GWAJIMA ACHARUKA, AZUNGUMZA KUHUSU WANAOMPINGA RAIS | CHANJO YA CORONA
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconlinetz
Пікірлер: 254
Nakuomba Gwajima uwaombe wenye inchi kiti cha Rais Tanzania aki unaweza urais kweri chapa kazi Gwajima mungu akubariki
@mangasonsamson2101
3 жыл бұрын
Gwajima atashindwaje kumsifu Mangu wakati ndo kamuingiza kwenye nafas kwa nguvu wakawa wanakimbia na masanduku ya kura!
@janemajariwa4361
3 жыл бұрын
@@mangasonsamson2101 😂😂😂 utakua nakaugonjwa frani
@magulugupu5739
2 жыл бұрын
@@mangasonsamson2101 unaugonjwa si bre
Gwajima sio mbunge wa NDYOOOOO....,........!anajielewa big_up sana
Sijui kwanini watu kama ninyi huwa hamudumu!!!Njia zako ndiyo njia zake Mungu mlinde Gwajima,Mungu mlaze mahala pema Magufuli
Asante baba pambania tunaongozwa na watu wanatufanya mtaji RP JPM
Gwajima uko vizuri watake wasitake mbwa hao wanaopinga
Gwajima we kiboko ya wabunge humo ndani umemjibu vizuri sana huyo mama
@zenajuma5840
3 жыл бұрын
Gwajima unatupenda samia yale yote ya hayati mangu umeyafuta sasa unaendesha yamsoga bagamoyo kweli mangu baba ulisema tunakulilia
Mh.Rais magufuri alituomba na kuita Mara nne kusema ..nileteeni gwajima,nileteeni gwajima,nileteeni gwajima,nileteeni gwajima Sasa kwa sauti kariii na yenye hisiaaaaa karii Asante mungu,Asante mh.gwajima 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Hii ndio maana ya sauti ya wengi ni sauti ya mungu
Askofu unauchaji wa mungu , mwenyezi mungu akusaidie???
@cathyamon543
2 жыл бұрын
Gwajima Mungu wa mbinguni akutunze sanaa
Unanitoa machoz gwajima pambana nakuombea kwa Imani yangu RIP MAGU. hakika wew ni mfano wa marehemu rais awamu ya 5
namuuona magufuli ndani yake 😍🇹🇿🙏🤲☝️
@user-ng6yt2od7l
2 жыл бұрын
Sana tuu jamanii
Kasalamba juma nakukubali sana gwajima kwamaona yako mungu akulinde.
Mungu akuongoze baba naomba uwe raisi ❤️🥰 nakuombea Sanaa sanaa💝
Nakukubali sana mwamba 💪💪
Gwajima Mungu anakuona asantee sn
Mungu akulinde baba kwa mabaya yote
Big up sana the conqueror of Tanzanian
Raisi wangu wa baadae oyeeee
Next presdent i wish 2025 ugombee urais,❤❤
@pauloamos5701
3 жыл бұрын
Safi
Sipendi kuangalia mambo yaserkali ila Gwajima wanifurahishaa namungu akuweke sana milele milele amina
Nguvu za Roho Mtakakatifu zizidi kukaa nawe .
Mungu akulaze mahalo pema peponi Amina🙏🙏🙏
Nataman saana kukuo gwaji unagombea urais 2025 naami KBS utaweza kutuongoza
@michaelrobert3309
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@angelmbanga3206
3 жыл бұрын
My namba one gwajima asantee baba umemjibu vizuri huyo mama
@fauziakimath7446
3 жыл бұрын
@@michaelrobert3309 parry
God Bless You Gwajjima
Hii nchi kuna wasomi wengi ila wenye uwezo wa kufikili ni wachache sana
Mungu atakusaidua ngwajma na mungu ampumzishe Baba yetu JPM
Sawa mkubwa is nice
Tunakuelewa. Gwajima makufuliiiiii. Samia mungu akupe nguvu
I'm liking this guy from Meru 🇰🇪
@happyngungur8868
3 жыл бұрын
💋💋💋💖💖
Asee Baba gwajima amesoma 🙌🙌
@zachariamjema485
3 жыл бұрын
Vizuri xan
Gwajima miguu yangu miguu yako tutatembea katika njia moja! Hata Mimi nasema machanjo yao hapanaaaaaaaaah!! Yarudi yaliko toka Kama Mungu aishivyo!!
