasiojua kuhusu hiyo mada it means sky hana ujuzi zaidi kuhusu hiyo mada na kama angekua anajua angeelezea yeye mwenyewe punguza ujuaji
@malkavoice2570
Жыл бұрын
@@hermanricci mi najua nn jamaa kwani mm si nmeona sky anavyopata tabu so ku coment kwangu we inakuuma nn hadi uniattack
Live from DRC lumbashi tunawasikiliza sns big up sky.
Asante sana kwa madini haya
Dah... Bundala ana msauti fulani ambao hakuna namna Nyingine zaidi ya kusikiliza na kupata elimu murua... Asante sns
Na Biashara Yoyote Ukiingia na Matarajio Makubwa Mwisho wake ni Anguko
Congratulations
Unaongea logic sana boss. Congratulation boss
Naomba no ya watsap ili tuweze kuwasiliana vzr
Crypto to the map!
NAJUA SIJUI KUIPOST HII HAPA ILA CRYPTO CURRENCY INASONGEA TARATIBU KUELEKEA KITU KIKUBWA NA BEI ILIYOPANDA KWA MIEZI ILIYOPITA NI MWANZO TU WA MAMBO MAKUBWA YAJAYO, UNAPATA USHAURI WOWOTE HUO NI KWA USHAURI WOWOTE. CRYPTO .? SIJUI UANZIE WAPI....
@JuanRodriguez-ko7eh
Жыл бұрын
Kuanza mapema ni njia bora ya kujenga mali, na uwekezaji unabaki kuwa kipaumbele. Soko la hisa lina fursa nyingi za kupata mgao mzuri na ujuzi sahihi na ufahamu mzuri wa jinsi masoko yanavyofanya kazi.
@brunohudson889
Жыл бұрын
Kama inavyoonekana katika biashara ya sarafu-fiche, inahitaji zaidi ya ujuzi wa kimsingi wa kriptografia. Ni bora kukabiliana na wataalamu ili kuepuka hasara zisizohitajika. Tunapendekeza kuwa na mfanyabiashara/dalali mtaalamu ambaye ni mtaalamu katika nyanja yake ili kukusaidia kudhibiti akaunti yako.
@james-jt6ny
Жыл бұрын
Wow💌 jirani yangu pia alimzungumzia, lazima atakuwa mfanyabiashara mzoefu ili watu wamzungumzie vizuri..
@TOMASJAN
Жыл бұрын
Kujadiliana na Bw. Jaurescrypto kweli ilibadilisha mtazamo wangu wa bitcoin kwa sababu wakati kila mtu alikuwa akilalamika na kuogopa niliona kwingineko yangu kukua kutoka 2BTC hadi 8BTC katika wiki 3 na mali ya biashara.
Aaa mtakula nyasi,Hihiiiii! Neeo kisukusu
this man is deep duhh
Bro nimemuelewa sana
Forex ( hfx) is profitable then crypto currency Cuz with Forex hfx, you can money money just in one minute & depend on how much you are risking and how many percentage that currency is paying
@surkozytm3331
2 жыл бұрын
need knowledge and consistency like a lot to be successful
Ili kumuelewa huyu jamaa lazima nawew uwe na idea au IT experts. Hivi hivi tutuona uyoga na chikichi😁
@innocentmolla4299
Жыл бұрын
Kabisa yani😂😂
Aya mambo kuna watu nikiwambia nafany wananicheka..yani wanajua smartphone kaz yake ni kupost matukio tiktok na Instagram
@Lee_90900
Жыл бұрын
Edy kama wanakucheka maana ake ni kwamba dont tell them anything wata kudiscourage tu get buys fanya mambo yako thats what i do
@incomparablebeauty3168
Жыл бұрын
Nisaide na mm nianze kufanya trading
Sisi hao😂
Good Morning Sir Tony, How are you? Can we meet, I'd like to learn from you. My name is Nimfinity. I live in DSM. I saw you in Simulizi na Sauti. I want to learn more about crypto currency. ThanQ. Please reply.
Mpaka dk hii nimetoka na 0000.000000000000.00000000😂😂😂😂
Dah...!! I'm an Auto electrician by professional naenjoy kuskiliza haya maongez kwasababu yanarushwa na SNS but honestly sielewi kitu yoyote mazee joh
@upendoabraham4002
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Nani kaangalia mpaka mwisho 😆 🤣 😂
@stanslauschatata3483
2 жыл бұрын
Wachache sana tunaelewa ukubwa wa hii interview!
