HOJA MEZANI: Ni ipi hasa siri ya mgogoro kati ya Russia na Ukraine?

Пікірлер: 178

  • @omysule7118
    @omysule71182 жыл бұрын

    Wachambuzi jaribun kuwa wakweli, anachokililia mrusi ni sawa n kile alichokililia Mmarekan wakat USSR alipofaný installation ya nuclear pale Cuba

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman39992 жыл бұрын

    Adui namba moja wa dunia kwa karine hii na iliyopita ni Marekani ingawa Mungu mwenye zi atulinde na atujaalie Vita visiendelee

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    100 % Correct

  • @manarakassimmanara3132

    @manarakassimmanara3132

    2 жыл бұрын

    Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    kivipi mzee?

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji28722 жыл бұрын

    Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Kabisaa Upo Sahihi

  • @danielgitau5880
    @danielgitau58802 жыл бұрын

    Huyu mfalme mjinga, ataichukia siku aliyo saliwa,tayari maiti za waliye tumwa sinaozea ukraine 🇺🇦

  • @germainpennant6439
    @germainpennant64392 жыл бұрын

    Wachambuzi mko very smart! Mko poa

  • @aminsalum5731
    @aminsalum57312 жыл бұрын

    ivi ni Mzozo au ni Vita???? TANZANIA bwana mpaka lini mnafichaficha

  • @brunoh_bx

    @brunoh_bx

    2 жыл бұрын

    Vita pia ni mzozo

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    Ni vita🤣

  • @beatricekimbe4966

    @beatricekimbe4966

    2 жыл бұрын

    Wanaficha wengine wantekete

  • @jonathanmutiwa3734
    @jonathanmutiwa37342 жыл бұрын

    Mahalia vita Kuna vita Mungu uacha watu kujitengemea.Kwakua Mungu aliacha upendo umtawale mwanandamu.

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa59212 жыл бұрын

    China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.

  • @mahadymasawe2659
    @mahadymasawe26592 жыл бұрын

    Urusi nawakubar

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki75432 жыл бұрын

    Msitudanganye bwana Urusi watachukua Ukraine.

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    😀😀😀 Kabisa

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    @@shabbymakapaneshabby5000 22-09-2022 vipi kashaichukua? au umedanganywa na media?

  • @paschalcharles3617
    @paschalcharles36172 жыл бұрын

    Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka

  • @allyshekh6610
    @allyshekh66102 жыл бұрын

    Unapokua mchambuz jitahidi kuondoa itikadi au mapenzi

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    100% umesema Kweli

  • @ruu6592
    @ruu65922 жыл бұрын

    Mtangazaji kihere here utadhani ni mukrain

  • @abubakarmgaza9270
    @abubakarmgaza92702 жыл бұрын

    Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!

  • @saheedali7467
    @saheedali74672 жыл бұрын

    Inafanana na mashaka ya Tanganyika na Zanzibar.

  • @seiflugendo5043

    @seiflugendo5043

    2 жыл бұрын

    Mfano uliokufa

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku83362 жыл бұрын

    Hapa tanzania tuna polis jamii washapu sana kukamata bodaboda ingefaa tuwapeleke huko wakapambane na vidume wezao

  • @seiflugendo5043

    @seiflugendo5043

    2 жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @ednageorge8676
    @ednageorge86762 жыл бұрын

    Yaani Putin ni mshenzi sanaa hana hata huruma

  • @nigagi3ew231
    @nigagi3ew2312 жыл бұрын

    Acha mchezoooo mta kufaaa wote rashia wabayaa

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Hiyo black see unambia kuna vifaa hatari vimechimbiwa

