HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIJAKUPELEKA POLISI MIMI

Ойын-сауық

KWA MARA YA KWANZA HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIWEZI KUKUPELEKA POLISI MIMI TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamondplatnumz #dullamakabila

Пікірлер: 305

  • @shabanJuma-fe6wf
    @shabanJuma-fe6wf6 ай бұрын

    Namkubali sana huyu jamaa ❤❤

  • @halimamremi5375
    @halimamremi53755 ай бұрын

    HONGERA MANARA KWA MAJIBU YAKO MAZURIYY SAANAA❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os6 ай бұрын

    Manara sema kweli kwa Rushayna uliongea sana na kurusha vijembe sana. Hadi sasa bado hujamove on kubali tu.

  • @khadijahussein5298

    @khadijahussein5298

    6 ай бұрын

    Kweli haji anampenda sana rushaina

  • @theophiljoseph6824

    @theophiljoseph6824

    5 ай бұрын

    Kweli manara nae asiongope alisema alimuoa Rushayna ili amuache bi mkubwa lakini akuwa na mapenzi nae

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    5 ай бұрын

    ​@@theophiljoseph6824kwani rushayna ameolewa hajj akanza kulialia kama anavofanya dulla?

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f5 ай бұрын

    Kwel manara nakubali sanaa Nakubali

  • @dominarwechungura5797
    @dominarwechungura57976 ай бұрын

    🌹❤️💙kwa Manara

  • @namsamson3443
    @namsamson34435 ай бұрын

    Manaraaa❤❤❤❤❤

  • @bnztechnologies2676
    @bnztechnologies26766 ай бұрын

    napenda manara amuoe zai dulla alishampa mwanamke talaka sasa mbona yote hayaa

  • @user-mo6tr3yt3m

    @user-mo6tr3yt3m

    5 ай бұрын

    Ata mimi nime penda

  • @uwasesifa7563

    @uwasesifa7563

    5 ай бұрын

    Mwanamuke gani?Rub or Rushaynah

  • @issasefu5299
    @issasefu52995 ай бұрын

    Nakubali Sana mku Haji manara point tupu

  • @muna1165
    @muna11656 ай бұрын

    HONGERA SANA BABA KWA HEKMA KUBWA ULIO NAYO ENDELEA KUKAAKIMYA HIVYOHIVYO

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m6 ай бұрын

    Haji ❤Muoe zaillissa East Africa Royal Marriage.Mombasa,Nairobi ,Kisumu and halafu . Mwisho Full party tumalizea Dar salaam. Zai tupe duka LA Anna Collections Na Mobetto styles Nairobi❤❤🇰🇪

  • @zezenuvel7612
    @zezenuvel76126 ай бұрын

    Manara hoyeeee.... Kudadadeki😂😂😂😂😂

  • @user-bh1sy9ox9w
    @user-bh1sy9ox9w5 ай бұрын

    Kama unamkubali Bugatti gonga like hapa

  • @user-mo6tr3yt3m

    @user-mo6tr3yt3m

    5 ай бұрын

    Bugatti oyeeeee

  • @MultiMbongo

    @MultiMbongo

    5 ай бұрын

    Umesikiliza furahi?

  • @smaylonner6858
    @smaylonner68585 ай бұрын

    Nakupenda bure kaka mkubwa❤❤

  • @user-po7gb6xx1k

    @user-po7gb6xx1k

    5 ай бұрын

    ❤❤❤Mashaa Allah kaka Haji Manara ni mtu poa na mpole saana hana na heshma kubwa kwa mkubwa na mdogo wote anawaheshimu❤❤❤ Mstaarabu kweli kabisaaaaa

  • @user-po7gb6xx1k

    @user-po7gb6xx1k

    5 ай бұрын

    ❤❤❤Kaka Haji Manara anaheshima kwa kila mtu kwa mkubwa na mdogo wote kwake sawa na anawaheshimu saaaana watu wote❤❤❤ Masha a Allah anaongea maneno ya kiakili,, kikubwa na kiheshima na kiutaratibu na kiistaraabu❤❤❤

  • @hamidambonea1826
    @hamidambonea18266 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ilove it

