HARMONIZE AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA HAMISA MOBETTO/KUHUSU MTOTO WA HAMISA/KUMILIKI NDEGE YAKE

Ойын-сауық

#harmonize #hamisamobetto #mtotowahamisa #carrymastorytv

Пікірлер: 63

  • @evalindama9710
    @evalindama97108 ай бұрын

    Huyo mdada mwenye wigi anacrushia harmonize hizo smiles

  • @SafariJamal

    @SafariJamal

    8 ай бұрын

    Walai namuonaga sana 😂😂

  • @melvinelavine6972

    @melvinelavine6972

    8 ай бұрын

    Umeona pia😂😂😂😂

  • @mbarakdogo9242

    @mbarakdogo9242

    8 ай бұрын

    Anapagawa sana 😂

  • @nduwimanadidjaaimee5964

    @nduwimanadidjaaimee5964

    8 ай бұрын

    Umeona eeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nilichek mno

  • @user-gy3dv3tq8d

    @user-gy3dv3tq8d

    8 ай бұрын

    Kumbe umeona eee anavyo mrembulia😅

  • @RachelRachel-zx6dx
    @RachelRachel-zx6dx8 ай бұрын

    Huyu mdada anamfurahia sana

  • @user-gl6lw3qs4n
    @user-gl6lw3qs4n8 ай бұрын

    Huyo mdada mwenye wigi anamshobokea harmooo

  • @GraceKambale-jf7pw
    @GraceKambale-jf7pw8 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga43558 ай бұрын

    Huyo Dada hapo Nyuma anapepo la smile ☺☺☺

  • @pulikisia7963

    @pulikisia7963

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow8 ай бұрын

    Uslay queen kazi

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11718 ай бұрын

    HARMONIZE, my BFF forever

  • @TuaircachimoNantola-po7oo
    @TuaircachimoNantola-po7oo6 ай бұрын

    Sana

  • @user-zb7ef6ok1b
    @user-zb7ef6ok1b8 ай бұрын

    Huy mwamba❤❤

  • @elandaboyz
    @elandaboyz8 ай бұрын

    Yaani Kenya Kuna pesa mingi sana mpaka inalea ma star wa bongo wote,, kwa hii week wasanii wasanii wote ma star wa Tanzania wamekesha Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Diamond, alikiba, Jux, Harmonize

  • @Mundi-oz7os

    @Mundi-oz7os

    8 ай бұрын

    Sasa wewe ulitaka je. Halafu hapo umeonesha kuwa wakenya wanawahitaji WaTz madini watz wanawahitaji wakenya.

  • @pulikisia7963

    @pulikisia7963

    8 ай бұрын

    Huko kwenu hakuna wasanii wakali lazima mtuite waTZ.😊Ndio maana wasanii wenu hawaitwi nchi nyingine😂

  • @teddypeter-mi4ez
    @teddypeter-mi4ez8 ай бұрын

    Huyo dada mbona anaekaheka

  • @user-xo9uh8di3q
    @user-xo9uh8di3q8 ай бұрын

    Acha nianze muziki kama jeshi

  • @user-cp5gn1fi4d
    @user-cp5gn1fi4d6 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11718 ай бұрын

    SWAGA ZA WABONGO PENDA SANA ❤❤

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv11678 ай бұрын

    Hili lijamaa nilishamba sana wanamuoji kwa kiswahili afu alo linaanza English ya mchongo

  • @aishamagoshi2852

    @aishamagoshi2852

    8 ай бұрын

    Shindayakoo gani

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    8 ай бұрын

    Unaumia?

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    8 ай бұрын

    Jina lenyewe ni la hovyo sasa akili itakuwa nzuri

  • @aishamagoshi2852

    @aishamagoshi2852

    8 ай бұрын

    @@adaboychibu1659 mwehuwewe

  • @veronicahmideva8968
    @veronicahmideva89688 ай бұрын

    😂😂😂😂huyu wa smiling nae anatka harmonize au

  • @elizabethbaya7681
    @elizabethbaya76818 ай бұрын

    Aki nahisi kucheka na huyo dada waaaaah hiyo yake ni zaidi

  • @aboudiga6381
    @aboudiga63818 ай бұрын

    Carry mastory karibuni Nairobi ulaya ila musikataliye kurudi kwenu 😅😅

  • @ianjohn797
    @ianjohn7978 ай бұрын

    mnafanya nini kenya carrymastory jamani

  • @evaamedeus430
    @evaamedeus4308 ай бұрын

    Huyu dada anacheka mwenyewe tu

  • @saidmasika8738
    @saidmasika87388 ай бұрын

    kwainyo amuwezi kuzungumzia habari mpak hamisa

  • @hijamwinyi3233

    @hijamwinyi3233

    8 ай бұрын

    Hamisa ana nyota

  • @PanjosNiyontango-eg2se
    @PanjosNiyontango-eg2se8 ай бұрын

    Uyo dada😂😂😂

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho188 ай бұрын

    SEMA uyo mwanya anajukia Raha sana kuwa karibu na hmnz

  • @kennedyken8
    @kennedyken88 ай бұрын

    Huyo dada mbona wasi wasi 😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda31468 ай бұрын

    Hamo punguza ukingereza kijanaa ..... vingereza kibaaaaaoooo kya

  • @kennix6457
    @kennix64578 ай бұрын

    Uyo bouncer hapo nyuma anamalizia Harmo hewa😅😅

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya42868 ай бұрын

    Acha ushamba ongea kiswahili,unaulizwa kiswahili kwanini unajibu kingereza?huo ni ulimbukeni ungekua msomi ungeona kingereza ni lugha kama kiswahili

  • @user-hm4hk5hi1c
    @user-hm4hk5hi1c8 ай бұрын

    Ilo uyo dada mwenyewingi sokwakujilamba uko sura imekataa kujishauwa uko kwiyo

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4398 ай бұрын

    Mbona sauti yako hamo inapotea

  • @mbezzoprince9462
    @mbezzoprince94628 ай бұрын

    Waandishi wa habari wa hapa kwetu Kenya hawajui lolote 😂😂😂😂 media hazina majina yakueleweka ni mivurugano tu

  • @SalamaNauthar

    @SalamaNauthar

    8 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umeona eeee

  • @EMNCROCHET

    @EMNCROCHET

    8 ай бұрын

    Hawo ni KZreadrs nafikiri.

  • @mariamsosoni
    @mariamsosoni8 ай бұрын

    Huyo mdada mbona hivyo anaumia

  • @maisarah6819
    @maisarah68198 ай бұрын

    Ma slay queen punguzeni njaa,huyo dem anavyomumunyua mdomo nakujishaua sasa

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc8 ай бұрын

    🔥🔥🔥🦣

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4398 ай бұрын

    Wasanii mnajichubuwa toka lini hamo ukawa mweupe wewe na mond mmm

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    8 ай бұрын

    Ukiwa na pesa unalala vizuri unakula vizuri lazima utakate mjomba

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    8 ай бұрын

    @@adaboychibu1659 akuna kitu kama iko kaka kuna weupe wa kulidhika na wakujichubua unaonekana ata mimi nipo mbele nakula vizuri na lala vizuri lakini sio kwa weupe uo

  • @leticiakagoro1544
    @leticiakagoro15448 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @sandramutabazi8666
    @sandramutabazi86668 ай бұрын

    ❤❤❤

Келесі