Huu ndio ukweli kuhusu biashara ya Cryptocurrency Tanzania, watu wanatajirika? Nini ufanye?

Ойын-сауық

Biashara ya Cryptocurrency duniani inazidi kushamiri. Tanzania hali ikoje? Ni kweli watu wanatajirika? Anthony Mlelwa ni Mbobezi na Mwalimu wa masuala hayo, anatupa mwanga

Пікірлер: 163

  • @abelaidan
    @abelaidan2 ай бұрын

    Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy2 жыл бұрын

    Upo knowledgeable sana baraza tony kwenye hii crypto. Nmesomasoma kidogo, naona unapita mule mule na zaidi.

  • @BarbaraDMcRae
    @BarbaraDMcRae2 ай бұрын

    video nzuri. Sielewi biashara hii, niambie jinsi ya kukutana na mtu sahihi ambaye atanipatia faida nzuri

  • @ArodiaIsdory

    @ArodiaIsdory

    2 ай бұрын

    Nenda makumbusho jengo LA Mwanga tawa office za IRev or Fidelity itapata vyote

  • @willygraphics360

    @willygraphics360

    14 күн бұрын

    Unaweza jifunza Online au in person

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Kiufupi Kila Biashara ina Risk Zake Na Faida Zake Na Hauwezi Kuingia kwenye Biashara Yoyote ile Ukatusua Siku Hiyi Hiyo na Kwenye Cryptocurreny nayo ni Hivyo Hivyo..Japo ukitulia Kama Huna Taama Sana na Uko na Risk.management Knowledge kuna Hela..Ila Kumbuka kuna ni volatile markets..

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Hii biashara ni kamari kwa mtu asiyeisomea ila kwa msomeaji na akafaulu lazima afanikiwe. Hii ipo ktk kila jambo ingawaje kuna biashara zingine hazina formula wengi wanafanya na wanakuja kufanikiwa uzeeni na wengi wanaacha na kila siku wao wanatafuta kazi hatakama wanavyeti smart

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Kwa Urahisi Blockchain ni Kama Database tu.Mwisho wa habari..

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Leo sky umepatikana haswa yani,mwamba ni kichwa balaa,kila anachokitamka kinahitaji definition ili uelewe ndio maana anaongea sana mpaka anakuover sens mpaka unaamua kuitikia kitu ambacho hakijawahi kukutokea ktk interviews zako. Jamaa anatumia akili nyingi sana na yuko very smart ktk brain yake inamaana ukiwa mvivu kuelewa lazima akuibie ili aende na wakati kulingana na speed ya akili yake inavyomuitaji

  • @hermanricci

    @hermanricci

    Жыл бұрын

    We jamaa una akiri kweri, jamaa ameletwa kuwafungua watu wasiojua kuhusu hiyo mada it means sky hana ujuzi zaidi kuhusu hiyo mada na kama angekua anajua angeelezea yeye mwenyewe punguza ujuaji

  • @malkavoice2570

    @malkavoice2570

    Жыл бұрын

    @@hermanricci mi najua nn jamaa kwani mm si nmeona sky anavyopata tabu so ku coment kwangu we inakuuma nn hadi uniattack

  • @selemanijuma546
    @selemanijuma5462 жыл бұрын

    Live from DRC lumbashi tunawasikiliza sns big up sky.

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin93022 жыл бұрын

    Asante sana kwa madini haya

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын

    Dah... Bundala ana msauti fulani ambao hakuna namna Nyingine zaidi ya kusikiliza na kupata elimu murua... Asante sns

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Na Biashara Yoyote Ukiingia na Matarajio Makubwa Mwisho wake ni Anguko

  • @samwelijoab3425
    @samwelijoab34252 жыл бұрын

    Congratulations

  • @enockkiluswa9769
    @enockkiluswa97692 жыл бұрын

    Unaongea logic sana boss. Congratulation boss

  • @raphaelsafari5592
    @raphaelsafari55924 ай бұрын

    Naomba no ya watsap ili tuweze kuwasiliana vzr

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata34832 жыл бұрын

    Crypto to the map!

