GOOD NEWS!ASTON ADAM MBAYA WA USHUHUDA WA VYUMBA 351 VYA KUZIMU YUPO TANZANIA TAYARI KUJIBU MASWALI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 156

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel46142 жыл бұрын

    Safi sana hii mtumwa wa Mungu aliye hai kwa sasa niko namshukuru Yesu Kristo kwa neema ya leo.

  • @furahasimon676
    @furahasimon6762 жыл бұрын

    Jactan, Baba wa mbinguni akutunze kazi yako ni njema, karibuni sana wageni, damu ya Yesu iwafunike

  • @glorymassawe8494
    @glorymassawe84942 жыл бұрын

    Aston Adam mbaya. Karibu sanaaa... Welcome. .. Welcome.

  • @miamo4789
    @miamo47892 жыл бұрын

    Huyu ni Mungu anayezungumza kwako mimi na wewe...barikiwa sana jaktan

  • @erastoorotha9363
    @erastoorotha93632 жыл бұрын

    Mungu nimwema Sana naomba anijalie niweze kuendelea naushuda nimefika sehemu ya 23

  • @leonardinabalenzi4005
    @leonardinabalenzi40052 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kumwona mtu huyu ktk nchi yetu Mungu kupitia mafundisho na kuwepo kwake ataponya watu wengi

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55092 жыл бұрын

    Karibu sana mtumishi wa Mungu kwa kufanikisha safari..kweli vyumba mia tatu hamsini na moja tumejifunza mengi watu wengi hawajui yanao tendeka kwenye ulimwengu wa giza Bwana atuongoze..ndugu Jaktan barikiwa sana kwa kazi nzuri.

  • @erastoorotha9363
    @erastoorotha93632 жыл бұрын

    Karibu Kilimanjaro Mtumishi wa Mungu

  • @rehemachacha2365
    @rehemachacha23652 жыл бұрын

    Bwana Yesu Kristo Asifiwe Kaka Jacktan me nilikuwa nnaswali langu kwa Astoni kwamba kusuka nywele za mkono Yani za asili maarufu km mnyosho au twende kilioni kwa mwanamke aliye okoka je ni dhambi.

  • @ennamongi9812
    @ennamongi98122 жыл бұрын

    Ashton Adam Pole karibu sana Tanzania mungu akubariki sana

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48907 ай бұрын

    Amina karibu Tanzania nabii wa Mungu mimi niko kenya

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59152 жыл бұрын

    Karibu sana prophet Adam Aston Mbaya kutokaeKongo.

  • @nyotabrigitte5385
    @nyotabrigitte53852 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu jaktan kwa kazi nzuri unayofanya. Please umtafute Na maman muijilist JOSEPHINE TOBIAS anaushuuda mzuri.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Sawa,ameen ubarikiwe

  • @salomejames5892
    @salomejames58922 жыл бұрын

    Hakika YESU ni mwema kweli tangu nisikie ushuhuda huo kweli nimebadilisha maisha yangu

  • @aimerencentabagoyi8311
    @aimerencentabagoyi83112 жыл бұрын

    Sifa kwa Bwana,mimi pia toka nimusikiye kaka Aston nimeingiwa na oga sana

  • @admerarobert3485
    @admerarobert34852 жыл бұрын

    Welcome Aston Mbaya I'm so happy to see you Tz

  • @salomejames5892
    @salomejames58922 жыл бұрын

    Amina, Mimi ni mmoja wapo liko kusudi la MUNGU kwa Tanzania

  • @mwlayubueliudimsyani7804
    @mwlayubueliudimsyani78042 жыл бұрын

    UBARIKIWE SANA JACTAN MUNGU AKUKUMBUKE, PIA KATIKA JINA LA YESU KRISTO TUNAMKARIBISHA MTUMISHI WA MUNGU ASTON MBAYA TANZANIA NA TUNAWAOMBEA MUNGU AWATIE NGUVU.............AMEN!!!

