Hatimaye Mbarikiwa "ATOA UTETEZI WAKE MAHAKAMANI LEO" ITAKULIZA. Ama kweli kuna watu huonewa duniani
Жүктеу.....
Пікірлер: 75
@hellenngwilla55012 күн бұрын
Mungu akusaidie sana Baba Mchungaji tunaomba haki itendeke jaman msimwonee Mchungaji
@elijiusdaniel981712 күн бұрын
Baba wanakuonea sana hawa mashetani,walitumwa na shetani kutesa watu Mungu,aishivyo Mungu tutazidi kuwapinga kwa nguvu zote.
@user-im7vi2yf2d12 күн бұрын
Pole mbarikiwa na mama salome
@paschalfausitine710812 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi , babangu mbarikiwa ❤
@MariamCleinance12 күн бұрын
Mungu yupo pamoja na wewe baba mungu akutetee baba
@luganomunuwavanu936912 күн бұрын
If you stand for the truth you will always stand alone. For sure you are Righteous daddy
@clemenceparokola12 күн бұрын
Baba mchungaji Mungu akuteteee
@DanielKoipapei12 күн бұрын
Bwana angalia bwana Mungu wangu angalia bwana inauma sana
@ugalidona-cs2yn11 күн бұрын
KWA VYOVYOTE VILE BADO TUNAMTAZAMIA MUUKUMU WA HAKI NA MUUKUMU WA MWISHO NI MUNGU TU. AMINA.
@Veni58412 күн бұрын
Mama pole kesi inakukumbushia machungu uliyopitia
@AnnaMwitega11 күн бұрын
Mungu aende mbele yako Mtumishi wa Mungu akutetee.
@Pendopasilika11 күн бұрын
Pole mwana wa MUNGU MUNGU akutie nguvu
@bahatimgaya404512 күн бұрын
Aiseee haya Mambo ni hatari 😊
@Gwa-Kayaga12 күн бұрын
Siku zote mwenye haki husimamia ktk uhalisia wa jambo,,,,,Hapo hata HAKIMU awe makini na maamuzi atakayochukua,,,maana hapa Kuna sauti ya damu ya mtu inalilia HAKI😢
@jonathankessy961512 күн бұрын
Haki wanaijua sema tu huwezi kudai haki kwa mtu ambaye hata nafasi aliyonayo hakuipata kwa haki Baba pole Mungu muhukuku wa haki atakupa haki
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Exactly Mwenyezi Mungu yu ajua wanachomfanyia mtumishi
@bluxrcst11 күн бұрын
Ameen sana sema ukweli watu wapone ukisema ukweli itakuweka huru asante
@HappyAnacondaSnake-zl4vj12 күн бұрын
YESU TU NDIO MUAMUZI
@sarahmwasyoge183012 күн бұрын
Mithali 13:7 Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi. Tunaona katika watu walitakiwa kuwa matajiri wenye mali nyingi ni wewe ila unajifanya maskini ili kuusimamisha ufalme wa Mungu wa kweli Duniani.. na iwe heri katika utumishi huu🙏
@paschalfausitine710812 күн бұрын
Nuru ,ni, nuru tu, siku,zote , barikiwa baba
@Wiittole11 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu haya yote yasikukatishe nia yako ya kuwakemea hawa wachawi.wewe ni shujaa wa Tanzania mpya tunayoiendea,wewe ni dhahabu inayopitishwa ktk tanuru la moto utakuwa bora sana.Mungu awe nawe.amen
@cathelinematondo399212 күн бұрын
Jehovah onekana baba ktk maumivu haya makali kwa baba yangu Mchungaji wangu 😭😭😭😭
@user-uq7kk4dw2o12 күн бұрын
Mungu , MUNGU, MUNGU,aaaaah jamani, eee Yesu mnazaret tusaidieeee ,
@UAMSHOTV11 күн бұрын
Yaani mtu anaua harafu serikari inakushitaki wewe mlalamikaji ili hali mlalamikiwa hajakanusha malalamiko, hii nchi inazidi kumeza laana hivyo kuna muda Mungu atalipa tu hakuna mtu mwenye siri na asili ya pumzi
@cathelinematondo399212 күн бұрын
😭😭😭😭😭 MUNGU onekana baba.
@user-qm2ve7tx3s11 күн бұрын
Aise ee hiyo ndio selekaliyetu inabaadhi yawatendaji wasiyo elewa kama wame beba mwili hatakama wataishi miaka 150. Bado kufa kuko palepale bola wewe utakufa nawemawako ukiwa unaonekana duniani kuliko hao wanaoishi maisha ya laana bilakujua
@obedimunguachiza843412 күн бұрын
Tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki. Luka 11:51
@user-sc2yw5kk5r11 күн бұрын
Ninachojua zambi Hii itawatafuna..... Wote wanaofanya hayo...