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo85372 жыл бұрын

    Excellent analysis of what is going on in Ukraine and Russia

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis86532 жыл бұрын

    Safi sana Nawapata vizur Azam tv tupo pamoja live mwanzo mwisho

  • @eatwell9161
    @eatwell91612 жыл бұрын

    Hii kuzidiwa kifikra na kuanza kuvamia inanikumbusha Tanganyika na Zanzibar

  • @geraldpaul7772
    @geraldpaul77722 жыл бұрын

    Miminaona kweli kwamba hizinisiku za mwisho wa dunia hii

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61772 жыл бұрын

    Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni

  • @staceychristensen7700
    @staceychristensen77002 жыл бұрын

    Tunaomba Amani 🙏🏽Mapenzi ya Mungu yatimizwe 🙏🏽

  • @hatibually2451
    @hatibually24512 жыл бұрын

    Siovizuri.urusi.hajui.kama.wawo Ndug

  • @yassinphonyogo2347
    @yassinphonyogo23472 жыл бұрын

    mna bwsbeaja tu sadam alipigwana majeshi ya nato kwa sku ngapy toeni umbea wenu

  • @nyawawawanyawawa935

    @nyawawawanyawawa935

    2 жыл бұрын

    Tena walimchangia Nchi kibao

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman39992 жыл бұрын

    Putin anafanya ambacho kimewahi kufanywa na Marekani huko Iraki na libya

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Malipo atalipwa ipo siku wamemuua Shujaa wa africa gadafi walijua africa itakua na nguvu sasa wameingia motoni kwa mrusi putin black see

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    100 % 😀😀😀

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Watafurahi Na SHOW Hebu tuone kama BABA Mwenye NYUMBA Ataingilia 😂😂😂😂😂😂

  • @petershimbi7014
    @petershimbi70142 жыл бұрын

    tatzo mchambuz anaulizwa tofaut na yeye anajibu tofauti

  • @thomsanga7956

    @thomsanga7956

    2 жыл бұрын

    No wewe ndio huelewi

  • @mashakaluhamba1183
    @mashakaluhamba1183 Жыл бұрын

    Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49352 жыл бұрын

    Mbona hawa wachambuzi wanaegemea upande mmoja

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @ibrahimbura434
    @ibrahimbura4342 жыл бұрын

    Huwezi ukajikilim ukawa unahakili timamu

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph63202 жыл бұрын

    Mr bin awe rahisi lazima taifa life

  • @amimumufaumekikwasa5921
    @amimumufaumekikwasa59212 жыл бұрын

    Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @danielmiburo8800
    @danielmiburo88002 жыл бұрын

    Vizuri.marekani.nikutoka.nyumayake.mana.anasababisha.tuuwawe.anataka.kujifanya.mungu.anacoceya.vita!

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani42222 жыл бұрын

    Nimeelewa sana yan na uchambuzi

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe81882 жыл бұрын

    Nyinyi wachambuzi hajui kiti hapo nendeni mkanywe chai na chapati mambo mengi hamjui

  • @eddiemay547
    @eddiemay5472 жыл бұрын

    Umezaliwa lini ww libya , iraq, alfghanistan mboni ujajitokeza kuliongelea umetumwa?

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy98122 жыл бұрын

    Huyo.mchambuzi maandazi. Eti nato haihusikina. Vtayaukrani

  • @rithajulius740
    @rithajulius7402 жыл бұрын

    Wanao umia hapo ni watoto na wanawake😭😭😭😭

  • @danielgitau5880

    @danielgitau5880

    2 жыл бұрын

    Wanaume hawaumii??

  • @johnsonuriourio6121

    @johnsonuriourio6121

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo

  • @jumamataro4870
    @jumamataro48702 жыл бұрын

    Safi

  • @mombasa0076
    @mombasa00762 жыл бұрын

    Ukraine ni kibaraka ..anayehatarisha amani ya dunia

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm2 жыл бұрын

    ao wanao ojiwa wanavyo zungumza utafikiria wanajua Russia ikoje Russia la kufanya now ampe kichapo cha maana ucrain

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph63202 жыл бұрын

    Alova shati jeupe ni form one ajui lolote kwanza haoni mtoeni miwani

  • @chancekambale3498
    @chancekambale34982 жыл бұрын

    Uyujama hajui Russia 🇷🇺 Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze

  • @nzeyimaamini3282
    @nzeyimaamini32822 жыл бұрын

    Acheni kuingea msio yajuwa

  • @tengezashemisea1787
    @tengezashemisea17872 жыл бұрын

    Sababu zilizo tajwa na wachambuzi hapo zinatosha kabisa kwa Moscow kuingia vitan , zaidi yakuzuia hatar inayokaribia, hakunanjia nyingine.

