Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba
Ойын-сауық
Mkali wa Gospel Goodluck Gozbert alikutana na msala wa mwanadada alietapeliwa kwa kutumia jina lake na kupelekea mwanadada huyo kusafiri kumfuata Dar es Salaam. Hapa anaeleza ilipofikia.
#CloudsE
Пікірлер: 49
Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.
Goodluck Ni MTU mzuli sana ninamkubali
PHOVY MEDIA Is following you!!!
mwalimu ametisha...... sema hata kama ni mimi ningekuwa sina mausiano ningepita naye
Hadi clouds mmeanza kuandika titles za uongo? Impossible..
Yesu anakupenda yohana3:16
Goodluck una busara sana kama mfalme Sulemani
Mwachie Mungu
Nyie wase.. muwe mnaandika kichwa cha habar cha kwel huo uupuuz
Nidia Kama hii cyo ya kuandika heading iyo
Clouds banah.
Hii Chanel kumbe nayo utopolo
Nisinge mwacha ningemwambia Nina mausiano Ila ningempa atakacho kama kuagana ili asiondoke na kinjongo
Mungu yup atakupa mme bor vumilia
kawaida2 lkn..ukwel wa mtu upo moyon kwa mtu,,vngne mbwe mbwe2
*Goodluck Gozbert Afunguka Sababu ya Kumuweka Mahabusu Mwalimu Aliemtamani Kimahaba* mbona title haiendani na maelezo na ninyi ni media kubwa sana.... mnapoteza credibility acheni izo mambo
@azardboniphace2205
3 жыл бұрын
Nimeshangaa Sana kuona et amewekwa mahabusu, kumbe ni ujinga wao Tu wapige views
Hata mm huyo godruck alishawah niomba namba ya cm lakn sikumfuatilia lakn huyo godruck siamn maneno yake mtandaoni kachangamka sana hasa fb
Dunia ina mengi
I can't hear anything English please
@allworldstrendshere1378
3 жыл бұрын
Text me on whatsapp +255744561980 so that I can teach you swahili
@barakakimario8960
3 жыл бұрын
You cant hear or you cant understand swahilii
@gracegrace1685
3 жыл бұрын
@@barakakimario8960 you right can't understand Swahili
Ivi nyinyi mnaakili kweli? Au mnatuchukuli sisi mazuzu...kwajinsi mlivyo hamuendani kabisa na huo upuuzi sasa mlishindwa nini kuandika caption inayoendana na hiyo content yenu?
Mmm
😂😂😂mambo mengine ni aibu tu
Mwalimu apelekwa kwa mwana saikolojia
Lakini kumbuka mlikuwa mkiwasiliana kwa voice call na Whatsapp image.na km kweli na wewe unamjua au kumsikia wa mtandaoni msimchukulie hatua? Mpz hisia
@edwardgistave2644
2 жыл бұрын
Kazingua huyu gud
Aho
Kwa kipindi hiki hakuna mwalimu wa kuchezea pesa ya nauli hivyo haaahaaaa
Ogopa Sana mwanamke ambaye anapesa na hasuki ni balaaaa
@mayroseclemence99
3 жыл бұрын
😂😂😂kwa nn
@madeintanzania2995
3 жыл бұрын
😃😃😃
@jescamwamba9127
3 жыл бұрын
hahaha
@ngwanafabian9668
3 жыл бұрын
@@mayroseclemence99 uwezo wake ni mkubwa na ana msimamo thabiti
@elizabethmiho9574
3 жыл бұрын
Aaaahhh jamani
Sasa apo sababu za kumuweka maabusu ni zipi mbona mnawafanya watu ahache kuwafatilia
@lilianbitutu1072
3 жыл бұрын
Imagine
Goodluck muongo kala hela ya uyu dada na video call zote umeongea nae na sura ni haiki ww au utasema umeeditiwa jaman muogope mungu call za WhatsApp ni sura yakoo na namba ni yakoo unatutania ww nakwambia ungemfanyia ivo dada ungeona mpk urudishe hela zetu
@lovenessibrahimu6730
3 жыл бұрын
Uko Na Udugu Na Huyoo Madame
media kubwa inaandika utoporo
Pol San kak
Clouds nyie ni big brand hamhitaji kupotosha title ili mpate views nyingi nyie mmeshakuwa wakubwa na mnaaminika watu wata view tu ila msidanganye
I do not understand Swahilu at all wanasemaje kwani
Unsubscribed
Millard Pekee ndio Huwa haandiki Kichwa Cha habari cha Uongo.