HIVI ndivyo MSHINDI wa BSS alivyotangazwa leo /TAZAMA MAMA YAKE alivyolia kwa UCHUNGU kwenye STEJI.
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 82
Woow asangwile umestair ushindi wewe ni star 🔥. God akuongoze ktk sanaa yko
Kumtumikia mungu kunafaida asagwili baba wewe ni Zaid ya super 🌟❤️❤️❤️❤️❤️
Hongeraaa Asajile hongera xn maana ushindani ulikua mkali xanaa
Acha mungu aitwe mungu 🙏😘
Kama Umemuona Madam Rita Muda Mwingi yuko Busy na Kuliweka Sawa Gauni Lake Like Zangu Hapa🤣🤣
@elizabethnginya1219
Жыл бұрын
Enda zako wee bwana Angalia content😬
@zulfatabdallah7942
Жыл бұрын
Hahahaha
Watu wanapenda dunia kuliko Akheir hizi dalili za kiama
@salma-gf8ek
Жыл бұрын
Acha Tu kaka mungu atuongoze waja wake watu wanatembea uchi wanafanya mambo yahajabu hawana kabisa hofu ya mungu
Madame anajuwa kuva vizuru
Sijapenda kwa kwel naumia sn Tgun tozzy hajapita top3
@sophiamkama9635
Жыл бұрын
Wee Acha tuuu
I love Leonard Sunday good vibe man.... You'll win one day!
Ila kiuhalisia madam Rita na stuff yako mmezingua tgun tozzy hayupo hat kweny top 3 ni hujuuma trust me Kam tungembiwa mashabiki tuwe majaji bx tgun ndo angeondok na Hy 20 yenu hapo
@nissamwapoladi7345
Жыл бұрын
Et jaman
@sarahmavura2617
Жыл бұрын
Kura ulipiga
TGAN KIUKWELI JANA HAKUFANYA VIZURI ,SHOO ZAKE MBILI ZOTE KIUKWELI HAKUFANYA VIZURI NA KUMBUKA JANA WALIKUWA WANAMUDGE ULICHOKIFANYA MUDA ULE NA SI YA NYUMA.
@paschalcleophace5677
Жыл бұрын
Fact na alieangalia shoo nzm ndo anaweza sema ukweli huo
Madam wetu umependeza masha'allah 💓
@ab3ab313
Жыл бұрын
madame wetu nakupend bure😍😍😍😍
The love of the participants 🔥
Jaman hata kama kwenye bss hua hakuna mwana hip hop huwa awatoboi lakin no tatu ilikuwa ya TGUNNZ TOZZY BUNDUKIIII ila kiukweliii star ni tgun namkubaliiiii sana Aiseeeee
@Ann-Strong
Жыл бұрын
Jina pekee lilimwangusha,masanii wajifunze kutumia majina rahisi
Kwenye ndoto mshindi ni Mimi tguntozz
Hivi huu ni mchezo wa baati na sibu au? mngezungusha na lile dude basi,na tunapiga kura kwa nini kama hamfuati mtu wa mwisho ndio wa kwanza kwa kuimba mapambio ambayo kila mtu anaweza kuimba .mshindi hapo ni Leonard au tigany ,watu nawabidi wakija kushindana wasiangaike kufuata mashari ya uimbaji
UPUUUZI MTUPU MSHIND WA TATU ANAPEWA MILION MOJA KUNA HAJA GAN YA KUWEKA MSHIND WA TATU
Asagwire anastahiri ushind
Muwape tu pesa Zao muache utapeli
Ongera sn wg 🎓🎓
Ndio nini kujiangusha hivyo wabongo bwana hovyooo
@mwanahamisihamisi5610
Жыл бұрын
😆😆😆
Mshind alitakiwa awe Patrick bhna
Pesa ndogo mmh😢
Mshindi wa pili hela ndogo sana sana na watu milioni moja kweli mnautani wa ngumi nyie
Cjapenda.Tgun hata kn 3 bora its not fair mmezingua
Haya mashindano wangekuwa wanapewa hela pia kwa mshindi wa pili na wa 3