  • @rodriguezmichael
    @rodriguezmichael Жыл бұрын

    NAJUA SIJUI KUIPOST HII HAPA ILA CRYPTO CURRENCY INASONGEA TARATIBU KUELEKEA KITU KIKUBWA NA BEI ILIYOPANDA KWA MIEZI ILIYOPITA NI MWANZO TU WA MAMBO MAKUBWA YAJAYO, UNAPATA USHAURI WOWOTE HUO NI KWA USHAURI WOWOTE. CRYPTO .? SIJUI UANZIE WAPI....

  • @JuanRodriguez-ko7eh

    @JuanRodriguez-ko7eh

    Жыл бұрын

    Kuanza mapema ni njia bora ya kujenga mali, na uwekezaji unabaki kuwa kipaumbele. Soko la hisa lina fursa nyingi za kupata mgao mzuri na ujuzi sahihi na ufahamu mzuri wa jinsi masoko yanavyofanya kazi.

  • @brunohudson889

    @brunohudson889

    Жыл бұрын

    Kama inavyoonekana katika biashara ya sarafu-fiche, inahitaji zaidi ya ujuzi wa kimsingi wa kriptografia. Ni bora kukabiliana na wataalamu ili kuepuka hasara zisizohitajika. Tunapendekeza kuwa na mfanyabiashara/dalali mtaalamu ambaye ni mtaalamu katika nyanja yake ili kukusaidia kudhibiti akaunti yako.

  • @james-jt6ny

    @james-jt6ny

    Жыл бұрын

    Wow💌 jirani yangu pia alimzungumzia, lazima atakuwa mfanyabiashara mzoefu ili watu wamzungumzie vizuri..

  • @TOMASJAN

    @TOMASJAN

    Жыл бұрын

    Kujadiliana na Bw. Jaurescrypto kweli ilibadilisha mtazamo wangu wa bitcoin kwa sababu wakati kila mtu alikuwa akilalamika na kuogopa niliona kwingineko yangu kukua kutoka 2BTC hadi 8BTC katika wiki 3 na mali ya biashara.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Aaa mtakula nyasi,Hihiiiii! Neeo kisukusu

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Жыл бұрын

    this man is deep duhh

  • @silasjacob9132
    @silasjacob91322 жыл бұрын

    Bro nimemuelewa sana

  • @Hussenihassani373
    @Hussenihassani3732 жыл бұрын

    Forex ( hfx) is profitable then crypto currency Cuz with Forex hfx, you can money money just in one minute & depend on how much you are risking and how many percentage that currency is paying

  • @surkozytm3331

    @surkozytm3331

    2 жыл бұрын

    need knowledge and consistency like a lot to be successful

  • @deejeydaev
    @deejeydaev2 жыл бұрын

    Ili kumuelewa huyu jamaa lazima nawew uwe na idea au IT experts. Hivi hivi tutuona uyoga na chikichi😁

  • @innocentmolla4299

    @innocentmolla4299

    Жыл бұрын

    Kabisa yani😂😂

  • @ednantabalwa1118
    @ednantabalwa1118 Жыл бұрын

    Aya mambo kuna watu nikiwambia nafany wananicheka..yani wanajua smartphone kaz yake ni kupost matukio tiktok na Instagram

  • @Lee_90900

    @Lee_90900

    Жыл бұрын

    Edy kama wanakucheka maana ake ni kwamba dont tell them anything wata kudiscourage tu get buys fanya mambo yako thats what i do

  • @incomparablebeauty3168

    @incomparablebeauty3168

    Жыл бұрын

    Nisaide na mm nianze kufanya trading

  • @mbembelatv
    @mbembelatv2 жыл бұрын

    Sisi hao😂

  • @nimfinity-thelimitless4134
    @nimfinity-thelimitless41342 жыл бұрын

    Good Morning Sir Tony, How are you? Can we meet, I'd like to learn from you. My name is Nimfinity. I live in DSM. I saw you in Simulizi na Sauti. I want to learn more about crypto currency. ThanQ. Please reply.

  • @blueton.77
    @blueton.77 Жыл бұрын

    Mpaka dk hii nimetoka na 0000.000000000000.00000000😂😂😂😂

  • @jimmyx8412
    @jimmyx84122 жыл бұрын

    Dah...!! I'm an Auto electrician by professional naenjoy kuskiliza haya maongez kwasababu yanarushwa na SNS but honestly sielewi kitu yoyote mazee joh

  • @upendoabraham4002

    @upendoabraham4002

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @kimbongo5747
    @kimbongo57472 жыл бұрын

    Nani kaangalia mpaka mwisho 😆 🤣 😂

  • @stanslauschatata3483

    @stanslauschatata3483

    2 жыл бұрын

    Wachache sana tunaelewa ukubwa wa hii interview!

