Kama Umeona Hamisi Amekaa No1 On Trending Gonga Like Apa
@silvazidekr4436
4 жыл бұрын
Ameisha nyimbo ya darasaaaa na harmonize kwakutrend
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
😀😀😀😀
@justinejulius35444 жыл бұрын
Ana akili uyu mtoto... Mpe like zake...Tumpeleke WCB au KONDE GANG...nipe like alaf amua
@hermanmpanda8584
4 жыл бұрын
Konde gang iyooo
@alexsebastian41464 жыл бұрын
2019 kashaanza kuvaa kape miaka kadhaa utaona ana ndinga kali ee Mungu msaidie
@emmanueljoseph25764 жыл бұрын
Dogo unajielewa Sana na unajua kujieleza nakuona mbali mungu akusimamie
@mathayofransismathayo1975
4 жыл бұрын
Master j ana roho mbaya sana
@halimasssomar87934 жыл бұрын
Jaman hamisi nakupenda..na pia duniani..sio kila mtu atakupenda..shukuru pia ulipo fika..bila iyo bss pia usinge julikana
@zurahassan94474 жыл бұрын
usife moyo sisi takuombea hamis utafaulu maisha
@stevboniphace4504
4 жыл бұрын
Mungu yuko nawe ndugu yangu, hakika atakupigania, ndoto yako itatimia...
@aminasaibava6078
4 жыл бұрын
Mungu atakubark
@yusufally6853
4 жыл бұрын
zurahassan 94 ....kila jambo zuri Lima mtihani hivyo atafanikiwa muda ukifika
@yusufally6853
4 жыл бұрын
zurahassan 94 ....kila jambo zuri Lima mtihani hivyo atafanikiwa muda ukifika
@yusufally6853
4 жыл бұрын
Lima_lina.
@iddishaban65464 жыл бұрын
Kama umegundua hamis anamzd kiba kwa interview gonga like
@jmm18404 жыл бұрын
Kutoka kwa Hamis kumepunguza mvuto na ushindani mkubwa.Maadam Rita analijuwa hili maana ameumia sana.Popote ulipo Hamis tupo tutakusapoti ndoto zako zitimie.
@nasraisack6431
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@khalidikibakuli132
4 жыл бұрын
Hamis jitaidi sana Dogo amin mungu kila kitu kinapangwa Na mungu ndugu yangu pambana
@nalkisaqueen36374 жыл бұрын
Hamis wangu I miss you nime juwa bongo star search kwasababu yako Hamis 🥰🥰🥰🥰unajuwa ku 🎸🎸🎤mama lao
@mikelkpark2034 жыл бұрын
Ingawaje must j kamkataa mwanzo mwisho, huu Dogo mkali na atafika mbali kuliko wale waliobaki!!💪💪👌
@elizabethmutuku27804 жыл бұрын
Hamisi bado nyota yako inang'aa usife moyo👏👏
@genvhehenuue42164 жыл бұрын
Alaf kadogo haka kanaongea mashallah keep up my braza mchukie iyo n vice verser
@nairathrobert88514 жыл бұрын
Mungu ndo mjuzi kaka angu yeye ndo anapanga uwe nani na si binadam usife moyo funika ukurasa huo wa BSS fungua ukurasa mwingine Allah akutangulie
@swaibutanzania59244 жыл бұрын
mshind wa bss...sema masta j alikudis sana na ndo kafanya utoke bss
@enaelyosia7994 жыл бұрын
Usijali hamis hayoo mapito tuu maisha yaoo wakubwa
@allysaidi7940
4 жыл бұрын
_/, _../ / . ,__ , ._ ,.
@aishaamy79544 жыл бұрын
Umeongea point Hamis in shaallah mungu atakupa utafika mbali zaidi
Daaaaa master j fitina tu Ila naona maneno ya hamisi yanafanana Sana na madebe
@farajakasikile8846
4 жыл бұрын
Umesema ukweli nauongeaji wote niwa madebe bila shaka
@hasheemabby25834 жыл бұрын
HAMISI umekuwa star kuliko hata mshindi anae patikana leo
@lightnessjoseph49704 жыл бұрын
Hamis mbali na mziki we unahekima sana...nakukubal...bado hujashindwa....uckate tamaa mzeee baba
@mwakasangainnocent1494 жыл бұрын
Big up dogo your good musician
@vitusprotus88774 жыл бұрын
Kumbe upo vzr aisee HAMIS, but naamini milango imefunguka, usha onwa na wengi ucjal..
@scolajapheth4874 жыл бұрын
Barikiwa dogo unajua kujibu majibu yenye hekima barikiwa Amin ipo siku mungu atakufikisha pale unapotaka ,💖💖💖💖
@thuraiyahhassan61904 жыл бұрын
Love you khamis nainmman utafika mbal. Kaza yale. nimashindano lazma mshind awe mmoja unakipaj ukiwa nania utafika mbAli
@rashidkhamis3664 жыл бұрын
Master J kama unacheki hivi anavyoseme Huyu dogo unajisikiaje. Huu ndio ubinaadam umemdhalilisha lakini hakujali amekupnda na anakupnda sana.