  • @EvanceMilimo-ei1xv
    @EvanceMilimo-ei1xv5 ай бұрын

    Manara kaji changanya kweli kula mzigo na watoto

  • @user-mx5dc3xx3o
    @user-mx5dc3xx3o5 ай бұрын

    Duh kumbe chawa doto yupo😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya87736 ай бұрын

    Lakini hata wewe ulimtishia maisha kwa kumtumia dm Sasa na yeye Ana haki ya kushtaki

  • @user-on3ll1wx9f
    @user-on3ll1wx9f5 ай бұрын

    ila doto magari una mbwembwe sjui ata kwnn ulikaa nyuma ya camera🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry6 ай бұрын

    Safi sana Manara mwanangu ushamshinda huyo anatapa tapa. Mfamaji huyo hajui kuogelea mwache atape tape. Wazi anajuta huyo

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt5 ай бұрын

    Hongera Sana Kaka Mungu akulinde

  • @wemakalama6458
    @wemakalama64585 ай бұрын

    Big up bughatt wanyooshe 🤣🤣🤣

  • @user-mo6tr3yt3m

    @user-mo6tr3yt3m

    5 ай бұрын

    Awa nyoosheeee kweli😂😂😂😂 Bugatti kama Bugatti

  • @user-bi7wf4nz2d
    @user-bi7wf4nz2d6 ай бұрын

    Fact baba.....wakati wako huu Dullah anataka kutrend achana naye

  • @uwimana6533
    @uwimana65336 ай бұрын

    Manara umeongea fact mwanamke akikuta kubali matokeo kabisa 😂😂😂😂

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn90706 ай бұрын

    Mtangazaji anamuhoji boss wake huku akiwa anamuogopa 😂

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila26246 ай бұрын

    Kwa hili manara umetisha kiongozi kweli we mkongwe

  • @user-pu6pr5jt4n

    @user-pu6pr5jt4n

    6 ай бұрын

    NAMPENDA Sana kaka haji😂😂❤❤ POKEA MAUA YKO. MKE TUNAE NA TUNATAMBA NAE. VIJANA TAFUTENI PESA

  • @thetas08
    @thetas086 ай бұрын

    Bongo vichekesho sana especially hizi generation simple kwa yyte mwanamke akikukataa au demu kukukataa funga buti songa mbele cuz hakutaki ndio maana akachimba hii karne sio bongo karibu dunia nzima wanawake ni wemgi sana kuliko wanaume utapata other one maisha yataendelea ila kukataa kuachika mnadhalilisha wanaume kuacha au kuachwa mbona ni vitu vya kawaida kama ugali maharage

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr8225 ай бұрын

    Hapa kwetu kumbe mizungu ya unga bado ipo!😂😂😂 ivi ile interviews ya wasafi na clouds kasema ruby mbea ulipigaje vileee🤣🤣🤣 usijisahaulishe😅

  • @user-nq3jh9lr6n
    @user-nq3jh9lr6n5 ай бұрын

    Manara muungwana sana aisee Kaka daaah

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv6 ай бұрын

    At least leo HAJI KAONGEA POINTS... dula Ampuuze tuu... Aaachane nae... Wanawake wehu kuna siku atakuzushia jambo la chumbani kwenu ulie bro..... Biga kazi na wewe tafuta hela... Au tafu WAPO Mungu Amewaumba wazuri zaidi kila wanaokuja....

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14866 ай бұрын

    Safi sana Manara

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances5 ай бұрын

    WANAWAKE TUISHINAO KWA AKILI SIYO WATU WA KUWAAMINIA JAMENI HAWA VIUMBE"

  • @charlesally6028
    @charlesally60286 ай бұрын

    acheni matusi muwe na heshima hongera manara😄

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy84996 ай бұрын

    Bugati huna baya hishi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ more blessings to you

  • @saudalwelo4437
    @saudalwelo44376 ай бұрын

    Hongera kaka

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman48946 ай бұрын

    Nakukubali hapo tu manara ukiachwa achika na ukisha achika usitazame tena nyuma utapata kuliko uliemuacha

  • @aliaden5512

    @aliaden5512

    5 ай бұрын

    Iko nini

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m5 ай бұрын

    Manara saluti saaaana mwamba heshima nakupa Eti chumaaaaaa

  • @yayhajoakim3046
    @yayhajoakim30465 ай бұрын

    Mungu mkubwa atakusaharishia In shaa Allah

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha96706 ай бұрын

    Jitu zima hovyo mzungu umechemka jinai zipo kibao🎉 polisi watafute ya kwenu tuuuu bila nyinyi kukubali, wewe umemtukana Moo,Babra, Kitenge, Kazumar, juzi juzi tu umemtuka Ahmed ally eti alibaka, izo zoote sio jinai polisi waliwahi kukupigia simu uende kituoni ?

