HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIJAKUPELEKA POLISI MIMI
Ойын-сауық
KWA MARA YA KWANZA HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIWEZI KUKUPELEKA POLISI MIMI TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamondplatnumz #dullamakabila
Пікірлер: 305
Namkubali sana huyu jamaa ❤❤
HONGERA MANARA KWA MAJIBU YAKO MAZURIYY SAANAA❤❤❤❤❤❤❤
Manara sema kweli kwa Rushayna uliongea sana na kurusha vijembe sana. Hadi sasa bado hujamove on kubali tu.
@khadijahussein5298
6 ай бұрын
Kweli haji anampenda sana rushaina
@theophiljoseph6824
5 ай бұрын
Kweli manara nae asiongope alisema alimuoa Rushayna ili amuache bi mkubwa lakini akuwa na mapenzi nae
@agwalubifaridah7079
5 ай бұрын
@@theophiljoseph6824kwani rushayna ameolewa hajj akanza kulialia kama anavofanya dulla?
Kwel manara nakubali sanaa Nakubali
🌹❤️💙kwa Manara
Manaraaa❤❤❤❤❤
napenda manara amuoe zai dulla alishampa mwanamke talaka sasa mbona yote hayaa
@user-mo6tr3yt3m
5 ай бұрын
Ata mimi nime penda
@uwasesifa7563
5 ай бұрын
Mwanamuke gani?Rub or Rushaynah
Nakubali Sana mku Haji manara point tupu
HONGERA SANA BABA KWA HEKMA KUBWA ULIO NAYO ENDELEA KUKAAKIMYA HIVYOHIVYO
Haji ❤Muoe zaillissa East Africa Royal Marriage.Mombasa,Nairobi ,Kisumu and halafu . Mwisho Full party tumalizea Dar salaam. Zai tupe duka LA Anna Collections Na Mobetto styles Nairobi❤❤🇰🇪
Manara hoyeeee.... Kudadadeki😂😂😂😂😂
Kama unamkubali Bugatti gonga like hapa
@user-mo6tr3yt3m
5 ай бұрын
Bugatti oyeeeee
@MultiMbongo
5 ай бұрын
Umesikiliza furahi?
Nakupenda bure kaka mkubwa❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤❤Mashaa Allah kaka Haji Manara ni mtu poa na mpole saana hana na heshma kubwa kwa mkubwa na mdogo wote anawaheshimu❤❤❤ Mstaarabu kweli kabisaaaaa
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤❤Kaka Haji Manara anaheshima kwa kila mtu kwa mkubwa na mdogo wote kwake sawa na anawaheshimu saaaana watu wote❤❤❤ Masha a Allah anaongea maneno ya kiakili,, kikubwa na kiheshima na kiutaratibu na kiistaraabu❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ilove it
Manara kaji changanya kweli kula mzigo na watoto
Duh kumbe chawa doto yupo😂
Lakini hata wewe ulimtishia maisha kwa kumtumia dm Sasa na yeye Ana haki ya kushtaki
ila doto magari una mbwembwe sjui ata kwnn ulikaa nyuma ya camera🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana Manara mwanangu ushamshinda huyo anatapa tapa. Mfamaji huyo hajui kuogelea mwache atape tape. Wazi anajuta huyo
Hongera Sana Kaka Mungu akulinde
Big up bughatt wanyooshe 🤣🤣🤣
@user-mo6tr3yt3m
5 ай бұрын
Awa nyoosheeee kweli😂😂😂😂 Bugatti kama Bugatti
Fact baba.....wakati wako huu Dullah anataka kutrend achana naye
Manara umeongea fact mwanamke akikuta kubali matokeo kabisa 😂😂😂😂
Mtangazaji anamuhoji boss wake huku akiwa anamuogopa 😂
Kwa hili manara umetisha kiongozi kweli we mkongwe
@user-pu6pr5jt4n
6 ай бұрын
NAMPENDA Sana kaka haji😂😂❤❤ POKEA MAUA YKO. MKE TUNAE NA TUNATAMBA NAE. VIJANA TAFUTENI PESA
Bongo vichekesho sana especially hizi generation simple kwa yyte mwanamke akikukataa au demu kukukataa funga buti songa mbele cuz hakutaki ndio maana akachimba hii karne sio bongo karibu dunia nzima wanawake ni wemgi sana kuliko wanaume utapata other one maisha yataendelea ila kukataa kuachika mnadhalilisha wanaume kuacha au kuachwa mbona ni vitu vya kawaida kama ugali maharage
Hapa kwetu kumbe mizungu ya unga bado ipo!😂😂😂 ivi ile interviews ya wasafi na clouds kasema ruby mbea ulipigaje vileee🤣🤣🤣 usijisahaulishe😅
Manara muungwana sana aisee Kaka daaah
At least leo HAJI KAONGEA POINTS... dula Ampuuze tuu... Aaachane nae... Wanawake wehu kuna siku atakuzushia jambo la chumbani kwenu ulie bro..... Biga kazi na wewe tafuta hela... Au tafu WAPO Mungu Amewaumba wazuri zaidi kila wanaokuja....