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
Kweli kabisa pia anajua kuzungumza
@magynzioka1122
4 жыл бұрын
Hadui mpende akose sababu
@neemamrutu8315
4 жыл бұрын
Jaman msimuache
@chusseboywcb2808
4 жыл бұрын
Acha ubinadam ile nikazi hatuangali sura
@g.o.g_morentall463
4 жыл бұрын
Mawengee tv
@arafajohn53504 жыл бұрын
Hakuna dhambi kubwa kama kukata tamaa usikate tamaa hamisi
@charlotenibitanga2164 жыл бұрын
Mungu ndo muweza yote usikate tama pambana utafika
@abedkarume90884 жыл бұрын
Alhamdulillah walikuchagua Kama star katika bongo search na ulipofikia nikupitia wao ukakupenda watu kwa kukuona bss Hilo pia niushindi Tosha katika maisha.
@kiokorenei26234 жыл бұрын
You're a star..go go go
@fatumahaji56974 жыл бұрын
Rizki popote mdogo wangu usikate tamaa
@allygingi2258
4 жыл бұрын
mungu yu pamoja nawe
@godsonjoseph2593
4 жыл бұрын
Kp movin home boy
@estatekisombola9251
4 жыл бұрын
Kama riziki popote wende kachinje nguruwe Maka
@joharjohari67054 жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu,walimrudisha hamisi,kwasababu waliona alikuwa,anahamasisha watu kuangalia bss na si vingine,yani hamisi ananyota ya kupendwa na wengi
@francyamigo24684 жыл бұрын
safi sana hamisi uko vzr na umeongea maneno mazuri sana usimchukie na utatoka
@belindajomalema48524 жыл бұрын
Ucjali mdg wangu. This is life. That is the first step u have made. The doors will be opened for u. God will never leave u. He will heal u
@hadijasalimu18084 жыл бұрын
My lovely bro hamiss leo situlala unaweza
@ibracountry92984 жыл бұрын
Dogo ninapenda kwakua unajua majibu ya mtihan ni mawili kwahyo ongera pambana Sana dogo
@sigilindamdemu2367
4 жыл бұрын
Dogo unauwezo mkubwa sana wa kujibu kwa busara Mungu ni wa kweli na hakika
@lightnessjoseph49704 жыл бұрын
Ni kweli binadam tunafanya na mungu anafanya..so tusihukumiane
@majaliwahasanmajaliwa89804 жыл бұрын
Waswahili wanasema steering hauwawi naanza kuiona kwa hamis bigap hamis baba
@ndayishimiyecynthia49904 жыл бұрын
Umepeleka Sasa mdogo wangu usikate tamaa songa mbele daima
@baataa31434 жыл бұрын
Master j nishetani mukubwa kabisa yani anaroho mbaya sana
@nsrnsr58384 жыл бұрын
Maadam lita mungu atakulipa kwa upendo wako inshaallah
@happinesssteven82294 жыл бұрын
Yupo gud sana na anajua,ila nashindwa kuelewa wanaangalia vgezo gan..bt ol in ol Mungu yu upande wako ata km utachelewa ila mafanikio ni yako
@eliasgembe9344 жыл бұрын
master jay ......Hamis nakukubali sanaa usikate tamaa mungu bado yupo nawe pambn usha kuwa star mm shabik yako
@briansancedo93363 жыл бұрын
Dogo upo vizuri sana kuza hicho kipaji utafika mbali sana, wakongwe wa muziki mpeni kampany anatukumbusha sana nyimbo za zamani
@davidkubela95164 жыл бұрын
Young boy good job keep it up
@mainayakangai52784 жыл бұрын
upo sahihi dogo muamin mungu🙋
@wilsonuhenge8944 жыл бұрын
NECTA angekuwa anaonekana akina bashite wote wasingemwacha salama, bss waangalie mifumo mingine ya michujo ili asionekane mtu anayechuja ili ukiondolewa lawama zipungue
@godfreythomas39314 жыл бұрын
Hamic tafuta jina lakisanii we ushakuwa star
@marrywistone31154 жыл бұрын
Pole Sana Hamis usijali uko vzr sana
@salimabdallah74094 жыл бұрын
Tunasubr nyimbo zako khamc ushaatoboa ucjal mungu n mwema have a good luck
@jumaluhundaza64394 жыл бұрын
Majaji wa kibongo,wanapaswa kujifunza,kauli za kujenga na si kuvunja na kukatisha tamaa,hawa ni vijana waparanganaji,tusiwe na mtazamo hasi tu,bali tuwainue juu. Hamisi ni msanii aliyetaka kuurudisha mziki asili wa kitanzania,jamani tumshike vizuri mziki wa kwetu utarudi mahali pake. Kila mtu ana kitu chake tu.
@paulinaobiria9649
4 жыл бұрын
Juma Luhundaza umesema kweli
@afandebrighttz28874 жыл бұрын
Aiseee me najitolea Hamis nakulipia Wimbommoja studio yoyote unayotaka kurecord
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
Una hekima mwanangu. Nakupenda sana.
@lovelytatiana65024 жыл бұрын
Never Give up Bro one day utafika ambapo wengin wamfik nautakua maalufu
@harunasaidmussa15434 жыл бұрын
Kumbe dogo mtalam wa kuongea ivi
@benedictolupindo37994 жыл бұрын
Tatizo watu wanashindwa kuelewa khamis sio hajui kuimba anajua ila stage ya mashindano ilipofika kuna watu wakali zaid yake, iv nan ataelewa atoke meshack au frank then mshind awe khamis? Khamis anajua lkn sio kwa stage hii kwenye mashindano aendelee na mziki na anaweza lakn nje ya mashindano!!!!