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    6 ай бұрын

    Acha nyege ww akitukanwa ananin kkako

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah70795 ай бұрын

    Zey and hajji❤❤

  • @tresormix7372
    @tresormix73726 ай бұрын

    manara jameni upewe maua yako ndugu yangu, umeonge kweri❤❤❤❤

  • @user-mo6tr3yt3m

    @user-mo6tr3yt3m

    5 ай бұрын

    Wallah❤❤❤ wewe uko vizuri❤❤ ilo neno

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh60826 ай бұрын

    Bro manara huja pata mke kumbe ni wakugombaniwa pole sana usije ukauza ulivyo vichuma kwa jasho lako

  • @uwimana6533

    @uwimana6533

    6 ай бұрын

    Tafuteni pesa, mkekeshachukua ,vijembe vyanini 😂😂

  • @AMORAGNES
    @AMORAGNES5 ай бұрын

    MTANGAZAJI ANAMUOGOPA BOSS WAKE 😂😂 ANARUSHA TU MIKONO

  • @bahatadof5543
    @bahatadof55435 ай бұрын

    Halafu manara Sasa Tulia umepata mtoto mzuri Sasa,huyo muache alie lie zay Lisa hawezi hawezi kaa na yule ilawewe kaa naye mfanye awe queen wako

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad46825 ай бұрын

    ukiachwa achikaaa😂😅😅

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u5 ай бұрын

    El Bugatti 🔥🔥🔥🔥

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho67546 ай бұрын

    safi sana manara

  • @user-en2md9kn5n
    @user-en2md9kn5n6 ай бұрын

    Wewe Manala choko kweli umejipendekeza kwa dulla kumbeunamtaka mewake

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    6 ай бұрын

    Walikuwa wameachana

  • @user-gn3wy8ec8p
    @user-gn3wy8ec8p6 ай бұрын

    manara unaniuwa nimecheka kwamba mda na zaylisa na kitafuta hela asante baba

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael83815 ай бұрын

    Manara is right

  • @charlottempangala3881
    @charlottempangala38815 ай бұрын

    Manaea ana mbwbwe napendaga sana

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n5 ай бұрын

    😂😂😂😂huitaji kuoavmpishi mpe vidonge vyake kuku mwenye kujichubua mpk meno,sisi tumeoa mke upishi mwache Rushyna akupikie😂😂😂😂

  • @user-gn3wy8ec8p
    @user-gn3wy8ec8p6 ай бұрын

    nawapenda zaylisa na manara dulla shobo nyingi

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat6 ай бұрын

    Mapenzi yakifa yazike na usiweke maua juu ya kaburi

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын

    Doto bana😂😂😂😂😂 Eti DULLAH anajichubua mpka meno. KIJANA ABDALLAH TAFUTA PESA MWENYEWE UZUNGU UNAUTAKA AFU MKE USHAMUACHA KULIKONI. DULAH LANA ZA RAHMA izo😢 MKEO WA KWAZA.. CHUMA NINACHO MIE NIMEPENTAAAAAA bugatiiiii mtoto WA kariakoooo❤❤

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын

    Hamna uustadhi tena hapo berthday za kutosha kila mwaka aiiii

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo6 ай бұрын

    Kwaio umemshindwa mze umeamua kukimbilia polisi pole mze huyo kashindwa Na kijana atakueza wewe 😂😂pole Manara unazeeka vibaya

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    6 ай бұрын

    Ukizeeka vizuri wewe inatosha

  • @banguha

    @banguha

    6 ай бұрын

    Anayezeeka vibaya ni yule asiye na pesa ivi mnamtetea dolla kwan mke si alimpa talaka 3 au mlitaka akiachwa na dulla apate mcheza vigoma sio kwa hiyo kumpata mtu wa kumuweka kivulin roho zinawatoka achen roho mbaya binadam kila mtu anapenda raha

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5275 ай бұрын

    Hongera sana Bugatti mwanangu mke ndiyo yule achana na kuacha sasa.