@happygrayson2156
2 жыл бұрын
Kabisa
@elonii8790
2 жыл бұрын
ukiwa huna clue na haya mambo huwezi angalia.. kwetu ssi tunaona jamaa anaongea mambo yakawaida kabisa coz tunauelewa juu ya haya.
@SAFIAFOMAR
2 ай бұрын
Mi Leo naangalia mara ya pili. Hii ni Fursa brother kama unajua hizi mambo lazima ufatilie
Watu wameliwa sana .hebu atoe namba za simu ili nimpe majina ya watu walioliwa. Ushahidi upo
Dui
Anatumia maneno ya uzungu mwingi skay
elimu ya block chain naipataje
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Punguza kutumia maneno technical watu wakuelewe
Kwa slow learner na wale English ilipishana nae anatoka kapa jamaa anatuelezea km tunayaelewa cku nyingne apunguze spidi😂
@johnmwasilu7087
2 жыл бұрын
Mjanja hataki tuelewe!
@mbembelatv
2 жыл бұрын
@@johnmwasilu7087 yan kafungwa mota y mdomo maana 😂
@hansbalon4540
2 жыл бұрын
Mbona anaeleweka tu
@mbembelatv
2 жыл бұрын
@@hansbalon4540 sijasema haeleweki, ww umemuelewa, ila mim sijamuelewa kwsbb mimi ni slow learner 😂
@surkozytm3331
2 жыл бұрын
sema jamaa forex haijui fresh 😂
mwalimu ongea slow slow pungu spidi ya kuongea wengi hatukuelewi halaf jaribu kuongea kiswahili mwanzo mwisho ukiongea English ndio unatupoteza kabisa
Cjakuelew kbx anaelezea kama mtu anamuambia anajua
Sns naomba unitumie mawasiliano ya huyo jamaa
Asant, naomba unisaidie kujua kwa Sasa soko litapanda lini..?
Sio Bussiness nj professional gambling
@mofatunes1432
5 ай бұрын
Ita a fuckin buzness with no limits brother man up...chukua elimu upige pesa
Naitaji mafunzo na kujiunga
Platform yako inaitwaje?
Inatamkwa "kripto"
Sasa Jamaa anaacha wasio Jua eti LIQUIDITY..Haaaahaaaa
Kwanii ndio Nini ? Hebu naomba ufafanuzii kidogo ndio Nini na ikoje? Pls
Babydoge to the moooon
Vp nawapata
Huyu jamaa nampataje naitaji darasa aisee wazee
Bado sijaelewa
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Ni vigimu sana kuelewa
@rustanistani4465
2 жыл бұрын
Kwann iwengumu au mbaka uwe umesoma
Uyu mr ata school aliacha baada ya kupata mkwanja
Sasa huyu kiongoz nahitaji namba yake ili niweze kuwasiliana na kunifundisha cryptocurrency
@emmanuelanael6934
2 жыл бұрын
Huo ni utapeli mtupu
Mimi nataman sana kujifunza hii maana ni mara ya pili kusikia hii habari.
@elonii8790
2 жыл бұрын
Karibu nikusaidie
@msalikemedia
2 жыл бұрын
@@elonii8790 unapatikana wapi
@navojosephat656
2 жыл бұрын
@@elonii8790 naomba namba yako pse
@barakaabel3233
2 жыл бұрын
@@elonii8790 naomba namba yako
@denisimweji4504
Жыл бұрын
Namba yako
Aise Tony ninaomba ujuzi haswa, niko Lagos nahitaji mawasiliano na ujuzi zaidi koz rafiki angu kaniambia nifanye but Nigeria utapeli mwingi nimeogopa
@elonii8790
2 жыл бұрын
Huitaji wala kuogopa kwa namna yeyote ile..sababu ukiwa na account yako ni sawa na ilivyo fb,google etc utakua na jukumu la kutunza password yako na uzuri platform nyingi wanatumia 2 factor authentication ambayo inaongeza layer 1 kweny usalama. Tumia exchange kubwa na secure ili kuwa safe zaidi na usishawishike kwa mtu kukwambia anataka kukuwekezea ili upate faida zaidi..fanya kila kitu mwenyewe best. Enjoy!
@samiraabdimahamed4449
2 жыл бұрын
@@elonii8790 Kaka wewe na akili zako zote izo😊 nisaidie we
@elonii8790
2 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 nikusaidie na nini dada?
