Hamisa Mobetto kukutana na Diamond Dubai 'Diamond ni mzazi mwenzangu'

Zile story zilizokuwa zikidai kwamba Hamisa alikutana na Diamond Dubai wakati Diamond alipokwenda kwenye show ya One Africa Music Festival zimejibiwa na Hamisa kwenye Exclusive Interview AyoTV na millardayo.com

Пікірлер: 593

  • @famiathereziadorcas544
    @famiathereziadorcas5446 жыл бұрын

    Big up to you dear Amisa mobeto... It's really you so strong woman....nimeipenda interview yako umejibu maswali Kama ipasavyo.....ishi bila wasi sister

  • @rahmaiddy7708
    @rahmaiddy77086 жыл бұрын

    I like hamisa Fanya sana ibada mtegemee mung

  • @CaroLina-qq1hl
    @CaroLina-qq1hl6 жыл бұрын

    I love hamisa,live ur life don't mind haters

  • @bantuempress1744
    @bantuempress17446 жыл бұрын

    she's mature enough and the fact is u are rocking bbygal😍😍😍

  • @tatianatataa1489
    @tatianatataa14896 жыл бұрын

    Her English is fine, y r people hurting, Amekosea wapi grammar? Enemies of progress, big up hamissa gal, Allah bless you

  • @mwanaidihussein1462
    @mwanaidihussein14626 жыл бұрын

    plz hamisa km kweli unaswali fanya kweli coz swala inamkinga mtu na machafu jitahidi kujiepusha na ya dunia kumbuka sana kesho yako maisha ni mafupi sn

  • @parrotfish1988

    @parrotfish1988

    6 жыл бұрын

    Mwanaidi Hussein Allah peke yake ndie anae uwezo wa kum judge mtu.soma hadith....Allah anampa Janaa prostitute just because alisimama akampa mbwa maji with her shoe.I hate it when someone judges ni kama sisi ndio wazuri sana duniani hii...

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    Nakupenda hamisa unamoyo mzuri sana japokua nyakunyaku

  • @meenahhappyme8969
    @meenahhappyme89696 жыл бұрын

    Mashaallah hamisa we kiboko achana na feki lady sura kucha rangi mpuuze do UA things .

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana65026 жыл бұрын

    Hamisa nimekupenda sana unaakili mashaallaah umejibu maneno yamaana tena kwaadabu na mpa mama hamisa hongera kwa malezi mazuri ushauri tena kaakimya usiwajibu wasioyo juwa maana nawanaopenda sifa ushindi nikukaa Kimya we fanya action tu ndo dawa yao

  • @hawadere1512

    @hawadere1512

    5 жыл бұрын

    Ajabu cjawahi kumsikia akiongea kiingereza alafu akatia kiswahili kdg sasa cjui kwann lazima wabongo waongee ivyo!!

  • @aikajuma6855
    @aikajuma68556 жыл бұрын

    Jifanyie yako mama achana na watu wa kufatilia maisha yako keep it up

  • @margretakinyi3182
    @margretakinyi31826 жыл бұрын

    Nakupenda sana,your reasoning is shows that your an open minded lady i really like your reasoning dear. looking great

  • @madona.1537
    @madona.15376 жыл бұрын

    Woooow!!.. Nice speech.

  • @ajmalvn8089
    @ajmalvn80896 жыл бұрын

    Nakupenda hamisa huna kiburi maaa.From +254

  • @jasminasha9551
    @jasminasha95516 жыл бұрын

    Big big Happy dear💋💝💯💐🎉

  • @ummal-shuwehdy2217
    @ummal-shuwehdy22176 жыл бұрын

    Well done positive respond I believe you will go far keep on going super lady I wish you all the best with your family love you for ever😙😙😙🙏

  • @esthermnyasenga1808

    @esthermnyasenga1808

    6 жыл бұрын

    ucjidanganye dada

  • @rushurikarashid3018
    @rushurikarashid30186 жыл бұрын

    swala( sometimes???) jitahid uwe swala 5 coz it doesn't take even 7mns to complete ur lak'aa zen uendelee na mambo ako ya kidunia. Allah akunusuru

  • @ckukuu8404
    @ckukuu84046 жыл бұрын

    Vzur sasa mumeskia hamisa kasema hakua na mond team zari woyooooo...+254 Mombasa

  • @suedissa7500
    @suedissa75006 жыл бұрын

    MTU mzima hakoseagii???doooh hongera bhana

  • @srfdgssff4297
    @srfdgssff42976 жыл бұрын

    Nakupenda bureeee mm haki we mlembo

  • @janekimaro7952
    @janekimaro79526 жыл бұрын

    nimekupenda Hamisa una upeo mkubwa sana. Laiti Watanzania wangeelewa hayo kuacha majungu na kufocus kwenye kutafuta maisha kila mtu angekuwa bilionea. Be blessed.