Safi sana Manara
WANAWAKE TUISHINAO KWA AKILI SIYO WATU WA KUWAAMINIA JAMENI HAWA VIUMBE"
acheni matusi muwe na heshima hongera manara😄
Bugati huna baya hishi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ more blessings to you
Hongera kaka
Nakukubali hapo tu manara ukiachwa achika na ukisha achika usitazame tena nyuma utapata kuliko uliemuacha
@aliaden5512
5 ай бұрын
Iko nini
Manara saluti saaaana mwamba heshima nakupa Eti chumaaaaaa
Mungu mkubwa atakusaharishia In shaa Allah
Jitu zima hovyo mzungu umechemka jinai zipo kibao🎉 polisi watafute ya kwenu tuuuu bila nyinyi kukubali, wewe umemtukana Moo,Babra, Kitenge, Kazumar, juzi juzi tu umemtuka Ahmed ally eti alibaka, izo zoote sio jinai polisi waliwahi kukupigia simu uende kituoni ?
@mohamedswaleh6778
6 ай бұрын
Acha nyege ww akitukanwa ananin kkako
Zey and hajji❤❤
manara jameni upewe maua yako ndugu yangu, umeonge kweri❤❤❤❤
@user-mo6tr3yt3m
5 ай бұрын
Wallah❤❤❤ wewe uko vizuri❤❤ ilo neno
Bro manara huja pata mke kumbe ni wakugombaniwa pole sana usije ukauza ulivyo vichuma kwa jasho lako
@uwimana6533
6 ай бұрын
Tafuteni pesa, mkekeshachukua ,vijembe vyanini 😂😂
MTANGAZAJI ANAMUOGOPA BOSS WAKE 😂😂 ANARUSHA TU MIKONO
Halafu manara Sasa Tulia umepata mtoto mzuri Sasa,huyo muache alie lie zay Lisa hawezi hawezi kaa na yule ilawewe kaa naye mfanye awe queen wako
ukiachwa achikaaa😂😅😅
El Bugatti 🔥🔥🔥🔥
safi sana manara
Wewe Manala choko kweli umejipendekeza kwa dulla kumbeunamtaka mewake
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
Walikuwa wameachana
manara unaniuwa nimecheka kwamba mda na zaylisa na kitafuta hela asante baba
Manara is right
Manaea ana mbwbwe napendaga sana
😂😂😂😂huitaji kuoavmpishi mpe vidonge vyake kuku mwenye kujichubua mpk meno,sisi tumeoa mke upishi mwache Rushyna akupikie😂😂😂😂
nawapenda zaylisa na manara dulla shobo nyingi
Mapenzi yakifa yazike na usiweke maua juu ya kaburi
Doto bana😂😂😂😂😂 Eti DULLAH anajichubua mpka meno. KIJANA ABDALLAH TAFUTA PESA MWENYEWE UZUNGU UNAUTAKA AFU MKE USHAMUACHA KULIKONI. DULAH LANA ZA RAHMA izo😢 MKEO WA KWAZA.. CHUMA NINACHO MIE NIMEPENTAAAAAA bugatiiiii mtoto WA kariakoooo❤❤
Hamna uustadhi tena hapo berthday za kutosha kila mwaka aiiii
Kwaio umemshindwa mze umeamua kukimbilia polisi pole mze huyo kashindwa Na kijana atakueza wewe 😂😂pole Manara unazeeka vibaya
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
Ukizeeka vizuri wewe inatosha
@banguha
6 ай бұрын
Anayezeeka vibaya ni yule asiye na pesa ivi mnamtetea dolla kwan mke si alimpa talaka 3 au mlitaka akiachwa na dulla apate mcheza vigoma sio kwa hiyo kumpata mtu wa kumuweka kivulin roho zinawatoka achen roho mbaya binadam kila mtu anapenda raha
Hongera sana Bugatti mwanangu mke ndiyo yule achana na kuacha sasa.
Dula umeharibu talaka tatu umekosea sana kumbe bado unampenda kwa nini usifanye subra
Bugati 👍👍👍👍🔥🔥
Lakini Dotto🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@bakariomari8758
6 ай бұрын
Doto alikua anateketea hatoi neno hadi kamalizia😂😂😂😂
Hahahaaah,Manara bhana
Hii yote we Mzee ndio unataka unaenda miaka 50 plus sasa wenzako wenye Age yako sasa hvi wametulia kimyaa! wewe tu ndio umebaki na vijana wadogo kuhangaika na bado utatukanwa mbaya bado
WEWE SHOGA UNAFURAHIA MAKOMBO YA SINGELI UNGEPATA BIKRA INGEKUAJE ??