@lisadovino7484 жыл бұрын
Hamis kaanza kuvaa kepu mara hii kawa handsome gafla ivo
@dicksonmbilinyi5892
4 жыл бұрын
Acha we
@genvhehenuue4216
4 жыл бұрын
Haha alaf wewe
@shardalove1159
4 жыл бұрын
Hehe
@maimunaathman4664
4 жыл бұрын
😁😁😁
@alexsebastian4146
4 жыл бұрын
Kweli mungu mwema IPO siku Mungu atamsaidia jmn
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
ALLAH atakufungulia njia mwanangu hamisi,yani nilitia virials vyangu vi kumi zote nimekupigia kura babangu lkn sio RIZKI,in shaa ALLAH Allah akufungulie kila penye kheiri nawe
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ameen
@asiyasaid58424 жыл бұрын
Nampenda bro Hamisi, much love from +254
@dominickraphael44144 жыл бұрын
Hamis is very brilliant..
@ayeshajororo6187
3 жыл бұрын
Mambo
@ayeshajororo6187
3 жыл бұрын
Vipi
@madarakhasalumu97104 жыл бұрын
Hamisi kaza unaweza sanaaa
@allyshabani3404
4 жыл бұрын
Hamiss kaza sisi wafatiliya BSS kutoka Burundi tunakupongeza sana umewaingiziya ma biliyoni ya pesa kutoka kwa jilako Hamiss
@abdiadamu22754 жыл бұрын
Maadam tafuta majaji walio somea hii fani sio hao bongo fleva
@emilytv95264 жыл бұрын
Kama una amini hamis hatavaa ndala tena gonga like hapa
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
🙌🙌🙌👍👍👍
@boazsebastian3584 жыл бұрын
anatakiwa mshindi mmoja ata hao waliobaki watachujwa ,kitu ambacho naweza kukushauri wewe unakipaji cha kuimba kikubwa tafuta management utatoboa ata amonaize alibezwa lkn Kwa sasa ni star mkubwa
@khamisbk8569
4 жыл бұрын
Mdogo wangu unajua kuongea asante kwa ilo
@ameirmohammed57644 жыл бұрын
Huyu Master j anaroho yapunda hamis ndio kiboko kabisa yaani rohombaya haijengi Sawa
@saimonmollel54514 жыл бұрын
Hamisi mdogo wangu hapa umeonesha ukomavu wa kiakili, nashukuru kujua kuwa Master J kakuimarisha, Master J ni yule yule wa miaka yote. Pia mdogo wangu uliporudi ulibadilika ukasahau kuwa unatakiwa kufanya vitu vizuri zaidi,ulianza kufanya kama umeshashinda kumbe bado kila la kheri
@user-sh7pm9ys9u4 жыл бұрын
Daaah Hamis jaman usjal inshallah tumuombe mungu akutirie wepesi kwenye kipaji chako
@leonardfasion11824 жыл бұрын
We ni star kuliko mshnd wao sijampenda mshindi wao hata SKU moja
@kiamjoe71964 жыл бұрын
nimejua bss kupitia hamisi kwahio hamisi mushindi wao. mista j wewe ni mtu mubaya
@mussakhalifa81364 жыл бұрын
HAMISI ww ni Muislamu acha uongo,, huyo Master jay akupendi na ukweli umesema ila mashabiki hatuwezi kuku jengea beef na huyo Master cjui,, cc Tupo nyuma yako ww na kama music bac elewa hata S2kizz ni mkali kwa sasa kuliko huyo Master acha hofu ww unamengi kama samaki ila tu tatizo mdomoni kuna maji
@hmab8344
4 жыл бұрын
We musa unajua kama huyu dogo tear kashakua star sasa apo maamuz yake aachane na bss atoe ngoma zake watu waburudike au aamue yeye mwenyewe kutoka kwenye muziki akaenda kusali ili ufe uo ustaa wenyewe maamuz anayo yeye mwenyewe
@@pascalrudgel2914 kwanza umalaya na kupendeza kwa Hamis wewe kunahusiana vp hapo ebu kuwa mstaarabu sawa
@benjaminmaryson5580
4 жыл бұрын
Unapendeza kwli
@yusufally68534 жыл бұрын
Allah will support you hamisi don't give up.Allah with us.
@fatmashaban5557
4 жыл бұрын
Hawez msupprt kweny ujinga amtoa kumuepesha
@jamilmwinge36954 жыл бұрын
Nina nini? Na kwa nini? Mtu anae kuambia ukweli ni mzuri kwako, Hamisi uko vzr usikate tamaa maishani kikubwa uzima na afya bora tuzidi kumuomba Allah zaidi.
