#Harmonize
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 977
Huu wimbo unatupa nguvu na wengine tupambane ili huu mwaka Mungu atende muujiza uwe na baraka 💪🙏🏾
@user-ng6yt2od7l
2 жыл бұрын
Kweli my
@willemkaraita7824
2 жыл бұрын
Mchungaj unalikat
@sharesombwana4343
2 жыл бұрын
Ssss
Wimbo mzuri una maneno mazuri sana.barikiwa sana harmonize
@mymunamymuna4807
2 жыл бұрын
Jeshii ni kama maji usipoyanywa utaoga
@zainabmuhammed6294
Жыл бұрын
Nasema mimi zainab naomba namba zako nabii pleas naumia nalia hapa nilipo nalia
@gracenduku
Жыл бұрын
Wooow very amazing
@madameirene5632
5 ай бұрын
Let us not judge a person that song is good and the massage is also good to the community ....
@enockkagine1175
4 ай бұрын
😂😂
I said this kuwa Harmonize 🐘🐘 sio wa kawada leo inazindi kujidhihirisha Atafika mbali sana kwa uwezo wa Mungu 🙏🙏🙏
@maryamsylivester8662
2 жыл бұрын
@Rukia Ali yeah Fact 🤝
Asante BABA kwa kumpa barara harmonize mana maadui wamemzunguka wengi sana🙏🙏🙏🙏tunapokea baraka kupitia wimbo huu
Good song from harmonize have influence people to struggle in this year, big up ✊✊✊
@emmanuelshukrani4158
2 жыл бұрын
To be honest Harmonize has a lot of life influencing songs that give people hope... Mwaka huu, mama, matatizo, atarudi, such songs are just great and motivating
Barikiwa sana harmonize wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzuri sana
Ni wimbo mzuri sana kwan una ushuhuda mzuri hata mm nimeupenda
Wimbo mtamu kweli 💕💕💕💕💕💕 mtumishi kacheza vizuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
@mchinadizainabushi8905
2 жыл бұрын
Good
@khalfanikishki7465
2 жыл бұрын
Bibilia na Uislamû nyimbo haramu. Soma Ezekiel 26:13) Amosi 5:23) Amosi 8:3)
@bitricemunice1520
Жыл бұрын
Natamani tu kumuona baba nabii Mkuu aseme neno juu ya maisha yangu nimechoka natamani hata kufa maisha yamenilemea sn namwamini baba aseme.tu neno nipone mimi
That pastor's dance moves are on another level😂
@didashmessi2528
2 жыл бұрын
Umeonaeee 🧐😄😄😄😄😄
@BrantonBwire-mc1kz
7 ай бұрын
And he is just confident
Hallelujah glory be to God. God no one like you my father 🙏kenya 🙏
Mwaka wangu by Harmonize that's Song from Heaven. God Bless you Konde and Our Pastor
Umefikili sana pasta uko Safi sana Mungu bariki kazi za mikono yetu .
