HII MUPYA! MAHARUSI WAMEKUTANA INSTAGRAM, HAWAJAWAHI KUONANA , MAREKANI NA TANZANIA.
Ойын-сауық
Baada ya kua na urafiki kwa miaka 11 na mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu yote hiyo bila kuonana Bw akiwa Marekani bibie Tanzanian. Hatimae Macrey na Doroth waoana baada ya kukutana face to face for only two weeks .....
TUMERUDI KZread RASMI. Poleni sana kwa kutumiss..
Tell friends to Subscribe, Share and Comment
@Mcgarab
Пікірлер: 405
Its so amazing, i share the same love-marriage story. Met my lovely wife on facebook june 18th 2018.. akiwa Tanzania mm nikiwa Qatar, miezi 9 baadae ambayo ni feb 16 2019 nikaja Tz kila kitu kilikua tayari ndio tulifunga ndoa. Hapa hatujawahi kuonana kwanza mm mkenya na mke wangu mtanzania. Tunapendana sana na Mwenyezi Mungu katujaalia na mtoto 1 sasa. With true love, its possible. Hongereni sana
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
Fatuma nae anaoa c MAAJABU
@dottokillangi7184
3 жыл бұрын
Hongera Mungu hukutanisha popote don't worry Hiyo no yesu beautiful couples
@baimarrajahbuayan6237
3 жыл бұрын
Hongera
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Bwana Fatuma aka Mr Fatuma nawatakieni kila la heri na Mrs Fatuma
Nimempenda Bibi harus hajaweka minywele ya bandia Kichwani, na mie cku Mungu akinijalia nikapata Mume! Cku ya harusi ctaweka nywele za bandia kichwani
@treasureforashes3497
2 жыл бұрын
Hamna ubaya na weaves,kila mtu na style yake,haimaniishi ya wengine mbaya,
Msuwakosoe maarusi Mungu amewakutanisha. Jifunzeni kuacha wivu.
Glory be to God, I wishing you all the best ,Mungu awalinde, na kuwatunza,,na kuwafanikisha katika maisha yenu ya ndoa.
Waooh it's so amazing jmni,,God is great.😍 Mc hujawahi kufail
Nlipata mume Facebook sasa tuna miaka 8 kwa ndoa na watoto wa3 na tuna Amani na maelewano kabisa tena nchi tofauti
@innocentcleophace8583
3 жыл бұрын
Nawapongeza saana MUNGU babaa awajaliee daima
Mmh niseme ya moyoni bwana na bi kharusi wameendana wamefanana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
That is True Love congratulation❤❤❤❤
😃😃😃kwani Mahusiano yenyew yanasemaje 🙌🙌 ila everything is possible when yu trust God
Hongera sana mdogo wangu Dorothy. You have been a good child I have seen you growing up tukiwa shuleni. You have been cool all the way with that beauty that has never faded. Well behaved. Nakutakia heri na baraka tele. Make the man happy... treat him like a king he will make you his queen as you build your castle. Happy marriage life
Huyu mwanamke nahisi sio poa kama mcharuko kuliko mwanaume hapa
@rehemanditu686
3 жыл бұрын
Umeona ee
@masoudsalum9514
3 жыл бұрын
@@rehemanditu686 Anakimuye muye kweli
@mariamkiharo6345
3 жыл бұрын
@@masoudsalum9514 🤣🤣
@liliankiondo4457
3 жыл бұрын
Kweli Yani si kwa kihereher.amepata Kaka mstaarabu ajifunze toka kwake na atulie
@jamilamanariyojamila1487
3 жыл бұрын
Kabs 🤣
If you don't have anything good to say to the couple it is a good idea unyamaze. Very nice looking couple, beautiful wedding ceremony, acheni wivu!