  • @happygrayson2156

    @happygrayson2156

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    ukiwa huna clue na haya mambo huwezi angalia.. kwetu ssi tunaona jamaa anaongea mambo yakawaida kabisa coz tunauelewa juu ya haya.

  • @SAFIAFOMAR

    @SAFIAFOMAR

    2 ай бұрын

    Mi Leo naangalia mara ya pili. Hii ni Fursa brother kama unajua hizi mambo lazima ufatilie

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses5412 жыл бұрын

    Watu wameliwa sana .hebu atoe namba za simu ili nimpe majina ya watu walioliwa. Ushahidi upo

  • @nshimirimanablaise2763
    @nshimirimanablaise27632 жыл бұрын

    Dui

  • @ssafricancreator9151
    @ssafricancreator9151 Жыл бұрын

    Anatumia maneno ya uzungu mwingi skay

  • @superangeltv4615
    @superangeltv46152 жыл бұрын

    elimu ya block chain naipataje

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @christophermuhundira70
    @christophermuhundira702 жыл бұрын

    Punguza kutumia maneno technical watu wakuelewe

  • @mbembelatv
    @mbembelatv2 жыл бұрын

    Kwa slow learner na wale English ilipishana nae anatoka kapa jamaa anatuelezea km tunayaelewa cku nyingne apunguze spidi😂

  • @johnmwasilu7087

    @johnmwasilu7087

    2 жыл бұрын

    Mjanja hataki tuelewe!

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    2 жыл бұрын

    @@johnmwasilu7087 yan kafungwa mota y mdomo maana 😂

  • @hansbalon4540

    @hansbalon4540

    2 жыл бұрын

    Mbona anaeleweka tu

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    2 жыл бұрын

    @@hansbalon4540 sijasema haeleweki, ww umemuelewa, ila mim sijamuelewa kwsbb mimi ni slow learner 😂

  • @surkozytm3331

    @surkozytm3331

    2 жыл бұрын

    sema jamaa forex haijui fresh 😂

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    mwalimu ongea slow slow pungu spidi ya kuongea wengi hatukuelewi halaf jaribu kuongea kiswahili mwanzo mwisho ukiongea English ndio unatupoteza kabisa

  • @drmdee
    @drmdee Жыл бұрын

    Cjakuelew kbx anaelezea kama mtu anamuambia anajua

  • @kingatwiyyah
    @kingatwiyyah2 жыл бұрын

    Sns naomba unitumie mawasiliano ya huyo jamaa

  • @nguvuyamungutv984
    @nguvuyamungutv9842 жыл бұрын

    Asant, naomba unisaidie kujua kwa Sasa soko litapanda lini..?

  • @ob_wani
    @ob_wani Жыл бұрын

    Sio Bussiness nj professional gambling

  • @mofatunes1432

    @mofatunes1432

    5 ай бұрын

    Ita a fuckin buzness with no limits brother man up...chukua elimu upige pesa

  • @gideonhappy6642
    @gideonhappy66422 жыл бұрын

    Naitaji mafunzo na kujiunga

  • @nimfinity-thelimitless4134
    @nimfinity-thelimitless41342 жыл бұрын

    Platform yako inaitwaje?

  • @karyori69
    @karyori692 жыл бұрын

    Inatamkwa "kripto"

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Sasa Jamaa anaacha wasio Jua eti LIQUIDITY..Haaaahaaaa

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki35012 жыл бұрын

    Kwanii ndio Nini ? Hebu naomba ufafanuzii kidogo ndio Nini na ikoje? Pls

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 Жыл бұрын

    Babydoge to the moooon

  • @abdulsaid8402
    @abdulsaid84022 жыл бұрын

    Vp nawapata

  • @mgolozicrispin5126
    @mgolozicrispin51262 жыл бұрын

    Huyu jamaa nampataje naitaji darasa aisee wazee

  • @rustanistani4465
    @rustanistani44652 жыл бұрын

    Bado sijaelewa

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    2 жыл бұрын

    Ni vigimu sana kuelewa

  • @rustanistani4465

    @rustanistani4465

    2 жыл бұрын

    Kwann iwengumu au mbaka uwe umesoma

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi41222 жыл бұрын

    Uyu mr ata school aliacha baada ya kupata mkwanja

  • @yassirmohammed4856
    @yassirmohammed48562 жыл бұрын

    Sasa huyu kiongoz nahitaji namba yake ili niweze kuwasiliana na kunifundisha cryptocurrency

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    2 жыл бұрын

    Huo ni utapeli mtupu

  • @msalikemedia
    @msalikemedia2 жыл бұрын

    Mimi nataman sana kujifunza hii maana ni mara ya pili kusikia hii habari.

