GERSON MSIGWA: TUNAJENGA VIWANJA VITANO DAR/ AFCON/YA KWETU
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 25
Crown 👑 hapa ni nyumbani
Bint anaweza ila bado sana baba wa habari Africa salim kikeke bado tunakuitaji sana hapa crownmedia
Serikali mji wa dar es salaam mnauongezea jam na gharama za maisha , hvyo viwanja vya dar visingeongezwa ila serikali ingeangalia miji mingine ila mji wa dar kuupunguzia mzigo wa maisha na pia kutanua uwezekaji na biashara katika miji mingine kama dodoma na mwanza na arusha
Safi
Mnamipango mingi ila kutekeleza ndo shida ,,mliweka mipango ya kujengwa arena Dodoma na dar mmeshindwa mala Tena mnakuja na viwanja vya mazoezi 5 Tena vyote ni dar ,,utafikiri dar ndio Tanzania nzima,,hapohapo mnaujenzi wa Arusha na Dodoma japo mpaka tuone vimekamilika ndo tutaamini maana siasa zimekua nyingi mno kuliko utekelezaji,,,
🎉🎉🎉
Ni siasa tu sport arena ya dar na Dodoma zimeishia wapi mnaongea sana
Crown nawakubali ila ushauri kidogo iyo switch hapo nyuma ni chafu mno
@user-ku4xq4nd9v
15 күн бұрын
Hiyo Switch sio chafu ni rangi yake sasa hivi zipo Switch za rangi tofauti tofauti si nyeupe tu
Hapa ninyumbani
Hapa ni home
Mbona hamjengi Dodoma kama alivyo ahadi mama? Na ninyi waandishi huwa hamuulizi?😊
❤❤
✌👊👍.
❤❤❤❤😮😮😮
Uwanja wa dodoma umekuw kama hadithi ya kufikirika ambayo haina hata dalili ya tomaso...hebu fanyen maamuz na tunaomba huo uwanja kwa kuwa upo ktk mji mkuu wa Tanzania uwe na capacity sio chin ya watu elf 65 mpk 70 na uwe na roof juu nyakat za jua kali au mvua shughuli ziendelee..Kama bado uwezo wa kujenga uwanja huo hakuna bas kama capacty ni hiyi hiy ya 30, 45, 50 bas kaujengen tu mwanza dodoma muache kwanza...Na kibiashara ktk hiy afcon ata dodoma ingenufaika cz SGR ipo, msalato airpot itakuwa tyr na mji mkuu upo kule hivy kuna watu watatak waende wakatalii kuujua mji mkuu tu wa Tanzania...Hivy fanyen hima
@iskiji1240
14 күн бұрын
Kuutunza uwanja wa capacity ya 60k ambao kwa mwaka unajaa mara 3 tuu ni gharama sana. Kwa nchi yetu inabidi tuishie tuu 40k.
@jumashedafa
14 күн бұрын
@@iskiji1240 usiishi kuiona leo but utazame future hiv mkapa angejenga cha 40 huon tungeteseka cz kuna baadh ya matukio watu wanakaa nje. . Tena ata ikibid 100,000 Ata kijengwe kwa miak minne sio mbaya
ila huu uwanja ungejengwa kama ifadhi ya ngorongoro ingependeza sana na kuleta maana tungeita ngorongoto creater stadium ingependeza sana ,sasa samia stadium inasaidia nini kwene kuvutia watarihii mbona jina baya na lisilo na historia kubwa
@salumalriyamy
16 күн бұрын
Stadium wateja wake ni wananchi wengi.. ukijenga ngorongoro ni kuwapa tabu mashabiki na unalenga kukosa mapato.
Ivi kuwa sumati nini mana sijamuelewa huyu bint lasta kawekatu bila kujali anaongea nakiongozi mkubwa alafu unataka kujakuwa mtangazaji mkubwa
@FahadAbubakari
16 күн бұрын
Mtu mkubwa yupi ? Mbona muoga sana wewe
Viwanja vitano sehemu moja ndo nini sasa😂 Magufuli amekufa na Dodoma yake, Rip Magufuli
tupo pamoja camera nzuri sana
Serikali mji wa dar es salaam mnauongezea jam na gharama za maisha , hvyo viwanja vya dar visingeongezwa ila serikali ingeangalia miji mingine ila mji wa dar kuupunguzia mzigo wa maisha na pia kutanua uwezekaji na biashara katika miji mingine kama dodoma na mwanza na arusha