Asante harmonize kwa kumkumbuka mwenyezi mungu. Mwaka huu ni wangu kwa Baraka za mungu wangu.❤️❤️❤️❤️
Halleluja Halleluja Halleluja dear DADDY. 🙏🏼💕. Miss you. Lots of LOVE from Sweden, hope to come to see you this year🙏🏼. By his Grace 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ameeen Ameeen Hallelujah Glory Glory to Almighty father let it happen thise yr
Even the great man of God recognises you, what a blessing, for Konde Boy,Mungu akutende mema mwaka huu
Mungu awasamehe nyote akika 😭mumefanya nyumba ya Mungu kuwa ya uchinga wenu kisha wewe pastor kipofu ole wako Mungu atakuazibu makosa sana 😭
@lelochuwa-fn6tc
7 ай бұрын
Hivi kweli hii picha unaitazamaje mtu wangu kweli hapo kuna roho mtakatifu kweli hizi ni nyakat za mwisho
@ellyiss1559
7 ай бұрын
Wewe ni nani
@lelochuwa-fn6tc
7 ай бұрын
@@ellyiss1559 sisi ni wana wa Mungu na tunaongozwa na roho mtakatifu hiv ukiangalia hii clipu ni tendo la kiMungu hapa linafanyika aua umelitazama kidunia iyo moja mbili wapi kwenye bibilia kuna nabii mkuu au nabii mkubwa au mdogo Mungu hatazami kama ss wanadam njia zake si kama zetu natamani unielewe bila kukukwaza mana nia yangu uwelewe utoke kwenye huu mkondo
@user-sg3rm4lc1q
3 ай бұрын
Iyi siyo kanisa ila ni Tv show wana fanya
This man sees things different from most of normal people ..he is really blessed prophet.Realy God works in his ways.Harmonize ni vyema kwako pia kuzidi kumtafuta Mungu
@nashipaikoima682
2 жыл бұрын
Noma 👏👏
@michaelowino410
2 жыл бұрын
This is how amind colonised by God's Word thinks
@fleshtvonline3137
2 жыл бұрын
@@michaelowino410 su
@marianjeru2522
2 жыл бұрын
@@nashipaikoima682 4 AED s111121,1e,3s3ze
Great musician from tanzania God bless u..mjeshi
Love this 💯 🇰🇪... medicine is ONLY for the sick and Christ Jesus came for sinners ...by doing this you've shown Love ,the greatest commandment...May God continue expanding your Territories 💓
@emmaculatekazungu9451
2 жыл бұрын
Amen 🙏 very true brother
@benjaminmbagaja7893
2 жыл бұрын
Good songs i love it
@nixonshoka1097
2 жыл бұрын
Sawa
@hassowmontana3524
2 жыл бұрын
@@emmaculatekazungu9451 qqqqqq
@laviebandu8034
2 жыл бұрын
@@emmaculatekazungu9451 *
Mungu atatenda kwa jina la Yesu utabarikiwa zaidi na zaid hamoniz baraka umeshushiw na Mwenyewz Mungu amina
God has to bless Harmonize in abundance
Mungu hadhiakiwi jamani hata kidogo . Yesu wasamehe hawajuwi watendalo.
Sijapenda kabisa,giza na nuru vinaushirika ganiii????? I'm in Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪
Excellent prophet ❤️❤️❤️❤️Kondegang for life
My Spiritual Father sees the good in evrythng and evry soul ni kwl kbs Mungu ananjia zake za kuvuna watu wake na kurudisha walio wake kwake but due to most ppl naive minds and luck of God wisdom n knowledge wanaona kuwa watu wamataifa hawawezi kuwa wa Mungu na kusahau Mungu haitaji walio wema tyr anahitaji waliopotea na wenye haja naye haijalishi wapoje, wawapi wala wanafanya nn His key point is for them to blv and trust in Him and be His ppl, Nabii Mkuu anatambua hilo na ninajivunia kuwa mwanae wa Kiroho i love u Daddy😊😘
@MsafiliPascal
4 ай бұрын
Hata wewe umepotea kwakipi Nabi anacho kifanya kuhusu Injiri kuwasifia iri azidi kuwapata wafuasi bira Mbingu niasala
This is Konde boy for everybody 🔥🔥🔥🔥🔥
@zennahmtoto1867
2 жыл бұрын
Yes
Hapa ndio huwa unanifanyaga nakuelewa sana mtu wa Mungu,yaani you bless me to the extent sir. Unafikiri upeo sana na najifunzaga sana kwako halloo. Let the blessings also come to me as you said a man of God. Naomba uniombee pia na mm,even silent i can receive. Love you more every day papaa. Salute
Very nice harmonize keep it up this is your year to do wonders❤️🙏💯
This is gospel music 👏🏽👏🏽👏🏽
Amen God bless him too and let him continue with that spirit
I agree with you prophet....he should get saved n be singing like this👏👏👏👏👏💓💓
@manosanto5726
2 жыл бұрын
tas de parabens
Nimefurahi sana harmonize ni mtoto mzuri sana anaweza kuishi na dini zote mungu atamfungulia sana milango ya ridhiki mantashalla
Harmonize is a talented artist much love from kenya
Na washindwe kabisa Harmonize we are highly behind you be blessed bro you gat much love from kenya
Nabii umeukosha Moyo wangu asubuhi ya leo🙏🙏🙏🙏😘😘
It's really blessing spiritual song God bless him
@benja7851
Жыл бұрын
Mamb
God Bless Harmonize.
