HOJA MEZANI: Ni ipi hasa siri ya mgogoro kati ya Russia na Ukraine?
Жүктеу.....
Пікірлер: 178
@omysule71182 жыл бұрын
Wachambuzi jaribun kuwa wakweli, anachokililia mrusi ni sawa n kile alichokililia Mmarekan wakat USSR alipofaný installation ya nuclear pale Cuba
@juliussuleiman39992 жыл бұрын
Adui namba moja wa dunia kwa karine hii na iliyopita ni Marekani ingawa Mungu mwenye zi atulinde na atujaalie Vita visiendelee
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100 % Correct
@manarakassimmanara3132
2 жыл бұрын
Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
kivipi mzee?
@kassimmurji28722 жыл бұрын
Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kabisaa Upo Sahihi
@danielgitau58802 жыл бұрын
Huyu mfalme mjinga, ataichukia siku aliyo saliwa,tayari maiti za waliye tumwa sinaozea ukraine 🇺🇦
@germainpennant64392 жыл бұрын
Wachambuzi mko very smart! Mko poa
@aminsalum57312 жыл бұрын
ivi ni Mzozo au ni Vita???? TANZANIA bwana mpaka lini mnafichaficha
@brunoh_bx
2 жыл бұрын
Vita pia ni mzozo
@ruu6592
2 жыл бұрын
Ni vita🤣
@beatricekimbe4966
2 жыл бұрын
Wanaficha wengine wantekete
@jonathanmutiwa37342 жыл бұрын
Mahalia vita Kuna vita Mungu uacha watu kujitengemea.Kwakua Mungu aliacha upendo umtawale mwanandamu.
@amimumufaumekikwasa59212 жыл бұрын
China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.
@mahadymasawe26592 жыл бұрын
Urusi nawakubar
@dorothymutegeki75432 жыл бұрын
Msitudanganye bwana Urusi watachukua Ukraine.
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
😀😀😀 Kabisa
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
@@shabbymakapaneshabby5000 22-09-2022 vipi kashaichukua? au umedanganywa na media?
@paschalcharles36172 жыл бұрын
Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka
@allyshekh66102 жыл бұрын
Unapokua mchambuz jitahidi kuondoa itikadi au mapenzi
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100% umesema Kweli
@ruu65922 жыл бұрын
Mtangazaji kihere here utadhani ni mukrain
@abubakarmgaza92702 жыл бұрын
Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!
@saheedali74672 жыл бұрын
Inafanana na mashaka ya Tanganyika na Zanzibar.
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
Mfano uliokufa
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Hapa tanzania tuna polis jamii washapu sana kukamata bodaboda ingefaa tuwapeleke huko wakapambane na vidume wezao
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@ednageorge86762 жыл бұрын
Yaani Putin ni mshenzi sanaa hana hata huruma
@nigagi3ew2312 жыл бұрын
Acha mchezoooo mta kufaaa wote rashia wabayaa
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Hiyo black see unambia kuna vifaa hatari vimechimbiwa
@martinsntonyo85372 жыл бұрын
Excellent analysis of what is going on in Ukraine and Russia
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Safi sana Nawapata vizur Azam tv tupo pamoja live mwanzo mwisho
@eatwell91612 жыл бұрын
Hii kuzidiwa kifikra na kuanza kuvamia inanikumbusha Tanganyika na Zanzibar
@geraldpaul77722 жыл бұрын
Miminaona kweli kwamba hizinisiku za mwisho wa dunia hii
@anuaryally61772 жыл бұрын
Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni
@staceychristensen77002 жыл бұрын
Tunaomba Amani 🙏🏽Mapenzi ya Mungu yatimizwe 🙏🏽
@hatibually24512 жыл бұрын
Siovizuri.urusi.hajui.kama.wawo Ndug
@yassinphonyogo23472 жыл бұрын
mna bwsbeaja tu sadam alipigwana majeshi ya nato kwa sku ngapy toeni umbea wenu
@nyawawawanyawawa935
2 жыл бұрын
Tena walimchangia Nchi kibao
@juliussuleiman39992 жыл бұрын
Putin anafanya ambacho kimewahi kufanywa na Marekani huko Iraki na libya
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Malipo atalipwa ipo siku wamemuua Shujaa wa africa gadafi walijua africa itakua na nguvu sasa wameingia motoni kwa mrusi putin black see
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100 % 😀😀😀
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Watafurahi Na SHOW Hebu tuone kama BABA Mwenye NYUMBA Ataingilia 😂😂😂😂😂😂
@petershimbi70142 жыл бұрын
tatzo mchambuz anaulizwa tofaut na yeye anajibu tofauti
@thomsanga7956
2 жыл бұрын
No wewe ndio huelewi
@mashakaluhamba1183 Жыл бұрын
Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.
