HATARI YA SHEMEJI

Пікірлер: 80

  • @moanshabahrain8621
    @moanshabahrain86214 жыл бұрын

    Asante sheikh izudin .tupe mafunzo .ndoa zina mitihan kwa wanaume na wanawake.mungu atunusuru inshallah .N balaa

  • @rossamengo7211
    @rossamengo72114 жыл бұрын

    ALLAH ampe subra ya hali yajuu,aondoke kwa amani,najua ALLAH amempangia stara bora mahali pengine,mitihani hii yamashemeji, ALLAH atustiri

  • @awaznasor2913
    @awaznasor29134 жыл бұрын

    Jazakallahu khaira sheikh

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore44084 жыл бұрын

    Waaalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazaak Allah kheir Sheikh

  • @abuusheyba0094
    @abuusheyba00944 жыл бұрын

    JazakaAllahu kheiri sheikhi

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47244 жыл бұрын

    Sbhuana Allah inaumanga mungu ampe guvu dda wwatu na wanandowa wote liwe funzo shehk wetu shukran kwa ucya wtu Allah akupe mema nduniani na khahery wwe na familia yko na jamii islam amiin

  • @ahmedsoudathman5088
    @ahmedsoudathman50884 жыл бұрын

    Mafunzo mazuri na faida sana haya ... Allah akujaze kher sheikh izzudin

  • @aminaomar6118

    @aminaomar6118

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @tatuhaneni5898
    @tatuhaneni58984 жыл бұрын

    Subhana llah 😪

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan29754 жыл бұрын

    Subhanallah Mungu ampe subra tatizo sisi hatufat dini inavyoamrisha wallah hawa warabu wana roho mbaya lakin napenda wanavyoishi...amiin kwa dua

  • @vitadzuya9990

    @vitadzuya9990

    4 жыл бұрын

    Kweli sister ..

  • @princessamnemuhamad3755
    @princessamnemuhamad37554 жыл бұрын

    Subhannallah malaika wamenisimama ya Allah tunusuru na tamaa za ulimwenguni😪

  • @YH-bn9ks
    @YH-bn9ks4 жыл бұрын

    Subhana Allah😲😲😲

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd31254 жыл бұрын

    Subhana allah

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka87744 жыл бұрын

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @ahz6907
    @ahz69074 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69722 жыл бұрын

    Subhanallah 😢

  • @timaanwar9133
    @timaanwar91334 жыл бұрын

    Subhanallah!!! Shukran ustadh kwa funzo kama hili,tuacheni uswahili wa kukusanya ndugu wa kike na marafiiki kuwaeka majumbani kwa mashemeji.

  • @fadyanassor6934

    @fadyanassor6934

    4 жыл бұрын

    dada ata kama hutaleta dada ama rafiki katika nyumba waanaume wengine hua wanabidii ya kuwajua ili anze kuwatongoza.

  • @slowclimbertothetop4572

    @slowclimbertothetop4572

    4 жыл бұрын

    Hatari

  • @slowclimbertothetop4572

    @slowclimbertothetop4572

    4 жыл бұрын

    Angemuoa na yule ingekuwaje

  • @mohammedaliabdallah5508

    @mohammedaliabdallah5508

    4 жыл бұрын

    @@slowclimbertothetop4572 dini hairuhusu kwa pamoja

  • @mohamedkhamiskhamis4587

    @mohamedkhamiskhamis4587

    4 жыл бұрын

    @@fadyanassor6934 kuna msemo huuskia kilasiku wanaume Wakisemakua shemegi nimtamu..

  • @ashasaid5061
    @ashasaid50614 жыл бұрын

    ALLAH akuhifadhi

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe58014 жыл бұрын

    Subhanallah wallah nitihani allah atustiri na ampe subra huyo dada yetu

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote81724 жыл бұрын

    Shukran shekh izudin

  • @sidkas2318
    @sidkas23184 жыл бұрын

    Sheikh mungu akuhifadhi...ukweli umeusema lakini watu hawasikii...katika moja ya definition ya madness ni kufanya the same mistake expecting different result...

