Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba

Ойын-сауық

Mkali wa Gospel Goodluck Gozbert alikutana na msala wa mwanadada alietapeliwa kwa kutumia jina lake na kupelekea mwanadada huyo kusafiri kumfuata Dar es Salaam. Hapa anaeleza ilipofikia.
#CloudsE

Пікірлер: 49

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78663 жыл бұрын

    Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.

  • @evaristirazalo7459
    @evaristirazalo74593 жыл бұрын

    Goodluck Ni MTU mzuli sana ninamkubali

  • @allworldstrendshere1378
    @allworldstrendshere13783 жыл бұрын

    PHOVY MEDIA Is following you!!!

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ3 жыл бұрын

    mwalimu ametisha...... sema hata kama ni mimi ningekuwa sina mausiano ningepita naye

  • @notwelkisava954
    @notwelkisava9543 жыл бұрын

    Hadi clouds mmeanza kuandika titles za uongo? Impossible..

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista46543 жыл бұрын

    Yesu anakupenda yohana3:16

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba40882 жыл бұрын

    Goodluck una busara sana kama mfalme Sulemani

  • @peterzebedayo
    @peterzebedayo3 жыл бұрын

    Mwachie Mungu

  • @suleshsalim39
    @suleshsalim392 жыл бұрын

    Nyie wase.. muwe mnaandika kichwa cha habar cha kwel huo uupuuz

  • @robyjoachim9265
    @robyjoachim92652 жыл бұрын

    Nidia Kama hii cyo ya kuandika heading iyo

  • @rweyemamrespicious975
    @rweyemamrespicious9753 жыл бұрын

    Clouds banah.

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46453 жыл бұрын

    Hii Chanel kumbe nayo utopolo

  • @idinado4524
    @idinado45242 жыл бұрын

    Nisinge mwacha ningemwambia Nina mausiano Ila ningempa atakacho kama kuagana ili asiondoke na kinjongo

  • @yohanacharles2042
    @yohanacharles20422 жыл бұрын

    Mungu yup atakupa mme bor vumilia

  • @devierichard7593
    @devierichard75933 жыл бұрын

    kawaida2 lkn..ukwel wa mtu upo moyon kwa mtu,,vngne mbwe mbwe2

  • @malecom
    @malecom3 жыл бұрын

    *Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba* mbona title haiendani na maelezo na ninyi ni media kubwa sana.... mnapoteza credibility acheni izo mambo

  • @azardboniphace2205

    @azardboniphace2205

    3 жыл бұрын

    Nimeshangaa Sana kuona et amewekwa mahabusu, kumbe ni ujinga wao Tu wapige views

  • @sadielgwaje6281
    @sadielgwaje62813 жыл бұрын

    Hata mm huyo godruck alishawah niomba namba ya cm lakn sikumfuatilia lakn huyo godruck siamn maneno yake mtandaoni kachangamka sana hasa fb

  • @issufo.aliante.9943
    @issufo.aliante.99433 жыл бұрын

    Dunia ina mengi

  • @gracegrace1685
    @gracegrace16853 жыл бұрын

    I can't hear anything English please

  • @allworldstrendshere1378

    @allworldstrendshere1378

    3 жыл бұрын

    Text me on whatsapp +255744561980 so that I can teach you swahili

  • @barakakimario8960

    @barakakimario8960

    3 жыл бұрын

    You cant hear or you cant understand swahilii

  • @gracegrace1685

    @gracegrace1685

    3 жыл бұрын

    @@barakakimario8960 you right can't understand Swahili

  • @raymondramson7118
    @raymondramson71183 жыл бұрын

    Ivi nyinyi mnaakili kweli? Au mnatuchukuli sisi mazuzu...kwajinsi mlivyo hamuendani kabisa na huo upuuzi sasa mlishindwa nini kuandika caption inayoendana na hiyo content yenu?

  • @abasihassani9301
    @abasihassani93013 жыл бұрын

    Mmm

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo79203 жыл бұрын

    😂😂😂mambo mengine ni aibu tu

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92843 жыл бұрын

    Mwalimu apelekwa kwa mwana saikolojia

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni17633 жыл бұрын

    Lakini kumbuka mlikuwa mkiwasiliana kwa voice call na Whatsapp image.na km kweli na wewe unamjua au kumsikia wa mtandaoni msimchukulie hatua? Mpz hisia

  • @edwardgistave2644

    @edwardgistave2644

    2 жыл бұрын

    Kazingua huyu gud

  • @maryammarham2862
    @maryammarham28623 жыл бұрын

    Aho

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza22653 жыл бұрын

    Kwa kipindi hiki hakuna mwalimu wa kuchezea pesa ya nauli hivyo haaahaaaa

  • @amosmahona433
    @amosmahona4333 жыл бұрын

    Ogopa Sana mwanamke ambaye anapesa na hasuki ni balaaaa

  • @mayroseclemence99

    @mayroseclemence99

    3 жыл бұрын

    😂😂😂kwa nn

  • @madeintanzania2995

    @madeintanzania2995

    3 жыл бұрын

    😃😃😃

  • @jescamwamba9127

    @jescamwamba9127

    3 жыл бұрын

    hahaha

  • @ngwanafabian9668

    @ngwanafabian9668

    3 жыл бұрын

    @@mayroseclemence99 uwezo wake ni mkubwa na ana msimamo thabiti

  • @elizabethmiho9574

    @elizabethmiho9574

    3 жыл бұрын

    Aaaahhh jamani

  • @jamesmkude2882
    @jamesmkude28823 жыл бұрын

    Sasa apo sababu za kumuweka maabusu ni zipi mbona mnawafanya watu ahache kuwafatilia

  • @lilianbitutu1072

    @lilianbitutu1072

    3 жыл бұрын

    Imagine

  • @glorykarim1570
    @glorykarim15703 жыл бұрын

    Goodluck muongo kala hela ya uyu dada na video call zote umeongea nae na sura ni haiki ww au utasema umeeditiwa jaman muogope mungu call za WhatsApp ni sura yakoo na namba ni yakoo unatutania ww nakwambia ungemfanyia ivo dada ungeona mpk urudishe hela zetu

  • @lovenessibrahimu6730

    @lovenessibrahimu6730

    3 жыл бұрын

    Uko Na Udugu Na Huyoo Madame

  • @dinosTz
    @dinosTz3 жыл бұрын

    media kubwa inaandika utoporo

  • @yohanacharles2042
    @yohanacharles20422 жыл бұрын

    Pol San kak

  • @edgarmganyizi7752
    @edgarmganyizi77523 жыл бұрын

    Clouds nyie ni big brand hamhitaji kupotosha title ili mpate views nyingi nyie mmeshakuwa wakubwa na mnaaminika watu wata view tu ila msidanganye

  • @papafikiri
    @papafikiri3 жыл бұрын

    I do not understand Swahilu at all wanasemaje kwani

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu3 жыл бұрын

    Unsubscribed

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78663 жыл бұрын

    Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.

Келесі