@nimrosenasser9147
2 жыл бұрын
Hi, tuwasiline nikumie WhatsApp yako
Broo naomba namba zako
😂😂 Admin bana.. Niliandika very simple kuhusu blockchain technology na masuala mazima ya Crypto na wengi mlilike na kuomba mawasiliano yangu kwa msaada zaidi. ila kina nilivyokua nawapa kwa lengo la kusaidiana Admin amekua busy kufuta izo comment ila kwa sasa kafuta comment yangu ile ilokua na elimu nzuri/rahisi kuhusu blochain na crypto.. kuna masuala ya msingi sana kafuta nayangewasaidia wengi pia uelewa ungeongezeka miongoni mwa watanzania wenzetu but anyway channel n yake anaweza fanya apendalo!!!
@elonii8790
2 жыл бұрын
Futa pia na hii
@blandinamwaseba5866
2 жыл бұрын
Nieleweshe mimi
@elonii8790
2 жыл бұрын
@@blandinamwaseba5866 tafuta tu njia ya kunipata dada, apa ata nikikupa namba comment inafutwa.
@blandinamwaseba5866
2 жыл бұрын
@@elonii8790 sawa
@blandinamwaseba5866
2 жыл бұрын
Asa nitakupata vipi hewani unieleweshe
Hii ni gambling tuu hamna tofauti
@bone102
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 we got stupid here
@Aaron_Sanga
Жыл бұрын
Maisha ni gambling mzee
Broke boy Energy
Ndio mnatumiya maneno mengi kwa kingereza jaribu mtuilimiye kikamilifu kwa kiswahili
@SAFIAFOMAR
2 ай бұрын
Ni ngumu kutumia kiswahili kwenye hio biashara. Sababu hizo ni terminology zinazotumika huko.
Ila Mimi sijawahi Pigwa Mzaeeeeee..Haaaahaaa
@denisimweji4504
Жыл бұрын
Oy nakupataje,
Jamaa hamezi mate 😂😂😂
@icm6770
2 жыл бұрын
Hahaha
Saiv sio kipindi sahihi cha investment mutafilicka mn vita vimeharibu mambo mingi muwe makini
@geraldbenjamin9302
2 жыл бұрын
Kwenye vita ndio mda wa kupiga pesa, kikubwa umakini na kujua unataka nini
@madetetv6576
2 жыл бұрын
@@geraldbenjamin9302 watataifisha hela zenu ivi hujui baada ya vita kuu zile mabenki yalifilisika so wateja wakala hasara acha kuwadanganya watu
@geraldbenjamin9302
2 жыл бұрын
@@madetetv6576 Bahati nzuri huko kwenye Brockchain ndiko dunia inakoelekea, utake usitake smart money is coming, cashless society bus on its way,so itafika mda utaingia huko Bila kupenda
@elonii8790
2 жыл бұрын
Vita haihusiani na crypto ndugu yangu.. maana ye decentralized ni kutokua na ufungamano na upande wowote.
@geraldbenjamin9302
2 жыл бұрын
@@elonii8790 Tafta kitu kinaitwa World Government summit 2022 imefanyika Dubai, kisha uje tena hapa ndg
W2 wangeongea ukwly kam hy w2 wasingekuw wanapigw networking marketing , forex and crypto ni v2 vipana sn
@aronatv47
2 жыл бұрын
Networking sio Mbaya No Real sema Kibongo Bongo ndio Kama Hivyo..Hata hiyo.crypto wasiojua Bado.Wanalizwa sana ndio.Maana kuna. Watu bado wanaona Crypto ni Scam..Bahati Mbaya Jinsi Adoption inavyokuwa wahuni wanachukua Pia Nafasi
Block chain ni nn, block chain ni coin, coin ni nn, coini ni token 😂🚶🏽♀️
@goldchaz7050
2 жыл бұрын
Token ni nn token ni pooltable
@mbembelatv
2 жыл бұрын
@@goldchaz7050 na potable ni nn, potable ni potatoe yenye viazi vyeupe kwa ndani
@ahz6907
2 жыл бұрын
@@mbembelatv Ptato ni nini .. Potato ni bangi
@bone102
2 жыл бұрын