  • @farhiaibrahim2950
    @farhiaibrahim29504 жыл бұрын

    Subhanallah,mungu atuepushe na aibu za aina hiyo na mengine pia.

  • @missrukia9661
    @missrukia96614 жыл бұрын

    Subhana

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed71382 жыл бұрын

    Subhanallaa inalillaah wainalillaah rajiun mungu atuepushie duu

  • @aminabakari9719
    @aminabakari97194 жыл бұрын

    Allah akibar ya rabi

  • @shufaamohd2336
    @shufaamohd23364 жыл бұрын

    Subhanallah hakika duniani mtihani

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore44084 жыл бұрын

    Kweli kabisa shukran Sheikh .

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein40194 жыл бұрын

    Powerful message .. thanks for sharing .

  • @myid9554

    @myid9554

    Жыл бұрын

    Ahsant kwa ushauri mzuri wa daraja ya juu kabisa.mola akuzidishie elimu ya manufaa .jazaka LLAHU kila kheri

  • @_TheChronicler
    @_TheChronicler4 жыл бұрын

    Shukran ustadh,mawaidha mazito Sana,nakufatilia nkiwa Bungoma,Allah akujaalie uendelee kutuelimisha

  • @umkalthaminvestment9007
    @umkalthaminvestment90074 жыл бұрын

    SubhanaAllah. Inasikitisha sana

  • @filvobrowbrown6238
    @filvobrowbrown62384 жыл бұрын

    mashallah

  • @khanrashidi394
    @khanrashidi3944 жыл бұрын

    Subhanallah Allah akuhifadhi sheikh wetu dah kisa kinamazingatio sana

  • @ashasaid5061
    @ashasaid50614 жыл бұрын

    Mtihan subuhanallah

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed88874 жыл бұрын

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akupe umri mrefu wa afya Amin

  • @ahmedhamisi328

    @ahmedhamisi328

    4 жыл бұрын

    Amiina rabbi alamiin

  • @aliidirisaxmedhuvavaruu6384
    @aliidirisaxmedhuvavaruu63844 жыл бұрын

    Masha Allah mawaidha mazuri

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi3284 жыл бұрын

    Masha Allah shukuran sana shekh wetu kisa Chenye mafunzo muimu sana

  • @tutahamudy2534
    @tutahamudy25344 жыл бұрын

    Shukran

  • @ashasaid5061
    @ashasaid50614 жыл бұрын

    ASALAM ALEYKUM WARAHMATULLAH

  • @mariamkai2705
    @mariamkai2705 Жыл бұрын

    Mtihani jaman

  • @samiasalim8322
    @samiasalim83224 жыл бұрын

    Amwachie mungu mungu ampe sibra na nguvu

  • @sanurandune8066
    @sanurandune80664 жыл бұрын

    Shukran Sana kwa mafunzo mazuri

  • @fatumaali9517
    @fatumaali95174 жыл бұрын

    subuhanaAllah amrundishe kwa wazazi wake na achane na mumewake . Hata akimuwowa ananyangamya na medbringe mwanaume si wakuaminiwa

  • @ramadhanramourz2247
    @ramadhanramourz22473 жыл бұрын

    Sheikh mola akuzidishie miaka mingi inshaallah

  • @zakiyakassim9331
    @zakiyakassim93314 жыл бұрын

    huo ni uvundifu tu na tamaa mungu atatupa subra

  • @shadyborki460
    @shadyborki4604 жыл бұрын

    mwenyezimungu akuzidishie pia ww

  • @ameenaameena5727
    @ameenaameena57274 жыл бұрын

    Shekh izudin hujawahi kuniangusha kabisa

  • @aminabakari9719
    @aminabakari97194 жыл бұрын

    Kama mie shehe walianzana kipind atuko katk ndoa je had sas hiv mie nimeolewa je ndoa yangu atakuwa salama kwel

  • @binrashid8671

    @binrashid8671

    4 жыл бұрын

    Sasa hapo waulza nn? Tangu kabla hujaolewa washaaanzana bado ukaingia kwenye ndoa leo tena? Too late

  • @shammoha5297
    @shammoha52974 жыл бұрын

    SubhanaAllah. Very sad 😭🥺.Mola atusitiri waja wake. Ameen!