Eti kuku wew
Dulla kubali matokeyo ume achwa bhana manara Bugatti ringa bana chumaaaaa insha Allah mzikanee ya Allah
@farhatkhamis1226
5 ай бұрын
Aaaaaaamin
Mtangazaji anakaza kwa boss
Dotto katokea wapi!?🤣🤣🤣
@shanimbaruku2071
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤
kizungu hakijiamini anajua hana mzigo wenye nguvu za kumsugua zai akaridhika basi presha ipo juu anapitia dullah kuwaonya wanaume wote atakonda sana huyu baba na kuzimia atumiye pesa ila mzigo ndani usome
BROO BIRTHDAY YA MWAKANI MUALIKE MWANANGU YUPO ZANZIBAR AJE KUINJOI NA KUJIFUNZA MAISHA AMEZALIWA TAREHE KAMA YAKWAKO JANUARY 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hakuna kama Haji hilo halina ubishi, yani huchoki kumsikiliza akiongea!
Haji manara dume.manshallah
Achana na Muhuni mcheza Chakacha yeye mwenyewe Uzungu anautaka ndo maana anajichubua 😅 😂 Dula Maisha yanamchanganya
Ulicho fanya manara nimefurahi saana UMEKOMESHA WAWEKA VIMADA na DIAMOND nae mfanyie hivyohivyo nenda kamchukue TANASHA DONA ili na yeye akome kuweka vimada
Hakuna cha kumalizia kwani mimi nilikuwa nataka kuoa MPISHI??? KUKU WEWE....😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kila siku nasema manara mimi shabiki wako bigup
mi naamin hata wew atakuacha tu
❤❤
Apo muongo haji itakuwa km sio zai alosema polis itakuwa jamaa zakezai usijifanye hujui kinacho endelea kwa dula
Katika huu mchezo wote naona anayetoka mnufaika namba moja ni bi Zay maana brand yake sasa inazidi kupanda pa kubwa as hata ambao hawakumfahamu sasa wanamfahamu ametumia fursa vizuri kuoana na Manara
Unyama sana manara
Anapenda tusi la kuku😂😂😂😂😂ila manara jmn
@user-mo6tr3yt3m
5 ай бұрын
😂😂😂😂 saaaana
Manara umesha kua mkubwa, sio class yako kugombea mwanamke na pia ungetafutaga mwanamke wa maana acha na hivyo viluka njia Bro
Bora tu umtafutie wapishi ishirini. Harafu wote wapike chakula yeye achague anakula nn
Vita imekushinda ukakimbiliya polisi 😅😅😅😅😅😅eti polisi wamepiga sim polisi wanamjua zai kwa kweli?achaaaa bwana shita zoote ziko tz waone ya zai😅😅 nimecheka
@uwimana6533
6 ай бұрын
Dulla makabila ndoa imemshinda, ukiachwa achika 😂😂😂
Watoto wenye kuzalia kabla mimba zao zina mix wabwana ndio izi fruits kama Hajimara.
Doto anacheka kinafki sana😊😊😊😊
Na wakirudiana je? Ukiskia nyuma geuka wa mwisho anakua wa kwanza.
Ila Kuna watu Wana comment bila kusikiliza shida ni silent chawa 😂😂😂 af awatak kula bando zao
Sasa dula si mshamba tu 😂😂😂
Nakukubali sana Bugatti 😂😂😂😂
Manara Bugatti nakupenda Eti ukiachwa achika daaah niatar
😅😅😅 mpuuz sana Hajiii😅😅😅😂😂😂et nina Mda na Zay na kutafuta pesa
@uwimana6533
6 ай бұрын
Kabisa, makabila ndoa imemshinda 😂😂
ww mzungu Acha ww kaa Kwa kutulia😂😂😂Acha na dulla kabisa !!!
Kwani kuna ugomvi gani huyo dada kwani si mjane au vipi huyu Manara kwani kamtoa kwenye ndoa ni suala la kuheshimiana tu kila mtu achunge mzigo wake kwani vita ni ya nini?
Kummmke Manara Manara Manara mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo nakukubali asilimia 10000 endelea kutia dawa kwenye kidonda kamanda wangu
Manara usimsifu sana msichana wa mjini wanawake zako walotangulia uliwasifu hivyo hivyo na walikuwacha wanawake zako wote ni wenye tamaa ya pesa zako tu!
@uwimana6533
6 ай бұрын
Ayo muachie mungu 😂😂😂
@fatmaabdallah7709
6 ай бұрын
@@uwimana6533 utampaje mungu kazi sio yake wakati kishakuambia tafuta mke au mume kwa sifa ambazo kazitaja
MSENGE TUU TAFUTA LOTION ZA KUWEKA SAWA USO /WACHA KUJISIFIA MAMBO YA MUUNKARI WEWE MWEHU TUU
Haji is going to be taken to the cleaners after this woman divorces him. She's securing the bag 😂
Oa babaaa
Acha ushamba haji