Hamisa Mobetto kukutana na Diamond Dubai 'Diamond ni mzazi mwenzangu'
Zile story zilizokuwa zikidai kwamba Hamisa alikutana na Diamond Dubai wakati Diamond alipokwenda kwenye show ya One Africa Music Festival zimejibiwa na Hamisa kwenye Exclusive Interview AyoTV na millardayo.com
Пікірлер: 593
Big up to you dear Amisa mobeto... It's really you so strong woman....nimeipenda interview yako umejibu maswali Kama ipasavyo.....ishi bila wasi sister
I like hamisa Fanya sana ibada mtegemee mung
I love hamisa,live ur life don't mind haters
she's mature enough and the fact is u are rocking bbygal😍😍😍
Her English is fine, y r people hurting, Amekosea wapi grammar? Enemies of progress, big up hamissa gal, Allah bless you
plz hamisa km kweli unaswali fanya kweli coz swala inamkinga mtu na machafu jitahidi kujiepusha na ya dunia kumbuka sana kesho yako maisha ni mafupi sn
@parrotfish1988
6 жыл бұрын
Mwanaidi Hussein Allah peke yake ndie anae uwezo wa kum judge mtu.soma hadith....Allah anampa Janaa prostitute just because alisimama akampa mbwa maji with her shoe.I hate it when someone judges ni kama sisi ndio wazuri sana duniani hii...
Nakupenda hamisa unamoyo mzuri sana japokua nyakunyaku
Mashaallah hamisa we kiboko achana na feki lady sura kucha rangi mpuuze do UA things .
Hamisa nimekupenda sana unaakili mashaallaah umejibu maneno yamaana tena kwaadabu na mpa mama hamisa hongera kwa malezi mazuri ushauri tena kaakimya usiwajibu wasioyo juwa maana nawanaopenda sifa ushindi nikukaa Kimya we fanya action tu ndo dawa yao
@hawadere1512
5 жыл бұрын
Ajabu cjawahi kumsikia akiongea kiingereza alafu akatia kiswahili kdg sasa cjui kwann lazima wabongo waongee ivyo!!
Jifanyie yako mama achana na watu wa kufatilia maisha yako keep it up
Nakupenda sana,your reasoning is shows that your an open minded lady i really like your reasoning dear. looking great
Woooow!!.. Nice speech.
Nakupenda hamisa huna kiburi maaa.From +254
Big big Happy dear💋💝💯💐🎉
Well done positive respond I believe you will go far keep on going super lady I wish you all the best with your family love you for ever😙😙😙🙏
@esthermnyasenga1808
6 жыл бұрын
ucjidanganye dada
swala( sometimes???) jitahid uwe swala 5 coz it doesn't take even 7mns to complete ur lak'aa zen uendelee na mambo ako ya kidunia. Allah akunusuru
Vzur sasa mumeskia hamisa kasema hakua na mond team zari woyooooo...+254 Mombasa
MTU mzima hakoseagii???doooh hongera bhana
Nakupenda bureeee mm haki we mlembo
nimekupenda Hamisa una upeo mkubwa sana. Laiti Watanzania wangeelewa hayo kuacha majungu na kufocus kwenye kutafuta maisha kila mtu angekuwa bilionea. Be blessed.
They didn’t meet .... thanks for telling the truth... you have talked 👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻
@dullamakuku9205
6 жыл бұрын
Batula nimho Haya mzungu kichaaa
@keysarmohammed2231
6 жыл бұрын
Batula nimho naa weey kulmeen hahaha
Ni vizuri kana unakumbuka mwenyezi mingu jitahidi angalau update swala Tano, I like you dear your amazing
keep up mama Dylan! big up, keep on bbygal. Usisikilize maneno ya watu.
Umeongea point moja nimeipenda sana kuhusu kucha nikweli ukiwa waswali hufai kua nakucha ndefu ama upake quitex
Great ....What a positive respond ?I like that
Wow!! Grownup lady I salute u hamisa,wow, ur matured enough
Big big Happy dear Hamisa💋💝💐🎉
Hamissa na kupenda bulee una akiri ad unakela yan up makini aru upendi kijibishana ovyo dh.... shikamoo Hamissa
@ommietrendz7175
6 жыл бұрын
Mwajuma Kweli kuna R na L jua utofauti
@petershigemelo4973
6 жыл бұрын
Mwajuma Kweli 😂👏
@chapochapos1696
6 жыл бұрын
Mwajuma Kweli MAKINI NYOKA MUNGU ATAMUUMBUA IKO SIKU SHETANI
Wow that nice dear spech
Nimependa vyenye unamkumbuka Mungu nakumuheshimu kwani Dunia mapito si ma Star wote wanao kujua mungu!! Big up Hamisa
nimekuelewa sana madam nilkuwa nakuonaga unazngua SANAAA ila leo nimekuelewa u smart, u royal apreciate
MashaAllah, she's cute and religious lady, she knows purity.