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Karibu nikusaidie

  • @msalikemedia

    @msalikemedia

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 unapatikana wapi

  • @navojosephat656

    @navojosephat656

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 naomba namba yako pse

  • @barakaabel3233

    @barakaabel3233

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 naomba namba yako

  • @denisimweji4504

    @denisimweji4504

    Жыл бұрын

    Namba yako

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira48272 жыл бұрын

    Aise Tony ninaomba ujuzi haswa, niko Lagos nahitaji mawasiliano na ujuzi zaidi koz rafiki angu kaniambia nifanye but Nigeria utapeli mwingi nimeogopa

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Huitaji wala kuogopa kwa namna yeyote ile..sababu ukiwa na account yako ni sawa na ilivyo fb,google etc utakua na jukumu la kutunza password yako na uzuri platform nyingi wanatumia 2 factor authentication ambayo inaongeza layer 1 kweny usalama. Tumia exchange kubwa na secure ili kuwa safe zaidi na usishawishike kwa mtu kukwambia anataka kukuwekezea ili upate faida zaidi..fanya kila kitu mwenyewe best. Enjoy!

  • @samiraabdimahamed4449

    @samiraabdimahamed4449

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 Kaka wewe na akili zako zote izo😊 nisaidie we

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    @@samiraabdimahamed4449 nikusaidie na nini dada?

  • @nimrosenasser9147

    @nimrosenasser9147

    2 жыл бұрын

    Hi, tuwasiline nikumie WhatsApp yako

  • @kaizaireniusiandrea3203
    @kaizaireniusiandrea32032 жыл бұрын

    Broo naomba namba zako

  • @elonii8790
    @elonii87902 жыл бұрын

    😂😂 Admin bana.. Niliandika very simple kuhusu blockchain technology na masuala mazima ya Crypto na wengi mlilike na kuomba mawasiliano yangu kwa msaada zaidi. ila kina nilivyokua nawapa kwa lengo la kusaidiana Admin amekua busy kufuta izo comment ila kwa sasa kafuta comment yangu ile ilokua na elimu nzuri/rahisi kuhusu blochain na crypto.. kuna masuala ya msingi sana kafuta nayangewasaidia wengi pia uelewa ungeongezeka miongoni mwa watanzania wenzetu but anyway channel n yake anaweza fanya apendalo!!!

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Futa pia na hii

  • @blandinamwaseba5866

    @blandinamwaseba5866

    2 жыл бұрын

    Nieleweshe mimi

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    @@blandinamwaseba5866 tafuta tu njia ya kunipata dada, apa ata nikikupa namba comment inafutwa.

  • @blandinamwaseba5866

    @blandinamwaseba5866

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 sawa

  • @blandinamwaseba5866

    @blandinamwaseba5866

    2 жыл бұрын

    Asa nitakupata vipi hewani unieleweshe

  • @davidsonk5701
    @davidsonk57012 жыл бұрын

    Hii ni gambling tuu hamna tofauti

  • @bone102

    @bone102

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 we got stupid here

  • @Aaron_Sanga

    @Aaron_Sanga

    Жыл бұрын

    Maisha ni gambling mzee

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera43232 жыл бұрын

    Broke boy Energy

  • @mahmudmaganga9407
    @mahmudmaganga9407 Жыл бұрын

    Ndio mnatumiya maneno mengi kwa kingereza jaribu mtuilimiye kikamilifu kwa kiswahili

  • @SAFIAFOMAR

    @SAFIAFOMAR

    2 ай бұрын

    Ni ngumu kutumia kiswahili kwenye hio biashara. Sababu hizo ni terminology zinazotumika huko.

