HEKAYA ZA NABIIMSWAHILI

Ойын-сауық

Hizi ni clip zinazobeba ujumbe unaohusiana na masuala mazima ya ulindwaji wa utalii wa ndani na kutunza vyanzo vya Miti
#LPMEDIA
#2021
+255769000762

Пікірлер: 142

  • @farajilupeto4647
    @farajilupeto46473 жыл бұрын

    Qariiii sana madebe. Kama unakubar madebe gonga like hapa tujuwane

  • @charlesdotho3230

    @charlesdotho3230

    Жыл бұрын

    Poa

  • @user-ru7vn9nl8w
    @user-ru7vn9nl8w9 ай бұрын

    Hakika Nabii Mwenyezi Mungu Akuzidishie kuishi maisha marefu elimu tuyipatayo Toka kwako hakika tunaelimika🙏🙏🙏

  • @passionflavour5159
    @passionflavour51593 жыл бұрын

    Mbona ckuiz umepotea Sana kaka siokama zamani

  • @mbunah255
    @mbunah2553 жыл бұрын

    Duuh 5 day npen like hata 100 jamon😔😔😊

  • @citogentlemanbusiness7028
    @citogentlemanbusiness70283 жыл бұрын

    Huuu mwimbaji anacho kijua niku imba sana🇨🇩🇨🇩😂😂

  • @more2559

    @more2559

    3 жыл бұрын

    Feysal machuya

  • @citogentlemanbusiness7028

    @citogentlemanbusiness7028

    3 жыл бұрын

    @@more2559 ✊

  • @mrmariki9090
    @mrmariki90902 жыл бұрын

    Nzur Sana tunasubir mwendelezo wa nabii mswahili!!

  • @dignanachenga5699
    @dignanachenga56993 жыл бұрын

    Unaeza sana Allah akusimamie Zaid kwenye kazi na kukubal sana madebe mie na familia yangu

  • @jimmyjeremie6723
    @jimmyjeremie6723 Жыл бұрын

    Asante nabii Ila tunaomba mwendelezo waii filam

  • @fettykisamvu4447
    @fettykisamvu44473 жыл бұрын

    Sauti zuri mnoo hongera kwake uyo muimbaji mtungaji na mwandish wa nyimbo iyo

  • @ustadhemmanuel8797

    @ustadhemmanuel8797

    3 жыл бұрын

    Anaitwa nani

  • @christopheamos7150
    @christopheamos71503 жыл бұрын

    Hii itakua kiboko zaidi sana tunakusubiri kwa hamu

  • @marcelinammasa3114
    @marcelinammasa31143 жыл бұрын

    Madebe unawakilisha Tanzania 🇹🇿 yetu kwa bongo movie keep it up brother 🔥🔥🔥 🔥

  • @nakulemuderhwa6648
    @nakulemuderhwa66482 жыл бұрын

    Nashukuru kabisa kuhutazama filamu hii kiukweli niyenye kujenga

  • @franknyali573
    @franknyali5733 жыл бұрын

    Naisubili kwa hamu San iachie

  • @abdinasiromar3262
    @abdinasiromar32622 жыл бұрын

    Watching From Northern Kenya, Very Interesting. ✓

  • @samirpictures9929
    @samirpictures9929 Жыл бұрын

    I really appreciate ur work madebe 🙌🤝🤝🤝

  • @innocentoder8481
    @innocentoder8481 Жыл бұрын

    Kamaa tunamkubalii madebee wapii likee jamaniii,,,anajuaa madebeeeeeee ni hatar

  • @markopiyotv2010
    @markopiyotv20103 жыл бұрын

    From kisii Kenya we enjoy your show

  • @philemonanyona223

    @philemonanyona223

    2 жыл бұрын

    Safi

  • @mwabigabriel3053
    @mwabigabriel30533 жыл бұрын

    Hongera Nabii Mswahili, umenifanya kukimanya Kiswahili na kuyajua mengi. Asante

  • @denniswasike1193
    @denniswasike11933 жыл бұрын

    Tunangoja kwa hamu sana can't wait

  • @justineonline6556
    @justineonline65563 жыл бұрын

    Kweli hekaya za nabii mswahil

  • @rehemakigody9359
    @rehemakigody93593 жыл бұрын

    Jamaa Anajua sana

  • @hamadmsigwa3448
    @hamadmsigwa34483 жыл бұрын

    Jamaa anajua

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim56073 жыл бұрын

    Wakwnza like kwangu😋

  • @pascalwanjala7478

    @pascalwanjala7478

    3 жыл бұрын

    Good .karibu Kenya dada.

  • @favouroriginal4120
    @favouroriginal4120 Жыл бұрын

    Naikubali sana kazi yako nzuri inaelimisha jamii.