  • @ashasaid5061
    @ashasaid50614 жыл бұрын

    Naam shekhe

  • @mejalomayani1606
    @mejalomayani16063 жыл бұрын

    Mimi ni masai ila nimekuelewa shekh kwa mafundisho mazuri

  • @hafidhmabaraza6812
    @hafidhmabaraza68124 жыл бұрын

    NI sahihi m.mung atuepushe na balaa hilo

  • @aishanassor8130
    @aishanassor81304 жыл бұрын

    Ameen

  • @ashasaid5061
    @ashasaid50614 жыл бұрын

    Kaka Zaydu upo tutafutane waadimika sana

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha8943 жыл бұрын

    🤣🤣🤦‍♀️

  • @samiasalim8322
    @samiasalim83224 жыл бұрын

    Haifai hata kama shemegi haram ajnabi

  • @aisham3
    @aisham34 жыл бұрын

    Wambie hao wasituharibie raha za mawaidha kila mara kutia matangazo ya kibiashara

  • @famidaa4524
    @famidaa45244 жыл бұрын

    Asijiue ampe twalaka yy atizame mtoto AL atamujalia mke mwingine

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy36704 жыл бұрын

    Assalam alaykum shekh naomba unisadie na namba yako niko na swali

  • @yusufmwangichannel6692

    @yusufmwangichannel6692

    3 жыл бұрын

    Mfuate Instagram

  • @vitadzuya9990
    @vitadzuya99904 жыл бұрын

    Assalamualaikum sheikh ..nauliza sheikh kisheria huu ushauri jaman waeza msaidia huyu dada .

  • @vitadzuya9990

    @vitadzuya9990

    4 жыл бұрын

    Sheikh ....waume wengine ni kama wanyama hawaoni aibu yuaeza muoa huyo huyo shemeji yake subhanallah

  • @binrashid8671

    @binrashid8671

    4 жыл бұрын

    Hakuna ushauri bora kuliko huo na akijikaza akaufanyia kazi ataona faida yake mbeleni...hakuna hakuna hakuna njia ya kusuluhisha hapo zaid ya ushauri huo coz vovote itakavo kua wakikutana lazima wataendelea

  • @yusufmwangichannel6692

    @yusufmwangichannel6692

    3 жыл бұрын

    @@vitadzuya9990 lakini makosa yako na wanawake kuwaleta ndugu zao karibu na mabwana zao ususan ndugu wa kike ndio uwa karbu zaidi na mashemegi zao na sababu kubwa na mke alie olewa

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari45924 жыл бұрын

    Leo hata hukijipamba hakuna mtu hata kuona kwani sasahivyi kila mtu barakoa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51274 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd31254 жыл бұрын

    Shukran

  • @fardhiyambarak463

    @fardhiyambarak463

    4 жыл бұрын

    sheikh niko na swali..

  • @fetysukafetysuka8811

    @fetysukafetysuka8811

    4 жыл бұрын

    subhanaallah haya yanatokea sana.kuna kisa kimetokea juzi mtu na rafiki yake wakushibana kasafiri kurudi kamkuta na mke wake kawaangalia kisha karudi nyuma baada ya hapo hakufanya chochote akazidisha mapenzi kwa rafiki yake na kwa mke wake.kilichotokea yule mfumaniwa wa kike ndo anahangaika kumuitia watu kila akiulizwa anasema mm sijawafumania mpaka kashita kwa wazazi pia akawakatalia.kaenda mpaka police anasema hana raha kabusa anajiuliza hajui anapanga nini moyoni mwake kuna wanaume wanavifua mashaallah

  • @fetysukafetysuka8811

    @fetysukafetysuka8811

    4 жыл бұрын

    nilikosea mwanaume mfumaniwa ndo anahangaika hivyo anahadisia siku ya pili yake akawatoa mwaka mpya anasema hata hiyo hamu ya kula sina kapatwa na wasiwasi mkubwa

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@fetysukafetysuka8811 subhaana llaah