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Ila Mimi sijawahi Pigwa Mzaeeeeee..Haaaahaaa

  • @denisimweji4504

    @denisimweji4504

    Жыл бұрын

    Oy nakupataje,

  • @sleimbh
    @sleimbh2 жыл бұрын

    Jamaa hamezi mate 😂😂😂

  • @icm6770

    @icm6770

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33032 жыл бұрын

    Saiv sio kipindi sahihi cha investment mutafilicka mn vita vimeharibu mambo mingi muwe makini

  • @geraldbenjamin9302

    @geraldbenjamin9302

    2 жыл бұрын

    Kwenye vita ndio mda wa kupiga pesa, kikubwa umakini na kujua unataka nini

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    2 жыл бұрын

    @@geraldbenjamin9302 watataifisha hela zenu ivi hujui baada ya vita kuu zile mabenki yalifilisika so wateja wakala hasara acha kuwadanganya watu

  • @geraldbenjamin9302

    @geraldbenjamin9302

    2 жыл бұрын

    @@madetetv6576 Bahati nzuri huko kwenye Brockchain ndiko dunia inakoelekea, utake usitake smart money is coming, cashless society bus on its way,so itafika mda utaingia huko Bila kupenda

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Vita haihusiani na crypto ndugu yangu.. maana ye decentralized ni kutokua na ufungamano na upande wowote.

  • @geraldbenjamin9302

    @geraldbenjamin9302

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 Tafta kitu kinaitwa World Government summit 2022 imefanyika Dubai, kisha uje tena hapa ndg

  • @abdulwahidsuleiman
    @abdulwahidsuleiman2 жыл бұрын

    W2 wangeongea ukwly kam hy w2 wasingekuw wanapigw networking marketing , forex and crypto ni v2 vipana sn

  • @aronatv47

    @aronatv47

    2 жыл бұрын

    Networking sio Mbaya No Real sema Kibongo Bongo ndio Kama Hivyo..Hata hiyo.crypto wasiojua Bado.Wanalizwa sana ndio.Maana kuna. Watu bado wanaona Crypto ni Scam..Bahati Mbaya Jinsi Adoption inavyokuwa wahuni wanachukua Pia Nafasi

  • @mbembelatv
    @mbembelatv2 жыл бұрын

    Block chain ni nn, block chain ni coin, coin ni nn, coini ni token 😂🚶🏽‍♀️

  • @goldchaz7050

    @goldchaz7050

    2 жыл бұрын

    Token ni nn token ni pooltable

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    2 жыл бұрын

    @@goldchaz7050 na potable ni nn, potable ni potatoe yenye viazi vyeupe kwa ndani

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    @@mbembelatv Ptato ni nini .. Potato ni bangi

  • @bone102

    @bone102

    2 жыл бұрын

    Blockchain ni system ambayo inayokupa nafasi ya kuweza kununua au kuuza coin za mtandao Coin ni sarafu kama sarafu ya tsh 200 100 au 50 ila sarafu za mtandao ni kama sarafu za kawaida ila hzi unazitunza kwenye mtandao ambazo hazi milikiwi au kucontroliwa na serikali hvyo zinaweza kupanda au kushuka wakat wowote kutokana na maendeleo ya kiuchumi,kisiasa na kijamii

  • @allymdoka8634

    @allymdoka8634

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @comics3437
    @comics34372 жыл бұрын

    Mbona hakuna mpangilio?? Elezea kimoja kimoja

  • @mansulhashim6441

    @mansulhashim6441

    Жыл бұрын

    Crypto n pana muda mchache

  • @rustanistani4465
    @rustanistani44652 жыл бұрын

    Sasa Ina Mana mbaka unajiungaje

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    simple tu unafungua account Binance alafu unadeposit

  • @2018HAPPYTIMES

    @2018HAPPYTIMES

    Жыл бұрын

    @@elonii8790 Nahitaji Kueleweshwa jambo kaka

  • @denisimweji4504

    @denisimweji4504

    Жыл бұрын

    @@elonii8790 kaka

  • @elonii8790

    @elonii8790

    Жыл бұрын

    @@denisimweji4504 naam

  • @denisimweji4504

    @denisimweji4504

    Жыл бұрын

    Namba yako bc

  • @surkozytm3331
    @surkozytm33312 жыл бұрын

    Kwenye forex i think isn't good enough 😂

  • @felisteronesmo3091

    @felisteronesmo3091

    8 ай бұрын

    Always.. Ni centralized haijalishi Kuna nufaiko au lah

  • @nimrosenasser9147
    @nimrosenasser91472 жыл бұрын

    Hello friends, kama mko tayari kuwekeza mpaka halving tuwasiline nitumie WhatsApp yako

