GOOD NEWS!ASTON ADAM MBAYA WA USHUHUDA WA VYUMBA 351 VYA KUZIMU YUPO TANZANIA TAYARI KUJIBU MASWALI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 156
Safi sana hii mtumwa wa Mungu aliye hai kwa sasa niko namshukuru Yesu Kristo kwa neema ya leo.
Jactan, Baba wa mbinguni akutunze kazi yako ni njema, karibuni sana wageni, damu ya Yesu iwafunike
Aston Adam mbaya. Karibu sanaaa... Welcome. .. Welcome.
Huyu ni Mungu anayezungumza kwako mimi na wewe...barikiwa sana jaktan
Mungu nimwema Sana naomba anijalie niweze kuendelea naushuda nimefika sehemu ya 23
Nimefurahi sana kumwona mtu huyu ktk nchi yetu Mungu kupitia mafundisho na kuwepo kwake ataponya watu wengi
Karibu sana mtumishi wa Mungu kwa kufanikisha safari..kweli vyumba mia tatu hamsini na moja tumejifunza mengi watu wengi hawajui yanao tendeka kwenye ulimwengu wa giza Bwana atuongoze..ndugu Jaktan barikiwa sana kwa kazi nzuri.
Karibu Kilimanjaro Mtumishi wa Mungu
Bwana Yesu Kristo Asifiwe Kaka Jacktan me nilikuwa nnaswali langu kwa Astoni kwamba kusuka nywele za mkono Yani za asili maarufu km mnyosho au twende kilioni kwa mwanamke aliye okoka je ni dhambi.
Ashton Adam Pole karibu sana Tanzania mungu akubariki sana
Amina karibu Tanzania nabii wa Mungu mimi niko kenya
Karibu sana prophet Adam Aston Mbaya kutokaeKongo.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu jaktan kwa kazi nzuri unayofanya. Please umtafute Na maman muijilist JOSEPHINE TOBIAS anaushuuda mzuri.
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Sawa,ameen ubarikiwe
Hakika YESU ni mwema kweli tangu nisikie ushuhuda huo kweli nimebadilisha maisha yangu
Sifa kwa Bwana,mimi pia toka nimusikiye kaka Aston nimeingiwa na oga sana
Welcome Aston Mbaya I'm so happy to see you Tz
Amina, Mimi ni mmoja wapo liko kusudi la MUNGU kwa Tanzania
UBARIKIWE SANA JACTAN MUNGU AKUKUMBUKE, PIA KATIKA JINA LA YESU KRISTO TUNAMKARIBISHA MTUMISHI WA MUNGU ASTON MBAYA TANZANIA NA TUNAWAOMBEA MUNGU AWATIE NGUVU.............AMEN!!!
Powerful mungu awabariki mimi pastor dan kutoka kenya
Ahsante BWANA Yesu kwa kua umetenda. Karibu sana mgeni wetu Aston na pia barikiwa sana mtumishi Jactan 😇🙏🙏🙏
Karibu sana Mtumishi wa Mungu,Barikiwa sana🇰🇪
Jacktan Barikiwa sana. Wasalimie watumishi wa Mungu
Nimefurahi sana swali je pete ya ndoa ni sahihi
Wow Ubarikiwe sana kaka Jack kwa upendo wako kwetu. Umepambana kumleta Tz.Mungu azidi kukutunza.
Barikiwa sana jactan masafiri
Big up Jacktani unahoji maswali ambayo nilitamani kuuliza ningekuwepo hapo in short , umenifaa sana.
Mbarikiwe, nauliza kuhusu mwanamke kuwa mchungaji, Pete ya ndoa, kiluilui tumboni kwenda jehanam kimekosa nini kwa dhambi ya nani?
Amen Sana
Yani reo nimewaona mbezi Yani siku amini niri furahi Sana Sana mngu awa bariki karibuni bongo karibuni Sana nimefurahi sana
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe sana
Aston is in the house ooh God, glory to God
Naomba kukushukuru wewe mtumishi wa Mungu uliyetufikishia ujumbe nzuri Sana uliotusaidia ki roho na kiimani pia Asante Sana ndugu mtanzania Jactan Msafili naomba kuuliza swali Kama tulivyosikia katika ushuhuda uliopita kuhusu Watu walio fanya mapenzi bila kufunga ndoa je ikiwa mtu ameokoka akiwa tayali ameoa bila kufunga ndoa yaani kaoa mke kipagani ndipo akamjua YESU Kristo je atapona na hukumu au afanye Nini
Amen mubarikiwe sana Mungu watumishi wa Mungu
Amen Amen Amen mubarikiwe Sana watumishi wa Mungu
BWANA YESU ahimidiwe aliemfikisha kwetu
Karibuni sana watumishi wa Mungu
Asante sana Mtumishi Jacktan kwa kazi nzuri unayofanya,Mungu akubariki
Bwana Yesu akubariki sana bwana Jactan kwa kazi nzuri na kwa bidii unayotia kueneza habari njema za Kristo, akupe na neema Zaidi🙏
Mungu ambariki Aston,Jacktan,na Mtafsiri
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Karibu sana mtumishi wa Mungu
Amen Amen Amen..... Karibu mtumishi.... Mungu awatangulie kwa kila jambo
Amen 🙏🏽 welcome home my Adam, Mungu akujalie Bwana jaktan
Karibu sana mtumishi wa Mungu,,, hongera sana Jactan Mungu akubariki
Hallelujah! Glory be to God! Tunashukuru mno kwa kumuona 👏👏
Ur welcm congratz Jactan
Glory be to God ,tunangojea kwa jina la yesu christo
Amen nabarikiwa
Amen tumusifu Mungu
Mwakaribishwa sana tz.. twawapenda
Ubarikiwe sanaaana mtumishi wa mungu
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunaomba utupe tarehe rasmi ya matukio hasa huo mkutano wa Injili ili tulio mbali na nje ya Mkoa wa Dar... tujipange kama tutaweza kuja kuushuhudia ukuu wa Mungu wetu ktk Yesu. 🙏
Wao Glory to God🙏🤝👏
Karibu sana Tanzania aston mbaya
Karibu sana nabii Aston, pia Mtumishi jacktan ubarikiwe sana kwa kazi unayoifanya.
