#Harmonize

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 977

  • @smilejojo6824
    @smilejojo68242 жыл бұрын

    Huu wimbo unatupa nguvu na wengine tupambane ili huu mwaka Mungu atende muujiza uwe na baraka 💪🙏🏾

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    2 жыл бұрын

    Kweli my

  • @willemkaraita7824

    @willemkaraita7824

    2 жыл бұрын

    Mchungaj unalikat

  • @sharesombwana4343

    @sharesombwana4343

    2 жыл бұрын

    Ssss

  • @buhendwagrace6801
    @buhendwagrace68012 жыл бұрын

    Wimbo mzuri una maneno mazuri sana.barikiwa sana harmonize

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    2 жыл бұрын

    Jeshii ni kama maji usipoyanywa utaoga

  • @zainabmuhammed6294

    @zainabmuhammed6294

    Жыл бұрын

    Nasema mimi zainab naomba namba zako nabii pleas naumia nalia hapa nilipo nalia

  • @gracenduku

    @gracenduku

    Жыл бұрын

    Wooow very amazing

  • @madameirene5632

    @madameirene5632

    5 ай бұрын

    Let us not judge a person that song is good and the massage is also good to the community ....

  • @enockkagine1175

    @enockkagine1175

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester86622 жыл бұрын

    I said this kuwa Harmonize 🐘🐘 sio wa kawada leo inazindi kujidhihirisha Atafika mbali sana kwa uwezo wa Mungu 🙏🙏🙏

  • @maryamsylivester8662

    @maryamsylivester8662

    2 жыл бұрын

    @Rukia Ali yeah Fact 🤝

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99512 жыл бұрын

    Asante BABA kwa kumpa barara harmonize mana maadui wamemzunguka wengi sana🙏🙏🙏🙏tunapokea baraka kupitia wimbo huu

  • @gulyembehamka515
    @gulyembehamka5152 жыл бұрын

    Good song from harmonize have influence people to struggle in this year, big up ✊✊✊

  • @emmanuelshukrani4158

    @emmanuelshukrani4158

    2 жыл бұрын

    To be honest Harmonize has a lot of life influencing songs that give people hope... Mwaka huu, mama, matatizo, atarudi, such songs are just great and motivating

  • @boazsanga6890
    @boazsanga68902 жыл бұрын

    Barikiwa sana harmonize wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzuri sana

  • @danielnyantory5132
    @danielnyantory51322 жыл бұрын

    Ni wimbo mzuri sana kwan una ushuhuda mzuri hata mm nimeupenda

  • @esthernafula3415
    @esthernafula34152 жыл бұрын

    Wimbo mtamu kweli 💕💕💕💕💕💕 mtumishi kacheza vizuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @mchinadizainabushi8905

    @mchinadizainabushi8905

    2 жыл бұрын

    Good

  • @khalfanikishki7465

    @khalfanikishki7465

    2 жыл бұрын

    Bibilia na Uislamû nyimbo haramu. Soma Ezekiel 26:13) Amosi 5:23) Amosi 8:3)

  • @bitricemunice1520

    @bitricemunice1520

    Жыл бұрын

    Natamani tu kumuona baba nabii Mkuu aseme neno juu ya maisha yangu nimechoka natamani hata kufa maisha yamenilemea sn namwamini baba aseme.tu neno nipone mimi

  • @richy8591
    @richy85912 жыл бұрын

    That pastor's dance moves are on another level😂

  • @didashmessi2528

    @didashmessi2528

    2 жыл бұрын

    Umeonaeee 🧐😄😄😄😄😄

  • @BrantonBwire-mc1kz

    @BrantonBwire-mc1kz

    7 ай бұрын

    And he is just confident

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira2 жыл бұрын

    Hallelujah glory be to God. God no one like you my father 🙏kenya 🙏

  • @ev.rugwizajeanpierreiraduk2333
    @ev.rugwizajeanpierreiraduk23332 жыл бұрын

    Mwaka wangu by Harmonize that's Song from Heaven. God Bless you Konde and Our Pastor

  • @dvjbruno5559
    @dvjbruno55592 жыл бұрын

    Umefikili sana pasta uko Safi sana Mungu bariki kazi za mikono yetu .