@dibabatv5761
3 жыл бұрын
Umeongea sahihi Sana,watakie mema watu wafanikiwe, acheni kukosoa kosoa watu wanependana, hatuwez zaliwa sawa
@gloryfrankie1743
3 жыл бұрын
Yes this is very true
@zulfahamidu5348
2 жыл бұрын
@@dibabatv5761 you can p
Mimi pia nimeolewa kupitia tu mitandao sijawah kuonana nae nimemjua mme wangu siku tunafunga ndoa yaan ni nzur usiogope kila kitu mungu ndy anajua tumuachie
@sukariyao6537
3 жыл бұрын
Aswaaaah best ww kma mie tuuuh
@habibatyntosso1436
3 жыл бұрын
Safi dear ukimtanguliza mungu hakuna kitakachoshindikana kwasabbu mungu ndy anatupangia kila kitu
@sukariyao6537
3 жыл бұрын
@@habibatyntosso1436 Amina 🙏
@duhrurhhddhheud8575
3 жыл бұрын
Bora unatupa moyo
@habibatyntosso1436
3 жыл бұрын
@@duhrurhhddhheud8575 yaah
Ayeeee na ni mupyaa kweli kwelii🤩🤩nzuri mnoo👌
Dada wa kidimbwi huyu..mjanja kuliko jamaa..ila hongera sana..kizungu zaid
mbona kama ana sura yakike hongerani sana mnapendexan
Mc uko vizuri Hawa wanandoa wakaishi vyemaaa
Hongera sana Dorothy usiache kuingana na mume wako katika maombi
So fantastic 😍😍😍
Ni nzuriii nimeipenda naomb nam nipate
☺️☺️☺️ nzuri
Wow congrats Doroth
True Love still Exist 💓💓💓 Love bird's 👍🎉
Nmegundua kitu😅😅😅😅Bibi kachachuka bwana mpole Then bwana mcha Mungu haswa apo kwa kidawa !?!?!so watasaidiana kuchange all the best
@magrethmassawe5911
3 жыл бұрын
Hahahaha mchachuajii
@fatumamdagano4318
Жыл бұрын
We mungu nisaidie nami nipate mime kama huyu
Hapo pa roho mtakatifu Holy spirit show me my husband too.
Kazi ya Mungu haina makosa,mbarikiwe kwa ndoa yenu.
Mungu aibariki ndoa yenu. Naimani mtafurahia maisha yenu mpaka mtakapo zikana. Roho mtakatifu humuongoza mtu sehemu sahihi. Mungu akubariki sana kaka kwa kumsikiliza roho mtakatifu. Amina.👨👩👧👦💖
😂😂😂😂😃🤣🤣🤣jaman km mie mume wangu alilosea number nakupiga kwngu ndipo tukafamihana humo
@samwelimoshi5614
3 жыл бұрын
Weeee
God bless your marriage
Jaman nataman kuolewa wananipa wivu daah,Bwana Yesu ahsante na meme yangu itafika.
Beautiful ❣️❣️
Hongera sana,lakini mbona bwana harusi mpole sana
@samwelimoshi5614
3 жыл бұрын
Ameish marekan
@user-ox2uw9ds5o
9 күн бұрын
Mpole wa juu mkali wa chini😂
Hongera
Hongeren
Waoooh so nice
God's plan are always real 🙏🙏🙏❣️
Very good
Very nice
Nilicho gundua kuna watu wana roho ya kwa nini kila kitu anapanga mwenyenzimung acheni wivu😏😏
@nainaiblack6736
3 жыл бұрын
Kbsaaa kipenz
It's a matter of prayers and God will do the rest. be blessed Guys
Mwanamke anashughulika
Gara B kama Gara B,congrats
How did you know what she is right person?, did you deeply investigate her much???.
The same thing happened to me, met the love of my life online in 2019
We unayesema cjui bwana harusi lastborn mara kama siyo rizki ndo nini
Bibi harusi upo vzuri huna mambo mengi na umependeza sana
This is what we call trust,
Hongera nyingi kwenu mpendanao wote
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Rey vp tena
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Rey vp tena
Nguvu ya pesa hiyo
Bro una talent kinoumaaa
Kila la kheri comments nyingi mnasema mwanamke mcharuku wivu tu watu hupendana sio wngine huishia kuonywa kama mboga
@matundumgweno4533
3 жыл бұрын
Hahahaah kuonywa kama mboga
@azizayassin3623
3 жыл бұрын
@@matundumgweno4533 kabsa mtoto wa shangazi 😄😄😄😄🤠💯
Mbona comment zimejaa za kiinglishi tu😂 kwani wenzangu namimi wabuza kwa lulenge hatupo
@neemamogola8673
2 жыл бұрын
Hahahahahaha
Very nice couple
Nzur
Umepatikana kaka kwauyo mke
@samwelimoshi5614
3 жыл бұрын
Kwa nn
Nyimbo waloingilia ukumbini hawa inaitwaje na kaimba nani please
Wooo💕
Glory to god
Hii nayo mupya!!!
Mwanamke hamna kitu jmn mpaka naona aibu kama nipo karibu vile
Nimempenda bi harus kavaa simple mno
@janiphabukuku1023
3 жыл бұрын
Kapendeza san
Bora tumerudi KZread
Wamependeza sana
@elizabethzuchu7306
3 жыл бұрын
Wanapendeza
Kwamba Bibie ndiye wa kutoka mamtoni.