@gangmoney27234 жыл бұрын
Rasta gani mwenye loho mbaya .master j mpumbavu
@mswatijunior4035
4 жыл бұрын
Fala tu wewe akili mbovu tu elewa kazi ya jaji ni nn kwanza
@mariamumchele2478
4 жыл бұрын
Nianaroho mbaya ana maneno ya kejeri sana
@didowviper
4 жыл бұрын
zile sio rasta zile ni nywele za wigi zile za kike
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
Kweli master jey ana kauli chafu, hata kama mtu hajui atumiye kauli ya busara kumtoa mtu kwenye mchujo
@@aminakombo582 ww dada umenipa raha sana hahahahahaha
@yahyaibrahim69344 жыл бұрын
Ahhh me ata nikutane na kiss brown silii labda mtume Muhammad maana kukutana na nabii wa Allah kuna faida kubwa ambayo faida yake niyamilele haishi wala haipungui ila unalia unakutana nawatu umeowan i t v duuh we hamisi muislam wew wote nisawa mtukufu niyule anaemcha Allah huzunika ukijiona upi mbali na dini yako yako towa chozi kwahiko sio drem madam ritta hawakuseidii kituh ao wao enyewe wanataka masaada wakupewa mawaidha waje kwenye ibada wamjuwe mungu wahaki 😊
@noxplayer13484 жыл бұрын
Mungu you nawe brother,unaweza sana
@yolandamdoe44584 жыл бұрын
Master j Kweli wewe shetwani mungu anakuona Kama hela Anatoa yeye vile
@exaudmwakila2651
4 жыл бұрын
Sio sir kwa Nini tunasema master j anaroho mbaya ni hivi hamisi anaongoza kwa kura hakuna mshiriki yeyote anaeweza kumfikia hamis kwenye kura Sasa wameangalia vigezo gani mpaka hamis kutolewa bss au mshindi wamemwandaa wao wenyewe tenden haki kiukwer mnaboa na bss yenu narudia wew master j acha dharau bro una roho mbaya kinoma
@elifasinimpagaritse8925
4 жыл бұрын
Exaud Mwakila uimbaji wake mdogo
@latifahjanja66794 жыл бұрын
Hamisi kawa star ♨️
@RobbyMedia572
4 жыл бұрын
Mamb
@latifahjanja6679
4 жыл бұрын
Poa
@ramadhanimohamedi9954 жыл бұрын
Inawezekana ikawakwel ajui ila master j anachuki nakhamic
@exaudmwakila2651
4 жыл бұрын
Kabisa master j anaroho mbaya tu
@richardkonzo5717
4 жыл бұрын
Kwanini amchukie?? Hivi ni kweli Hamis ana Imba kuliko washiriki waliobaki? Tuache ushabiki Jamani
@@gaudinamosnchobe4909 mbona alikuwa anatukana saana..
@tatukachingwe22904 жыл бұрын
Ww ndy mshind wangu ,,,mungu akuongoze
@jeniferabass9684 жыл бұрын
Yaan ulivotoka baba sijaangalia tena bss jaman roho imeniuma sana
@mariamumchele2478
4 жыл бұрын
Yaani mm ndo nimefungua Leo huku ndo nimeamua nimuangalie hamisi hata upande huu yaani sinaham na majaji yaani wanakusifia baadae wanakuvunja moyo chakufanya apambane tu
@esmahnguzo8448
4 жыл бұрын
Hata mimi sijaangalia tena
@fabienenenikezwe3866
4 жыл бұрын
Jenifer Abass Tupo pamoja
@kulwadeus75134 жыл бұрын
Trending number one ,your winner
@imranmohammed12664 жыл бұрын
Napenda interview ya khamis anajua kujib mashallah
@zeddydaqueensy46124 жыл бұрын
Wallai una busara xana
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Hamisi unajua!!
@aminashafi43304 жыл бұрын
achana nae hamis yule mshamba tu rasta gan mkundu yule
@mecktridaboniventure73304 жыл бұрын
Mm nataka yule Babu Rasta wa TBC achukue nafasi ya master J
@aminaomary7458
4 жыл бұрын
kweli kabisa master j anaboa
@kidstz26954 жыл бұрын
Watu wasiendelee kuangalia BSS umemsikia hamisi
@allysaidi7940
4 жыл бұрын
Elisha Mathias /
@damaskavindi48454 жыл бұрын
Dogo anajibu vizuri sana
@rechokezia8213
4 жыл бұрын
Sn sn mungu yupo tia bidii never give up
@makelelehamsini49604 жыл бұрын
Hakika upo vzur
@suleymandachi7824 жыл бұрын
Kijana huyu anakitu cha ziada anajieleza vizuri ila waliobaki wote wababaishaji ndiyo maana mpaka leo washindi wa bss hawapo staging,ila huyu atafika mbali
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Inshallah
@juliuselisa68054 жыл бұрын
Poa sana unajuwa kujibu maswali sana kuna maisha baada ya bss
@TALLUBOY4 жыл бұрын
Umetisha sana hamis you danger Unaweza kujibu interview mzee
@mawjumarashidi84374 жыл бұрын
Usikate tamaa hamisi utatoboa tu
@hassanirahma6484 жыл бұрын
Hamisi unajua... mwenyezi mungu akutangulie bro
@princejosiah24044 жыл бұрын
Mi nakukubali sana Hamisi we ulistahili kushinda ila master j chenga
@issaibrahim53294 жыл бұрын
Yani ulicho kosea kwenda na ndala pale nyimbo ya hamonaizi bado ina muma
@sabinaonline6575
4 жыл бұрын
😁😁
@aminakombo582
4 жыл бұрын
Hahahaha
@konkodimoto4171
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stevensemwenda63314 жыл бұрын
kuishi karibu na msikiti au kanisa kwa muda mwingi si kushika dini. Master j kakaa kwenye tasnia ya muziki ila haujui muziki. jiulize nini kilimliza madam Rita? nni kinafanya washabiki wampende hamisi? uwezo alionao ndio umemfanya apendwe. ningekuwa mshaur wa madam Rita angekuwa ashatimuliwa mapemaaa MJ coz anaharibu BSS
@mswatijunior4035
4 жыл бұрын
Huna akili ya mziki ukajua mziki ni nin? Watu wengi wanafeeling na hamis cz ya physical appearance ya kutia huruma bt mj yuko good san na yeye ni jaji kafanya kazi yake ya kijaji
@stevensemwenda6331
4 жыл бұрын
aliyekufundisha wewe muziki mwambie akufundishe maana ya akili ya muziki, hata uwe na uwezo kiasi gani ucpoweza kukuteka hica za mashabiki ni sawa na sifuri. nyie Tim master j bwana sijui mnafeli wapi kimuziki?
@stevensemwenda6331
4 жыл бұрын
Fanya utafiti kidogo tu usisahau kumshirikisha Mj wako. chunguza mshindi wa BSS kipindi cha harmonize alipokuwa ameshiriki bss then make comparison who is the best!
@hindisaidi5097
4 жыл бұрын
Kuna siku ritta alimuambia master j we hujawahi kumkubali mtu yeyote!
@regiuscloud56784 жыл бұрын
Jmn mbn amerudishwa mara mbil na bado akatolewa watu wanaimba achen utan
@tarzanjr97254 жыл бұрын
Kama huyu ametolea siwezi angalia bss kwa mwaka huu ni bora niangalie interviews zake
@maryamdounga2290
4 жыл бұрын
Hata mm nishafuta app yao
@tarzanjr9725
4 жыл бұрын
Wame niboa kinoma hawa washkaji Mimi nilikuwa nafatilia bss kwasababu ya hamis sio wao vibwengo
Пікірлер: 575
Kama Umeona Hamisi Amekaa No1 On Trending Gonga Like Apa
@silvazidekr4436
4 жыл бұрын
Ameisha nyimbo ya darasaaaa na harmonize kwakutrend
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
😀😀😀😀
Ana akili uyu mtoto... Mpe like zake...Tumpeleke WCB au KONDE GANG...nipe like alaf amua
@hermanmpanda8584
4 жыл бұрын
Konde gang iyooo
2019 kashaanza kuvaa kape miaka kadhaa utaona ana ndinga kali ee Mungu msaidie
Dogo unajielewa Sana na unajua kujieleza nakuona mbali mungu akusimamie
@mathayofransismathayo1975
4 жыл бұрын
Master j ana roho mbaya sana
Jaman hamisi nakupenda..na pia duniani..sio kila mtu atakupenda..shukuru pia ulipo fika..bila iyo bss pia usinge julikana
usife moyo sisi takuombea hamis utafaulu maisha
@stevboniphace4504
4 жыл бұрын
Mungu yuko nawe ndugu yangu, hakika atakupigania, ndoto yako itatimia...
@aminasaibava6078
4 жыл бұрын
Mungu atakubark
@yusufally6853
4 жыл бұрын
zurahassan 94 ....kila jambo zuri Lima mtihani hivyo atafanikiwa muda ukifika
@yusufally6853
4 жыл бұрын
zurahassan 94 ....kila jambo zuri Lima mtihani hivyo atafanikiwa muda ukifika
@yusufally6853
4 жыл бұрын
Lima_lina.
Kama umegundua hamis anamzd kiba kwa interview gonga like
Kutoka kwa Hamis kumepunguza mvuto na ushindani mkubwa.Maadam Rita analijuwa hili maana ameumia sana.Popote ulipo Hamis tupo tutakusapoti ndoto zako zitimie.
@nasraisack6431
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@khalidikibakuli132
4 жыл бұрын
Hamis jitaidi sana Dogo amin mungu kila kitu kinapangwa Na mungu ndugu yangu pambana
Hamis wangu I miss you nime juwa bongo star search kwasababu yako Hamis 🥰🥰🥰🥰unajuwa ku 🎸🎸🎤mama lao
Ingawaje must j kamkataa mwanzo mwisho, huu Dogo mkali na atafika mbali kuliko wale waliobaki!!💪💪👌
Hamisi bado nyota yako inang'aa usife moyo👏👏
Alaf kadogo haka kanaongea mashallah keep up my braza mchukie iyo n vice verser
Mungu ndo mjuzi kaka angu yeye ndo anapanga uwe nani na si binadam usife moyo funika ukurasa huo wa BSS fungua ukurasa mwingine Allah akutangulie
mshind wa bss...sema masta j alikudis sana na ndo kafanya utoke bss
Usijali hamis hayoo mapito tuu maisha yaoo wakubwa
@allysaidi7940
4 жыл бұрын
_/, _../ / . ,__ , ._ ,.
Umeongea point Hamis in shaallah mungu atakupa utafika mbali zaidi
Hamisi usikate tama ushatoboa ninani asiekujua sasahivi nakuombea mungu yupo nawe
Daaaaa master j fitina tu Ila naona maneno ya hamisi yanafanana Sana na madebe
@farajakasikile8846
4 жыл бұрын
Umesema ukweli nauongeaji wote niwa madebe bila shaka
HAMISI umekuwa star kuliko hata mshindi anae patikana leo
Hamis mbali na mziki we unahekima sana...nakukubal...bado hujashindwa....uckate tamaa mzeee baba
Big up dogo your good musician
Kumbe upo vzr aisee HAMIS, but naamini milango imefunguka, usha onwa na wengi ucjal..