  • @allymdoka8634
    @allymdoka86342 жыл бұрын

    Jichanganyeni muone hu msalaaa nawambiaaa

  • @westmanmoses541

    @westmanmoses541

    2 жыл бұрын

    Jamaa wamepigwa hasa wastaafu

  • @hansbalon4540
    @hansbalon45402 жыл бұрын

    Sasa huyu jamaa nampataje nianze hizi mambo

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Naeza kukuelekeza hatua za mwanzo

  • @member_tv

    @member_tv

    9 ай бұрын

    ​@@elonii8790naomba unielekeze

  • @gibbs1320
    @gibbs13202 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana itwa nani ?!

  • @muxin_opsec

    @muxin_opsec

    2 жыл бұрын

    Anthony

  • @salehkhamis8653

    @salehkhamis8653

    2 жыл бұрын

    makaveli

  • @didierdrogbar2302
    @didierdrogbar23022 жыл бұрын

    Hamna tofaut na gambling zngine hapa hii kamari

  • @stanslauschatata3483

    @stanslauschatata3483

    2 жыл бұрын

    Muda utafika mtaelewa tuu crypto ni nini!

  • @yohanamartin4897

    @yohanamartin4897

    2 жыл бұрын

    Tafuta knowledge bro vitu vyakawaida sana hivyo. ..Fx and crpto ni golden deals

  • @didierdrogbar2302

    @didierdrogbar2302

    2 жыл бұрын

    @@yohanamartin4897 yaweza kua ivo ndio but its same na gambling bro tu, coz you stake and you can double or lost your stake as well , kikubwa labda tueleweshe watu wasiogope ku take risk ,lets teach peopl how to risk .

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    @@didierdrogbar2302 Sio rahisi kufanya staking na upoteze au kudouble.. coin nyingi wanatoa around 20%

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Yaani Kila Ukisikia Tunaosemea hii crypto Kila mtu kuna Sehemu Kila.mtu ana mtazamo wake Hasa kwenye kufanya Trading ila Mimi Naamin Kupanga ni.Kuchagua na Hakuna Biashara Isiyo na Hasara..Ila Wanasema za Kuambiwa changanya ila.My Plan Nataka Niwe Full Time Trader naamini Inawezekana...Ila.Kikubwa Wekezeni kwa Elimu

  • @lazaromaria5334

    @lazaromaria5334

    2 жыл бұрын

    tatizo tuna lack maarifa

  • @aronatv47

    @aronatv47

    2 жыл бұрын

    @@lazaromaria5334 Ukitafuta tu unapataaa kikubwa ni Kupambana tu

  • @mirajikombo5413

    @mirajikombo5413

    9 ай бұрын

    Vp now umeshakuwa Full time trader

  • @yahyamerey4637

    @yahyamerey4637

    22 күн бұрын

    Vipi now umeshakuwa full time trader

  • @stellah3844
    @stellah38442 жыл бұрын

    Hii mbona gambling jaman kilaanaeongea anaongea tafaut alafu hawatuelekez kiundan kabisa Kama hawa Wa Fixed hamjatuambia wanapataje hasara au wa fixed hawapat hasara?

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Fixed ni wapi hao? natamani kuelewa

  • @stellah3844

    @stellah3844

    2 жыл бұрын

    @@elonii8790 Wale wanaoweka kwa Fixed namaanisha anayeweka mwaka hadi mwaka au anaye kuja kuuza baada ya miakaa kadhaaa inamaana aliweka fixed hadi mda flan hakuna kutoa,,,,,,,,,,,

  • @christanbashali3530
    @christanbashali35302 жыл бұрын

    Ujama nawezakupata contact zakwake vip #SNS nisaidiye nipate number za jamahuyu

  • @elonii8790

    @elonii8790

    2 жыл бұрын

    Unataka kujifunza izo mbanga?

  • @abelaidan
    @abelaidan2 ай бұрын

    Jamaa anajua vitu lakini hajui kufundisha. Yuko speed

Келесі