@DismasVenance10 күн бұрын
Mbarikiwa usiogope hawa wanaotaka kukuhukumu kwa uonevu ni wanadamu siku nao ya hukumu ipo wala hawatapona na si mbali. Kuna jambo litatokea ili wajue YESU NI MUNGU MKUU.
@Yusufu-j5z12 күн бұрын
Mungu akujalie neema na akupewepesi
@CHRISTIANMWANAMFIPA11 күн бұрын
Mungu akutetee baba. Naakupe haki yako
@sifunimelkizedeck88211 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda kutoka kwa watawala Wahovu na hawaaibishe mchana kweupe
@PatrickTimoth11 күн бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@epafraditopajenga465012 күн бұрын
Mwanamatengenezo kamili
@Yoram_Changala12 күн бұрын
Huu ni uwenda wazimu kweli, Andwu Kantimbo amekuwa ndiye aliyelalamika.!
@EsterSwilah-jv6ns12 күн бұрын
So pain 😭😭😭 God help us 😭
@bluxrcst11 күн бұрын
Mungu water ye mupate ushidi wakumaliza kesi yamahakamani anaweza yote
@MichaelMwasese11 күн бұрын
Ameni watsumbua dunian ila ila kabulini watakaa siku nying mpaka
@lucknessgerana303112 күн бұрын
Mungu mtetee mtumishi wako
@YeremiaGidion12 күн бұрын
Huyu mama Samia asipo kua makini ,wakati yeye ndoo mwamuzi wakuingilia akamaliza hili tatzo kama Mungu aishivyo mbarikiwa hawezi kudhulika chochote Kwa jina la yesu kristo wa Nazareti
@musajulias339211 күн бұрын
Sijuti kuwa mtoto wako zaidi sana nataka moyo huo
@user-kk7oy5hn1i10 күн бұрын
Inaumiza sana moyo
@nicholaussteven318812 күн бұрын
Mungu awe nanyi Baba
@cathelinematondo399212 күн бұрын
MUNGU ni wewe tu umebaki.tunakuhitaji Jehovah 😭😭😭
@mestonisimzosha20312 күн бұрын
Kama KUUWA Ndio njia nzuri ya kulinda baadhi ya Viongozi wa serikali basi watatuuwa wengi ila ipo siku yale ya kenya yatatokea na hapa kwetu TZ,TUMECHOSHWA NA MNAVYO PINDISHA HAKI YA MCHUNGAJI MBARIKIWA
@AnaniaKyando12 күн бұрын
Mmmmmmmh inaumiza sanaaa
@kibwetere141812 күн бұрын
Mungu atusaidie jamani
@zakariamwakasege-y2u12 күн бұрын
wewe ni jeshii la mungu kwanamn yoyote utashinda kidume
@injilinjeyakutazakanisa12 күн бұрын
Yehova akupiganie, na pole.
@cathelinematondo399212 күн бұрын
So pain 😭😭😭😭😭😭😭
@devissyprian152611 күн бұрын
Kwahiy unamshitaki, Huyo jamaa ukishinda akulipe mtoto akusaidie nini, maana sikuelew, mbarikiwa
@cathelinematondo399212 күн бұрын
MUNGU wewe utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭 yawe ya furaha ama huzuni 😭😭😭😭
@annaombay941712 күн бұрын
Mungu atakutetea
@thimoteslangay201012 күн бұрын
😢😢😢😢
@mestonisimzosha20312 күн бұрын
SAMIA Unavyo kaa kimya kuhusu Mauaji ya Huyu MTOTO tukueleweje (hiki kimya tukitofasili vipi).
@YeremiaGidion12 күн бұрын
Mzee ww ni mshindi sana Tena sana
@cathelinematondo399212 күн бұрын
MUNGU jitokeze ktk hili 😭😭
@cathelinematondo399212 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@davidikakombole883312 күн бұрын
Eeeeee Mungu utusikieeeeeeee TU inatosha mateso haya
@ponsianomnyaru914012 күн бұрын
Ninyi watu mlioshiba madarakan mnaone mpa watumishi wa mungu nawashaur acheni hiyo kaz Mungu shedrak meshak na Abednego akiamua kuwashughulikia mtapata taabu sana kwhyo ushaur wangu acheni
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Labda hawajui ebu waambie Hawa mafarao wanataka kushindana na Mussa
@ScopionScopion-zj9cd11 күн бұрын
Mtumishi wewe Nimgumu kunyamaza ndio tatizo rako ukinyamaza2 matatizo yate yataisha kaakivya
@Mbarikiwa_Mwakipesile
11 күн бұрын
Kuhubiri ni kuongea frequently (ISAYA 58:1)
@ScopionScopion-zj9cd
11 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nikweli lakini huoni unajiweka kwenye tabu unasumbuliwa kila siku mtumishi
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Walionyamaza wapo kaburini tu
@user-jl5un4wf3u12 күн бұрын
They are above thelaw.....