Kabisaaaaaaaaaaaa Sema baba tupo nawe
Mungu akupe maisha malefu baba gwajma na uwe lais wetu swam ya sita
Kweli ♥️♥️ John pembe 👏👏👏👏
Sante sana
Asante Sana gwajima
Daaah Asante kaka
Hongera
Asantesana ngwajima
Yani ww jamaa inahitaji hongera kubwa na nyingi
Mungu akulinde sanaa mtumishi wa mungu amen
Gwajima mwenyez munq azid kukupa uwez wa kuona mbali hiz chanjo zitatuzul mpaka kizaz had kizaz
Maneno yako yamenitoa machozi, Mungu awachie mzimu uendelee kuitetea Tanzania
mungu akuxaidie na kukulinda maana ww ndo jicho la tanzania liliro baki tuvuxhe gwajima
@wilsonjonas8315
3 жыл бұрын
Tatzo letu watanzania tunatabia ya kuwekana chambo watu manajua anaongea ukwelii hatumpi saport akishakufa tunaanza kuskitka tu
Akika unaripigania taifa letu mungu asimame nawe
Asante sana bishop Gwajima
Gwajima umetukomboa na sindano za wazungu mungu akubarki
@yahayaally8301
2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
Wana siasa mnatuchanganya Raisi anayekuwa kwenye zamu mnampokengeza akitoka katika Uraisi ana bezwa,,, hayo ndiyo maendeleo?
I'm seeing a firm faithful leader! Congrats Baba Gwajima! You are gaining weight in this country! The God you worship is a true God!
Heshima yako G
GO Gwajima GO SPEAK UP
Safi
@ceciliaphinias6007
3 жыл бұрын
Mungu akutetee sana msimamo yako gwajima nikama magu dah uogopi chchte mungu akulinde sana tena akupe ulinzi zahidi
Asante baba mshono ya baadae munguakupe wepesi
Wewe nikichwa cha bunge number 1
Kataeni chanjo tz kataeni vitisho vyao. Mungu ibariki tz NA Mungu a ilinde Tz nakila mabalaaa amin
mungu akuongoze ngwajima uikomboe tz 2025
kwani wamekwamia wapi hawa watu kuendeleza yale ya magu?
JPM ndo alituonyesha kuwa wazungu wanatuibia wakati tuna akili yakutosha, na kinacho tuponsa ni mrithi amesha tuuuza kwa mabeberu na kufanya ubadhirfu wa uchumi , kudorora kwa uchumi umesababisha wabunge kudai posho wakati wananchi wao hawana madarasa ya kufundishia?!?? Serikali ya diplomasia mbaya Sana wananchi wanaumia Sana juu uchumi kudorora na bado ukoloni maomboleo upo nchiii hii kwasababu hajitambui viongozi wetu hawana common sense, Wana elimu ya kichina, kijerumani, kiaarabu,n.k??+++++++!!!!!!! No common sense through our leaders in Tz
Good idear
Unaweza jamaaa
Gombea urais baba kurazangu chukua baba
mungu akuepushe na mabaya baba gwajima stend firm always
ASKOFU Kwajima!!shikamoo! Yaani tungekuwa na watanzania million moja tu with your intellectual!!! Tanzania ingekuwa mbali saana. Wewe Kwajima ni mzalendo wa kweli .
Hakika upo sawa ndugu naimani mungu anamuonesha magufuli pambano lako.
Uwape mheshima
Yan Skofu gwajma mngu Akulinde na mabalaa yote Akupe umri mrefu baba miaka mingi Akupe wee love
Tunakuombea kwa kusimama palipo bomoka Mungu akulinde
RIP JPM
Eeeeeeeeeeeeeee.aliyo yafanya jpm amefanya makuu kabisa
Hata kama mzee alikuwa anatubania hela kiukweli alikuwa anatumia pesa zetu kwa manufaa yetu.
Watetez bado wapo mungu bark watu wAko,
@upendonicholaus4617
3 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
💪❤️
Mm nakujaga hapa kwajili ya gwajima
Halafu et magu hajafanya kitu
Duuuh wew jamaa ni kipaji
God bless you
good sana kaka uko sahihi wa
Mtu kama huy hawez kupata dockt wakumtibu hayup
Gwajima na kuobea kwa mungu akulinde sanaaaaaaaaaa na unafaa kuwa laisi
M/ mungu aendeleekukuweka baba
Gwajima sio mnafiki
Baba gwajima Mungu yupo hakika atatutetea kaza uzi baba
Usitoke kwenye siasa kunampango na kusudi lq mungu juu taifa la tanzania
Ngwajima ww ndio Uliyo baki Tanzania peke yako sasa hawa usifanye njama yakukuwa Mungu Atakulinda
🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu azidi kukutia nguvu na kukupa ujasiri Unaweza shujaa wetu wa Tanzania
@angelmbanga3206
3 жыл бұрын
Kweli anaweza
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
Bora uko humu neno lamungu oongea oongea gwajimaaa
💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏🙏💞
Mungu yuko pamoja nawe usiwaogope wauwao mwili na roho ni Mungu tu atakushindia
Mapema chukua kiti baba
Kumbe gwajima kichwan uko vzur hvyo , ulikuaga wp cku zote, mwakan chukua
@michaelrobert3309
3 жыл бұрын
Kwel jamn
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏♥️♥️ugomba
Gwajima baba lao
Jamaa Ana akili sana. ...chuma
Husawa gwanjima
kweli kabisa gwajima
Big up GWAJIMA
Safi sana gwajima wapie hao vikarago wanao msema vibaya jpm
EE MUNGU MLINDE SHUJAA WETU
Tarifa yawazirikuu
Bgp.sana gwajima nakuerewa sana
Gwajima