HAJI MANARA KWENYE NCHI HII HAKUNA ANAEJUA MPIRA ZAIDI YANGU | WANA ROHO MBAYA WANATAKA KUNIPOTEZA
Спорт
HAJI MANARA AMEWEKA WAZI KUACHANA KABISA NA MAMBO YA MPIRA NA KUWEKEZA KWENYE MAMBO MENGINE.
#hajimanara #diamondplatnumz #manaratv #yangasc #wasafitv #wasafifm #simbasc #manaratvupdates #taayamtaa #trend
Пікірлер: 205
We love you GUGATI
We will not miss him at all, good to see his back! He is a poison to bongo football and world soccer. Anaona Ana Haki kutukana binadamu.
Kabla ya press utaskia,nimefatwa na watu nnaowaheshimu wamenambia ,nisifanye ninachotaka kufanya na Kwa heshima yao nimeamua kukaa kimya😂😂😂😂😂😂,jamaa ana mahangaiko huyu😂😂anatupanga
@mamboshepea8888
9 ай бұрын
@@user-ns4fz8gu9y Mwacheni Manara hamumuwezi kwa vyovyote vileee!!!
Eti mimi siyo mtanzania,wewe nani bhana,acha kbisa mpira,acha makelele mengi na majungu.Tena itisha mapema hiyo press.......wewe domo lako ndio limekuponza....majigambo mengi sana...?huwa unahisi.....wew ni bora sana.
@davidmwasa
9 ай бұрын
Wenae kuma tuuuu hunalolote asa unamchukia bugatti kwalipi
@kudramzee5769
9 ай бұрын
Kumbukeni haya yote yanayofanyawa na simba na Yanga yeye ndio brand yake
Daah aisee.
Mama msikilize haji manara kama ulivyo fanya kwa mzanzibar yule basi fanya kwauyu shomvi wa kizaramo maaana anaaaaomewaaaa
Habari wanamichezo wenzangu, kiukweli ndugu yetu, anapita kipindi kigumu ambacho kiukweli ukiwa maarufu(super star) wanapitia na kiukweli mapenzi dhati ukiyaacha ni kujitesa ndugu yangu Haji fikiria hili wewe ni Shemu ya furaha kama inavyosema soka ni part ya maisha yako.Tunategemea tuwe pamoja
ushafukuzwa yanga you bro tulia fanya kilimo Mzee
Pole brother Mungu akuwezeshe haki haifi
MANARA KILA MTU ANA RUHUSIWA KUIPENDA NA KUISAPOTI TIMU ANAYOITAKA USIJE UKAJISAHAU UKAANZA KUWAPONDA WATU WANAOZIPENDA TIMU ZAO NA KUZISAPOTI UTAKUJA KUWAONA WATU WABAYA UJUWE HILO.
bhna haji maelezo mengi sana em acha mpira uendelee we kaendeshe manara tv
Huyo chizi mbona aligombea nafasi ya NEC Taifa kupitia CCM alikuwa anataka nn? domo linamponza kila anapokwenda watu wamechoka si Simba wala Yanga namshauri arudi kufundisha madrasa
Saw haji kama nasi imeamua achia hapo mungu ajarie sana
Manara mimi ni Simba damu kabisa but your voice unanifanya kuumia sana, coz serous unaonekana kuumizwa sana na Mambo ya Mpira. But maisha siku zote ni vita unatakiwa kuendelea kupambana as you said mpira upo kwenye damu so i hope hutaweza kuacha ipo siku tutakusikia ukisema Neno lingine kwenye Media zetu za bongo
@sweetbertbumare6118
9 ай бұрын
We nae unaharibu jina la mitume Yohana gani unasujudu binadam mwenzio
@yohanasanjavala4954
9 ай бұрын
@@sweetbertbumare6118 Bro! Mimi simsujudii but nimeongelea kulingana na jinsi anavyojieleza, mambo mengine alijitakia mwenyewe that’s why nasema hawezi kuacha Mpira huyo!