  • @lachiman6609
    @lachiman66092 жыл бұрын

    Asante harmonize kwa kumkumbuka mwenyezi mungu. Mwaka huu ni wangu kwa Baraka za mungu wangu.❤️❤️❤️❤️

  • @winniealbert5530
    @winniealbert55302 жыл бұрын

    Halleluja Halleluja Halleluja dear DADDY. 🙏🏼💕. Miss you. Lots of LOVE from Sweden, hope to come to see you this year🙏🏼. By his Grace 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @phylisshigoli78
    @phylisshigoli782 жыл бұрын

    Ameeen Ameeen Hallelujah Glory Glory to Almighty father let it happen thise yr

  • @timokaj2
    @timokaj22 жыл бұрын

    Even the great man of God recognises you, what a blessing, for Konde Boy,Mungu akutende mema mwaka huu

  • @Eliza952
    @Eliza952 Жыл бұрын

    Mungu awasamehe nyote akika 😭mumefanya nyumba ya Mungu kuwa ya uchinga wenu kisha wewe pastor kipofu ole wako Mungu atakuazibu makosa sana 😭

  • @lelochuwa-fn6tc

    @lelochuwa-fn6tc

    7 ай бұрын

    Hivi kweli hii picha unaitazamaje mtu wangu kweli hapo kuna roho mtakatifu kweli hizi ni nyakat za mwisho

  • @ellyiss1559

    @ellyiss1559

    7 ай бұрын

    Wewe ni nani

  • @lelochuwa-fn6tc

    @lelochuwa-fn6tc

    7 ай бұрын

    @@ellyiss1559 sisi ni wana wa Mungu na tunaongozwa na roho mtakatifu hiv ukiangalia hii clipu ni tendo la kiMungu hapa linafanyika aua umelitazama kidunia iyo moja mbili wapi kwenye bibilia kuna nabii mkuu au nabii mkubwa au mdogo Mungu hatazami kama ss wanadam njia zake si kama zetu natamani unielewe bila kukukwaza mana nia yangu uwelewe utoke kwenye huu mkondo

  • @user-sg3rm4lc1q

    @user-sg3rm4lc1q

    3 ай бұрын

    Iyi siyo kanisa ila ni Tv show wana fanya

  • @marthakiwale1609
    @marthakiwale16092 жыл бұрын

    This man sees things different from most of normal people ..he is really blessed prophet.Realy God works in his ways.Harmonize ni vyema kwako pia kuzidi kumtafuta Mungu

  • @nashipaikoima682

    @nashipaikoima682

    2 жыл бұрын

    Noma 👏👏

  • @michaelowino410

    @michaelowino410

    2 жыл бұрын

    This is how amind colonised by God's Word thinks

  • @fleshtvonline3137

    @fleshtvonline3137

    2 жыл бұрын

    @@michaelowino410 su

  • @marianjeru2522

    @marianjeru2522

    2 жыл бұрын

    @@nashipaikoima682 4 AED s111121,1e,3s3ze

  • @nickdenis7268
    @nickdenis72682 жыл бұрын

    Great musician from tanzania God bless u..mjeshi

  • @VinsunKenya
    @VinsunKenya2 жыл бұрын

    Love this 💯 🇰🇪... medicine is ONLY for the sick and Christ Jesus came for sinners ...by doing this you've shown Love ,the greatest commandment...May God continue expanding your Territories 💓

  • @emmaculatekazungu9451

    @emmaculatekazungu9451

    2 жыл бұрын

    Amen 🙏 very true brother

  • @benjaminmbagaja7893

    @benjaminmbagaja7893

    2 жыл бұрын

    Good songs i love it

  • @nixonshoka1097

    @nixonshoka1097

    2 жыл бұрын

    Sawa

  • @hassowmontana3524

    @hassowmontana3524

    2 жыл бұрын

    @@emmaculatekazungu9451 qqqqqq

  • @laviebandu8034

    @laviebandu8034

    2 жыл бұрын

    @@emmaculatekazungu9451 *

  • @christaoman8890
    @christaoman88902 жыл бұрын

    Mungu atatenda kwa jina la Yesu utabarikiwa zaidi na zaid hamoniz baraka umeshushiw na Mwenyewz Mungu amina

  • @josephkyalo2626
    @josephkyalo26262 жыл бұрын

    God has to bless Harmonize in abundance

  • @innocentmundekesye5617
    @innocentmundekesye56172 жыл бұрын

    Mungu hadhiakiwi jamani hata kidogo . Yesu wasamehe hawajuwi watendalo.