  • @batulanimho1688
    @batulanimho16886 жыл бұрын

    They didn’t meet .... thanks for telling the truth... you have talked 👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻

  • @dullamakuku9205

    @dullamakuku9205

    6 жыл бұрын

    Batula nimho Haya mzungu kichaaa

  • @keysarmohammed2231

    @keysarmohammed2231

    6 жыл бұрын

    Batula nimho naa weey kulmeen hahaha

  • @amandaantonio5893
    @amandaantonio58934 жыл бұрын

    Ni vizuri kana unakumbuka mwenyezi mingu jitahidi angalau update swala Tano, I like you dear your amazing

  • @bidiiyako6803
    @bidiiyako68036 жыл бұрын

    keep up mama Dylan! big up, keep on bbygal. Usisikilize maneno ya watu.

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Umeongea point moja nimeipenda sana kuhusu kucha nikweli ukiwa waswali hufai kua nakucha ndefu ama upake quitex

  • @janeladrey7575
    @janeladrey75756 жыл бұрын

    Great ....What a positive respond ?I like that

  • @naimkangi6027
    @naimkangi60276 жыл бұрын

    Wow!! Grownup lady I salute u hamisa,wow, ur matured enough

  • @jasminasha9551
    @jasminasha95516 жыл бұрын

    Big big Happy dear Hamisa💋💝💐🎉

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli67536 жыл бұрын

    Hamissa na kupenda bulee una akiri ad unakela yan up makini aru upendi kijibishana ovyo dh.... shikamoo Hamissa

  • @ommietrendz7175

    @ommietrendz7175

    6 жыл бұрын

    Mwajuma Kweli kuna R na L jua utofauti

  • @petershigemelo4973

    @petershigemelo4973

    6 жыл бұрын

    Mwajuma Kweli 😂👏

  • @chapochapos1696

    @chapochapos1696

    6 жыл бұрын

    Mwajuma Kweli MAKINI NYOKA MUNGU ATAMUUMBUA IKO SIKU SHETANI

  • @sayedaakter2596
    @sayedaakter25966 жыл бұрын

    Wow that nice dear spech

  • @TheVan-nk7ry
    @TheVan-nk7ry6 жыл бұрын

    Nimependa vyenye unamkumbuka Mungu nakumuheshimu kwani Dunia mapito si ma Star wote wanao kujua mungu!! Big up Hamisa

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly69006 жыл бұрын

    nimekuelewa sana madam nilkuwa nakuonaga unazngua SANAAA ila leo nimekuelewa u smart, u royal apreciate

  • @ozilhajarah4167
    @ozilhajarah41676 жыл бұрын

    MashaAllah, she's cute and religious lady, she knows purity.

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation55436 жыл бұрын

    Shangweee...Nemcy....May Allah protect u .....In shaa Allah

  • @rozinakimaro9010
    @rozinakimaro90106 жыл бұрын

    bg up sana hamissa nakukubali kinoma.

  • @irenapressley2266
    @irenapressley22666 жыл бұрын

    shes cute

  • @tresorngaboyeka6184
    @tresorngaboyeka61846 жыл бұрын

    Wewe ndiye unastahili kua mke wa diamond, you're simple even when you're speaking 💜

  • @madona.1537
    @madona.15376 жыл бұрын

    Of course hamisa.. Personal issues hurts we funs alott

  • @monikazakaria7647
    @monikazakaria76476 жыл бұрын

    nimekupenda kwa kweli unajua kujieleza na umeongea vizuri big up mama

  • @mamywardah7960
    @mamywardah79606 жыл бұрын

    love you hamisa unajielewaaa

  • @leahgichira3271
    @leahgichira32716 жыл бұрын

    hamisa mobetto malaya mkubwa..I was so pisses kukuona kwetu b.club

  • @vannyheigl1246
    @vannyheigl12466 жыл бұрын

    I love u misaaa we all learn from our mistakes and am glad u did

  • @salimamasudi5846
    @salimamasudi58466 жыл бұрын

    You are so good khamisa👌🔥🔥💖💖💖💖😍😘

  • @sekinatalibtalib8246
    @sekinatalibtalib82466 жыл бұрын

    Well spoken my baby gal. Keep moving.stay blesd

  • @ajmalvn8089
    @ajmalvn80896 жыл бұрын

    Mashalah viziur kma wajua swala dada.