@homeboybeyondtheborders49352 жыл бұрын
Mbona hawa wachambuzi wanaegemea upande mmoja
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kabisa
@ibrahimbura4342 жыл бұрын
Huwezi ukajikilim ukawa unahakili timamu
@juliusjoseph63202 жыл бұрын
Mr bin awe rahisi lazima taifa life
@amimumufaumekikwasa59212 жыл бұрын
Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.
Huyo.mchambuzi maandazi. Eti nato haihusikina. Vtayaukrani
@rithajulius7402 жыл бұрын
Wanao umia hapo ni watoto na wanawake😭😭😭😭
@danielgitau5880
2 жыл бұрын
Wanaume hawaumii??
@johnsonuriourio6121
2 жыл бұрын
Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo
@jumamataro48702 жыл бұрын
Safi
@mombasa00762 жыл бұрын
Ukraine ni kibaraka ..anayehatarisha amani ya dunia
@OMANOman-qc1lm2 жыл бұрын
ao wanao ojiwa wanavyo zungumza utafikiria wanajua Russia ikoje Russia la kufanya now ampe kichapo cha maana ucrain
@juliusjoseph63202 жыл бұрын
Alova shati jeupe ni form one ajui lolote kwanza haoni mtoeni miwani
@chancekambale34982 жыл бұрын
Uyujama hajui Russia 🇷🇺 Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze
@nzeyimaamini32822 жыл бұрын
Acheni kuingea msio yajuwa
@tengezashemisea17872 жыл бұрын
Sababu zilizo tajwa na wachambuzi hapo zinatosha kabisa kwa Moscow kuingia vitan , zaidi yakuzuia hatar inayokaribia, hakunanjia nyingine.
@josephgelvas26682 жыл бұрын
Ok
@jacobotipo14512 жыл бұрын
So 😢
@halfanimasudi46792 жыл бұрын
Mungu atuepushe na haya matatizo
@teljanahmed20512 жыл бұрын
Hawa sio wachambuzi nimashabiki wa UKRAINE au labda wanatafta viza ya ulaya🤔mnaelewa uwezo wa Urusi🤷♂️❓😳
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
😀😀😀😁😁😁 100 % Upo Sahihi
@tambasaloonhairstyles1148
2 жыл бұрын
Unatatizo kwenye uwlewa wako
@yusufuzuberi98842 жыл бұрын
Kwann kama angekuepo trample kwamba vta into endelea ukren wakariti historia Inaonesha mgogoro ulikuepo tangu 2014 inakuaje
@julianamargwe16632 жыл бұрын
Duhh
@frankbrightonembida30762 жыл бұрын
🙏🙏🙏tuwaombee
@johnmike6059 Жыл бұрын
Nyie waongo urusi aishindwe ukraine ivi urusi mnaijua vizuri au
@mombasa00762 жыл бұрын
NATO NI WACHOCHEZI WEWE KAMA HUTAKI BASI
@igiraneza42 жыл бұрын
Yani mpaka sasa nikiwaangilia majamaa hawa hadi na waza kwa kauli zao Africa tunaelekea wapi mbona wa afrika hivi hatuone jamani !
@rengijohn37982 жыл бұрын
Mungu wasaidie weka maelewano na mapatano Kati yao
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@sajadnduti49062 жыл бұрын
Mchambuz Mwenyewe anajichubua,anachochambua ni Pumba tu
@ruu6592
2 жыл бұрын
🤣 usiwe ivo
@ruu6592
2 жыл бұрын
Padala yakuchambua Ana tetea🤣
@salumsaid53692 жыл бұрын
Ila kuna umuhimu wa nyinyi wachambuzi kusoma historia ndio mje mtusimulie coz mnaelezea mnavyohisi tu kutoka kwa mitazamo yenu
@allymangosongo55702 жыл бұрын
Wachambuzi awajielewi urusi super power munachambua utumbo
@bonita3292 жыл бұрын
kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.
Marekani hausiki hapo, wao wenyewe wameamua wenyewe kujiunga na nato
@christophersimwinga66892 жыл бұрын
Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu
@mustaphyassin97432 жыл бұрын
Wachambuzi nyie ni waongo
@masindijr.76332 жыл бұрын
Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.
@abdalahngozi54552 жыл бұрын
Wachambuzi wanakwama, wanapga story kama wapo vijiwen. Putin anapgana vita vya kimkakati sio vita ya kuimaliza Ukraine
@joshuaswai8203
2 жыл бұрын
Wewe ni juha hujui kitu ushabiki bila macho kululu kalale
@saidyhasshim23732 жыл бұрын
Tatizo muna waona wamarekani wako sawa. Wakati wana nyanyasa Afrika mzima
@faridaabdallah2213
2 жыл бұрын
kweli
@frankmakomba3782 жыл бұрын
Toka hapa nilikuwa nawasikiliza hoja na maoni yenu mbalimbali, 95 % ni kweli.
@zephaniapeter31672 жыл бұрын
Besisira kutoka nkome geita Mungu Ubaruku dunia hivi vita ikome
pelekeni uongo wenu huko urusi nchi kubwa acheni ujuwa
@DonaldOHBrown2 жыл бұрын
ningependa kusikia generals wako zamani wanachosema kuhusu sughuli katika Ukraine?
@johnsonmurithi8072 жыл бұрын
NATO niwachochezi tena sana,wao ndio wameshababisha hayo yote.
@johnasmasulu52052 жыл бұрын
Balinana
@senikomanya72232 жыл бұрын
Huyo mchambuzi wa nguo ya njano hana point
@jumanassoro15522 жыл бұрын
Hivi ninyi watangazaji amuoni uyo ukrin anapata nguvu kwa marekani nato na washirika wake kupewa siraha nzito kibaraka wao urussi apigani na ukrein tu
@eddiemay5472 жыл бұрын
Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani
@benjaminhardwork93552 жыл бұрын
Shh
@gilbertmathias7594
2 жыл бұрын
Wachambuzi mnababanya tu mnaogopa kusema kuwa mchochezi ni marekani mnaogopa nini?
@gilbertmathias7594
2 жыл бұрын
Marekani ana demokrasia alimuua Gadaffi kamuua Sadam hayo hamsemi
@joshuagaspary5561
2 жыл бұрын
Mbona nchi zetu za Africa zinavamiwa sana na majeshi ya nato afu tunakaa kimya hebu angalia kilichotokea Libya,
@christianmwasakogo55792 жыл бұрын
Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!
@ruu6592
2 жыл бұрын
Iyo democracy imetuu tia umaskini kabisa
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Umeonaa
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
@@ruu6592 kivipi?
@allyhilal27472 жыл бұрын
Jamaa huyu naona saa hii anaona aibu kwa haya maneno alokua anatoa hapa. Putin Over calculated this bro, next time chill usikurupuke.
@eddiemay5472 жыл бұрын
Hiv ww ushajuwa fulani adui kisha jirani yako anamkaribisha karibu muhim usalama wa nchi
@msomimosomy98122 жыл бұрын
Huyo mchambuzi hamnakitu
@suleymandachi7822 жыл бұрын
Kuna mtu anawaelewa hawa wachambuzi? Mie nawaona ni wapigasoga waliokariri hotuba za mataifa ya magharibi
@julianamargwe16632 жыл бұрын
Hamna kitu
@msomimosomy98122 жыл бұрын
Usiseme hajielewi usiejielewaniwewe na us
@AliSaid-il7ko2 жыл бұрын
mnatuangusha kuweni wakweli mnaongea msichokijua
@saidiabas88552 жыл бұрын
Mbona nyinyi hamuyadili ya Palestine Congo Libya na irak mbona hamumjadili mmarekani na mabaya yake
@rashidrajab13912 жыл бұрын
Hapa hamna kitu pia nanyi mnaunga mkono wachochezi uraaaaaa Russia 🇷🇺 💖
Пікірлер: 178
Wachambuzi jaribun kuwa wakweli, anachokililia mrusi ni sawa n kile alichokililia Mmarekan wakat USSR alipofaný installation ya nuclear pale Cuba
Adui namba moja wa dunia kwa karine hii na iliyopita ni Marekani ingawa Mungu mwenye zi atulinde na atujaalie Vita visiendelee
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100 % Correct
@manarakassimmanara3132
2 жыл бұрын
Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
kivipi mzee?
Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kabisaa Upo Sahihi
Huyu mfalme mjinga, ataichukia siku aliyo saliwa,tayari maiti za waliye tumwa sinaozea ukraine 🇺🇦
Wachambuzi mko very smart! Mko poa
ivi ni Mzozo au ni Vita???? TANZANIA bwana mpaka lini mnafichaficha
@brunoh_bx
2 жыл бұрын
Vita pia ni mzozo
@ruu6592
2 жыл бұрын
Ni vita🤣
@beatricekimbe4966
2 жыл бұрын
Wanaficha wengine wantekete
Mahalia vita Kuna vita Mungu uacha watu kujitengemea.Kwakua Mungu aliacha upendo umtawale mwanandamu.