  • @user-ee9ye3qt6l
    @user-ee9ye3qt6l9 ай бұрын

    Sijapenda kabisa,giza na nuru vinaushirika ganiii????? I'm in Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪

  • @abelachwata9172
    @abelachwata91722 жыл бұрын

    Excellent prophet ❤️❤️❤️❤️Kondegang for life

  • @glomiegloriouz5996
    @glomiegloriouz59962 жыл бұрын

    My Spiritual Father sees the good in evrythng and evry soul ni kwl kbs Mungu ananjia zake za kuvuna watu wake na kurudisha walio wake kwake but due to most ppl naive minds and luck of God wisdom n knowledge wanaona kuwa watu wamataifa hawawezi kuwa wa Mungu na kusahau Mungu haitaji walio wema tyr anahitaji waliopotea na wenye haja naye haijalishi wapoje, wawapi wala wanafanya nn His key point is for them to blv and trust in Him and be His ppl, Nabii Mkuu anatambua hilo na ninajivunia kuwa mwanae wa Kiroho i love u Daddy😊😘

  • @MsafiliPascal

    @MsafiliPascal

    4 ай бұрын

    Hata wewe umepotea kwakipi Nabi anacho kifanya kuhusu Injiri kuwasifia iri azidi kuwapata wafuasi bira Mbingu niasala

  • @impactoelectrical5814
    @impactoelectrical58142 жыл бұрын

    This is Konde boy for everybody 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zennahmtoto1867

    @zennahmtoto1867

    2 жыл бұрын

    Yes

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai31192 жыл бұрын

    Hapa ndio huwa unanifanyaga nakuelewa sana mtu wa Mungu,yaani you bless me to the extent sir. Unafikiri upeo sana na najifunzaga sana kwako halloo. Let the blessings also come to me as you said a man of God. Naomba uniombee pia na mm,even silent i can receive. Love you more every day papaa. Salute

  • @esthermshanga6746
    @esthermshanga67462 жыл бұрын

    Very nice harmonize keep it up this is your year to do wonders❤️🙏💯

  • @DavidGafo.
    @DavidGafo.2 жыл бұрын

    This is gospel music 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @georgemilimo4080
    @georgemilimo40802 жыл бұрын

    Amen God bless him too and let him continue with that spirit

  • @irenegilbert62
    @irenegilbert622 жыл бұрын

    I agree with you prophet....he should get saved n be singing like this👏👏👏👏👏💓💓

  • @manosanto5726

    @manosanto5726

    2 жыл бұрын

    tas de parabens

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Nimefurahi sana harmonize ni mtoto mzuri sana anaweza kuishi na dini zote mungu atamfungulia sana milango ya ridhiki mantashalla

  • @davidkuloba2970
    @davidkuloba2970 Жыл бұрын

    Harmonize is a talented artist much love from kenya

  • @peninahamor1640
    @peninahamor16402 жыл бұрын

    Na washindwe kabisa Harmonize we are highly behind you be blessed bro you gat much love from kenya

  • @saidyfikirini9679
    @saidyfikirini96792 жыл бұрын

    Nabii umeukosha Moyo wangu asubuhi ya leo🙏🙏🙏🙏😘😘

  • @catherinemasakhwemakokhama9117
    @catherinemasakhwemakokhama91172 жыл бұрын

    It's really blessing spiritual song God bless him

  • @benja7851

    @benja7851

    Жыл бұрын

    Mamb

  • @kenstarmusic0012
    @kenstarmusic00122 жыл бұрын

    God Bless Harmonize.