  • @lucymwende4827
    @lucymwende48276 жыл бұрын

    Congratulations Hamisa I like the way u talk

  • @aminaally6096
    @aminaally60966 жыл бұрын

    Hahaaaaaaa mamaaaa wa million 5itapendeza

  • @anitapendo6201
    @anitapendo62016 жыл бұрын

    I love gal keep moving

  • @justinerevocatus2955
    @justinerevocatus29556 жыл бұрын

    Hongera moo be too

  • @aishaahmed8624
    @aishaahmed86246 жыл бұрын

    Nakupendaje bby misaaaa... My tununuuu live long bby

  • @halimaamini8015
    @halimaamini80156 жыл бұрын

    Nakupendaa hamisa jamani kapole mwenyewe maneno ayana faida Acha watu watandale waendelee kutoa povu

  • @mickychani4094
    @mickychani40946 жыл бұрын

    Hongera my dear

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul68245 жыл бұрын

    Una vidole vizuri 😍😚nakupenda

  • @claracalvin5055
    @claracalvin50556 жыл бұрын

    safiii Mama Dylan nmekuupenda buuuure😘😘😘😘

  • @ummimohammed1856
    @ummimohammed18566 жыл бұрын

    Hamisa maskini Allah akuoneshe njia sahihi ufate akujaalie biashara ikusudie uache mambo yasofaa ikiwemo kukaa uchi .

  • @saharaibrahim4529
    @saharaibrahim45296 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @reginanelly9183
    @reginanelly91836 жыл бұрын

    I love much, the you talked.

  • @cwtyshaynie491
    @cwtyshaynie4916 жыл бұрын

    Hamisa anajiamini kwakweli anajua anazungumza nn na nn anafanya big up kwako mobeto mzurimzuri

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende23886 жыл бұрын

    Queen 👑 beautifull 😍😍

  • @salmalyavoga4082
    @salmalyavoga40826 жыл бұрын

    Cute bby gal

  • @herikaniugu
    @herikaniugu6 жыл бұрын

    She is so cool

  • @mwaminishakalili5922
    @mwaminishakalili59226 жыл бұрын

    Wewe mobeto ni hawara si mzazi mwenziyo labda kwasababu umefanya ju chini akupe mtoto 😢😢😢😣napenda mond anapozungumza mama watoto wangu ni mama tifa yani zari iko ju na uzungumze luga yako kiswahili

  • @allyhassan3580
    @allyhassan35806 жыл бұрын

    umeongea vizur sana ongera zako missa nakupenda sana mimi

  • @chedielsimon4218

    @chedielsimon4218

    6 жыл бұрын

    i like u a everthing tu u hamisa

  • @dorothymmbone8905
    @dorothymmbone89056 жыл бұрын

    Nice interview

  • @joharimhando9828
    @joharimhando98286 жыл бұрын

    unaongea vizuri sana hamisa we ni mrembo wa asili

  • @rosemutisya2073
    @rosemutisya20736 жыл бұрын

    U r intelligent Hamisa

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa58006 жыл бұрын

    umependeza misa wangu mashallah 👌 😍 mungu

  • @alimaalima6016
    @alimaalima60166 жыл бұрын

    Nimekupenda dada unapenda kutaja Mungu unapoongea Masha Allah

  • @moreenasengi8860
    @moreenasengi88606 жыл бұрын

    Love you Hamisa focus ahead gal

  • @rahmaiddy7708
    @rahmaiddy77086 жыл бұрын

    Nakupenda xn hamisa

  • @wendyawino5938
    @wendyawino59386 жыл бұрын

    U lk ur courage gal

  • @enjobw5954
    @enjobw59546 жыл бұрын

    Pole hamisa mambo yote uliyataka mwenyewe.