Nakumbuka alipokuwa Sumba alipendeza na kupendwa alikuwa juu kwa juu lakini hayo yakamlevya na hata wapizani wakimuogopa., Sasa masikini hapo ndipo alipojifikisha
@KabungaKalla-fw4pp
9 ай бұрын
Mbona hujatwambia wewe umefika wapi?yeye hufanani nae uesha jiuliza Hilo?
@mamboshepea8888
9 ай бұрын
@@KabungaKalla-fw4pp Mwache ahangaike na manara...yeye kafika wapi??!! Namuunga mkono Manara aachane na mpira kabisa
@husseinhassan7687
9 ай бұрын
we unahisi manara nimaskini kama wewe
Bora uwache mpira huna lolote umeona soko lako lime kwisha upande wa mpora sema ukweli .. wewe ndo wakwanza kuwa tukana watu na kuwadharau mara ngapi ulikuwa unamtukana mo na wengine umeisha khabari yako
Kweli Bugatti yanga ndo marafiki wako wa kweli tunakupenda hatutakuwacha wala kukuangusha we ni MWAMBA kwelikweli
Manara ww ni mwamba kweli kweli unaeleweka sana. Bugatti on fire 🔥.
We will miss you more Haji no one can replace you i can't compare anyone with you Bugat all the best achana nayo hata mm ningeacha
Muongo ww huwezi kuacha mpira na mpira ndio ulokupa umaarufu ulipokua simba lkn ukajiaharibia mwenyewe kisha unalaumu wt
Tatizo lako haji sifa zilikuvimbisha kichwa ukawa na utovu wa nidhamu Kwa viongozi wako na Wala ujaonewa kama unavyofikiri.
We love Haji always ❤❤❤❤
Hana nafasi tena Yanga Dogo Ali Kamwe anafanya vizuri sana idara zote hata akifunguliwa hana nafasi
@jumakapilima7295
9 ай бұрын
Ndio maana keshasoma alama za nyakati
@silvernayzer4107
9 ай бұрын
Hakun wakufikia lev ya huyu jamaa acha ulevi Haji ndo baba waizo kazi mtasema akifa
@jumakapilima7295
9 ай бұрын
@@silvernayzer4107 hahahaha, kila Jambo Lina mwisho wake, na yeye mwisho wake ushafika
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@davidmwasa
9 ай бұрын
Simba yanyokoooo
El Bugatti master
Pole manara kwa kuonewa Wala usijiusishe na mpira wetu, piga kimya wasije kusepa na wewe kaka!
Bora uachane na mpira maana mpira ulianza Kabla wewe hujazaliwa na ukiacha wapo wapo watu wengi sana tena mafundi kiliko wewe
@davidmwasa
9 ай бұрын
Wenae kelele hunalolote kumatuuu unamchukia haji kasema anaacha kufatilia mpila wewe inapank nini kuma tuuu
@user-bs2nr7gz5p
9 ай бұрын
@@davidmwasa yako ya nyuma na ya mama yako mbwa nguruwe shenzi tip
@davidmwasa
9 ай бұрын
Tongoooo za umbwaaaa
@user-bs2nr7gz5p
9 ай бұрын
@@davidmwasa chipua matuvi ya mami wako chikala chobwe
Wahuni wanaendaga makka kwa mambo mengine alaf wanaongopa eti wamefata ibada je mtu u'mra juzi leo anaenda kusapot miziki acheni kumcheza shere Allah we manara ni muhuni mmoja usokua na chochote cha kuigwa labda wahuni wenzio wacheza miziki ndio wataiga kitu kwako.
Huyooooooiooooooooo kachemsha
Mie bado nampenda jamaaa kwanza kwenye mpira anaumhimu wake na wanajua ndio maana wanafanya hivo
@jumakibasame3210
9 ай бұрын
Haji utabaki kuwa Haji ktk Mpira wa Tanzania.bali kuna washamba wachache ktk Mpira na kuna tafuta umaarufu
@dasdolo
9 ай бұрын
Anaumuhimu gani hebu nambie mzee
@jumakibasame3210
9 ай бұрын
@@dasdolo Kwa wajinga Kama msomali huwezi kuona umuhim haji.hata hao wala panya wachambuzi mbuzi wamejifunza kwake.
Huwezi tokanyng tunakupenda sana bro
Yang haikutaki ten wew
He is un-employable!
MLEVIIIIIII😂 HUKU NDIO KUNAKUFAA MPIRA HAUTAKI UWONGO UWONGO HUKU JIACHIEE
Mara u'mra mara wasafi kweli uchizi ni aina nyingi
Tuache UNA fiki:: KWANI yeye acheza namba NGAPI;;!;
Hata Mimi nakushauri hivyo hivyo Acha kabisa
Hasa Buggat linanikeraa Onhooo,
Haji mpira hukuuwacha umekuwacha kama alivokuacha Ruu 8:59
Mlikua mmuulize kazulumiwa nini
Huyoooooooo
@mdudamduda1284
9 ай бұрын
Matako yako
Utaachana na mpira lakini utaendelea kuisapoti yanga. Hivi hao yanga ni wanamuziki au watu wa mpira?
Usitishe watu,acha uende,acha uende tuone viwanja vifungwe et ww umeacha mpira.
Aendeee kwani siku anaingia mpirani alimtangazia nani?Kilichobaki ni kutafuta kibarua kwa diamond.
🤝
Haji wew unajua mpira ila tatizo lako una uswahili na ujuaji mwingi
Manara mm ndio mshabiki wako namba moja.Bado tunakuhitaji kaka kwenye mpira.
@ernestsereli8559
9 ай бұрын
Wa nn sasa"mwachen ashura cheupeee
@emanuelkilinga9196
9 ай бұрын
Acha uongo alipokuwa simba ulimchukia kuliko mwanadamu yeyote au unabisha?
Kishalewa ....😂😂😂
Unataka huruma ya ubunge? Umelikoraga kumdhihaki mungu kwenda umra halafu unaenda kunywa pombe na mziki pole umekuwa mtu mzima badilika tudi kwa mungu😅😅
Sjakuelewa kwani ulikua unachezea timu gani umevunja rekodi umetundika daruga na Hazard
Nyooo mpaka umesema
Sasa Manara kuacha kushabikia starz inapunguza nini?
Wajna yupo njwiii😂😂
Hukuheshimu watu kisa umaarufu wako na tutazidi kukupoteza zaidi si umeingia kwenye biashara za madawa ya kulevya ngoja sasa
@mlindalusana6437
9 ай бұрын
Upo sawa mi ni Simba dam Ila kwa hli la kuvamia tasinia ya mpira wapo kwaajil ya maslah yao na wanazurum Sana watu wa chin haswa huyo mzee mguto karia c watu wa mpira
Kuonewa yeye mama anamsaidiaje baada ya kuziba mdomo wake ndio dawa
Huyoooooo
Karia uyo
Kwahio anataka nchi ya Tanzania imtetee
Mnatuletea WALEVIIIII
Kenenge wewe,yaani useme mpira umeutengeneze wewe pumbavu kabisa.yaani mpira na wewe na kamkuta mwenzake
Manara nadhani ana matatizo ya Akili Akapimwe Milembe Dodoma
Nahic bro haji unampango wa kufungua band 😂😂😅
kama syo kutafuta rzk mbona ulilalamika kuhusu maslai sasa
Yaan mnataka mpaisha huyu mtu analipi la ajabu? Alichopewa kawaambia bhana
Kwani alikuwa anacheza Timu Gani?
😂😂😂jamaa janja janja Sana!!!utaachana na mpira totally,wakat huohuo utarud kwenye regime nyingine.😂
Kwahiyo ukiacha mpira utabaki timu gani maana hapo wewe ni watermelon unachekea chooni Simba ikifunga. Maana ulikuwa yanga tu kazini mtu hawezi kubadilika timu akiwa na miaka 50 . Naomba kujua tafadhali hayo maisha unayoishi ni yashida Sana kuwa ndumilakuwili. Hebu fanya maamuzi usiishi kwa shida.