  • @kasokihortense7313
    @kasokihortense7313 Жыл бұрын

    Nashukuru mungu saàna kusikiya mwana muziki harmoniz anaanza kumuimbiya mungu maana nihitaji sauti yake nzuri iwe namuimbiya mungu mimi ni Hortense kutoka Congo DRC

  • @izacklema4307
    @izacklema4307 Жыл бұрын

    Baba nabii ,ata ucku wa manane nackiliza unavyo toa madini zaidi ya tanzanaiti barikiwa kwa uwezo ulio pewa na Mungu naamini ukisema neno juu yangu nitabarikiwa nabii ,naitwa Ezekiel Lema al,Amen.

  • @angejeanboscohakizimana2402
    @angejeanboscohakizimana24022 жыл бұрын

    Asante Pastor

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo74072 жыл бұрын

    Amen sikuwa napenda nyimbo zako ila huu nimupenda sana Mungu akubariki sana

  • @marionkaswii9099
    @marionkaswii90992 жыл бұрын

    Haki Mungu ni muweza huyu kijana Mungu anampeleka mbali wimbo mzuri na maneno ya busara na kutia nguvu kwa aliye kosa tumaini hakuna awezae kufunga baraka za Mungu Amen 🙏

  • @EmmanuelZacharia-kb3om
    @EmmanuelZacharia-kb3om6 ай бұрын

    Mungu hadhiakiwi na Kila unachopanda mavuno tegemea kwenye nyumban ya ibaada du makubwa kanisan pastor kabsa

  • @alicembaga6350
    @alicembaga63502 жыл бұрын

    Uko vizuri hamoo pokea unabii wa nabii mkubwa🌹🌹

  • @antonybella3778
    @antonybella37782 жыл бұрын

    Huu Ni mwaka wangu naamini kabisa ngoma nzuri

  • @veronicanakhungu8712

    @veronicanakhungu8712

    2 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @tmw9376
    @tmw93762 жыл бұрын

    Umenifanya niutafute huu wimbo..Thankyou prophet D

  • @YohanaKiserere-sd8xi
    @YohanaKiserere-sd8xi Жыл бұрын

    Nabii Mkuu upo vizuri,umenikumbusha nilipokuwa chuo Cha Biblia walifundisha ktk Somo la maendeleo ya jamii ,kuwa kioo na msaada kwa jamii Ili jamii imwone Yesu.asante baba,Kiserere Bunda

  • @lelochuwa-fn6tc

    @lelochuwa-fn6tc

    7 ай бұрын

    Mungu tusaidie

  • @gorretagatha6267
    @gorretagatha62672 жыл бұрын

    God bless konde jeshi, it's our year

  • @danielladavid2251
    @danielladavid22512 жыл бұрын

    Nabii mkuu anamchezea Mungu kweli hakuna kama wewe Baba

  • @daviesbenson4169
    @daviesbenson41692 жыл бұрын

    Barikiwa harmonise! Pigia watu Moja Kali ya gospel

  • @joerdidas5852
    @joerdidas58522 жыл бұрын

    Ameni Ameni Nimebarikiwa sana na Ibada zote kwa ujumla naitwa JOEL mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania niko Dar es salaam

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen69502 жыл бұрын

    Is a good song🙏🙏🙏🙌

  • @benja7851

    @benja7851

    Жыл бұрын

    Wa mamb

  • @felixkato6283
    @felixkato62832 жыл бұрын

    Harmonize Ubarikiwe.Hadi wimbo wako umegongwa madhabahuni...Nyimbo za Mondi hakuna isiyokua na verse ya Chomoaa Chomekaaa. ..😅😅