Blockchain ni system ambayo inayokupa nafasi ya kuweza kununua au kuuza coin za mtandao Coin ni sarafu kama sarafu ya tsh 200 100 au 50 ila sarafu za mtandao ni kama sarafu za kawaida ila hzi unazitunza kwenye mtandao ambazo hazi milikiwi au kucontroliwa na serikali hvyo zinaweza kupanda au kushuka wakat wowote kutokana na maendeleo ya kiuchumi,kisiasa na kijamii
@allymdoka8634
2 жыл бұрын
😂😂😂
Mbona hakuna mpangilio?? Elezea kimoja kimoja
@mansulhashim6441
Жыл бұрын
Crypto n pana muda mchache
Sasa Ina Mana mbaka unajiungaje
@elonii8790
2 жыл бұрын
simple tu unafungua account Binance alafu unadeposit
@2018HAPPYTIMES
Жыл бұрын
@@elonii8790 Nahitaji Kueleweshwa jambo kaka
@denisimweji4504
Жыл бұрын
@@elonii8790 kaka
@elonii8790
Жыл бұрын
@@denisimweji4504 naam
@denisimweji4504
Жыл бұрын
Namba yako bc
Kwenye forex i think isn't good enough 😂
@felisteronesmo3091
8 ай бұрын
Always.. Ni centralized haijalishi Kuna nufaiko au lah
Hello friends, kama mko tayari kuwekeza mpaka halving tuwasiline nitumie WhatsApp yako
Jichanganyeni muone hu msalaaa nawambiaaa
@westmanmoses541
2 жыл бұрын
Jamaa wamepigwa hasa wastaafu
Sasa huyu jamaa nampataje nianze hizi mambo
@elonii8790
2 жыл бұрын
Naeza kukuelekeza hatua za mwanzo
@member_tv
9 ай бұрын
@@elonii8790naomba unielekeze
Huyu jamaa ana itwa nani ?!
@muxin_opsec
2 жыл бұрын
Anthony
@salehkhamis8653
2 жыл бұрын
makaveli
Hamna tofaut na gambling zngine hapa hii kamari
@stanslauschatata3483
2 жыл бұрын
Muda utafika mtaelewa tuu crypto ni nini!
@yohanamartin4897
2 жыл бұрын
Tafuta knowledge bro vitu vyakawaida sana hivyo. ..Fx and crpto ni golden deals
@didierdrogbar2302
2 жыл бұрын
@@yohanamartin4897 yaweza kua ivo ndio but its same na gambling bro tu, coz you stake and you can double or lost your stake as well , kikubwa labda tueleweshe watu wasiogope ku take risk ,lets teach peopl how to risk .
@elonii8790
2 жыл бұрын
@@didierdrogbar2302 Sio rahisi kufanya staking na upoteze au kudouble.. coin nyingi wanatoa around 20%
Yaani Kila Ukisikia Tunaosemea hii crypto Kila mtu kuna Sehemu Kila.mtu ana mtazamo wake Hasa kwenye kufanya Trading ila Mimi Naamin Kupanga ni.Kuchagua na Hakuna Biashara Isiyo na Hasara..Ila Wanasema za Kuambiwa changanya ila.My Plan Nataka Niwe Full Time Trader naamini Inawezekana...Ila.Kikubwa Wekezeni kwa Elimu
@lazaromaria5334
2 жыл бұрын
tatizo tuna lack maarifa
@aronatv47
2 жыл бұрын
@@lazaromaria5334 Ukitafuta tu unapataaa kikubwa ni Kupambana tu
@mirajikombo5413
9 ай бұрын
Vp now umeshakuwa Full time trader
@yahyamerey4637
22 күн бұрын
Vipi now umeshakuwa full time trader
Hii mbona gambling jaman kilaanaeongea anaongea tafaut alafu hawatuelekez kiundan kabisa Kama hawa Wa Fixed hamjatuambia wanapataje hasara au wa fixed hawapat hasara?
@elonii8790
2 жыл бұрын
Fixed ni wapi hao? natamani kuelewa
@stellah3844
2 жыл бұрын
@@elonii8790 Wale wanaoweka kwa Fixed namaanisha anayeweka mwaka hadi mwaka au anaye kuja kuuza baada ya miakaa kadhaaa inamaana aliweka fixed hadi mda flan hakuna kutoa,,,,,,,,,,,
Ujama nawezakupata contact zakwake vip #SNS nisaidiye nipate number za jamahuyu
@elonii8790
2 жыл бұрын
Unataka kujifunza izo mbanga?
Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed