GERSON MSIGWA: TUNAJENGA VIWANJA VITANO DAR/ AFCON/YA KWETU

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 25

  • @swala_master
    @swala_master18 күн бұрын

    Crown 👑 hapa ni nyumbani

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h18 күн бұрын

    Bint anaweza ila bado sana baba wa habari Africa salim kikeke bado tunakuitaji sana hapa crownmedia

  • @vicentbaichak9693
    @vicentbaichak969317 күн бұрын

    Serikali mji wa dar es salaam mnauongezea jam na gharama za maisha , hvyo viwanja vya dar visingeongezwa ila serikali ingeangalia miji mingine ila mji wa dar kuupunguzia mzigo wa maisha na pia kutanua uwezekaji na biashara katika miji mingine kama dodoma na mwanza na arusha

  • @TumainiMrisho
    @TumainiMrisho17 күн бұрын

    Safi

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita299517 күн бұрын

    Mnamipango mingi ila kutekeleza ndo shida ,,mliweka mipango ya kujengwa arena Dodoma na dar mmeshindwa mala Tena mnakuja na viwanja vya mazoezi 5 Tena vyote ni dar ,,utafikiri dar ndio Tanzania nzima,,hapohapo mnaujenzi wa Arusha na Dodoma japo mpaka tuone vimekamilika ndo tutaamini maana siasa zimekua nyingi mno kuliko utekelezaji,,,

  • @emmanuelkituma
    @emmanuelkituma18 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @Kabwela776
    @Kabwela77617 күн бұрын

    Ni siasa tu sport arena ya dar na Dodoma zimeishia wapi mnaongea sana

  • @allytayari3938
    @allytayari393816 күн бұрын

    Crown nawakubali ila ushauri kidogo iyo switch hapo nyuma ni chafu mno

  • @user-ku4xq4nd9v

    @user-ku4xq4nd9v

    15 күн бұрын

    Hiyo Switch sio chafu ni rangi yake sasa hivi zipo Switch za rangi tofauti tofauti si nyeupe tu

  • @NurdinZuberi
    @NurdinZuberi14 күн бұрын

    Hapa ninyumbani

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1018 күн бұрын

    Hapa ni home

  • @mlyangwe
    @mlyangwe15 күн бұрын

    Mbona hamjengi Dodoma kama alivyo ahadi mama? Na ninyi waandishi huwa hamuulizi?😊

  • @mdbosco1640
    @mdbosco164018 күн бұрын

    ❤❤

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything18 күн бұрын

    ✌👊👍.

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade16 күн бұрын

    ❤❤❤❤😮😮😮

  • @jumashedafa
    @jumashedafa18 күн бұрын

    Uwanja wa dodoma umekuw kama hadithi ya kufikirika ambayo haina hata dalili ya tomaso...hebu fanyen maamuz na tunaomba huo uwanja kwa kuwa upo ktk mji mkuu wa Tanzania uwe na capacity sio chin ya watu elf 65 mpk 70 na uwe na roof juu nyakat za jua kali au mvua shughuli ziendelee..Kama bado uwezo wa kujenga uwanja huo hakuna bas kama capacty ni hiyi hiy ya 30, 45, 50 bas kaujengen tu mwanza dodoma muache kwanza...Na kibiashara ktk hiy afcon ata dodoma ingenufaika cz SGR ipo, msalato airpot itakuwa tyr na mji mkuu upo kule hivy kuna watu watatak waende wakatalii kuujua mji mkuu tu wa Tanzania...Hivy fanyen hima

  • @iskiji1240

    @iskiji1240

    14 күн бұрын

    Kuutunza uwanja wa capacity ya 60k ambao kwa mwaka unajaa mara 3 tuu ni gharama sana. Kwa nchi yetu inabidi tuishie tuu 40k.

  • @jumashedafa

    @jumashedafa

    14 күн бұрын

    @@iskiji1240 usiishi kuiona leo but utazame future hiv mkapa angejenga cha 40 huon tungeteseka cz kuna baadh ya matukio watu wanakaa nje. . Tena ata ikibid 100,000 Ata kijengwe kwa miak minne sio mbaya

  • @kwisa4899
    @kwisa489917 күн бұрын

    ila huu uwanja ungejengwa kama ifadhi ya ngorongoro ingependeza sana na kuleta maana tungeita ngorongoto creater stadium ingependeza sana ,sasa samia stadium inasaidia nini kwene kuvutia watarihii mbona jina baya na lisilo na historia kubwa

  • @salumalriyamy

    @salumalriyamy

    16 күн бұрын

    Stadium wateja wake ni wananchi wengi.. ukijenga ngorongoro ni kuwapa tabu mashabiki na unalenga kukosa mapato.

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h18 күн бұрын

    Ivi kuwa sumati nini mana sijamuelewa huyu bint lasta kawekatu bila kujali anaongea nakiongozi mkubwa alafu unataka kujakuwa mtangazaji mkubwa

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    16 күн бұрын

    Mtu mkubwa yupi ? Mbona muoga sana wewe

  • @Halphan-cw3de
    @Halphan-cw3de16 күн бұрын

    Viwanja vitano sehemu moja ndo nini sasa😂 Magufuli amekufa na Dodoma yake, Rip Magufuli

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo761718 күн бұрын

    tupo pamoja camera nzuri sana

  • @vicentbaichak9693
    @vicentbaichak969317 күн бұрын

    Serikali mji wa dar es salaam mnauongezea jam na gharama za maisha , hvyo viwanja vya dar visingeongezwa ila serikali ingeangalia miji mingine ila mji wa dar kuupunguzia mzigo wa maisha na pia kutanua uwezekaji na biashara katika miji mingine kama dodoma na mwanza na arusha

Келесі