  • @josephgelvas2668
    @josephgelvas26682 жыл бұрын

    Ok

  • @jacobotipo1451
    @jacobotipo14512 жыл бұрын

    So 😢

  • @halfanimasudi4679
    @halfanimasudi46792 жыл бұрын

    Mungu atuepushe na haya matatizo

  • @teljanahmed2051
    @teljanahmed20512 жыл бұрын

    Hawa sio wachambuzi nimashabiki wa UKRAINE au labda wanatafta viza ya ulaya🤔mnaelewa uwezo wa Urusi🤷‍♂️❓😳

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    😀😀😀😁😁😁 100 % Upo Sahihi

  • @tambasaloonhairstyles1148

    @tambasaloonhairstyles1148

    2 жыл бұрын

    Unatatizo kwenye uwlewa wako

  • @yusufuzuberi9884
    @yusufuzuberi98842 жыл бұрын

    Kwann kama angekuepo trample kwamba vta into endelea ukren wakariti historia Inaonesha mgogoro ulikuepo tangu 2014 inakuaje

  • @julianamargwe1663
    @julianamargwe16632 жыл бұрын

    Duhh

  • @frankbrightonembida3076
    @frankbrightonembida30762 жыл бұрын

    🙏🙏🙏tuwaombee

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Жыл бұрын

    Nyie waongo urusi aishindwe ukraine ivi urusi mnaijua vizuri au

  • @mombasa0076
    @mombasa00762 жыл бұрын

    NATO NI WACHOCHEZI WEWE KAMA HUTAKI BASI

  • @igiraneza4
    @igiraneza42 жыл бұрын

    Yani mpaka sasa nikiwaangilia majamaa hawa hadi na waza kwa kauli zao Africa tunaelekea wapi mbona wa afrika hivi hatuone jamani !

  • @rengijohn3798
    @rengijohn37982 жыл бұрын

    Mungu wasaidie weka maelewano na mapatano Kati yao

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @sajadnduti4906
    @sajadnduti49062 жыл бұрын

    Mchambuz Mwenyewe anajichubua,anachochambua ni Pumba tu

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    🤣 usiwe ivo

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    Padala yakuchambua Ana tetea🤣

  • @salumsaid5369
    @salumsaid53692 жыл бұрын

    Ila kuna umuhimu wa nyinyi wachambuzi kusoma historia ndio mje mtusimulie coz mnaelezea mnavyohisi tu kutoka kwa mitazamo yenu

  • @allymangosongo5570
    @allymangosongo55702 жыл бұрын

    Wachambuzi awajielewi urusi super power munachambua utumbo

  • @bonita329
    @bonita3292 жыл бұрын

    kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.

  • @julianamargwe1663
    @julianamargwe16632 жыл бұрын

    Hamna kitu hapa

  • @gfckukivi209
    @gfckukivi2092 жыл бұрын

    Tafteni habari za ukweli

  • @lorryvoice5223
    @lorryvoice52232 жыл бұрын

    usikoskutazama majabu yakutisha andika lorry vois kusimlia uwe wakwnza

  • @sherampunga3226
    @sherampunga32262 жыл бұрын

    Marekani hausiki hapo, wao wenyewe wameamua wenyewe kujiunga na nato

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga66892 жыл бұрын

    Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu

  • @mustaphyassin9743
    @mustaphyassin97432 жыл бұрын

    Wachambuzi nyie ni waongo

  • @masindijr.7633
    @masindijr.76332 жыл бұрын

    Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi54552 жыл бұрын

    Wachambuzi wanakwama, wanapga story kama wapo vijiwen. Putin anapgana vita vya kimkakati sio vita ya kuimaliza Ukraine

  • @joshuaswai8203

    @joshuaswai8203

    2 жыл бұрын

    Wewe ni juha hujui kitu ushabiki bila macho kululu kalale

  • @saidyhasshim2373
    @saidyhasshim23732 жыл бұрын

    Tatizo muna waona wamarekani wako sawa. Wakati wana nyanyasa Afrika mzima

  • @faridaabdallah2213

    @faridaabdallah2213

    2 жыл бұрын

    kweli

  • @frankmakomba378
    @frankmakomba3782 жыл бұрын

    Toka hapa nilikuwa nawasikiliza hoja na maoni yenu mbalimbali, 95 % ni kweli.

  • @zephaniapeter3167
    @zephaniapeter31672 жыл бұрын

    Besisira kutoka nkome geita Mungu Ubaruku dunia hivi vita ikome

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki75432 жыл бұрын

    Hacha uongo Urusi iko vizuri saana

  • @danielmiburo8800
    @danielmiburo88002 жыл бұрын

    Marekani.nijambazi.sugu.waduniya.wanawokufa.wote.niju.ya.inchi.zamagaribi.namarekani.inabidi.wawonae.huruma.wana.wa.ukrene

  • @danielgitau5880
    @danielgitau58802 жыл бұрын

    Ufafanuzi mwafaka,

  • @nemecykongolo3682
    @nemecykongolo36822 жыл бұрын

    pelekeni uongo wenu huko urusi nchi kubwa acheni ujuwa

  • @DonaldOHBrown
    @DonaldOHBrown2 жыл бұрын

    ningependa kusikia generals wako zamani wanachosema kuhusu sughuli katika Ukraine?

