Fahamu MAAJABU ya MELI na Manowari za URUSI zilizotia nanga CUBA na kuitisha MAREKANI

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 60

  • @Joshuajereman
    @JoshuajeremanАй бұрын

    Mwakahuu mungu pamoja nasi ushoga ni chukizo kwa mungu

  • @paulhema5713
    @paulhema5713Ай бұрын

    Ila mwanang una material...ivi huwa unatoa wap material yote haya ...solute kk🤙

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7Ай бұрын

    Ukweli umeanza kujulikana baada ya propaganda za us kuwa na nguvu kwa miaka mingi.

  • @chrispinmkanda6097

    @chrispinmkanda6097

    Ай бұрын

    USA Awana vitu km hv sio!?

  • @Shafikimanga7

    @Shafikimanga7

    Ай бұрын

    @@chrispinmkanda6097 hawana

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Ай бұрын

    Na anajipanga ku2mia mbinu zengine 2mechelewa kushtua mbinu zao

  • @caesargrams
    @caesargramsАй бұрын

    Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347Ай бұрын

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6kАй бұрын

    Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa

  • @uwimana6533
    @uwimana6533Ай бұрын

    Hatari sana

  • @salimwanga
    @salimwangaАй бұрын

    Habari njema.🎉

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rkАй бұрын

    🇹🇿❣️🇷🇺👏

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694Ай бұрын

    Keeping up putin with excellent innovative of the high technology of war ships .

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7Ай бұрын

    Ally una chambua vizuri sn inaeleweka ila. Hauzami Kwa uundani zaid kuelisha mtu mweusi. Mwafrika dj smaa anafanya ivyo. Ila Kila mtu analza yake

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176Ай бұрын

    Nipo Russia hap kwenye kumbukizi ya Yevgen prigozin na nakupata kinoma

  • @HusseinSaguti-sj9nh

    @HusseinSaguti-sj9nh

    Ай бұрын

    Vp uko russia wanasema na vp uwezo wao

  • @WisleyDaniel-xk7xf
    @WisleyDaniel-xk7xfАй бұрын

    I'm number one plz i need likes

  • @ALLYLUKONGE-ve2ci
    @ALLYLUKONGE-ve2ciАй бұрын

    Mt Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @uwimana6533
    @uwimana6533Ай бұрын

    Wakwanza leo

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64Ай бұрын

    Wazungu wote ndio wale wale tu. Africa tushtuke tuache umavi ulio tujaa kichwani

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian9521Ай бұрын

    Nevi sio Navi (Navy)

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232Ай бұрын

    Sasa mlisema meli tatu... Sasa hivi meli moja

  • @hunstonjuliusmkonyionlinetv
    @hunstonjuliusmkonyionlinetvАй бұрын

    meli zaifu na za kizamani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zkАй бұрын

    Ulisemaga au ulizungumzia?

  • @steavmcper7322
    @steavmcper7322Ай бұрын

    Tyson Vs Paul

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261Ай бұрын

    Huyu bwana hachambui Ally masubi, amekuw kama anasom kitabu sasa hatupati uhondo mzuri km Dj sma

  • @ShawnBeatz

    @ShawnBeatz

    Ай бұрын

    kwasababu hana hushabik

  • @niffonlinetz7214

    @niffonlinetz7214

    Ай бұрын

    ​@@ShawnBeatzUSHABIKI GANI ANKO ??? UNATAKA ULETE HISIA ZAKO ZA KIDINI KWENYE FUSE?? HUKU NI FACTS AND LOGIC'S HUTAKI NENDA BBC KULE

  • @ShawnBeatz

    @ShawnBeatz

    Ай бұрын

    @@niffonlinetz7214 dini tena mm mpagan anko! hana facts wala logic apo

  • @niffonlinetz7214

    @niffonlinetz7214

    Ай бұрын

    @@ShawnBeatz KWANI UMELAZIMISHWA ANKO KUMSIKILIZA USIWE KINGANGANIZI KAMA LOKOLE

  • @african_channel
    @african_channelАй бұрын

    Kuna tofauti gani kati ya navy na marine soulders

  • @daprince7545

    @daprince7545

    Ай бұрын

    Lote ni jeshi moja, linalokua kua na uwezo wa kupigana ndani ya maji na ardhini.

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    Ай бұрын

    Marine ni jinamaalum la wanajeshi wa maji wa marekani ambao ni sehemu ya jeshi la navy.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355Ай бұрын

    Umesahau jambo muhimu Inauwezo wa kujificha kwenye Rada...yaani inaweza kupita sehemu na isionekane kwenye Radaa..

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    Ай бұрын

    Nini bosi kama ni submarines zinatumia mfumo wa sonar.

  • @user-wt9nd8bh2h
    @user-wt9nd8bh2hАй бұрын

    Uuraaaaaaa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1xАй бұрын

    Wacha mfusi awape kampani wa quba wameteseka sana

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMARTАй бұрын

    Hawa warusi ni hatari

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_Ай бұрын

    Corona ilianza kimasiahara hivihivi . Tujipange na Sisi 😂😂

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280Ай бұрын

    Daah ni zaidi zama za vita baridi lkn nauliza si rahisi saba kwa waamerika kuzishambulia na kuzizamisha na kuwapa urusi hasara kubwa?

  • @user-zn4jl5wy3d

    @user-zn4jl5wy3d

    Ай бұрын

    Wanaziogopa kama sumu ndio maana hawajazigusa

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169Ай бұрын

    Amuna kitu apo

  • @shaurimtanda8285

    @shaurimtanda8285

    Ай бұрын

    Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani

  • @shaurimtanda8285

    @shaurimtanda8285

    Ай бұрын

    Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1xАй бұрын

    Putin kaza baba

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936Ай бұрын

    Msulimoto 🇷🇺

  • @user-ib3sl7wg5u
    @user-ib3sl7wg5uАй бұрын

    Tunarudi kuleee kwenye Cuba missiles crisis.

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyauАй бұрын

    Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694Ай бұрын

    Heko putin propaganda kwisha

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963Ай бұрын

    Muongo ww mara 5 mara 6 muongo

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    Ай бұрын

    Uongo ni upi bosi..?.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977Ай бұрын

    Ukraine mbabe

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485Ай бұрын

    Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka

  • @AmosFocus-jd9qo

    @AmosFocus-jd9qo

    Ай бұрын

    Vita visikie kwa jirani acheni uchochez kiki nuka dunia itakuwa kama kitongoji

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977Ай бұрын

    Ukraine anazilipua

Келесі