@thimoteslangay201012 күн бұрын
Emungu jitokeze Mara hi tu
@obedimunguachiza8434
12 күн бұрын
Eh Mungu not eh mungu my dear, barikiwe mpendwa.
@MariamLigoha12 күн бұрын
Sauti haisikiki
@sifawayesu7079
12 күн бұрын
Mbona iko vizuri?? Labda mtandao hauko sawasawa
@obedimunguachiza8434
12 күн бұрын
Sauti iko sawa.
@henrychacha559212 күн бұрын
Mungu amesema na Mimi miaka miwili iliyopita kwamba atafanya mabadiliko makubwa sana kwenye nchi hii. Chama tawala kitakuwa Cha upinzani kutokana na maovu kukithiri na mabaya yamekuwa ndo mema kwa sasa
Пікірлер: 75
Mungu akusaidie sana Baba Mchungaji tunaomba haki itendeke jaman msimwonee Mchungaji
Baba wanakuonea sana hawa mashetani,walitumwa na shetani kutesa watu Mungu,aishivyo Mungu tutazidi kuwapinga kwa nguvu zote.
Pole mbarikiwa na mama salome
Mungu akufanyie wepesi , babangu mbarikiwa ❤
Mungu yupo pamoja na wewe baba mungu akutetee baba
If you stand for the truth you will always stand alone. For sure you are Righteous daddy
Baba mchungaji Mungu akuteteee
Bwana angalia bwana Mungu wangu angalia bwana inauma sana
KWA VYOVYOTE VILE BADO TUNAMTAZAMIA MUUKUMU WA HAKI NA MUUKUMU WA MWISHO NI MUNGU TU. AMINA.
Mama pole kesi inakukumbushia machungu uliyopitia
Mungu aende mbele yako Mtumishi wa Mungu akutetee.
Pole mwana wa MUNGU MUNGU akutie nguvu
Aiseee haya Mambo ni hatari 😊
Siku zote mwenye haki husimamia ktk uhalisia wa jambo,,,,,Hapo hata HAKIMU awe makini na maamuzi atakayochukua,,,maana hapa Kuna sauti ya damu ya mtu inalilia HAKI😢
Haki wanaijua sema tu huwezi kudai haki kwa mtu ambaye hata nafasi aliyonayo hakuipata kwa haki Baba pole Mungu muhukuku wa haki atakupa haki
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Exactly Mwenyezi Mungu yu ajua wanachomfanyia mtumishi
Ameen sana sema ukweli watu wapone ukisema ukweli itakuweka huru asante
YESU TU NDIO MUAMUZI
Mithali 13:7 Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi. Tunaona katika watu walitakiwa kuwa matajiri wenye mali nyingi ni wewe ila unajifanya maskini ili kuusimamisha ufalme wa Mungu wa kweli Duniani.. na iwe heri katika utumishi huu🙏
Nuru ,ni, nuru tu, siku,zote , barikiwa baba
Mtumishi wa Mungu haya yote yasikukatishe nia yako ya kuwakemea hawa wachawi.wewe ni shujaa wa Tanzania mpya tunayoiendea,wewe ni dhahabu inayopitishwa ktk tanuru la moto utakuwa bora sana.Mungu awe nawe.amen
Jehovah onekana baba ktk maumivu haya makali kwa baba yangu Mchungaji wangu 😭😭😭😭
Mungu , MUNGU, MUNGU,aaaaah jamani, eee Yesu mnazaret tusaidieeee ,
Yaani mtu anaua harafu serikari inakushitaki wewe mlalamikaji ili hali mlalamikiwa hajakanusha malalamiko, hii nchi inazidi kumeza laana hivyo kuna muda Mungu atalipa tu hakuna mtu mwenye siri na asili ya pumzi
😭😭😭😭😭 MUNGU onekana baba.