Hawa wajamaha ni wapumbavu kbs Tgun hayupo kweli....mbwaa Hawa kabisa
@octavianmasala3862
Жыл бұрын
Ata mm ndo mshindi wangu Tgun
Tgn tozzi hayupa nyie mbwa ushindi wamchongo
@adilaadila1128
Жыл бұрын
Ulimpia kura
Mashindano ni mashindano tu kwahiyo tgan toz hata top 3 hatupo
Naona hata hapo kuna rushwa tu mziki duh jamani eti mashindano wanakataza mtu kuimba kingereza ukiimba kingereza umeyakanyaga amjui kitu tunafatilia mashindano mengi sana ya mataifa tofauti watu wanaimba kwa lugha tofauti na ile ambayo anaipenda mwenyewe vingereza français na lugha zingine nyingi ilimradi uimbe tu wao wanaangalia kipaji cha mtu sio nyie munaangalia anaye juu kuimba kiswahili ujinga
@barakamwasenga2143
Жыл бұрын
Koo wewe wakiimba kiswahili inakuuma kila watu na taratibu zao
@shadowmedia7644
Жыл бұрын
Pumbavuuuu sana kumbe hakuna umuhimu wa kupiga kuraaaa ilikuwa ikitoka Sunday ni TGUN TOZZY
Pitia frm 254🔥🔥
Kwenye ndoto mimi ndio mshindi tgun tozzy
Hao washindi wapili nawatatu mnapunja maokoto
Dunia hiyo
Wanyakyusa hapo sasa
Mdogo wake ambwene wanyakyusa wanavipaji lakn kama nawaona ila wazir huyo ungemkabidhi kwa kaka yake chui
@fainajaffary4070
Жыл бұрын
Hahahah
God does not abandon his servant, man
Apa madame alipendezasana
Nakipenda kipindihicho ila mshindi wa pili na watatu wanapata pesa ndogo sanaaaa.
Sifurahi
Jamn tgun tozzz Yuko wp
T gun tozzy mmemfanyia sio
Jmn tgun tozzy ajaingia hat top 3 dah
Asajile kyala naloli
BSS Hawalipi wanawazengua
@barakamwasenga2143
Жыл бұрын
Walipe ww bac
Kama Hela hawapewi tukaona bc ndo wamezimwa hakuna hela hapo
TGun ndio mishind
Nafasi ya Patrick n ya Tgun Tozzy
Duh mnatia aibu milioni moja mshindi wa tatu
Milioni 1 mshindi wa 3 guys ur not serious dah
@efronaaron6772
Жыл бұрын
Tofauti ni kubwa mno
@dottomsoka1359
Жыл бұрын
Haijakaa vizuri kwakweli
@dottomsoka1359
Жыл бұрын
Asegwile he deserves bravooo, lkn mshind wa pili na watatu mngebadilisha zawadi haijakaa poa
@albertomwambapa
Жыл бұрын
Pumbavu kweli...
We jiangushe kwa furaha wakati Hela umedhulumiwa hApo huambulii hata ya diclopa
@sabinaonline6575
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂
@wazdanygao3118
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@eshyndibalema1529
Жыл бұрын
Acha uchonganishi
Kwa kweli Asagwile Na Petro cjui inakuweje ila Kila kitu ni kazi ya Mungu
Hzo hela zke mumpe kwel tunasikia mnampaga hela kivuli BSS mnazingua🤣🤣
@lastborn7810
Жыл бұрын
Kweli eeh au wanawapa nusu tu 😅😅
@esthermakaka2709
Жыл бұрын
Mimi naona mshindi was tatu alistahili Tigan
Pitia frm 254🔥🔥
Kwani hizo milloni ishirini ni pesa ngapi za Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣hivi mnajua millioni ishirini nyinyi