  • @danielbarasa2359
    @danielbarasa23592 жыл бұрын

    Powerful mungu awabariki mimi pastor dan kutoka kenya

  • @helenbahati8038
    @helenbahati80382 жыл бұрын

    Ahsante BWANA Yesu kwa kua umetenda. Karibu sana mgeni wetu Aston na pia barikiwa sana mtumishi Jactan 😇🙏🙏🙏

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46792 жыл бұрын

    Karibu sana Mtumishi wa Mungu,Barikiwa sana🇰🇪

  • @tamarali8325
    @tamarali83252 жыл бұрын

    Jacktan Barikiwa sana. Wasalimie watumishi wa Mungu

  • @ipyanadanny9959
    @ipyanadanny99592 жыл бұрын

    Nimefurahi sana swali je pete ya ndoa ni sahihi

  • @florafaustine4637
    @florafaustine46372 жыл бұрын

    Wow Ubarikiwe sana kaka Jack kwa upendo wako kwetu. Umepambana kumleta Tz.Mungu azidi kukutunza.

  • @tumainimnkai8116
    @tumainimnkai81162 жыл бұрын

    Barikiwa sana jactan masafiri

  • @paulpaul4551
    @paulpaul45512 жыл бұрын

    Big up Jacktani unahoji maswali ambayo nilitamani kuuliza ningekuwepo hapo in short , umenifaa sana.

  • @derickrangimoto1709
    @derickrangimoto17092 жыл бұрын

    Mbarikiwe, nauliza kuhusu mwanamke kuwa mchungaji, Pete ya ndoa, kiluilui tumboni kwenda jehanam kimekosa nini kwa dhambi ya nani?

  • @aminaally4163
    @aminaally41632 жыл бұрын

    Amen Sana

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim55392 жыл бұрын

    Yani reo nimewaona mbezi Yani siku amini niri furahi Sana Sana mngu awa bariki karibuni bongo karibuni Sana nimefurahi sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen, ubarikiwe sana

  • @godisable2098
    @godisable20982 жыл бұрын

    Aston is in the house ooh God, glory to God

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid54062 жыл бұрын

    Naomba kukushukuru wewe mtumishi wa Mungu uliyetufikishia ujumbe nzuri Sana uliotusaidia ki roho na kiimani pia Asante Sana ndugu mtanzania Jactan Msafili naomba kuuliza swali Kama tulivyosikia katika ushuhuda uliopita kuhusu Watu walio fanya mapenzi bila kufunga ndoa je ikiwa mtu ameokoka akiwa tayali ameoa bila kufunga ndoa yaani kaoa mke kipagani ndipo akamjua YESU Kristo je atapona na hukumu au afanye Nini

  • @mawazobayndulwa1909
    @mawazobayndulwa19092 жыл бұрын

    Amen mubarikiwe sana Mungu watumishi wa Mungu

  • @mangalabayndulwa3547
    @mangalabayndulwa35472 жыл бұрын

    Amen Amen Amen mubarikiwe Sana watumishi wa Mungu

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal77182 жыл бұрын

    BWANA YESU ahimidiwe aliemfikisha kwetu

  • @mandyaltrfawi6986
    @mandyaltrfawi69862 жыл бұрын

    Karibuni sana watumishi wa Mungu

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    Asante sana Mtumishi Jacktan kwa kazi nzuri unayofanya,Mungu akubariki

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic53792 жыл бұрын

    Bwana Yesu akubariki sana bwana Jactan kwa kazi nzuri na kwa bidii unayotia kueneza habari njema za Kristo, akupe na neema Zaidi🙏

  • @dianendayisenga6592
    @dianendayisenga65922 жыл бұрын

    Mungu ambariki Aston,Jacktan,na Mtafsiri

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @frankysteven978
    @frankysteven9782 жыл бұрын