Nashukuru mungu saàna kusikiya mwana muziki harmoniz anaanza kumuimbiya mungu maana nihitaji sauti yake nzuri iwe namuimbiya mungu mimi ni Hortense kutoka Congo DRC
Baba nabii ,ata ucku wa manane nackiliza unavyo toa madini zaidi ya tanzanaiti barikiwa kwa uwezo ulio pewa na Mungu naamini ukisema neno juu yangu nitabarikiwa nabii ,naitwa Ezekiel Lema al,Amen.
Asante Pastor
Amen sikuwa napenda nyimbo zako ila huu nimupenda sana Mungu akubariki sana
Haki Mungu ni muweza huyu kijana Mungu anampeleka mbali wimbo mzuri na maneno ya busara na kutia nguvu kwa aliye kosa tumaini hakuna awezae kufunga baraka za Mungu Amen 🙏
Mungu hadhiakiwi na Kila unachopanda mavuno tegemea kwenye nyumban ya ibaada du makubwa kanisan pastor kabsa
Uko vizuri hamoo pokea unabii wa nabii mkubwa🌹🌹
Huu Ni mwaka wangu naamini kabisa ngoma nzuri
@veronicanakhungu8712
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
Umenifanya niutafute huu wimbo..Thankyou prophet D
Nabii Mkuu upo vizuri,umenikumbusha nilipokuwa chuo Cha Biblia walifundisha ktk Somo la maendeleo ya jamii ,kuwa kioo na msaada kwa jamii Ili jamii imwone Yesu.asante baba,Kiserere Bunda
@lelochuwa-fn6tc
7 ай бұрын
Mungu tusaidie
God bless konde jeshi, it's our year
Nabii mkuu anamchezea Mungu kweli hakuna kama wewe Baba
Barikiwa harmonise! Pigia watu Moja Kali ya gospel
Ameni Ameni Nimebarikiwa sana na Ibada zote kwa ujumla naitwa JOEL mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania niko Dar es salaam
Is a good song🙏🙏🙏🙌
@benja7851
Жыл бұрын
Wa mamb
Harmonize Ubarikiwe.Hadi wimbo wako umegongwa madhabahuni...Nyimbo za Mondi hakuna isiyokua na verse ya Chomoaa Chomekaaa. ..😅😅
Homonize kwa yesu na wokovu. Nabii Asante sana
KondeBoy go go go to the World 🌎💪🏻💪🏻 Kondegang4Life 🔥💪🏻
Mungu mkubwa saaana yaani nimefurahiii saana aasante mcungaji
Vraiment j'adore trop cette chanson moi aussi
Hata mimi nimeupenda Sana Mungu amkomboe harmonize
Sana mwimbo huo ni mzuri sana mungu akubariki sana na harmonize huyo ni mtoto wa maskini hana maringo acha mungu amsaidie amfungulie milango ya ridhiki
Warumi 12:1-2 wimbo mzuri sana tena unamtukuza bwana WARUMI 16:18
vraiment harmonise mungu atakuwa tu upande wake kwani amefurahisha nabii mkubwa wa tazania
Yes tusiwafungie mlango wa wokovu mana yesu anaweza kuwabadirisha tusio wategemea
Wewe unaejifanya nabii mkuu, angalia Sana unawaelekeza watu jehanam, MUNGU akusamehe na akufungue toka vifungo vya ibilisi.