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka71656 жыл бұрын

    I love u hamisa

  • @magialbert9436
    @magialbert94366 жыл бұрын

    vzuri mrembo wangu hamisa nakupenda sana

  • @elizageorge2586
    @elizageorge25866 жыл бұрын

    nakupenda sanaa we mrembo😘

  • @josephineakinyi1493
    @josephineakinyi14936 жыл бұрын

    hongera Hamisa, umeongea vizuri

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail52276 жыл бұрын

    Nimekupenda bure kuhusu kuweka kucha, safi sana msichana wa kiislamu anayejitambua awezi weka makucha wala manywele ya kubandika na makope, kwanza hayo makucha marefu inakuaje anapoenda chooni ,ata anaweza kujisafisha kweli? ni uchafu mtupu ,tena uchafu ulopitiliza

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty6 жыл бұрын

    Ila hamisa mzuri anakamwili kazuri atulie sasa afanye maisha watoto wawili Sio mchezo atumie huu muda vizuri biashara Na kujenga nyumba Ndio ulithi Na utajiri mzuri

  • @prettyshemsanelly4374
    @prettyshemsanelly43746 жыл бұрын

    THANKS MILLIARD AYO NIMEAMKIA MU SIM WALLAHI NAKUPENDA SABABU HABARI INAENDANA NA KICWE CA STORY USIBADILIKE

  • @clementinamolel1216
    @clementinamolel12166 жыл бұрын

    you dont need to apply force to get what you always wanted to have rather than to stand up and see beyond what you could see before fight to achieve all of your goals and do not fight for one men your men will absolutely come at the right time just belive in your success be a lady of integrity than been a goldigger theres no point for you to fight for one men who does not even look at you as a wife nor as anything just carry on with your keep standing and never loose hope for any thing you do it shall be well with you hamisa

  • @hawamatimbwa6789
    @hawamatimbwa67896 жыл бұрын

    nimekupenda ulivyoongea...so smart

  • @latifakayoka218
    @latifakayoka2186 жыл бұрын

    Nimekupenda missa ujaweka mikucha kma wengine😁😁

  • @yackhamza886
    @yackhamza8866 жыл бұрын

    coca na fanta check uso checki mikono jaman dear

  • @halawamaishi6880
    @halawamaishi68806 жыл бұрын

    mwaah bby gal..wasokupenda itawacost

  • @fatihiyaawadhi1447
    @fatihiyaawadhi14476 жыл бұрын

    nakupendaa buleee hamisa

  • @mchizipresstv4936
    @mchizipresstv49366 жыл бұрын

    No problem

  • @michaellukas3914
    @michaellukas39146 жыл бұрын

    Nice Mrembo

  • @lydiahabigael1126
    @lydiahabigael11266 жыл бұрын

    Nice

  • @tetlicioustwins6284
    @tetlicioustwins62846 жыл бұрын

    saluteeeeee🙌🙌

  • @salimmohd8279
    @salimmohd82796 жыл бұрын

    umeongea safi sana ila muishi vizuri

  • @farajakisinda976
    @farajakisinda9766 жыл бұрын

    good,

  • @neemadavis2411
    @neemadavis24116 жыл бұрын

    cool cute

  • @lennyayugi1433
    @lennyayugi14336 жыл бұрын

    this girl will go far

  • @fatemafatema6640
    @fatemafatema66406 жыл бұрын

    Unakula hadi kucha 😅😅😅 wewe noma

  • @aishambomwe4696
    @aishambomwe46966 жыл бұрын

    nakupenda sana mobeto

  • @zaituniiddi8615
    @zaituniiddi86156 жыл бұрын

    uko vizuri my

  • @hopechidera
    @hopechidera6 жыл бұрын

    Hamisa iko na maturity kuzidia wenye myaka nyingi kwake wakupenda kuweka mambo ya hasira na ya raha zao mitandaoni,hataki kuweka kila siri yake mitandaoni!!!hiyo ni pete ya engagement amevishwa lakini hataki kuongeleya hayo mitandaoni,ni hivo tu ndivyo ilivyokuwa siri wakati wa mimba wa Dylan

  • @mkopmkop8750
    @mkopmkop87506 жыл бұрын

    Nakupenda mobeto

  • @sabrinaalhosni9196
    @sabrinaalhosni91966 жыл бұрын

    Good

  • @sarahgerald7825
    @sarahgerald78256 жыл бұрын

    Cong girlfriend your amazing

  • @TanzaniaTrendTV
    @TanzaniaTrendTV6 жыл бұрын

    Ase..au sio mama abdul

Келесі