China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.
Urusi nawakubar
Msitudanganye bwana Urusi watachukua Ukraine.
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
😀😀😀 Kabisa
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
@@shabbymakapaneshabby5000 22-09-2022 vipi kashaichukua? au umedanganywa na media?
Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka
Unapokua mchambuz jitahidi kuondoa itikadi au mapenzi
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100% umesema Kweli
Mtangazaji kihere here utadhani ni mukrain
Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!
Inafanana na mashaka ya Tanganyika na Zanzibar.
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
Mfano uliokufa
Hapa tanzania tuna polis jamii washapu sana kukamata bodaboda ingefaa tuwapeleke huko wakapambane na vidume wezao
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Yaani Putin ni mshenzi sanaa hana hata huruma
Acha mchezoooo mta kufaaa wote rashia wabayaa
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Hiyo black see unambia kuna vifaa hatari vimechimbiwa
Excellent analysis of what is going on in Ukraine and Russia
Safi sana Nawapata vizur Azam tv tupo pamoja live mwanzo mwisho
Hii kuzidiwa kifikra na kuanza kuvamia inanikumbusha Tanganyika na Zanzibar
Miminaona kweli kwamba hizinisiku za mwisho wa dunia hii
Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni
Tunaomba Amani 🙏🏽Mapenzi ya Mungu yatimizwe 🙏🏽
Siovizuri.urusi.hajui.kama.wawo Ndug
mna bwsbeaja tu sadam alipigwana majeshi ya nato kwa sku ngapy toeni umbea wenu
@nyawawawanyawawa935
2 жыл бұрын
Tena walimchangia Nchi kibao
Putin anafanya ambacho kimewahi kufanywa na Marekani huko Iraki na libya
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Malipo atalipwa ipo siku wamemuua Shujaa wa africa gadafi walijua africa itakua na nguvu sasa wameingia motoni kwa mrusi putin black see
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
100 % 😀😀😀
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Watafurahi Na SHOW Hebu tuone kama BABA Mwenye NYUMBA Ataingilia 😂😂😂😂😂😂
tatzo mchambuz anaulizwa tofaut na yeye anajibu tofauti
@thomsanga7956
2 жыл бұрын
No wewe ndio huelewi
Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.
Mbona hawa wachambuzi wanaegemea upande mmoja
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kabisa
Huwezi ukajikilim ukawa unahakili timamu
Mr bin awe rahisi lazima taifa life
Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Vizuri.marekani.nikutoka.nyumayake.mana.anasababisha.tuuwawe.anataka.kujifanya.mungu.anacoceya.vita!
Nimeelewa sana yan na uchambuzi
Nyinyi wachambuzi hajui kiti hapo nendeni mkanywe chai na chapati mambo mengi hamjui
Umezaliwa lini ww libya , iraq, alfghanistan mboni ujajitokeza kuliongelea umetumwa?
Huyo.mchambuzi maandazi. Eti nato haihusikina. Vtayaukrani
Wanao umia hapo ni watoto na wanawake😭😭😭😭
@danielgitau5880
2 жыл бұрын
Wanaume hawaumii??
@johnsonuriourio6121
2 жыл бұрын
Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo
Safi
Ukraine ni kibaraka ..anayehatarisha amani ya dunia
ao wanao ojiwa wanavyo zungumza utafikiria wanajua Russia ikoje Russia la kufanya now ampe kichapo cha maana ucrain
Alova shati jeupe ni form one ajui lolote kwanza haoni mtoeni miwani
Uyujama hajui Russia 🇷🇺 Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze
Acheni kuingea msio yajuwa
Sababu zilizo tajwa na wachambuzi hapo zinatosha kabisa kwa Moscow kuingia vitan , zaidi yakuzuia hatar inayokaribia, hakunanjia nyingine.
Ok
So 😢
Mungu atuepushe na haya matatizo
Hawa sio wachambuzi nimashabiki wa UKRAINE au labda wanatafta viza ya ulaya🤔mnaelewa uwezo wa Urusi🤷♂️❓😳
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
😀😀😀😁😁😁 100 % Upo Sahihi
@tambasaloonhairstyles1148
2 жыл бұрын
Unatatizo kwenye uwlewa wako
Kwann kama angekuepo trample kwamba vta into endelea ukren wakariti historia Inaonesha mgogoro ulikuepo tangu 2014 inakuaje
Duhh
🙏🙏🙏tuwaombee
Nyie waongo urusi aishindwe ukraine ivi urusi mnaijua vizuri au
NATO NI WACHOCHEZI WEWE KAMA HUTAKI BASI
Yani mpaka sasa nikiwaangilia majamaa hawa hadi na waza kwa kauli zao Africa tunaelekea wapi mbona wa afrika hivi hatuone jamani !
