HOTUBA YA PROF. LUMUMBA KATIKA KONGAMANO LA KUMBUKIZI ZA MWL. NYERERE

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 14

  • @honestlorivilebisa8458
    @honestlorivilebisa84582 жыл бұрын

    Nimefurai sana kumsikia prof lumumba anazungumza KISWAILI fasaha namkubali sn nampenda sana

  • @paulbugalinyuma5951
    @paulbugalinyuma59512 жыл бұрын

    Hahahaa very nice Pro.kiswahili is some how not experienced by you

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 жыл бұрын

    Big respect 🙌 prof Lumumba

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Prof PLO hongera mtu haishi uchu wa kukusikiliza. Pigilia nondo uko vizuri ktk kiswahili sio kiswa english

  • @LushidulaDula-np5md
    @LushidulaDula-np5md Жыл бұрын

    Lumumba leo namuelewa Sana anakiswahili mizuli sana

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Jamani kina mzee Jomokenyata na wengine hawana historia kama ya Mwl? Tunaomba nao tuwaenzi ili.kufufua uzalengo kwa wananchi wao.

  • @honestlorivilebisa8458
    @honestlorivilebisa84582 жыл бұрын

    Leo nimekuelewa adi najiskia rahaha akika mkataa kwao ni mtumwa acheni utani kiswahili nikitamu kuliko aya bia

  • @LushidulaDula-np5md
    @LushidulaDula-np5md Жыл бұрын

    Lumumba nisamehe Sana maana nimekuwa sikuelewi kwamda mlefu sana

  • @honestlorivilebisa8458
    @honestlorivilebisa84582 жыл бұрын

    Kiswahili kinalaza yake jamani uwe unatumia kiswahili mzee wetu elimu hii unaijua na kw hivo ukitumia kiswahili utasababisha wengi kujifunza kiswahili na kiswahili kitakua na kuwa lugha ya afrika

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Afrika umimi na uwewe umetuzidi. Kila mmoja bora kuliko mwenzie. Magereza tumeyafanya ya kukomesha na kuzalilisha wanaokosoa tawala za Afrika. Paka akitoka pamya hutawala. Katoka mzungu akaingia vyama dola kufunga wanaodai demokrasia. Hata muwe na vigoda hata vya kioo ukweli ni huo. Vyama dola Afrika viache ukora wao.

Келесі