  • @johnsonmurithi807
    @johnsonmurithi8072 жыл бұрын

    NATO niwachochezi tena sana,wao ndio wameshababisha hayo yote.

  • @johnasmasulu5205
    @johnasmasulu52052 жыл бұрын

    Balinana

  • @senikomanya7223
    @senikomanya72232 жыл бұрын

    Huyo mchambuzi wa nguo ya njano hana point

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro15522 жыл бұрын

    Hivi ninyi watangazaji amuoni uyo ukrin anapata nguvu kwa marekani nato na washirika wake kupewa siraha nzito kibaraka wao urussi apigani na ukrein tu

  • @eddiemay547
    @eddiemay5472 жыл бұрын

    Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani

  • @benjaminhardwork9355
    @benjaminhardwork93552 жыл бұрын

    Shh

  • @gilbertmathias7594

    @gilbertmathias7594

    2 жыл бұрын

    Wachambuzi mnababanya tu mnaogopa kusema kuwa mchochezi ni marekani mnaogopa nini?

  • @gilbertmathias7594

    @gilbertmathias7594

    2 жыл бұрын

    Marekani ana demokrasia alimuua Gadaffi kamuua Sadam hayo hamsemi

  • @joshuagaspary5561

    @joshuagaspary5561

    2 жыл бұрын

    Mbona nchi zetu za Africa zinavamiwa sana na majeshi ya nato afu tunakaa kimya hebu angalia kilichotokea Libya,

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo55792 жыл бұрын

    Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!

  • @ruu6592

    @ruu6592

    2 жыл бұрын

    Iyo democracy imetuu tia umaskini kabisa

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Umeonaa

  • @godfreydavid6267

    @godfreydavid6267

    Жыл бұрын

    @@ruu6592 kivipi?

  • @allyhilal2747
    @allyhilal27472 жыл бұрын

    Jamaa huyu naona saa hii anaona aibu kwa haya maneno alokua anatoa hapa. Putin Over calculated this bro, next time chill usikurupuke.

  • @eddiemay547
    @eddiemay5472 жыл бұрын

    Hiv ww ushajuwa fulani adui kisha jirani yako anamkaribisha karibu muhim usalama wa nchi

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy98122 жыл бұрын

    Huyo mchambuzi hamnakitu

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi7822 жыл бұрын

    Kuna mtu anawaelewa hawa wachambuzi? Mie nawaona ni wapigasoga waliokariri hotuba za mataifa ya magharibi

  • @julianamargwe1663
    @julianamargwe16632 жыл бұрын

    Hamna kitu

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy98122 жыл бұрын

    Usiseme hajielewi usiejielewaniwewe na us

  • @AliSaid-il7ko
    @AliSaid-il7ko2 жыл бұрын

    mnatuangusha kuweni wakweli mnaongea msichokijua

  • @saidiabas8855
    @saidiabas88552 жыл бұрын

    Mbona nyinyi hamuyadili ya Palestine Congo Libya na irak mbona hamumjadili mmarekani na mabaya yake

  • @rashidrajab1391
    @rashidrajab13912 жыл бұрын

    Hapa hamna kitu pia nanyi mnaunga mkono wachochezi uraaaaaa Russia 🇷🇺 💖

  • @magangakibella6895
    @magangakibella68952 жыл бұрын

    Hamjui ninyi urusi yukoje

  • @zakayojoseph1499
    @zakayojoseph14992 жыл бұрын

    Ndo mwisho wa dunia jaman

  • @lavendernafula6820
    @lavendernafula68202 жыл бұрын

    Sungwacha wanyela

  • @saidiabas8855
    @saidiabas88552 жыл бұрын

    Naomba mujadili na Palestine

  • @danielmiburo8800
    @danielmiburo88002 жыл бұрын

    Nikweri.angetaka.kumunkoa.madrakani.angemutoa.rengo.nikupunguza.nguvuza.aduyiwafrika.tunamusapoti

  • @omysule7118
    @omysule71182 жыл бұрын

    Urusi ya mwaka 2004 huwezi kuifananisha na Urusi ya sasa kaka

Келесі