HAJI MANARA KAPANIKI "UNANILETEA UYANGA WAKO MIMI? TUNAWAJUA"
Afisa Habari wa Simba SC Haji Manara Leo ameongea na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam kuelekea mchezo wao wa watani wa jadi dhidi Yanga SC utakaochezwa Jumamosi ya July 3 2021 katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Пікірлер: 193
Wallah mungu fundi aisee kaamua kumpoteza jamaa mazima
Yanga oyeeeeeee
@roi2554
3 жыл бұрын
Oyeeee
Huyu mzungu ana shida kweli swali limemkaba anazuga Yanga💯💯🇹🇿♥️🔥🙏🙏🙏🙏🙏
Tuliokuja baada ya mchezo kuisha tujuane kwa like apa..
Yaaan nilikua naangalia kwengne watu wanamlaumu manara,,,,lkn mbna Kama Hana kosa waandishi wa habari wengne wapo kishabiki
Kweli hapa hamna mtu sasa kweli hii press kweli daaaah it's so sad kwa kweli, Eti msemaji mkubwa huyu anaharibu hata club yake
@omarchuo2178
3 жыл бұрын
Huyu sio msemaji mkubwa bali mwandawazimu
Limepani Hilo lione🤣🤣🤣🤣
Safi sana manara umewanyoosha hao utopolo FC aka malalamiko fc
@kinyongadh9048
3 жыл бұрын
Kumbe hanazo wapo wengi unacho sifu nini ujinga msemaji hupindua swali tata kwa taaluma alio nayo na c kujidhalilisha kwa waandishi wadogo kama hao,tulidhani Manara angeweza kujibu swali dogo kama lile Kwa kitaaluma tuu
@ahmadjusafituuma4521
3 жыл бұрын
manara chura mwingine huyu huku
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@ahmadjusafituuma4521 🤣🤣🤣🤣 MWENYEWE ANAJIITA KINYONGA KWA UWOGA KUMBE CHURA 🤣🤣🤣
Semaji la Kidunia holooo💥💥💥💥💥
Ndo mana kuna mtu aliwah hoji uwezo wake wa kufikiri..😂😂
Manara hajui mpira,,,,anaulizwa swali anajibu kwa hasira
Sasa wewe umeita waandish alafu unaenda wafokea tena iyo ni akili kweli?
Ndo mana kuna aliwah sema ana elimu ya Madrasa tu.. Hahahahha
Huyu anaenda kuwakera wanayanga 😊
Mi nadhani mwenye shida hapa si Haji Manara ambaye kila MTU anamjua lopolopo hamnazo. Shida ni wale ambao wanakuja kukaa kumsikiliza. MTU kama huyu mnakusanyikana kuongea naye kweli!??
Huyu jamaa boya sana, anajikuta kama mchambuzi wa dunia hivi
ANOTHER QUESTION??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ssa unampangia mwandish swali la kuulizwa
Kaka Haji umezingua tena Sana...kama mzungumzaji wetu wa Simba..on the media u do wrong thing...behave about it
Safi Sana Manara waandishi Vinenga Kama hawa Dawa yao ni moja tu ha ha ha ha 💪🏻💪🏻💪🏻
@omarchuo2178
3 жыл бұрын
Tahira mwengine wewe
@elizabethjames6247
3 жыл бұрын
Jina zuri lkn taira Kama uyo manara wenu
@goodlucklinus141
3 жыл бұрын
@@omarchuo2178 ulitaka nisifie utopolo wenu huyo 🤣🤣
@goodlucklinus141
3 жыл бұрын
@@elizabethjames6247 ndo maana mnaitwa kilo 800 hivohivo ....
@elizabethjames6247
3 жыл бұрын
@@goodlucklinus141 kimya wewww
Lakin Manara nakubali kwenye uhamasishaji wako lakin huoni hapa umekua na jazba kidogo ?
Hizi ligi mbili tofauti.Zungumzi habari ya ligi kuu sio FA.
Hapa kuna chizi....hakuna afisa habari
MSG kwa waandishu wa habari wa otopolo wameipata. Haji mdogo wangu, piga kazi. Unewapatia vizuri sana, na uliyoyasema ndio ukwelu wanyewe nandio maana wanabwabwaja tu ukweli unauma. Hi SIMBA SC. hatuna waandishi wa habari walio active ku counter attack na hawa wa waandishi wa utopolo?