  • @marympemba6378
    @marympemba63782 жыл бұрын

    Homonize kwa yesu na wokovu. Nabii Asante sana

  • @youngmeekmilly3511
    @youngmeekmilly35112 жыл бұрын

    KondeBoy go go go to the World 🌎💪🏻💪🏻 Kondegang4Life 🔥💪🏻

  • @gabylove4602
    @gabylove46022 жыл бұрын

    Mungu mkubwa saaana yaani nimefurahiii saana aasante mcungaji

  • @justinmachokuona2554
    @justinmachokuona25542 жыл бұрын

    Vraiment j'adore trop cette chanson moi aussi

  • @carolinanduku573
    @carolinanduku5732 жыл бұрын

    Hata mimi nimeupenda Sana Mungu amkomboe harmonize

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Sana mwimbo huo ni mzuri sana mungu akubariki sana na harmonize huyo ni mtoto wa maskini hana maringo acha mungu amsaidie amfungulie milango ya ridhiki

  • @mjhosea766
    @mjhosea7662 жыл бұрын

    Warumi 12:1-2 wimbo mzuri sana tena unamtukuza bwana WARUMI 16:18

  • @olivierbahati9523
    @olivierbahati95232 жыл бұрын

    vraiment harmonise mungu atakuwa tu upande wake kwani amefurahisha nabii mkubwa wa tazania

  • @nabiimuimbaji
    @nabiimuimbaji2 жыл бұрын

    Yes tusiwafungie mlango wa wokovu mana yesu anaweza kuwabadirisha tusio wategemea

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 Жыл бұрын

    Wewe unaejifanya nabii mkuu, angalia Sana unawaelekeza watu jehanam, MUNGU akusamehe na akufungue toka vifungo vya ibilisi.

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba52882 жыл бұрын

    That's my daddy Yaani anakwenda na wakati Ngurumo ya Upako raha Bwana asikwambie mtu na Sasa imekuwa MPYA SIPATI PICHA 🔥🔥🔥🔥🔥!!!

  • @danielladavid2251
    @danielladavid22512 жыл бұрын

    That's true Kuna marafiki na ndugu wanakudharau lakini Hakuna Mungu mwingine Kama Aliye Hai, Napokea hiyo prophetic word maadui zangu wooote washindwe wao kwa Jina la Yesu kristo

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99122 жыл бұрын

    Kwanzia leo naokoka bravo Harmonize jeshii CEO of Konde gang

  • @josephinemndolwa689
    @josephinemndolwa6892 жыл бұрын

    Wow awesome

  • @nellyflo9736
    @nellyflo97362 жыл бұрын

    True Harmonize he is really great musician.🙏🏻💞$ He always inspired many.💞

  • @majorv8580
    @majorv85802 жыл бұрын

    I love this man of God,he is real

  • @SophiaKivali

    @SophiaKivali

    8 ай бұрын

    Asante hata kwa hili

  • @erickwemoi7972
    @erickwemoi79722 жыл бұрын

    Brother harmonize Mungu atabaki kua Mungu you are going far

  • @florencemuasya2629
    @florencemuasya26292 жыл бұрын

    Mchunganji amenichekesha mno amedance mno mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari75622 жыл бұрын

    Huu wimbo upo clean kweli hauna tofauti na nyimbo zingine za gospel tofauti ipo Kwa aliyeimba tu so wenye makasiriko acheni negativity mtakufa mapema bure😁

  • @missmwayway4704

    @missmwayway4704

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆😆taarifa zimewafikia wenye chuki zao

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    2 жыл бұрын

    Wengine vichwa panzi

  • @dutchsafari7562

    @dutchsafari7562

    2 жыл бұрын

    @@missmwayway4704 😁😁😁

  • @fredgori9242
    @fredgori92422 жыл бұрын

    much love from brazil jeshiiiii,yao yao🤩

  • @furahasarakikya3223
    @furahasarakikya32232 жыл бұрын

    Waooooohhhh..... Baba Yuko vzr sana anacheza💥💥🙌🙌🙌🤩🤩🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😘😘🥰😘😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @TRAPKIDMUSIQ
    @TRAPKIDMUSIQ2 жыл бұрын

    I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a subscriber this motivates me and make me work tirelessly. God bless you for subscribing.