  • @yayhajoakim3046
    @yayhajoakim30465 ай бұрын

    Dula umeharibu talaka tatu umekosea sana kumbe bado unampenda kwa nini usifanye subra

  • @cosmaskabila3058
    @cosmaskabila30585 ай бұрын

    Bugati 👍👍👍👍🔥🔥

  • @user-my1gw7fi9v
    @user-my1gw7fi9v6 ай бұрын

    Lakini Dotto🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @bakariomari8758

    @bakariomari8758

    6 ай бұрын

    Doto alikua anateketea hatoi neno hadi kamalizia😂😂😂😂

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen72996 ай бұрын

    Hahahaaah,Manara bhana

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja28665 ай бұрын

    Hii yote we Mzee ndio unataka unaenda miaka 50 plus sasa wenzako wenye Age yako sasa hvi wametulia kimyaa! wewe tu ndio umebaki na vijana wadogo kuhangaika na bado utatukanwa mbaya bado

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43365 ай бұрын

    WEWE SHOGA UNAFURAHIA MAKOMBO YA SINGELI UNGEPATA BIKRA INGEKUAJE ??

  • @idrisadjuma9322
    @idrisadjuma93226 ай бұрын

    Eti kuku wew

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m5 ай бұрын

    Dulla kubali matokeyo ume achwa bhana manara Bugatti ringa bana chumaaaaa insha Allah mzikanee ya Allah

  • @farhatkhamis1226

    @farhatkhamis1226

    5 ай бұрын

    Aaaaaaamin

  • @gudayakutemile577
    @gudayakutemile5775 ай бұрын

    Mtangazaji anakaza kwa boss

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын

    Dotto katokea wapi!?🤣🤣🤣

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂❤

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1436 ай бұрын

    kizungu hakijiamini anajua hana mzigo wenye nguvu za kumsugua zai akaridhika basi presha ipo juu anapitia dullah kuwaonya wanaume wote atakonda sana huyu baba na kuzimia atumiye pesa ila mzigo ndani usome

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u5 ай бұрын

    BROO BIRTHDAY YA MWAKANI MUALIKE MWANANGU YUPO ZANZIBAR AJE KUINJOI NA KUJIFUNZA MAISHA AMEZALIWA TAREHE KAMA YAKWAKO JANUARY 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @georgebosco1243
    @georgebosco12435 ай бұрын

    Hakuna kama Haji hilo halina ubishi, yani huchoki kumsikiliza akiongea!

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi495 ай бұрын

    Haji manara dume.manshallah

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando67986 ай бұрын

    Achana na Muhuni mcheza Chakacha yeye mwenyewe Uzungu anautaka ndo maana anajichubua 😅 😂 Dula Maisha yanamchanganya

  • @swaleherashidimayunga4891
    @swaleherashidimayunga48916 ай бұрын

    Ulicho fanya manara nimefurahi saana UMEKOMESHA WAWEKA VIMADA na DIAMOND nae mfanyie hivyohivyo nenda kamchukue TANASHA DONA ili na yeye akome kuweka vimada

  • @chemstry409
    @chemstry4095 ай бұрын

    Hakuna cha kumalizia kwani mimi nilikuwa nataka kuoa MPISHI??? KUKU WEWE....😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bugybuster5788
    @bugybuster57885 ай бұрын

    Kila siku nasema manara mimi shabiki wako bigup

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp5 ай бұрын

    mi naamin hata wew atakuacha tu

  • @JumaVanny-wb1te
    @JumaVanny-wb1te5 ай бұрын

    ❤❤

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad37246 ай бұрын

    Apo muongo haji itakuwa km sio zai alosema polis itakuwa jamaa zakezai usijifanye hujui kinacho endelea kwa dula

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58616 ай бұрын

    Katika huu mchezo wote naona anayetoka mnufaika namba moja ni bi Zay maana brand yake sasa inazidi kupanda pa kubwa as hata ambao hawakumfahamu sasa wanamfahamu ametumia fursa vizuri kuoana na Manara

