HANSRAFAEL AZIZI KI HANA MPANGO WA KUONDOKA YANGA CHAMA AMEWAUMIZA SIMBA/FEI TOTO ANAITAMANI SIMBA
Ойын-сауық
Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Пікірлер: 52
Jaman kaka wa watu mpole mwenye hekima Mungu akufikishe mbali na utimize malengo yako
Asante. Sana. Hans. Rafael. Mimi. Niko. Pamoja. Na. Wewe. Hans. Upo. Vizuri. Sana. Tena. Sana. Piga. Kazi. Mwanangu. Kumbuka. Kuna. Baadhi. Ya. Walimubeza. Yesu. Itakuwa. Wewe? Wewe. Fanya. Kazi. Acha. Kusikiliza. Mambo. Ya. Watu. God. Bless. You. My. Guy
Hongera mtanazaji nawe una kitu ila nampongeza sana ANCII anakitu sana nazawadi ya kuku siku ukikutana nae by kaombwe kutoka tabora
Hivi Simba bado mna fursa ya kupiga kelele. Kubali mwiba wa Chama uwachome na kuwaumiza
@MzeewaYanga-hm8jq
15 күн бұрын
😂😂😂
Uko vizuri Mdogo wangu piga kazi
Mungu akubaliki ww ndio mchambuzi wangu bora Tz
Nakukubari saaana ndugu yangu pambana Sana simamia ktk ukweri tu Mungo atakulinda inshaallah
Top3; upo bro .
Huyu mwamba namkubali sana
Mchambuzi wngu Bora nchini Tanzania never seen before
Sana Hance Rafael nakukubar sana
Hansi namkubali sana atafika mbali😊
Nakubali kaka
Wamemtoa wasafi au kipaji chake ndo kimemtoa kaanzia karagwe FM,
Nakubal sana
Hawa crown ni tatizo mjini
Aziziiiiiiii Chamaaaaaa pacomeeeee,Maxxxxxx Bokaaaaa Balekeeeeeee,mudathiriiiiiiiii,Auchoooo,Soah goioooooooooooo Simaba 0 Yanga10😂😂😂😂😂
Safi sana
Hansi mwanangu piga kazi upo sahihi sana kikubwa simamia ukweli wako mungu atakujaalia ulifanyalo litaluwa na mafanikio kwako, inshaalah, kikubwa simamia ukweli,
Kijana ameshikilia kauli yake sijui anapata wapi ujasiri huo
Hivi wew unajuagaje .maana huwaga hutupangi unasemaga kwel
@DivinePromise-sv3qq
14 күн бұрын
Nadhani anajua kutafuta habari na vyanzo vyake vinampa
@DivinePromise-sv3qq
14 күн бұрын
Nadhani anajua kutafuta habari na vyanzo vyake vinampa
Azii yupo yanga jamni
Kiukweli huyu dogo yupo vizuri
@DivinePromise-sv3qq
14 күн бұрын
Ni mtu pekee anayeongea ukweli kwenye mpira wetu Mungu amtangulie
Wachambuz wa bongo bhn utasema ni wakala wa mchezaji
❤❤❤❤❤ yanga
Hans akikuambia kitu ni zaidi ya 98% fuatana naye na huwa naumia sana mtu akimtukana Hans
Huyu ni mwamba kweli kwelii
@user-il5cu6gq5f
15 күн бұрын
Acha wivu mtoto wakiume wewe
😂😂
Hans muongo muongo tu ulisema kasajili kumbe uongo
Kama Hana mpango kuondoka Yanga,,. Angesha Saini mkataba mpya kitambo. Hujiulizi kwanini mpaka Leo hasaini mkataba!??
@user-fe8gq8dy1g
14 күн бұрын
Kwn hujamckia Hans kasema Aziz Ki tayar alishasain Yanga mkataba wa miaka miwili?
VIONGOZI WA YANGA NDY NI WAONGO INJINIA HENSI NDY ALIYESEMA SASA ANAMFICHA NANI? HUO NI UTOTO
@amaniomar1755
15 күн бұрын
Pole ndugu yangu
Hata mkiungana wachawambuz wote kuiponda cmba bado hamtaishusha digitizing wanajua pakuanzia
@amaniomar1755
15 күн бұрын
Kwani Hans kaponda wapi Simba kwenye interview hii. Muache kijana wa watu hajaiongelea vibaya Simba na infact amezisifu sajili za Simba SC zote.
huyu nae hata simuelewi hata anapenda sana kuisifia sanayanga Kuma huyu
@user-hy2qw6gi3e
15 күн бұрын
We mwenyewe tako
@MzeewaYanga-hm8jq
15 күн бұрын
2lia w matako y nyani
Pesa hauna utabakisha Maandazi ila so zzk
@SalvatoryMbigili-m2f
15 күн бұрын
Hahahahahahahaaa mnaumia sana aisee😂😂😂😂😂
@SalvatoryMbigili-m2f
15 күн бұрын
Unazo ww
@user-bo5qp9gz8m
15 күн бұрын
Pole yanga ipo salama makasiriko yako unateseka ukiwa wapi😂😂😂😂
Punguza sifaa kjna wasaf umekutoa sahv unajikuta
@user-il5cu6gq5f
15 күн бұрын
Acha wivu dogo hapa mjini
Mnaharibu lugha ya English kwa mbwembwe zenu za hovyo. Sio suplise ni surprise, sio geneletion ni generation. Jiongezeni kwenye lugha.
@nasrimohamed7556
15 күн бұрын
Sio mbwembwe anatatzo na r na l ni kawaida sn kwa jamii yetu ya kibongobongo
@ZenjNation
15 күн бұрын
@@nasrimohamed7556 👍👍👍