Barikiwa dogo unajua kujibu majibu yenye hekima barikiwa Amin ipo siku mungu atakufikisha pale unapotaka ,💖💖💖💖
Love you khamis nainmman utafika mbal. Kaza yale. nimashindano lazma mshind awe mmoja unakipaj ukiwa nania utafika mbAli
Master J kama unacheki hivi anavyoseme Huyu dogo unajisikiaje. Huu ndio ubinaadam umemdhalilisha lakini hakujali amekupnda na anakupnda sana.
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
Kweli kabisa pia anajua kuzungumza
@magynzioka1122
4 жыл бұрын
Hadui mpende akose sababu
@neemamrutu8315
4 жыл бұрын
Jaman msimuache
@chusseboywcb2808
4 жыл бұрын
Acha ubinadam ile nikazi hatuangali sura
@g.o.g_morentall463
4 жыл бұрын
Mawengee tv
Hakuna dhambi kubwa kama kukata tamaa usikate tamaa hamisi
Mungu ndo muweza yote usikate tama pambana utafika
Alhamdulillah walikuchagua Kama star katika bongo search na ulipofikia nikupitia wao ukakupenda watu kwa kukuona bss Hilo pia niushindi Tosha katika maisha.
You're a star..go go go
Rizki popote mdogo wangu usikate tamaa
@allygingi2258
4 жыл бұрын
mungu yu pamoja nawe
@godsonjoseph2593
4 жыл бұрын
Kp movin home boy
@estatekisombola9251
4 жыл бұрын
Kama riziki popote wende kachinje nguruwe Maka
Kwa mtazamo wangu,walimrudisha hamisi,kwasababu waliona alikuwa,anahamasisha watu kuangalia bss na si vingine,yani hamisi ananyota ya kupendwa na wengi
safi sana hamisi uko vzr na umeongea maneno mazuri sana usimchukie na utatoka
Ucjali mdg wangu. This is life. That is the first step u have made. The doors will be opened for u. God will never leave u. He will heal u
My lovely bro hamiss leo situlala unaweza
Dogo ninapenda kwakua unajua majibu ya mtihan ni mawili kwahyo ongera pambana Sana dogo
@sigilindamdemu2367
4 жыл бұрын
Dogo unauwezo mkubwa sana wa kujibu kwa busara Mungu ni wa kweli na hakika
Ni kweli binadam tunafanya na mungu anafanya..so tusihukumiane
Waswahili wanasema steering hauwawi naanza kuiona kwa hamis bigap hamis baba
Umepeleka Sasa mdogo wangu usikate tamaa songa mbele daima
Master j nishetani mukubwa kabisa yani anaroho mbaya sana
Maadam lita mungu atakulipa kwa upendo wako inshaallah
Yupo gud sana na anajua,ila nashindwa kuelewa wanaangalia vgezo gan..bt ol in ol Mungu yu upande wako ata km utachelewa ila mafanikio ni yako
master jay ......Hamis nakukubali sanaa usikate tamaa mungu bado yupo nawe pambn usha kuwa star mm shabik yako
Dogo upo vizuri sana kuza hicho kipaji utafika mbali sana, wakongwe wa muziki mpeni kampany anatukumbusha sana nyimbo za zamani
Young boy good job keep it up
upo sahihi dogo muamin mungu🙋
NECTA angekuwa anaonekana akina bashite wote wasingemwacha salama, bss waangalie mifumo mingine ya michujo ili asionekane mtu anayechuja ili ukiondolewa lawama zipungue
Hamic tafuta jina lakisanii we ushakuwa star
Pole Sana Hamis usijali uko vzr sana
Tunasubr nyimbo zako khamc ushaatoboa ucjal mungu n mwema have a good luck
Majaji wa kibongo,wanapaswa kujifunza,kauli za kujenga na si kuvunja na kukatisha tamaa,hawa ni vijana waparanganaji,tusiwe na mtazamo hasi tu,bali tuwainue juu. Hamisi ni msanii aliyetaka kuurudisha mziki asili wa kitanzania,jamani tumshike vizuri mziki wa kwetu utarudi mahali pake. Kila mtu ana kitu chake tu.
@paulinaobiria9649
4 жыл бұрын
Juma Luhundaza umesema kweli
Aiseee me najitolea Hamis nakulipia Wimbommoja studio yoyote unayotaka kurecord
Una hekima mwanangu. Nakupenda sana.
Never Give up Bro one day utafika ambapo wengin wamfik nautakua maalufu
Kumbe dogo mtalam wa kuongea ivi
Tatizo watu wanashindwa kuelewa khamis sio hajui kuimba anajua ila stage ya mashindano ilipofika kuna watu wakali zaid yake, iv nan ataelewa atoke meshack au frank then mshind awe khamis? Khamis anajua lkn sio kwa stage hii kwenye mashindano aendelee na mziki na anaweza lakn nje ya mashindano!!!!
Hamis kaanza kuvaa kepu mara hii kawa handsome gafla ivo
@dicksonmbilinyi5892
4 жыл бұрын
Acha we
@genvhehenuue4216
4 жыл бұрын
Haha alaf wewe
@shardalove1159
4 жыл бұрын
Hehe
@maimunaathman4664
4 жыл бұрын
😁😁😁
@alexsebastian4146
4 жыл бұрын
Kweli mungu mwema IPO siku Mungu atamsaidia jmn
ALLAH atakufungulia njia mwanangu hamisi,yani nilitia virials vyangu vi kumi zote nimekupigia kura babangu lkn sio RIZKI,in shaa ALLAH Allah akufungulie kila penye kheiri nawe
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Ameen
Nampenda bro Hamisi, much love from +254
Hamis is very brilliant..