  • @user-rf5di9bk1m
    @user-rf5di9bk1m6 ай бұрын

    Unyama sana manara

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t6 ай бұрын

    Anapenda tusi la kuku😂😂😂😂😂ila manara jmn

  • @user-mo6tr3yt3m

    @user-mo6tr3yt3m

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂 saaaana

  • @saidmiraji6164
    @saidmiraji61646 ай бұрын

    Manara umesha kua mkubwa, sio class yako kugombea mwanamke na pia ungetafutaga mwanamke wa maana acha na hivyo viluka njia Bro

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta11985 ай бұрын

    Bora tu umtafutie wapishi ishirini. Harafu wote wapike chakula yeye achague anakula nn

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza39406 ай бұрын

    Vita imekushinda ukakimbiliya polisi 😅😅😅😅😅😅eti polisi wamepiga sim polisi wanamjua zai kwa kweli?achaaaa bwana shita zoote ziko tz waone ya zai😅😅 nimecheka

  • @uwimana6533

    @uwimana6533

    6 ай бұрын

    Dulla makabila ndoa imemshinda, ukiachwa achika 😂😂😂

  • @uwasesifa7563
    @uwasesifa75635 ай бұрын

    Watoto wenye kuzalia kabla mimba zao zina mix wabwana ndio izi fruits kama Hajimara.

  • @AllyMawazo-ve9qc
    @AllyMawazo-ve9qc5 ай бұрын

    Doto anacheka kinafki sana😊😊😊😊

  • @sakomwambene5433
    @sakomwambene54335 ай бұрын

    Na wakirudiana je? Ukiskia nyuma geuka wa mwisho anakua wa kwanza.

  • @gudayakutemile577
    @gudayakutemile5775 ай бұрын

    Ila Kuna watu Wana comment bila kusikiliza shida ni silent chawa 😂😂😂 af awatak kula bando zao

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n5 ай бұрын

    Sasa dula si mshamba tu 😂😂😂

  • @irineakinyi4904
    @irineakinyi49046 ай бұрын

    Nakukubali sana Bugatti 😂😂😂😂

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m5 ай бұрын

    Manara Bugatti nakupenda Eti ukiachwa achika daaah niatar

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy84996 ай бұрын

    😅😅😅 mpuuz sana Hajiii😅😅😅😂😂😂et nina Mda na Zay na kutafuta pesa

  • @uwimana6533

    @uwimana6533

    6 ай бұрын

    Kabisa, makabila ndoa imemshinda 😂😂

  • @ramadhanabdallah253
    @ramadhanabdallah2535 ай бұрын

    ww mzungu Acha ww kaa Kwa kutulia😂😂😂Acha na dulla kabisa !!!

  • @abdulismail79
    @abdulismail795 ай бұрын

    Kwani kuna ugomvi gani huyo dada kwani si mjane au vipi huyu Manara kwani kamtoa kwenye ndoa ni suala la kuheshimiana tu kila mtu achunge mzigo wake kwani vita ni ya nini?

  • @omarbaajun9572
    @omarbaajun95725 ай бұрын

    Kummmke Manara Manara Manara mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo nakukubali asilimia 10000 endelea kutia dawa kwenye kidonda kamanda wangu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77096 ай бұрын

    Manara usimsifu sana msichana wa mjini wanawake zako walotangulia uliwasifu hivyo hivyo na walikuwacha wanawake zako wote ni wenye tamaa ya pesa zako tu!

  • @uwimana6533

    @uwimana6533

    6 ай бұрын

    Ayo muachie mungu 😂😂😂

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    6 ай бұрын

    @@uwimana6533 utampaje mungu kazi sio yake wakati kishakuambia tafuta mke au mume kwa sifa ambazo kazitaja

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43365 ай бұрын

    MSENGE TUU TAFUTA LOTION ZA KUWEKA SAWA USO /WACHA KUJISIFIA MAMBO YA MUUNKARI WEWE MWEHU TUU

  • @theunkownmr.562
    @theunkownmr.5623 ай бұрын

    Haji is going to be taken to the cleaners after this woman divorces him. She's securing the bag 😂

  • @lilianmrope1598
    @lilianmrope15986 ай бұрын

    Oa babaaa

  • @user-sw4in3kd9o
    @user-sw4in3kd9o5 ай бұрын

    Acha ushamba haji

Келесі