Karibuni
Ahsante SANA.. Nilikiwa nasubiri hii..!!
Karibu sana
Ameeen
Ushuda wa Aston ulitisha Sana Yani mpaka nikasema zambi bac Ila nikawaza Sana kwamba namizambi yang hii itakuwaje siku ya mwisho jactani umefanya Jambo jema kumleta Aston barikiwa
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Dhambi hutakaswa kwa damu ya yesu Naomi wala usijali kabisa
Karibuni sana Tanzania
barikiwa Sana mtumishi jaktani
Nilikuwa nasubilia Sana kwa hamu kubwa Mungu akubariki Sana Mtumishi Jacktan Msafiri
Hongera sana Jacktan!
Ninamshukuru mungu kwakweli nakutufunulia mambo yasili watoto wake chini yajua nimeongezeka kiimani kwakweli mungu awabaliki kwakazi yenu njema,
Jamani mi nimesikilizaa ushuhuda huo unatisha nimeogopa kumaliza Mungu anitie nguvu nimalize
Amenaaa sana tunamkaribisha sana
Ubarikiwe ndugu Jactani kumleta mtumishi wa Mungu asante sana, maoni yangu mwambie awe naongea machache ili translator apate nafasi nzuri, kwasababu akiongea mengi vinamusumbua hawezi ku translate vile alisema kwasababu ni vingi
Barikiweni sana watumishi was MUNGU
HALELUYAAAA AMINA.
Glory to God.....thank you very much...🇰🇪🇰🇪I have questions too
Amen.tumemsubiri Sana
Haleluyaaaa Haleluyaaaa
Mungu hawabariki nyote watumishi wa Mungu tunawapenda wote
Amen
Glory glory to God 🙏🙏
Karibu Sana kaka aston
Oo Mimi namtukuza Mungu Sana kwa ajili yenu watumishi wa MUNGU. Nasubiri Sana nipate kufahanishwa mengi
Glory to Jesus
Following from Kenya.. live stream everything
Bwana Yesu asifiwe ndugu Jacktan na watumishi wa Mungu ambao wamefika Tanzanian. Ninawafuatilia kutoka nchini Kenya. Ningependa uniulizie hili swali Kwa mtumishi, itakuwaje mtu kuhukumiwa kwa sababu aliota ndoto mbaya? Kwani kuota ndiko kutenda ama, naomba kuelewa hilo tafadhali.
Welcome brother Aston
Karibu sana Aston
Welcome ..tuko pamoja
May God bless u all
I believe him cause am one of God's sheep Asante mungu
Tunamkaribisha Mtumishi Kilimanjaro moshi
Welcome
Bwana yesu asifiwe
Muulize si tutapewa miili mipya mbinguni 😭😭😭Sasa mbona tutazuiliwa ju ya mapambo
Aston karibu and we lov u
glory to Jesus
Welcome ADAM..
Aje na Arusha Hugo mtumishi wa Mungu.
Natamani azunguke makanisa yote Tanzania
Karibu sana mtumishi.
@pendoasifiwe8641
2 жыл бұрын
Ningeshangaa hujaiona hii, 🔥🔥🤔🤔
Mkenya nashukuru karbu kenya nmebarkiwa sana
Hata vikiwa Mia tano,bora tupone kuliko kupotea
Mi natamani kupata maelezo zaid juu ya mwanamke kuwa mchungaji au kuongoza kanisa kwakua aliliongelea swala hilo lakini pia nifahamu pia kwanini ukiongozwa na mchungaji asie wa kweli wote mnaweza kujikuta motoni(ninahusikaje mimi ikiwa Ni mchungaji wangu ambaye ndie anaetenda dhambi)
@JTGSHUUDA
2 жыл бұрын
Mwanamke kuwa mchungaji sio tatizo. Mchungaji anae kupoteza hilo ndo tatizo
Hi
YESU anikumbuke
Swali langu mimi ni: siku ya sabato ambayo tunapaswa kuitakasa ni ipi???