Ghetto la kwanza la Moni na Nai | Safari ya Mahusiano yao | Drama za Mapenzi | Mondi Kuhusishwa. Pt1
Ойын-сауық
Mengi yako nyuma ya pazia kwenye safari ya Malume, kapita #Ghetto na kushare story kibao zinazohusu maisha yake. Hii hapa part 1 ya mazungumzo ya Msanuaji na Moni.
Пікірлер: 29
Show kali bro ila leo sound imemess up, I hope next time utatisha zaidi
Dope mamen
Safi sana mzee hiv vitu tunapenda👏Tupo pa1
Msanuaji Podcast ni ipo another level nimependa the way ameanza na rap Star....🪐🔥 ila #ushaurii mic zichekiwe na muongeze utundu kidogo kuwe na kisong flani ivi kama temnpa kwa chini itapendeza mtu akiwa naongea kwa chin inasikika bitt
Moni yuko Real, na hii iko si inspirational ✊🏿✊🏿✊🏿
Sound check next time iweke sawa sound engineer aweke mambo sawa
Msanuajii umetishaaa
mNyaAmWeeZiiii John Jackson🔥🔥🔥
Favorite rapper
Nakubali sana moni centrozone majengo sokoni
Nilikua nasubiri kwa hamu kipindi chako youtube.sema mic mzee wangu kama zinazingua kidogo....also sound track muhimu pia
Jamaa anawivu sana cha msingi awe na mwanamke wa kawaida sana na asimtengenezee mazingila ya umaalufu
Nkbr family yangu 🌹🌹 kali
Msanuaji please kabla hujaupload check kuhusu sound mtu wangu kuna muda ni mwangwi unaskika kama dakika kadhaa
Sound mbovu ina echo mpk inaboa😢😢
Kinyamwez na sound furain hv
MONI ASHAWAHI KULALA NA DEMU WANGU ARUSHA NIKATELEKEZWA CLUB KAMA YATIMA , NA YEYE ASILIE LIE UCHI HUYO
Moni Maji Mengi mnoo😅🙌
❤❤❤
Sound mbaya mmezingua
Mic 🎤 kali sound mbovu
Malumeeee
Malumeee
Sema io short mkononi jamaa anafunguka em 😂em ongeza short apo jamaa aseme yote ashaanza kuchangamka uyo
Check your podcast production sauti ina mwangwi mwangwi inajurudia rudia
Msanuaji unajua bob
Sound Mbovuuuu
Wasanii bwn kwahiy kwahiyo zimekuw nyingi yn uongo uongo2 😂😂😂
@gbbuku4714
6 ай бұрын
Kaaa kimya Kama hujui kitu