That's my daddy Yaani anakwenda na wakati Ngurumo ya Upako raha Bwana asikwambie mtu na Sasa imekuwa MPYA SIPATI PICHA 🔥🔥🔥🔥🔥!!!
That's true Kuna marafiki na ndugu wanakudharau lakini Hakuna Mungu mwingine Kama Aliye Hai, Napokea hiyo prophetic word maadui zangu wooote washindwe wao kwa Jina la Yesu kristo
Kwanzia leo naokoka bravo Harmonize jeshii CEO of Konde gang
Wow awesome
True Harmonize he is really great musician.🙏🏻💞$ He always inspired many.💞
I love this man of God,he is real
@SophiaKivali
8 ай бұрын
Asante hata kwa hili
Brother harmonize Mungu atabaki kua Mungu you are going far
Mchunganji amenichekesha mno amedance mno mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huu wimbo upo clean kweli hauna tofauti na nyimbo zingine za gospel tofauti ipo Kwa aliyeimba tu so wenye makasiriko acheni negativity mtakufa mapema bure😁
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆taarifa zimewafikia wenye chuki zao
@yuzotv458
2 жыл бұрын
Wengine vichwa panzi
@dutchsafari7562
2 жыл бұрын
@@missmwayway4704 😁😁😁
much love from brazil jeshiiiii,yao yao🤩
Waooooohhhh..... Baba Yuko vzr sana anacheza💥💥🙌🙌🙌🤩🤩🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😘😘🥰😘😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a subscriber this motivates me and make me work tirelessly. God bless you for subscribing.
Wooow!!! Abarikiwe sana harmonize
Mungu akusame ukunasikiya nyimbo ya harmonize mu kanisa
Huu mwakaa wa baraka kwangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
C'est une belle chanson avec des paroles reflétant la maturité 🙏
Amina barikiwa Sana na huu wimbo
habari nabii wa mungu napenda sana mahubiri Yako yameniweka nisongee karibu n'a Mungu wangu île n'a muomba mungu animé Siku n'a muda ilisiku moja nifike kanisani hapa ulipo niombi langu kila Léo asante naishi kongo DRC
Ubarikiwe nabii.unaona mbali sana
Amina baba🙏🙏🙏
Ama kweli konde boy kiboko duuh🙌
Mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika mungu anakutumia kwa viwango vya juu
Baba mm nakubar baba mwakahuu niwang hakika❤️❤️❤️💕💕💕💕💕
Full of godlyness in the outside but full of weakedness in the inside.
@johnnyhorms7525
2 жыл бұрын
Why
@aishahemedi8452
2 жыл бұрын
Coz wewe ni mungu eeh??!!!!
Am beginning to love this prophet this is a true man of God, Hana ubaguzi hata kidogo
Mungu haachi muja wake💥💥💥🙏🏼
Asante Nabii washindwe kabisa Aleluya🙏🙏🙏
Amen. Barikiwa sana Harmonize
Baba Nabii mpe harmonize Gari kali maana una moyo wa pekee sana.
@kazushkmilly3635
2 жыл бұрын
Mungu atampa si lazima baba nabii, ampe jameni
Arusha tunawafalikiwa sana love from thousands hills
This is the song you can sing eny were even the church, because the Praise and Glory in to Gog only.
Harmonize kamchezesha na bii mkuuu kweli nyimbo nzuli San jamani MUNGU ni mwema
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
Kwanini huyu jamaa anajiita nabii mkuu??😂😂
@pelusiemanueli6926
2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 ndioo🙈
Prophet i need your prayers i want to go abroad but things are not working in my favour please pray for me
Yesu alisema ole ni wa Ulimwengu! Ndipo watakuja na kusema...Bwana...tulihubiri na kutenda miujiza KWA jina lako...nami nitawaambia...ondokeni sikuwajua ninyi nyote mtendao uovu....kasema...KWA matunda yao mtawajua....
Na mimi namtamkia huyu kijana,maadui zake wote wazidi kushindwa 🙋♂️
If God says yes no one can say No!!yes huu mwaka ni wangu..