😂😂😂😂😂Manara
Plug moja haichomi hapaa
Yanga oyeeee!
Muuliza swali amegeuziwa kibao !! Mjibu swali kawa muuliza swali!! Kama ndio mwendo ni huo basi bado kuna kazi !!
Huyooo boyaaa Sana unakataza waandishi wasikuulize maswali kweli haji makalio
Huwa linapenda tu kuzalilisha wengine, me silipendi hata bure! Hadi nachukia kila kitu chake!😏
DUH! AFYA YA AKILI, NIUGONJWA KWAKWELI!!
Bongo wajuaji wengi ndio maana hatuwezi kutoboa
MANARA AGUSWA PURR
Yani kama press ya Donald Trump 🤦♂️
jibu swalii brooo😬😬😬
Kwa hizi hasira alizonazo huyo kiumbe lazima atakuwa kwenye ck zake....
#Simba
Jibu maswali unamaliza mb zetu
Anh waliokufanya ukawa msemaji mkubwa nihaohao unaowakalipia hapo.kam Umewasaaw pole San haji.ila haw watakupaisha py watakushusha chunga sana.
Manara weee pole jamani bila yanga hakuna simba bila simba hakuna yanga mwendo kasiii
Kwa hapo Manara si sawa ,,hiv unamwambiaje hivo mwandishi wa habari
@emanuelkilinga9196
3 жыл бұрын
Kwani watu wa utopolo wamekuja kufanya nini hapo hii ni press ya simba nendeni kwenye vidimbwi vyenu haji hamta Muweza
Haji sasa unachemka!!!
Manara anavofny ni kuzalilisha wandishi pumbaa tupu
Mmmmmh
Unaita press conference ya Ligi Kuu, wamekuuliza swali la ndani ya Mada husika wewe badala ya kujibu unauliza swali tena nje ya Mada ( FA) huna jipya Manara
Professionalism unayoikazia pia nawe hauna, umefeli msemaji.
Takataka. Wanahabari wamnyime ushirikiano huyu hana uelewa wa usemaji
Manara Mkaliiiiiiiiiiiiiiiiii Sana....Hataki masihala anaupambania unga wake usiharibike
@elizabethjames6247
3 жыл бұрын
Mmmh c kwa namna hiyo
Kwani Yanga kaingiaje kwenye droo za Simba
Huyu amna msemaji genge la muhuni uyu anahrbu mpira fala kbsa
Ukijua sana nayo shida manara anaushamba flani hivi
Linalopokalopoka tu mpaka linaambiwa liko live
Yaani muulizwa swali anauliza swali....
Haji ahahaha
Mwandishi kajua kumpandisha sukari
Sijaona sababu ya yeye kupanic mtu huyu ameonesha udhaifu mkubwa sana.Hapa kwakweli umezingua mtu kama ww huwez shindwa kuzungumzia mpira wa club unaanza kumhoji mwanahabari.
Manara hayupo sawa... Ni mropokaji tu
Loh unampangia mwandishi cha kusema kakojoe ukalale
Apimwe kama anatumia vilevi vikali sio kawaida iyo
Umzaririshe kwa sms,,, kweli haji hunaakili. Sifa zitakuua
Mwili nyumba akili kisoda Mana kafundishe madrasa
Akili huna manara
Press gani hiyo cjawai kuona mavi matupu
Manara bwana mswahili sana
SWALI LA MANARA NI JIBU TOSHA KWA MWANDISHI NDIO MAANA MWANDISH KANYAMAZA.