Aise ee hiyo ndio selekaliyetu inabaadhi yawatendaji wasiyo elewa kama wame beba mwili hatakama wataishi miaka 150. Bado kufa kuko palepale bola wewe utakufa nawemawako ukiwa unaonekana duniani kuliko hao wanaoishi maisha ya laana bilakujua
Tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki. Luka 11:51
Ninachojua zambi Hii itawatafuna..... Wote wanaofanya hayo...
Mbarikiwa usiogope hawa wanaotaka kukuhukumu kwa uonevu ni wanadamu siku nao ya hukumu ipo wala hawatapona na si mbali. Kuna jambo litatokea ili wajue YESU NI MUNGU MKUU.
Mungu akujalie neema na akupewepesi
Mungu akutetee baba. Naakupe haki yako
Mungu aendelee kukulinda kutoka kwa watawala Wahovu na hawaaibishe mchana kweupe
Mungu akufanyie wepesi
Mwanamatengenezo kamili
Huu ni uwenda wazimu kweli, Andwu Kantimbo amekuwa ndiye aliyelalamika.!
So pain 😭😭😭 God help us 😭
Mungu water ye mupate ushidi wakumaliza kesi yamahakamani anaweza yote
Ameni watsumbua dunian ila ila kabulini watakaa siku nying mpaka
Mungu mtetee mtumishi wako
Huyu mama Samia asipo kua makini ,wakati yeye ndoo mwamuzi wakuingilia akamaliza hili tatzo kama Mungu aishivyo mbarikiwa hawezi kudhulika chochote Kwa jina la yesu kristo wa Nazareti
Sijuti kuwa mtoto wako zaidi sana nataka moyo huo
Inaumiza sana moyo
Mungu awe nanyi Baba
MUNGU ni wewe tu umebaki.tunakuhitaji Jehovah 😭😭😭
Kama KUUWA Ndio njia nzuri ya kulinda baadhi ya Viongozi wa serikali basi watatuuwa wengi ila ipo siku yale ya kenya yatatokea na hapa kwetu TZ,TUMECHOSHWA NA MNAVYO PINDISHA HAKI YA MCHUNGAJI MBARIKIWA
Mmmmmmmh inaumiza sanaaa
Mungu atusaidie jamani
wewe ni jeshii la mungu kwanamn yoyote utashinda kidume
Yehova akupiganie, na pole.
So pain 😭😭😭😭😭😭😭
Kwahiy unamshitaki, Huyo jamaa ukishinda akulipe mtoto akusaidie nini, maana sikuelew, mbarikiwa
MUNGU wewe utabaki kuwa MUNGU wa Nyakati zote na majira yote 😭😭😭 yawe ya furaha ama huzuni 😭😭😭😭
Mungu atakutetea
😢😢😢😢
SAMIA Unavyo kaa kimya kuhusu Mauaji ya Huyu MTOTO tukueleweje (hiki kimya tukitofasili vipi).
Mzee ww ni mshindi sana Tena sana
MUNGU jitokeze ktk hili 😭😭
😭😭😭😭😭
Eeeeee Mungu utusikieeeeeeee TU inatosha mateso haya
Ninyi watu mlioshiba madarakan mnaone mpa watumishi wa mungu nawashaur acheni hiyo kaz Mungu shedrak meshak na Abednego akiamua kuwashughulikia mtapata taabu sana kwhyo ushaur wangu acheni
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Labda hawajui ebu waambie Hawa mafarao wanataka kushindana na Mussa
Mtumishi wewe Nimgumu kunyamaza ndio tatizo rako ukinyamaza2 matatizo yate yataisha kaakivya
@Mbarikiwa_Mwakipesile
11 күн бұрын
Kuhubiri ni kuongea frequently (ISAYA 58:1)
@ScopionScopion-zj9cd
11 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nikweli lakini huoni unajiweka kwenye tabu unasumbuliwa kila siku mtumishi
@user-wv9wc6yr1u
11 күн бұрын
Walionyamaza wapo kaburini tu
They are above thelaw.....
Emungu jitokeze Mara hi tu
@obedimunguachiza8434
12 күн бұрын
Eh Mungu not eh mungu my dear, barikiwe mpendwa.
Sauti haisikiki
@sifawayesu7079
12 күн бұрын
Mbona iko vizuri?? Labda mtandao hauko sawasawa
@obedimunguachiza8434
12 күн бұрын
Sauti iko sawa.
Mungu amesema na Mimi miaka miwili iliyopita kwamba atafanya mabadiliko makubwa sana kwenye nchi hii. Chama tawala kitakuwa Cha upinzani kutokana na maovu kukithiri na mabaya yamekuwa ndo mema kwa sasa