HOTUBA YA PROF. LUMUMBA KATIKA KONGAMANO LA KUMBUKIZI ZA MWL. NYERERE
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 14
Nimefurai sana kumsikia prof lumumba anazungumza KISWAILI fasaha namkubali sn nampenda sana
Hahahaa very nice Pro.kiswahili is some how not experienced by you
Big respect 🙌 prof Lumumba
Prof PLO hongera mtu haishi uchu wa kukusikiliza. Pigilia nondo uko vizuri ktk kiswahili sio kiswa english
Lumumba leo namuelewa Sana anakiswahili mizuli sana
Jamani kina mzee Jomokenyata na wengine hawana historia kama ya Mwl? Tunaomba nao tuwaenzi ili.kufufua uzalengo kwa wananchi wao.
Leo nimekuelewa adi najiskia rahaha akika mkataa kwao ni mtumwa acheni utani kiswahili nikitamu kuliko aya bia
Lumumba nisamehe Sana maana nimekuwa sikuelewi kwamda mlefu sana
Kiswahili kinalaza yake jamani uwe unatumia kiswahili mzee wetu elimu hii unaijua na kw hivo ukitumia kiswahili utasababisha wengi kujifunza kiswahili na kiswahili kitakua na kuwa lugha ya afrika
Afrika umimi na uwewe umetuzidi. Kila mmoja bora kuliko mwenzie. Magereza tumeyafanya ya kukomesha na kuzalilisha wanaokosoa tawala za Afrika. Paka akitoka pamya hutawala. Katoka mzungu akaingia vyama dola kufunga wanaodai demokrasia. Hata muwe na vigoda hata vya kioo ukweli ni huo. Vyama dola Afrika viache ukora wao.