@ayeshajororo6187
3 жыл бұрын
Mambo
@ayeshajororo6187
3 жыл бұрын
Vipi
Hamisi kaza unaweza sanaaa
@allyshabani3404
4 жыл бұрын
Hamiss kaza sisi wafatiliya BSS kutoka Burundi tunakupongeza sana umewaingiziya ma biliyoni ya pesa kutoka kwa jilako Hamiss
Maadam tafuta majaji walio somea hii fani sio hao bongo fleva
Kama una amini hamis hatavaa ndala tena gonga like hapa
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
🙌🙌🙌👍👍👍
anatakiwa mshindi mmoja ata hao waliobaki watachujwa ,kitu ambacho naweza kukushauri wewe unakipaji cha kuimba kikubwa tafuta management utatoboa ata amonaize alibezwa lkn Kwa sasa ni star mkubwa
@khamisbk8569
4 жыл бұрын
Mdogo wangu unajua kuongea asante kwa ilo
Huyu Master j anaroho yapunda hamis ndio kiboko kabisa yaani rohombaya haijengi Sawa
Hamisi mdogo wangu hapa umeonesha ukomavu wa kiakili, nashukuru kujua kuwa Master J kakuimarisha, Master J ni yule yule wa miaka yote. Pia mdogo wangu uliporudi ulibadilika ukasahau kuwa unatakiwa kufanya vitu vizuri zaidi,ulianza kufanya kama umeshashinda kumbe bado kila la kheri
Daaah Hamis jaman usjal inshallah tumuombe mungu akutirie wepesi kwenye kipaji chako
We ni star kuliko mshnd wao sijampenda mshindi wao hata SKU moja
nimejua bss kupitia hamisi kwahio hamisi mushindi wao. mista j wewe ni mtu mubaya
HAMISI ww ni Muislamu acha uongo,, huyo Master jay akupendi na ukweli umesema ila mashabiki hatuwezi kuku jengea beef na huyo Master cjui,, cc Tupo nyuma yako ww na kama music bac elewa hata S2kizz ni mkali kwa sasa kuliko huyo Master acha hofu ww unamengi kama samaki ila tu tatizo mdomoni kuna maji
@hmab8344
4 жыл бұрын
We musa unajua kama huyu dogo tear kashakua star sasa apo maamuz yake aachane na bss atoe ngoma zake watu waburudike au aamue yeye mwenyewe kutoka kwenye muziki akaenda kusali ili ufe uo ustaa wenyewe maamuz anayo yeye mwenyewe
Alishaanza kupendeza jaman🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@pascalrudgel2914
4 жыл бұрын
Ushaanza umalaya wako sasa
@elifasinimpagaritse8925
4 жыл бұрын
Devotha Mtewa 😂😂😎
@devothamtewa5309
4 жыл бұрын
@@pascalrudgel2914 inaonekana unapenda cna umalaya wewe mfyuuuuuuuu utakufa
@devothamtewa5309
4 жыл бұрын
@@pascalrudgel2914 kwanza umalaya na kupendeza kwa Hamis wewe kunahusiana vp hapo ebu kuwa mstaarabu sawa
@benjaminmaryson5580
4 жыл бұрын
Unapendeza kwli
Allah will support you hamisi don't give up.Allah with us.
@fatmashaban5557
4 жыл бұрын
Hawez msupprt kweny ujinga amtoa kumuepesha
Nina nini? Na kwa nini? Mtu anae kuambia ukweli ni mzuri kwako, Hamisi uko vzr usikate tamaa maishani kikubwa uzima na afya bora tuzidi kumuomba Allah zaidi.
Rasta gani mwenye loho mbaya .master j mpumbavu
@mswatijunior4035
4 жыл бұрын
Fala tu wewe akili mbovu tu elewa kazi ya jaji ni nn kwanza
@mariamumchele2478
4 жыл бұрын
Nianaroho mbaya ana maneno ya kejeri sana
@didowviper
4 жыл бұрын
zile sio rasta zile ni nywele za wigi zile za kike
Kweli master jey ana kauli chafu, hata kama mtu hajui atumiye kauli ya busara kumtoa mtu kwenye mchujo
@aminakombo582
4 жыл бұрын
Sio kauri chafuu nimsengee sanaaa,anamachukii yasifaa
@futureyouthfoundation5801
4 жыл бұрын
@@aminakombo582 ww dada umenipa raha sana hahahahahaha
Ahhh me ata nikutane na kiss brown silii labda mtume Muhammad maana kukutana na nabii wa Allah kuna faida kubwa ambayo faida yake niyamilele haishi wala haipungui ila unalia unakutana nawatu umeowan i t v duuh we hamisi muislam wew wote nisawa mtukufu niyule anaemcha Allah huzunika ukijiona upi mbali na dini yako yako towa chozi kwahiko sio drem madam ritta hawakuseidii kituh ao wao enyewe wanataka masaada wakupewa mawaidha waje kwenye ibada wamjuwe mungu wahaki 😊
Mungu you nawe brother,unaweza sana
Master j Kweli wewe shetwani mungu anakuona Kama hela Anatoa yeye vile
@exaudmwakila2651
4 жыл бұрын
Sio sir kwa Nini tunasema master j anaroho mbaya ni hivi hamisi anaongoza kwa kura hakuna mshiriki yeyote anaeweza kumfikia hamis kwenye kura Sasa wameangalia vigezo gani mpaka hamis kutolewa bss au mshindi wamemwandaa wao wenyewe tenden haki kiukwer mnaboa na bss yenu narudia wew master j acha dharau bro una roho mbaya kinoma
@elifasinimpagaritse8925
4 жыл бұрын
Exaud Mwakila uimbaji wake mdogo
Hamisi kawa star ♨️
@RobbyMedia572
4 жыл бұрын
Mamb
@latifahjanja6679
4 жыл бұрын
Poa
Inawezekana ikawakwel ajui ila master j anachuki nakhamic
@exaudmwakila2651
4 жыл бұрын
Kabisa master j anaroho mbaya tu
@richardkonzo5717
4 жыл бұрын
Kwanini amchukie?? Hivi ni kweli Hamis ana Imba kuliko washiriki waliobaki? Tuache ushabiki Jamani
@aminakombo582
4 жыл бұрын
Yule nimsengee sanaa masta j
@gaudinamosnchobe4909
4 жыл бұрын
Chuki gani mbona mwanzo alimsifia chuki zipo tatizo Tanzania hamtaki kuambiwa ukweli
@easthereasther2645
4 жыл бұрын
@@gaudinamosnchobe4909 mbona alikuwa anatukana saana..