  • @luisrich4261
    @luisrich42613 жыл бұрын

    Paka anae samini kesho yake hawezi kula panya mwenye mimba

  • @jamesbullet2906
    @jamesbullet2906 Жыл бұрын

    Hogera sana madebe kazi poa

  • @autographics2023
    @autographics20233 жыл бұрын

    Wangapi hatukati miti tena

  • @christopheamos7150
    @christopheamos71503 жыл бұрын

    Hum noma kabisa jiwe akeangikia yai hasara kwake naikifikapo yai anaangukia jiwe hasara kwake huu msemo unahitaji ufumbuzi zaidi, kikubwa nikufuatlia kwa makini mbeleni tupasha kuelewa mengi zaidi

  • @mwangamediasimoncephas
    @mwangamediasimoncephas3 жыл бұрын

    Mombasa-Kenya,nafuatilia tu kwa ukaribu sana

  • @amisiba751
    @amisiba7513 жыл бұрын

    Kaka nimekuelewa sana ujue

  • @albertabas2888
    @albertabas2888 Жыл бұрын

    Thank you for your work bro

  • @citogentlemanbusiness7028
    @citogentlemanbusiness70283 жыл бұрын

    Ningependelea muwe mnaposti izo wimbo tuwe tuna sikiliza kwaku jifunza naku furaisha nyoyo zetu 🙏

  • @thwalibmshairi1428
    @thwalibmshairi14282 жыл бұрын

    Huu ni ukweli miti n yamaana sana katika maisha ya kiumbe yeyote mwenye damu

  • @thwalibmshairi1428

    @thwalibmshairi1428

    2 жыл бұрын

    Kutokea Kenya madebe mengi umenifunza Kaka nakupenda sana

  • @thwalibmshairi1428

    @thwalibmshairi1428

    2 жыл бұрын

    Hongera kaka

  • @augustinomunuma853
    @augustinomunuma8533 жыл бұрын

    Nakubali sana uwezo wako wa kufikiri. Hongera sana. Ujumbe ufike kwote ulimwenguni. Miti ubeba asili yetu, ubeba utamaduni wetu, Afya yetu, elimu yetu na maisha yetu. Maisha yetu utegemea sana mazingira yetu ya asili. Mungu akubariki wewe na timu yako

  • @ismaillhussein1357
    @ismaillhussein13572 жыл бұрын

    Mwendelezo wa matusi vp

  • @officialfeba2120
    @officialfeba21203 жыл бұрын

    Nakukubali sana brother

  • @ciscongala1037
    @ciscongala10372 жыл бұрын

    Huna mfano Tanzania brother,from 254🇰🇪

  • @ktwoeddy3941
    @ktwoeddy39412 жыл бұрын

    Napenda huo wimbo kwa background, nani ameimba???💥💥

  • @abelwanjala9577
    @abelwanjala95772 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi unayoifanya madebe l,I wish that one day to meet you

  • @katembenduto9560
    @katembenduto95603 ай бұрын

    Nakubali Nabii

  • @elishasilawi2492
    @elishasilawi24923 жыл бұрын

    Naisubiri maana zote nishamaliza

  • @jumaabdalah3884
    @jumaabdalah38843 жыл бұрын

    Tunasubl kwA hamu sanaaaa

  • @mutanafatiibrahim2240
    @mutanafatiibrahim22402 жыл бұрын

    Natamani kua kama madebe athman mbinga. Mm ni mkongo nipo goma. Nitajitahidi namimi niwe mswahili wa Drc.

  • @stevemariga1
    @stevemariga13 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 napenda hizi hekanya

  • @spensmokimalenga
    @spensmokimalenga3 жыл бұрын

    Kwa kweli in kweli, asiyejua thamani ya mimba, huavya, anayeijua haika ni tasa

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75153 жыл бұрын

    Heee saa kumi na moja Asubuhi??.. daaa unatukosesha uhondo

  • @yahyangoroka4010
    @yahyangoroka40103 жыл бұрын

    Asala kwa yai

  • @josephmartini1431
    @josephmartini14313 жыл бұрын

    Duuh nakugoja hujawah kufel

  • @salimusaid304
    @salimusaid3043 жыл бұрын

    Tumeisubiri kwa Hamuu

  • @christinamosses178
    @christinamosses1782 жыл бұрын

    Bro uko vizur sana kwa mtu ambae hakuelew bs atakuwa mchawi

  • @haronsiele4144
    @haronsiele41443 жыл бұрын

    Totaly enjoyable real in life

  • @bbablack9080
    @bbablack90803 жыл бұрын

    Madebe tunakuitaji zaidi ✊🏿

  • @Chachathecj
    @Chachathecj3 жыл бұрын

    Madebe nimesubiri Sana ,iachilie

  • @willemwinuka8396
    @willemwinuka83962 жыл бұрын

    Nakubali

  • @Brayban
    @Brayban3 жыл бұрын

    Fupi sana

  • @justinramadhan6909
    @justinramadhan69092 жыл бұрын

    Nakubali Sana kazi zako kaka

  • @joyceherman2740
    @joyceherman27403 жыл бұрын

    Tuma hata kipande cha dk 30+

  • @Chachathecj
    @Chachathecj3 жыл бұрын

    Finally it's here 🔥🔥🔥

  • @emmanuelmasungaemmanuelmas5697
    @emmanuelmasungaemmanuelmas56972 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana bro piga kazi achana na maneno na ubisho🔥🙏

