HANSRAFAEL AZIZI KI HANA MPANGO WA KUONDOKA YANGA CHAMA AMEWAUMIZA SIMBA/FEI TOTO ANAITAMANI SIMBA

Ойын-сауық

Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online

Пікірлер: 52

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m15 күн бұрын

    Jaman kaka wa watu mpole mwenye hekima Mungu akufikishe mbali na utimize malengo yako

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl14 күн бұрын

    Asante. Sana. Hans. Rafael. Mimi. Niko. Pamoja. Na. Wewe. Hans. Upo. Vizuri. Sana. Tena. Sana. Piga. Kazi. Mwanangu. Kumbuka. Kuna. Baadhi. Ya. Walimubeza. Yesu. Itakuwa. Wewe? Wewe. Fanya. Kazi. Acha. Kusikiliza. Mambo. Ya. Watu. God. Bless. You. My. Guy

  • @MagangaKaombwe
    @MagangaKaombwe14 күн бұрын

    Hongera mtanazaji nawe una kitu ila nampongeza sana ANCII anakitu sana nazawadi ya kuku siku ukikutana nae by kaombwe kutoka tabora

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga962315 күн бұрын

    Hivi Simba bado mna fursa ya kupiga kelele. Kubali mwiba wa Chama uwachome na kuwaumiza

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    15 күн бұрын

    😂😂😂

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546214 күн бұрын

    Uko vizuri Mdogo wangu piga kazi

  • @gablielrobert
    @gablielrobert14 күн бұрын

    Mungu akubaliki ww ndio mchambuzi wangu bora Tz

  • @AbdallahKulalila
    @AbdallahKulalila15 күн бұрын

    Nakukubari saaana ndugu yangu pambana Sana simamia ktk ukweri tu Mungo atakulinda inshaallah

  • @abednego3876
    @abednego387614 күн бұрын

    Top3; upo bro .

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga506414 күн бұрын

    Huyu mwamba namkubali sana

  • @user-qd6yl1ub8v
    @user-qd6yl1ub8v15 күн бұрын

    Mchambuzi wngu Bora nchini Tanzania never seen before

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye1814 күн бұрын

    Sana Hance Rafael nakukubar sana

  • @japhetaverin-ou9rp
    @japhetaverin-ou9rp14 күн бұрын

    Hansi namkubali sana atafika mbali😊

  • @GetrudeKisuka
    @GetrudeKisuka15 күн бұрын

    Nakubali kaka

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o15 күн бұрын

    Wamemtoa wasafi au kipaji chake ndo kimemtoa kaanzia karagwe FM,

  • @SalmaHalidi
    @SalmaHalidi14 күн бұрын

    Nakubal sana

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati959914 күн бұрын

    Hawa crown ni tatizo mjini

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu12815 күн бұрын

    Aziziiiiiiii Chamaaaaaa pacomeeeee,Maxxxxxx Bokaaaaa Balekeeeeeee,mudathiriiiiiiiii,Auchoooo,Soah goioooooooooooo Simaba 0 Yanga10😂😂😂😂😂

  • @furahamoja6582
    @furahamoja658214 күн бұрын

    Safi sana

  • @CotaManywele-vg9ti
    @CotaManywele-vg9ti15 күн бұрын

    Hansi mwanangu piga kazi upo sahihi sana kikubwa simamia ukweli wako mungu atakujaalia ulifanyalo litaluwa na mafanikio kwako, inshaalah, kikubwa simamia ukweli,

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175515 күн бұрын

    Kijana ameshikilia kauli yake sijui anapata wapi ujasiri huo

  • @DavidYusuph-wn3fj
    @DavidYusuph-wn3fj14 күн бұрын

    Hivi wew unajuagaje .maana huwaga hutupangi unasemaga kwel

  • @DivinePromise-sv3qq

    @DivinePromise-sv3qq

    14 күн бұрын

    Nadhani anajua kutafuta habari na vyanzo vyake vinampa

  • @DivinePromise-sv3qq

    @DivinePromise-sv3qq

    14 күн бұрын

    Nadhani anajua kutafuta habari na vyanzo vyake vinampa

  • @MariamCosmas-lu3yl
    @MariamCosmas-lu3yl15 күн бұрын

    Azii yupo yanga jamni

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596415 күн бұрын

    Kiukweli huyu dogo yupo vizuri

  • @DivinePromise-sv3qq

    @DivinePromise-sv3qq

    14 күн бұрын

    Ni mtu pekee anayeongea ukweli kwenye mpira wetu Mungu amtangulie

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn15 күн бұрын

    Wachambuz wa bongo bhn utasema ni wakala wa mchezaji

  • @user-sy7uq4gw6l
    @user-sy7uq4gw6l15 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤ yanga

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g15 күн бұрын

    Hans akikuambia kitu ni zaidi ya 98% fuatana naye na huwa naumia sana mtu akimtukana Hans

  • @ObeyEmmanuel-lb9lc
    @ObeyEmmanuel-lb9lc15 күн бұрын

    Huyu ni mwamba kweli kwelii

  • @user-il5cu6gq5f

    @user-il5cu6gq5f

    15 күн бұрын

    Acha wivu mtoto wakiume wewe

  • @Barakah2590
    @Barakah259013 күн бұрын

    😂😂

  • @fredyfrancis8011
    @fredyfrancis801114 күн бұрын

    Hans muongo muongo tu ulisema kasajili kumbe uongo

  • @gastorsapula2583
    @gastorsapula258314 күн бұрын

    Kama Hana mpango kuondoka Yanga,,. Angesha Saini mkataba mpya kitambo. Hujiulizi kwanini mpaka Leo hasaini mkataba!??

  • @user-fe8gq8dy1g

    @user-fe8gq8dy1g

    14 күн бұрын

    Kwn hujamckia Hans kasema Aziz Ki tayar alishasain Yanga mkataba wa miaka miwili?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754315 күн бұрын

    VIONGOZI WA YANGA NDY NI WAONGO INJINIA HENSI NDY ALIYESEMA SASA ANAMFICHA NANI? HUO NI UTOTO

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    15 күн бұрын

    Pole ndugu yangu

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo841215 күн бұрын

    Hata mkiungana wachawambuz wote kuiponda cmba bado hamtaishusha digitizing wanajua pakuanzia

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    15 күн бұрын

    Kwani Hans kaponda wapi Simba kwenye interview hii. Muache kijana wa watu hajaiongelea vibaya Simba na infact amezisifu sajili za Simba SC zote.

  • @IssackJackson
    @IssackJackson15 күн бұрын

    huyu nae hata simuelewi hata anapenda sana kuisifia sanayanga Kuma huyu

  • @user-hy2qw6gi3e

    @user-hy2qw6gi3e

    15 күн бұрын

    We mwenyewe tako

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    15 күн бұрын

    2lia w matako y nyani

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe704415 күн бұрын

    Pesa hauna utabakisha Maandazi ila so zzk

  • @SalvatoryMbigili-m2f

    @SalvatoryMbigili-m2f

    15 күн бұрын

    Hahahahahahahaaa mnaumia sana aisee😂😂😂😂😂

  • @SalvatoryMbigili-m2f

    @SalvatoryMbigili-m2f

    15 күн бұрын

    Unazo ww

  • @user-bo5qp9gz8m

    @user-bo5qp9gz8m

    15 күн бұрын

    Pole yanga ipo salama makasiriko yako unateseka ukiwa wapi😂😂😂😂

  • @BarakaIsasi-vn5my
    @BarakaIsasi-vn5my15 күн бұрын

    Punguza sifaa kjna wasaf umekutoa sahv unajikuta

  • @user-il5cu6gq5f

    @user-il5cu6gq5f

    15 күн бұрын

    Acha wivu dogo hapa mjini

  • @ZenjNation
    @ZenjNation15 күн бұрын

    Mnaharibu lugha ya English kwa mbwembwe zenu za hovyo. Sio suplise ni surprise, sio geneletion ni generation. Jiongezeni kwenye lugha.

  • @nasrimohamed7556

    @nasrimohamed7556

    15 күн бұрын

    Sio mbwembwe anatatzo na r na l ni kawaida sn kwa jamii yetu ya kibongobongo

  • @ZenjNation

    @ZenjNation

    15 күн бұрын

    @@nasrimohamed7556 👍👍👍

Келесі