Unavyowafokea waandish kama wamejileta hapo akat mmewaita
Jibu swali haji
Ndio ligi kuu tu ndo inayozungumziwa sio fa
Huyu kichwa chake hakiko sawa bangi nyingi
Hao ndo wasemaji wa mpira bongo, Kwa wenzetu huwezi kuta msemaji anakuwa Kama yuko mwenye baaa
@habibaabdallah1426
3 жыл бұрын
Una uhakika? angalia mikutano ya morinho kama unaelewa angel lakin
@trevortonderai461
3 жыл бұрын
Team za ulaya hazina wasemaji usitudanganye mzee kuna kitengo cha habari sio uchale wa wasemaji
Kapanik, ndo huyu anajifanyaga anakifua
Kapanik😂😂😂
Binafis sijapenda
Hili zeru zeru chizi kweli
Warudishe darasani waandishi wengi wanauudhi mnooo....bora ambaye hana taaluma ila mkweli
mmmh huyu mpuuz nyoko kabx simba na yanga cc sio maadui sasa yy anakasilika kana kwamba ni vita,,,, kwan yanga au simba ikifungwa tunapungua nn si kawaida,,,,,, huyu chizi kabx cjapenda
Angalia mitandao bwa mdogo ww sinakejeli wanzio kama nani acha mambo shetani nenda ktk ibada kama watakukejeli
Uyo hana akili
Haji wambie hao utopolo hao
Chizi karogwa tena asee
Sasa Haji mbona ujibu swali lake amekuuliza swali la mechi tatu za nyuma ,unarukaruka tu
Hana nidhamu
Huyu nguruwe ni mgonjwa mlemavu wa ngozi na hata kichwa kilichobeba akili pia kina ngozi ileile iliyoharibika na ulemavu unadhani kichwa kitabaki salama mpaka ndani kwenye ubongo nahisi Kuna shida huwezi kuwa unawaona wenzako wapumbavu we ndio una akili wakati we mlemavu wenzako wanakuvumilia
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
sasa ulemavu wa ngozi umeingiaje hapo!!??
@ggelishachannel450
3 жыл бұрын
Watoto wako nawe watakuwa kama mheshimiwa manara Acha kutukana mtu kwa Hali ALIVYO mbona na wewe tunajua madhaifu yako
@kinyongadh9048
3 жыл бұрын
Kwani sio mlemavu natena wa akili pia
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
WEWE NI MISLAMU UNAMWITA MWENZAKO NGURUWE NA MLEMAVU KWA USHABIKI WA MPIRA ACHA NDUGU YANGU HAYO NI MAMBO YA KIDUNIA 2.
We zeruzeru binialubino jibu maswali siokuuliza swali
@josephlugome3838
3 жыл бұрын
Lipumbavu sana hilii
Anh uyu jamaa sijui anaakil gan kwel hakuna simba ambae hanamkia atakama nidume 😆😆...
Jibu swali usimpangie mtu swali la kukuuliza usilete uswahili
Ila na nyie waandishi mzungu pori kawazoea sana mnatukanwa, mmo 2 c, ona uyo nae hadi anagombezwa kama mtoto mdogo
@rashidigati449
3 жыл бұрын
Poa nichek 0
uyo sio msemaji mropokaji tu.
Unaulizwa swali na we unauliza swali sa hapo ndo nini boya we
Simba waangalie na watu wa kuajiri. Hawa machangu make nowhere the team. Hapo kawakilisha ego yake na sio timu
@selemanjuta1582
3 жыл бұрын
Jee mechi 5
Manara mjinga anauliza anajibiwa anamkatisha mtu anajifanya magufuli
Yani dk kibao unamaliza kubshana na mwandishi
Anachuki sana huyu albino alaf cjui akifanyiwa yeye atasemaje cjui
2024😂😂😂
Unafeli haji
Soka la bongo la kipumbavu sana halafu bado club inaendelea kuwa na mtu kama huyu mwendawazimu aise kazi ipo.
@seiphsamgonja5713
3 жыл бұрын
Utopolo nyie lazma mumchukie haji manara tu huyu ndo msemaji wa mabingwa wa nchi
@davidbenard1174
3 жыл бұрын
Wewe ndo mwendawazimu
Ifike time msitokee
Namuona kiongozi Wana mbumbu mbu manara wewe ndy maana hata kukaa na mke hauwezi kuongoza familia yako tu huwezi endelea kuongoza ma mbumbumbu wenzio
Simba haina msemaji ina mhuni flani
Sasa si ujibu we fala unalalamika Nini ..yanga walistahili sa si mpira kwani Simba ni nani? Manara boya wewe nguluwe