  • @malumejunior3674
    @malumejunior36743 жыл бұрын

    malizia

  • @salimusaid304
    @salimusaid3043 жыл бұрын

    Iachiwee yoteeee kbsaaa kbsaaaa maaaaan imejenga maudhui na mafundisho

  • @badboykiemke
    @badboykiemke Жыл бұрын

    Akoseag uyu jamaaa

  • @nas2800
    @nas28003 жыл бұрын

    Nakupenda bure madebe

  • @upendovahaye1901
    @upendovahaye19012 жыл бұрын

    Tweve axante kwa kutuelimixha kijana

  • @Nakasinge_Mugarula
    @Nakasinge_Mugarula3 жыл бұрын

    Unafanya kazi nzuri sana

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon20863 жыл бұрын

    *Muigizaji pekee Tanzania mwenye filamu zake*

  • @marcusmeshack3106
    @marcusmeshack31062 жыл бұрын

    Kamanda unapasua Anga

  • @yakoubwachafu4694
    @yakoubwachafu46943 жыл бұрын

    Waiting

  • @kitumbomagufuli3602
    @kitumbomagufuli36023 жыл бұрын

    Hongera madebe

  • @charlesdotho3230
    @charlesdotho3230 Жыл бұрын

    Madebe vijana wengi tunajifunza kupitia kwako hususan kwenye ndoa

  • @kavulahuseni9801
    @kavulahuseni98013 жыл бұрын

    Tunataka vitam kila kukicha wewe umiza kichwa kutunga tuko pamoja

  • @stanleykiok7944
    @stanleykiok79442 жыл бұрын

    Great minds

  • @yussufsalim7306
    @yussufsalim73063 жыл бұрын

    Punguzeni sifa

  • @tekala8778
    @tekala87783 жыл бұрын

    Matusi imeishia wapi mbn kimy MADEBE

  • @skullboy_karimh
    @skullboy_karimh3 жыл бұрын

    Big up sana unajua

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma51803 жыл бұрын

    Kazi Safi kabisa

  • @jumaabdala6461
    @jumaabdala64613 жыл бұрын

    Achia watu 2pig hela zetu

  • @molimoli1052
    @molimoli10522 жыл бұрын

    Kenya commend

  • @amour0072
    @amour00722 жыл бұрын

    name of the song from the START?

  • @adammombo1855
    @adammombo18553 жыл бұрын

    Iko poa

  • @mcjayupdatenewsonlinetv408
    @mcjayupdatenewsonlinetv4083 жыл бұрын

    Darasa huru hakika najifunza mengi

  • @Nshimirimana80
    @Nshimirimana80 Жыл бұрын

    Safii

  • @user-hd6uk2xu3o
    @user-hd6uk2xu3o6 ай бұрын

    Like it❤

  • @ysufuerasto8361
    @ysufuerasto83613 жыл бұрын

    Madebe nimekuelewa apo kwamba paka mwenye akili hawez kumula panya mwenye mimba

  • @mutambalafikiri8124

    @mutambalafikiri8124

    3 жыл бұрын

    Kwasababu gani hawezi kula

  • @sylvesterdaniel7423
    @sylvesterdaniel74233 жыл бұрын

    Asante kaka

  • @gabrielmartin3743
    @gabrielmartin37432 жыл бұрын

    Unavyokataza nikaa unafikiri watu wote wanamaisha mzuri kama wewe

  • @user-br5gi5kq2e
    @user-br5gi5kq2e14 күн бұрын

    Kenya

  • @hellenmwambembe9342
    @hellenmwambembe93423 жыл бұрын

    Nceee

  • @freddyfelice8799
    @freddyfelice87993 жыл бұрын

    Oggy snaaa

  • @fortunatuspaul9077
    @fortunatuspaul90773 жыл бұрын

    Iko njema

  • @simonsweka7305
    @simonsweka73053 жыл бұрын

    Matusi...mliixhia wapi jmni na hii mxje mkaixhia njian bci

  • @petermatage2989
    @petermatage29893 жыл бұрын

    Mwamba wa Tz hendelea kukiwasha

  • @erictucker4213
    @erictucker42132 жыл бұрын

    Napenda Kila kipindi yako Nabii..wewe ni akili sana. Taifa yangu in Liberian lakini ninajaribu kujifunza kiswahili kidogo Kwa KZread video katika Makarini.

  • @KedyTz
    @KedyTz3 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim20702 жыл бұрын

    Nyimbo ni wa nani jamani

  • @miltonbella
    @miltonbella Жыл бұрын

    Hii

  • @justinjghuliku8182
    @justinjghuliku81822 жыл бұрын

    Kenya commedy

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne1232 жыл бұрын

    Tuna subir

  • @yusrabangusilo893
    @yusrabangusilo8933 жыл бұрын

    🤗😘😘😘

  • @marikokinyua2144
    @marikokinyua21443 жыл бұрын

    Smart

Келесі