  • @hamzakeyboy2685
    @hamzakeyboy26852 жыл бұрын

    Wooow!!! Abarikiwe sana harmonize

  • @renedecarte-oo7tv
    @renedecarte-oo7tv Жыл бұрын

    Mungu akusame ukunasikiya nyimbo ya harmonize mu kanisa

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto18672 жыл бұрын

    Huu mwakaa wa baraka kwangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @abelofines5528
    @abelofines55282 жыл бұрын

    C'est une belle chanson avec des paroles reflétant la maturité 🙏

  • @marrykimaro9792
    @marrykimaro97922 жыл бұрын

    Amina barikiwa Sana na huu wimbo

  • @hortensekasoki553
    @hortensekasoki553 Жыл бұрын

    habari nabii wa mungu napenda sana mahubiri Yako yameniweka nisongee karibu n'a Mungu wangu île n'a muomba mungu animé Siku n'a muda ilisiku moja nifike kanisani hapa ulipo niombi langu kila Léo asante naishi kongo DRC

  • @directormusasoja986
    @directormusasoja9862 жыл бұрын

    Ubarikiwe nabii.unaona mbali sana

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын

    Amina baba🙏🙏🙏

  • @hajimaster7624
    @hajimaster76242 жыл бұрын

    Ama kweli konde boy kiboko duuh🙌

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 Жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika mungu anakutumia kwa viwango vya juu

  • @steventogolai3865
    @steventogolai38652 жыл бұрын

    Baba mm nakubar baba mwakahuu niwang hakika❤️❤️❤️💕💕💕💕💕

  • @iuja7182
    @iuja71822 жыл бұрын

    Full of godlyness in the outside but full of weakedness in the inside.

  • @johnnyhorms7525

    @johnnyhorms7525

    2 жыл бұрын

    Why

  • @aishahemedi8452

    @aishahemedi8452

    2 жыл бұрын

    Coz wewe ni mungu eeh??!!!!

  • @dandola9323
    @dandola93232 жыл бұрын

    Am beginning to love this prophet this is a true man of God, Hana ubaguzi hata kidogo

  • @rahmasamson4427
    @rahmasamson44272 жыл бұрын

    Mungu haachi muja wake💥💥💥🙏🏼

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe8452 жыл бұрын

    Asante Nabii washindwe kabisa Aleluya🙏🙏🙏

  • @Cyper255
    @Cyper2552 жыл бұрын

    Amen. Barikiwa sana Harmonize

  • @mrgasper4045
    @mrgasper40452 жыл бұрын

    Baba Nabii mpe harmonize Gari kali maana una moyo wa pekee sana.

  • @kazushkmilly3635

    @kazushkmilly3635

    2 жыл бұрын

    Mungu atampa si lazima baba nabii, ampe jameni

  • @donatienniyigena9081
    @donatienniyigena90816 ай бұрын

    Arusha tunawafalikiwa sana love from thousands hills

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z9 ай бұрын

    This is the song you can sing eny were even the church, because the Praise and Glory in to Gog only.

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli69262 жыл бұрын

    Harmonize kamchezesha na bii mkuuu kweli nyimbo nzuli San jamani MUNGU ni mwema

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    2 жыл бұрын

    Kwanini huyu jamaa anajiita nabii mkuu??😂😂

  • @pelusiemanueli6926

    @pelusiemanueli6926

    2 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 ndioo🙈

  • @euniquesaxena4201
    @euniquesaxena42012 жыл бұрын

    Prophet i need your prayers i want to go abroad but things are not working in my favour please pray for me

  • @mpendwacravery1665
    @mpendwacravery1665 Жыл бұрын

    Yesu alisema ole ni wa Ulimwengu! Ndipo watakuja na kusema...Bwana...tulihubiri na kutenda miujiza KWA jina lako...nami nitawaambia...ondokeni sikuwajua ninyi nyote mtendao uovu....kasema...KWA matunda yao mtawajua....

  • @vertucypangani1323
    @vertucypangani13232 жыл бұрын

    Na mimi namtamkia huyu kijana,maadui zake wote wazidi kushindwa 🙋‍♂️

  • @anastasiawanjau3280
    @anastasiawanjau32802 жыл бұрын

    If God says yes no one can say No!!yes huu mwaka ni wangu..

Келесі