Shangweee...Nemcy....May Allah protect u .....In shaa Allah
bg up sana hamissa nakukubali kinoma.
shes cute
Wewe ndiye unastahili kua mke wa diamond, you're simple even when you're speaking 💜
Of course hamisa.. Personal issues hurts we funs alott
nimekupenda kwa kweli unajua kujieleza na umeongea vizuri big up mama
love you hamisa unajielewaaa
hamisa mobetto malaya mkubwa..I was so pisses kukuona kwetu b.club
I love u misaaa we all learn from our mistakes and am glad u did
You are so good khamisa👌🔥🔥💖💖💖💖😍😘
Well spoken my baby gal. Keep moving.stay blesd
Mashalah viziur kma wajua swala dada.
Congratulations Hamisa I like the way u talk
Hahaaaaaaa mamaaaa wa million 5itapendeza
I love gal keep moving
Hongera moo be too
Nakupendaje bby misaaaa... My tununuuu live long bby
Nakupendaa hamisa jamani kapole mwenyewe maneno ayana faida Acha watu watandale waendelee kutoa povu
Hongera my dear
Una vidole vizuri 😍😚nakupenda
safiii Mama Dylan nmekuupenda buuuure😘😘😘😘
Hamisa maskini Allah akuoneshe njia sahihi ufate akujaalie biashara ikusudie uache mambo yasofaa ikiwemo kukaa uchi .
Masha Allah
I love much, the you talked.
Hamisa anajiamini kwakweli anajua anazungumza nn na nn anafanya big up kwako mobeto mzurimzuri
Queen 👑 beautifull 😍😍
Cute bby gal
She is so cool
Wewe mobeto ni hawara si mzazi mwenziyo labda kwasababu umefanya ju chini akupe mtoto 😢😢😢😣napenda mond anapozungumza mama watoto wangu ni mama tifa yani zari iko ju na uzungumze luga yako kiswahili
umeongea vizur sana ongera zako missa nakupenda sana mimi
@chedielsimon4218
6 жыл бұрын
i like u a everthing tu u hamisa
Nice interview
unaongea vizuri sana hamisa we ni mrembo wa asili
U r intelligent Hamisa
umependeza misa wangu mashallah 👌 😍 mungu
Nimekupenda dada unapenda kutaja Mungu unapoongea Masha Allah
Love you Hamisa focus ahead gal
Nakupenda xn hamisa
U lk ur courage gal
Pole hamisa mambo yote uliyataka mwenyewe.
I love u hamisa
vzuri mrembo wangu hamisa nakupenda sana
nakupenda sanaa we mrembo😘
hongera Hamisa, umeongea vizuri
Nimekupenda bure kuhusu kuweka kucha, safi sana msichana wa kiislamu anayejitambua awezi weka makucha wala manywele ya kubandika na makope, kwanza hayo makucha marefu inakuaje anapoenda chooni ,ata anaweza kujisafisha kweli? ni uchafu mtupu ,tena uchafu ulopitiliza
Ila hamisa mzuri anakamwili kazuri atulie sasa afanye maisha watoto wawili Sio mchezo atumie huu muda vizuri biashara Na kujenga nyumba Ndio ulithi Na utajiri mzuri
THANKS MILLIARD AYO NIMEAMKIA MU SIM WALLAHI NAKUPENDA SABABU HABARI INAENDANA NA KICWE CA STORY USIBADILIKE
you dont need to apply force to get what you always wanted to have rather than to stand up and see beyond what you could see before fight to achieve all of your goals and do not fight for one men your men will absolutely come at the right time just belive in your success be a lady of integrity than been a goldigger theres no point for you to fight for one men who does not even look at you as a wife nor as anything just carry on with your keep standing and never loose hope for any thing you do it shall be well with you hamisa
nimekupenda ulivyoongea...so smart
Nimekupenda missa ujaweka mikucha kma wengine😁😁
coca na fanta check uso checki mikono jaman dear
mwaah bby gal..wasokupenda itawacost
nakupendaa buleee hamisa
No problem
Nice Mrembo
Nice
saluteeeeee🙌🙌
umeongea safi sana ila muishi vizuri
good,
cool cute
this girl will go far
Unakula hadi kucha 😅😅😅 wewe noma
nakupenda sana mobeto
uko vizuri my
Hamisa iko na maturity kuzidia wenye myaka nyingi kwake wakupenda kuweka mambo ya hasira na ya raha zao mitandaoni,hataki kuweka kila siri yake mitandaoni!!!hiyo ni pete ya engagement amevishwa lakini hataki kuongeleya hayo mitandaoni,ni hivo tu ndivyo ilivyokuwa siri wakati wa mimba wa Dylan
Nakupenda mobeto
Good
Cong girlfriend your amazing
Ase..au sio mama abdul