Ww ndy mshind wangu ,,,mungu akuongoze
Yaan ulivotoka baba sijaangalia tena bss jaman roho imeniuma sana
@mariamumchele2478
4 жыл бұрын
Yaani mm ndo nimefungua Leo huku ndo nimeamua nimuangalie hamisi hata upande huu yaani sinaham na majaji yaani wanakusifia baadae wanakuvunja moyo chakufanya apambane tu
@esmahnguzo8448
4 жыл бұрын
Hata mimi sijaangalia tena
@fabienenenikezwe3866
4 жыл бұрын
Jenifer Abass Tupo pamoja
Trending number one ,your winner
Napenda interview ya khamis anajua kujib mashallah
Wallai una busara xana
Hamisi unajua!!
achana nae hamis yule mshamba tu rasta gan mkundu yule
Mm nataka yule Babu Rasta wa TBC achukue nafasi ya master J
@aminaomary7458
4 жыл бұрын
kweli kabisa master j anaboa
Watu wasiendelee kuangalia BSS umemsikia hamisi
@allysaidi7940
4 жыл бұрын
Elisha Mathias /
Dogo anajibu vizuri sana
@rechokezia8213
4 жыл бұрын
Sn sn mungu yupo tia bidii never give up
Hakika upo vzur
Kijana huyu anakitu cha ziada anajieleza vizuri ila waliobaki wote wababaishaji ndiyo maana mpaka leo washindi wa bss hawapo staging,ila huyu atafika mbali
@leokamil6284
4 жыл бұрын
Inshallah
Poa sana unajuwa kujibu maswali sana kuna maisha baada ya bss
Umetisha sana hamis you danger Unaweza kujibu interview mzee
Usikate tamaa hamisi utatoboa tu
Hamisi unajua... mwenyezi mungu akutangulie bro
Mi nakukubali sana Hamisi we ulistahili kushinda ila master j chenga
Yani ulicho kosea kwenda na ndala pale nyimbo ya hamonaizi bado ina muma
@sabinaonline6575
4 жыл бұрын
😁😁
@aminakombo582
4 жыл бұрын
Hahahaha
@konkodimoto4171
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
kuishi karibu na msikiti au kanisa kwa muda mwingi si kushika dini. Master j kakaa kwenye tasnia ya muziki ila haujui muziki. jiulize nini kilimliza madam Rita? nni kinafanya washabiki wampende hamisi? uwezo alionao ndio umemfanya apendwe. ningekuwa mshaur wa madam Rita angekuwa ashatimuliwa mapemaaa MJ coz anaharibu BSS
@mswatijunior4035
4 жыл бұрын
Huna akili ya mziki ukajua mziki ni nin? Watu wengi wanafeeling na hamis cz ya physical appearance ya kutia huruma bt mj yuko good san na yeye ni jaji kafanya kazi yake ya kijaji
@stevensemwenda6331
4 жыл бұрын
aliyekufundisha wewe muziki mwambie akufundishe maana ya akili ya muziki, hata uwe na uwezo kiasi gani ucpoweza kukuteka hica za mashabiki ni sawa na sifuri. nyie Tim master j bwana sijui mnafeli wapi kimuziki?
@stevensemwenda6331
4 жыл бұрын
Fanya utafiti kidogo tu usisahau kumshirikisha Mj wako. chunguza mshindi wa BSS kipindi cha harmonize alipokuwa ameshiriki bss then make comparison who is the best!
@hindisaidi5097
4 жыл бұрын
Kuna siku ritta alimuambia master j we hujawahi kumkubali mtu yeyote!
Jmn mbn amerudishwa mara mbil na bado akatolewa watu wanaimba achen utan
Kama huyu ametolea siwezi angalia bss kwa mwaka huu ni bora niangalie interviews zake
@maryamdounga2290
4 жыл бұрын
Hata mm nishafuta app yao
@tarzanjr9725
4 жыл бұрын
Wame niboa kinoma hawa washkaji Mimi nilikuwa nafatilia bss kwasababu ya hamis sio wao vibwengo
@salmaramadhan9580
4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@salmajuma4015
4 жыл бұрын
Hata mm jamani
@fathumafeisal7871
4 жыл бұрын
Mungu yupo utafanikiwa hamis