    Karibu sana mtumishi wa Mungu

  • @riccahcate8126
    @riccahcate81262 жыл бұрын

    Amen Amen Amen..... Karibu mtumishi.... Mungu awatangulie kwa kila jambo

  • @simbawayuda2328
    @simbawayuda23282 жыл бұрын

    Amen 🙏🏽 welcome home my Adam, Mungu akujalie Bwana jaktan

  • @otacyndula5491
    @otacyndula54912 жыл бұрын

    Karibu sana mtumishi wa Mungu,,, hongera sana Jactan Mungu akubariki

  • @mwangazakanganga8110
    @mwangazakanganga81102 жыл бұрын

    Hallelujah! Glory be to God! Tunashukuru mno kwa kumuona 👏👏

  • @vickiemerere4056
    @vickiemerere40562 жыл бұрын

    Ur welcm congratz Jactan

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah9432 жыл бұрын

    Glory be to God ,tunangojea kwa jina la yesu christo

  • @dadaz4653
    @dadaz46532 жыл бұрын

    Amen nabarikiwa

  • @jesusismyking5292
    @jesusismyking52922 жыл бұрын

    Amen tumusifu Mungu

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46912 жыл бұрын

    Mwakaribishwa sana tz.. twawapenda

  • @Geofrey-Martin-Kaputa
    @Geofrey-Martin-Kaputa2 жыл бұрын

    Ubarikiwe sanaaana mtumishi wa mungu

  • @agreycharles6770
    @agreycharles67702 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunaomba utupe tarehe rasmi ya matukio hasa huo mkutano wa Injili ili tulio mbali na nje ya Mkoa wa Dar... tujipange kama tutaweza kuja kuushuhudia ukuu wa Mungu wetu ktk Yesu. 🙏

  • @wililoatu989
    @wililoatu9892 жыл бұрын

    Wao Glory to God🙏🤝👏

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Karibu sana Tanzania aston mbaya

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai86902 жыл бұрын

    Karibu sana nabii Aston, pia Mtumishi jacktan ubarikiwe sana kwa kazi unayoifanya.

  • @aminaally4163
    @aminaally41632 жыл бұрын

    Karibuni

  • @THEWORLD-om1bo
    @THEWORLD-om1bo2 жыл бұрын

    Ahsante SANA.. Nilikiwa nasubiri hii..!!

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence99832 жыл бұрын

    Karibu sana

  • @deborapeter9827
    @deborapeter98272 жыл бұрын

    Ameeen

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga30422 жыл бұрын

    Ushuda wa Aston ulitisha Sana Yani mpaka nikasema zambi bac Ila nikawaza Sana kwamba namizambi yang hii itakuwaje siku ya mwisho jactani umefanya Jambo jema kumleta Aston barikiwa

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Dhambi hutakaswa kwa damu ya yesu Naomi wala usijali kabisa

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian96682 жыл бұрын

    Karibuni sana Tanzania

  • @emanuelkayuni1092
    @emanuelkayuni10922 жыл бұрын

    barikiwa Sana mtumishi jaktani

  • @admerarobert3485
    @admerarobert34852 жыл бұрын

    Nilikuwa nasubilia Sana kwa hamu kubwa Mungu akubariki Sana Mtumishi Jacktan Msafiri

  • @MrXavely
    @MrXavely2 жыл бұрын

    Hongera sana Jacktan!

  • @zeitunitweve9356
    @zeitunitweve93562 жыл бұрын

    Ninamshukuru mungu kwakweli nakutufunulia mambo yasili watoto wake chini yajua nimeongezeka kiimani kwakweli mungu awabaliki kwakazi yenu njema,

  • @florencendatila9183
    @florencendatila91832 жыл бұрын

    Jamani mi nimesikilizaa ushuhuda huo unatisha nimeogopa kumaliza Mungu anitie nguvu nimalize

  • @shuhudazakweli3406
    @shuhudazakweli34062 жыл бұрын

    Amenaaa sana tunamkaribisha sana

  • @mwanga3358
    @mwanga33582 жыл бұрын

    Ubarikiwe ndugu Jactani kumleta mtumishi wa Mungu asante sana, maoni yangu mwambie awe naongea machache ili translator apate nafasi nzuri, kwasababu akiongea mengi vinamusumbua hawezi ku translate vile alisema kwasababu ni vingi

  • @editarichard3590
    @editarichard35902 жыл бұрын

    Barikiweni sana watumishi was MUNGU

  • @hermanemmanuel1953
    @hermanemmanuel19532 жыл бұрын

    HALELUYAAAA AMINA.