GOD IS GOOD
Mwanamke hamna kitu hapo mcharuko balaaa
Cheese huyu mwanamke mungu saidia
Mc nimekuelewa
Yes sir
GOD’s plans 🙏
Mwanamke mdangaji sana uyo
@enockmaige8936
2 ай бұрын
Mh vipi kuhusu w
Amen
True love 💪🏻
@pendothomas7258
3 жыл бұрын
True love waits
Hapa kaashwa mtoto m2
Yes
Inapendeza
❤️❤️🥰
Wale wanawake wote mnaotukana wanaume wakija fb au mesenja ndoa mtaisikia kwa wenzenu tuuuuh upooo 👌 mwenzenu nami nimepata stara fb 😂😜😜🙈
@prettyh7509
3 жыл бұрын
😅😅weeee
@sukariyao6537
3 жыл бұрын
@@prettyh7509 🤔🤔
@user-si8qq4kj4b
3 жыл бұрын
😆😆😆😆
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Hongera kwako
@sukariyao6537
3 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 asante my
😍😍😍😍
@ndagiletv521
2 жыл бұрын
Mambo winie temu
Huyu mwanamke ana mawengeflan just msikilize vzr nikama jamaa kaokota zagabov
@user-ot2io4cy6w
3 жыл бұрын
😅😅😅
@user-ot2io4cy6w
3 жыл бұрын
Eti ZAGABOVU
@DM_15
3 жыл бұрын
@@user-ot2io4cy6w sindio mawengeflani iv mcharuko mcharuko iv yaki istergram flani
Maana yake hiyo ya kwamba nikama guy ninini?sielewi
Mdada anajishaua weee😂😂😂😂😂😂
@azizayassin3623
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣adi raha
@dibabatv5761
3 жыл бұрын
Acha afurahie, wengi wametamani hawakufanikiwa
@doreenbae866
3 жыл бұрын
😂😂😂
Jamn na mm mungu si anioneshe the right person 😢😢
@nyamangaking6608
3 жыл бұрын
You want the right person that's my contact +27848885287
@winfridanambole1341
3 жыл бұрын
@@nyamangaking6608 😂😂😂
@winfridanambole1341
3 жыл бұрын
@@nyamangaking6608 nitajuaje km ni right person
@nyamangaking6608
3 жыл бұрын
Omba Mungu atakwambia lakini najua kila aliyeokoka kweli kweli is a right person
@nyamangaking6608
3 жыл бұрын
Let's talk in box +27848885287 but we must have enough time to know each other
Uyu mwanamke anaonekana wamoto kwer alafu kinajishauwa kumshika shika mwanaume iyo kwiyo
@farajachengula9227
2 жыл бұрын
Kbs ani kanabwebwe
😍😍😍😍😍😍😍🤩👌👌👌
Hatwaar
Mwanamke mapepe
@zuu7130
3 жыл бұрын
Nimependa
Mwanamke kachapuka kaona zari lametali
mbona kama mwanamke ana kitete kuolewa na kaka wa marekani
@neleakilanga3834
3 жыл бұрын
😂😂😂
@alikutenga3303
3 жыл бұрын
Yote furaha hiyo.. Sasahv hao waowaji walivyokuwa hawapo unafanya mchezo nn?.
@jenifajuma5395
3 жыл бұрын
Waowaji wenyewe hakuna siku hizi hata ningekuwa mimi ningechangamka balaaa
@myunaniniahmad6463
3 жыл бұрын
@@alikutenga3303 😁😁😁😁😁
Distance is not a barrier
Dada mjuajii
Subiri muendelezo na mwisho wa hiyo ndoa ndo nitakuja cu comment apa napita tu
@omanabcd9249
3 жыл бұрын
Mke hakuna
@ziongodfirst1868
3 жыл бұрын
Haki huyo dada kwa mwonekano tu labda tuone wataishia wapi ngoja ninyamaze
Nyimbo inaitwaje jaman
@mfumbuzionlinetv
3 жыл бұрын
All night long
Mmmh ni atr
💖💖💖💖💖💖💖
Bibi harusi mcharuko yaweza kuwa karoga huyu siyo roho mtakatifu ni roho mtakakitu looo cyo kwa mcharuko huo
@dasilvajacmwax7436
3 жыл бұрын
samira samira samira😂😂😂
@johanesbina1302
3 жыл бұрын
Duuuh mmmmh haki alikuwa hanyandui wazungu
Mkaka mpole ❣️
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Yes
Natamanii nami iwe like
@lidyasamwel4228
3 жыл бұрын
Welcm to me
@judithmwambe4767
3 жыл бұрын
Heeh!
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Npo If u like my dear
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Njoo kwangu bibie
@judithmwambe4767
3 жыл бұрын
@@nilansaid2927 thanks
Dah Mimi siwezi asee
@jamilasaid1764
3 жыл бұрын
Hahaha
Mbona mwamba hayupo concrete maana Kuna wakurungwa wa buza kwa lulenge na mzee mparange wanamtazama tu
@swalecomedian1340
3 жыл бұрын
Hahaaaa
@sarapaulo4718
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Unataka awaje