Mungu wasaidie weka maelewano na mapatano Kati yao
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Mchambuz Mwenyewe anajichubua,anachochambua ni Pumba tu
@ruu6592
2 жыл бұрын
🤣 usiwe ivo
@ruu6592
2 жыл бұрын
Padala yakuchambua Ana tetea🤣
Ila kuna umuhimu wa nyinyi wachambuzi kusoma historia ndio mje mtusimulie coz mnaelezea mnavyohisi tu kutoka kwa mitazamo yenu
Wachambuzi awajielewi urusi super power munachambua utumbo
kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.
Hamna kitu hapa
Tafteni habari za ukweli
usikoskutazama majabu yakutisha andika lorry vois kusimlia uwe wakwnza
Marekani hausiki hapo, wao wenyewe wameamua wenyewe kujiunga na nato
Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu
Wachambuzi nyie ni waongo
Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.
Wachambuzi wanakwama, wanapga story kama wapo vijiwen. Putin anapgana vita vya kimkakati sio vita ya kuimaliza Ukraine
@joshuaswai8203
2 жыл бұрын
Wewe ni juha hujui kitu ushabiki bila macho kululu kalale
Tatizo muna waona wamarekani wako sawa. Wakati wana nyanyasa Afrika mzima
@faridaabdallah2213
2 жыл бұрын
kweli
Toka hapa nilikuwa nawasikiliza hoja na maoni yenu mbalimbali, 95 % ni kweli.
Besisira kutoka nkome geita Mungu Ubaruku dunia hivi vita ikome
Hacha uongo Urusi iko vizuri saana
Marekani.nijambazi.sugu.waduniya.wanawokufa.wote.niju.ya.inchi.zamagaribi.namarekani.inabidi.wawonae.huruma.wana.wa.ukrene
Ufafanuzi mwafaka,
pelekeni uongo wenu huko urusi nchi kubwa acheni ujuwa
ningependa kusikia generals wako zamani wanachosema kuhusu sughuli katika Ukraine?
NATO niwachochezi tena sana,wao ndio wameshababisha hayo yote.
Balinana
Huyo mchambuzi wa nguo ya njano hana point
Hivi ninyi watangazaji amuoni uyo ukrin anapata nguvu kwa marekani nato na washirika wake kupewa siraha nzito kibaraka wao urussi apigani na ukrein tu
Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani
Shh
@gilbertmathias7594
2 жыл бұрын
Wachambuzi mnababanya tu mnaogopa kusema kuwa mchochezi ni marekani mnaogopa nini?
@gilbertmathias7594
2 жыл бұрын
Marekani ana demokrasia alimuua Gadaffi kamuua Sadam hayo hamsemi
@joshuagaspary5561
2 жыл бұрын
Mbona nchi zetu za Africa zinavamiwa sana na majeshi ya nato afu tunakaa kimya hebu angalia kilichotokea Libya,
Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!
@ruu6592
2 жыл бұрын
Iyo democracy imetuu tia umaskini kabisa
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Umeonaa
@godfreydavid6267
Жыл бұрын
@@ruu6592 kivipi?
Jamaa huyu naona saa hii anaona aibu kwa haya maneno alokua anatoa hapa. Putin Over calculated this bro, next time chill usikurupuke.
Hiv ww ushajuwa fulani adui kisha jirani yako anamkaribisha karibu muhim usalama wa nchi
Huyo mchambuzi hamnakitu
Kuna mtu anawaelewa hawa wachambuzi? Mie nawaona ni wapigasoga waliokariri hotuba za mataifa ya magharibi
Hamna kitu
Usiseme hajielewi usiejielewaniwewe na us
mnatuangusha kuweni wakweli mnaongea msichokijua
Mbona nyinyi hamuyadili ya Palestine Congo Libya na irak mbona hamumjadili mmarekani na mabaya yake
Hapa hamna kitu pia nanyi mnaunga mkono wachochezi uraaaaaa Russia 🇷🇺 💖
Hamjui ninyi urusi yukoje
Ndo mwisho wa dunia jaman
Sungwacha wanyela
Naomba mujadili na Palestine
Nikweri.angetaka.kumunkoa.madrakani.angemutoa.rengo.nikupunguza.nguvuza.aduyiwafrika.tunamusapoti
Urusi ya mwaka 2004 huwezi kuifananisha na Urusi ya sasa kaka