Ungemuelewa Jemedari usingefika mbali hivyo
Jina umelipata kwa simba sc afu unaaza kudanganya watu ko we kama sio mtanzania wewe ni mtu wa wapi na upo tz
Kwan iyoo iPhone haikai kwa pocket? We already knew you gotta it. Halo ndipo tyuuu unafeli
Makolo koment zao wasubiri useme warudi simba lakini bora tu ujitoe ushabikie ukiwa huna ajira kwa club ata moja hiyo nibora
Kuna siku utasema ww nibora kuliko Galib (GSM) Shukuru apo tanzania watu wengi wanamatizo ya afya yaakili wanapenda kusikia ujinga
Nani aliyemuona nesi akijikudua kudua.
Kashalewa hapo sio Siri
Hahahaa eti project kwa ajili ya nchi😅😅😅😅😅
Bro manara aache ujinga ww si mtu wa soka huwezi kuhama hama kama mwanamke malaya tuachie mpira wetu
ONGEA NA MH.MAMA SAMIA AJUE UNAVYO ONEWA USIACHE HIVI HIVI PLS
@FaridiMohamed-dd4hr
9 ай бұрын
Angeongea na mungu ingekua vzr Zaid🙏🙏
@KareemMandela
9 ай бұрын
Azibe mdomo tu dawa history ya mpira umeiweka ujiwa simba tofauti na hapo wapi tena alafu hata yeye ameshafanya maovu mengi Amemlawiti kabwili mpaka leo kabwili anakunya kunya ovyo kisa manara huyu na ommy dimpozi laana hizo ndio zinamfanya
Bora uachane na mpira tu maana huna lolote la maana...ndegelec
Kwa niaba ya rangi mtu mmoja hapo ni shoga
Halafu unalikuta hili zeru zeru linaitwa mbele ya kibla cha msikiti
@msafirisalum8436
9 ай бұрын
Makasiriko vp tena wajombaa
Ungekufa kabisa Domo kaya mbwa ngurue wew bola uimbe tu kwenye Mpira wa miguu umekushinda kwa mdomo na kulopoka lopoka kama chupi ilokosa lastiki
Ulifanya nini haji. Unajua tusichezeane akili kwa kulishana propaganda, nilifanya nilifanyaa, ulifanya nini wewe bwanaa, haaa
@edyteemba1918
9 ай бұрын
Hahaha haa at alifanya nini? 😂😂haya mwambie bas asemee aaai
Mnafiki huyoo, anaachana na mpira lakini ataendelea kusupport vyura, hapo umeacha au unatafuta huruma? Kalime parachichi tujue kweli umewezwa na mpira
Mna uwakika ajalewa kweli😅😅
Kaka bado ujasema mpaka usema kaka
Ndio maana tzt tumesonga mbele sikujuwa km haji hayupo huko? Alikuwa kikwazo 😅😅😅😅
Mke wako yuko wp?😅😅😅😅
Wacha unamfiki wewe mbona unarohambaya wewe
Mavuno ya usaliti leo huna raha na kitu ulichokipenda jutia uliambiwa hukusikia
Aache sasa anamumbia nani mamae zake
Kashalewa😂😂😂😂
Bugati usiache bhanaa tunakupenda
Hakuna dini ya wahuni msiongopeane nyinyi wahuni wamitaani si huyu alotoka u'mra juzi
Bado hajasema.... Na utasema .........yaaaaani mpaka useme......😂😮
😅😅😅😅Kaishiwa 😅😅😅
ahahahahaaa hajiii..."Nafanya press ya kuachana na mpira na mimi nikiacha naacha totaly!"...dakika mbili hazijapita " Nitarudi kwenye mpira baada ya regime yao kupita" in few minutes...Sihitaji tena football, naweza kutengeneza jina langu bila mpira! mara ghafla..."nitai-support Yanga". ahahahahahaaaaa, cha Arusha huwa hakichanganywi na ugimbi😂😂😂😂😂😂
Yeye juzi siyutoka makaa umeaa
Haji mbona sitaki nataka nyingi.
Tatizo uliyoumba Mzee baba utayasema yote bado
Kasura kanaonekana Kama ukombiiiii vp