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo75762 жыл бұрын

    Glory to God.....thank you very much...🇰🇪🇰🇪I have questions too

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis7532 жыл бұрын

    Amen.tumemsubiri Sana

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Haleluyaaaa Haleluyaaaa

  • @mangalabayndulwa3547
    @mangalabayndulwa35472 жыл бұрын

    Mungu hawabariki nyote watumishi wa Mungu tunawapenda wote

  • @jesseangowi778
    @jesseangowi7782 жыл бұрын

    Amen

  • @vincentlutome288
    @vincentlutome2882 жыл бұрын

    Glory glory to God 🙏🙏

  • @irenemshana8131
    @irenemshana81312 жыл бұрын

    Karibu Sana kaka aston

  • @doreenmartin3105
    @doreenmartin31052 жыл бұрын

    Oo Mimi namtukuza Mungu Sana kwa ajili yenu watumishi wa MUNGU. Nasubiri Sana nipate kufahanishwa mengi

  • @CuremagazineNet
    @CuremagazineNet2 жыл бұрын

    Glory to Jesus

  • @dekathuva6443
    @dekathuva64432 жыл бұрын

    Following from Kenya.. live stream everything

  • @isaacjuma3846
    @isaacjuma38462 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe ndugu Jacktan na watumishi wa Mungu ambao wamefika Tanzanian. Ninawafuatilia kutoka nchini Kenya. Ningependa uniulizie hili swali Kwa mtumishi, itakuwaje mtu kuhukumiwa kwa sababu aliota ndoto mbaya? Kwani kuota ndiko kutenda ama, naomba kuelewa hilo tafadhali.

  • @godisable2098
    @godisable20982 жыл бұрын

    Welcome brother Aston

  • @petermageta4987
    @petermageta49872 жыл бұрын

    Karibu sana Aston

  • @wambuapeter5132
    @wambuapeter51322 жыл бұрын

    Welcome ..tuko pamoja

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza76612 жыл бұрын

    May God bless u all

  • @lucyshiko1881
    @lucyshiko18812 жыл бұрын

    I believe him cause am one of God's sheep Asante mungu

  • @erastoorotha9363
    @erastoorotha93632 жыл бұрын

    Tunamkaribisha Mtumishi Kilimanjaro moshi

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde83682 жыл бұрын

    Welcome

  • @drnow1528
    @drnow15282 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer12 жыл бұрын

    Muulize si tutapewa miili mipya mbinguni 😭😭😭Sasa mbona tutazuiliwa ju ya mapambo

  • @annkim2690
    @annkim26902 жыл бұрын

    Aston karibu and we lov u

  • @pressureunit
    @pressureunit2 жыл бұрын

    glory to Jesus

  • @THEWORLD-om1bo
    @THEWORLD-om1bo2 жыл бұрын

    Welcome ADAM..

  • @petergadiye7911
    @petergadiye79112 жыл бұрын

    Aje na Arusha Hugo mtumishi wa Mungu.

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Natamani azunguke makanisa yote Tanzania

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66502 жыл бұрын

    Karibu sana mtumishi.

  • @pendoasifiwe8641

    @pendoasifiwe8641

    2 жыл бұрын

    Ningeshangaa hujaiona hii, 🔥🔥🤔🤔

  • @santrecnekesa107
    @santrecnekesa1072 жыл бұрын

    Mkenya nashukuru karbu kenya nmebarkiwa sana

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Hata vikiwa Mia tano,bora tupone kuliko kupotea

  • @happyalbert5089
    @happyalbert50892 жыл бұрын

    Mi natamani kupata maelezo zaid juu ya mwanamke kuwa mchungaji au kuongoza kanisa kwakua aliliongelea swala hilo lakini pia nifahamu pia kwanini ukiongozwa na mchungaji asie wa kweli wote mnaweza kujikuta motoni(ninahusikaje mimi ikiwa Ni mchungaji wangu ambaye ndie anaetenda dhambi)

  • @JTGSHUUDA

    @JTGSHUUDA

    2 жыл бұрын

    Mwanamke kuwa mchungaji sio tatizo. Mchungaji anae kupoteza hilo ndo tatizo

  • @user-eg7ml3if5k
    @user-eg7ml3if5kАй бұрын

    Hi

  • @dadaz4653
    @dadaz46532 жыл бұрын

    YESU anikumbuke

  • @vickiemerere4056
    @vickiemerere40562 жыл бұрын

    Swali langu mimi ni: siku ya sabato ambayo tunapaswa kuitakasa ni ipi???

Келесі