GENIUS HAJAWAHI PATA ZERO, KOTE KASOMA KATA, FORM FOUR DIV. 1.7, SIX DIV 1.3

Leo nakukutanisha na Mwanafunzi ambaye amepata Division One ya 3 katika mayokeo yaliyotangazwa leo na NECTA, Fadhili John Mboya ana umri wa miaka 20 katika maisha yake ya kusoma yote amesoma Shule za Serikali maarufu za Kata, Primary, Olevel alisoma mawenzi ambapo alipata division one ya 7, akaenda Mzunbe ambapo leo amepata One ya 3, Fadhili anatueleza amepokeaje matokeo na safari yake itakuaje.

Пікірлер: 310

  • @juliejackson1742
    @juliejackson17422 жыл бұрын

    Ila watu wanaokuaga na akili sana wanaringaga ila naona huyu yuko humble sana anamshukuru Mungu kwa kila neno analotoa mwenyez Mungu amsimamie kulikobak

  • @laylapagae6324

    @laylapagae6324

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @faithkapondo5383
    @faithkapondo53832 жыл бұрын

    Eeeh Mungu naomba watoto wng wawe naakir km Fadhili

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel42052 жыл бұрын

    Daah maisha inamruhusu ingekuw ni sisi tuliosoma unavaa kiatu mwaka soksi mwaka ikitoboka🤣 unageuza rangi ya viatu napaka unga wa bettry ile nyeusi unarudi nyumbn humkuti mtu Wala chakula daaah sitosahau jameni ila Asant mungu now I have a good life I don't forget this memories 🤔🤔

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw2 жыл бұрын

    Wow that's awesome Mungu ndio kila kitu. Congratulations Brother 🙏

  • @aronatv47
    @aronatv472 жыл бұрын

    Hongeren sana mliofaulu wote.. IMkimaliza na elimu ya Juu Mkumbuke kuwa Kuna Elimu ya Mtaani Tuweke akili hiloo..

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    2 жыл бұрын

    Hatar

  • @jamalmzimba5166
    @jamalmzimba51662 жыл бұрын

    Mazingira mazuri,yanachochea,sijawai kuona mwanafunzi aliyetoka kwenye nyumba ya tembe,kabomoa,so far ongera kwake coz,ametumia oppotunity ya kwao vizur.

  • @deniseliuter3002
    @deniseliuter3002 Жыл бұрын

    Safi sanaa dogo ata mimi pia nmepita mzumbe secondary advance na leo ni mining engineer well done mzumbe moto wetu nakumbuka wkt nipo ulkua ni kupiga msuli yatima yaani unasoma bila kujihurumia ni kupiga buku tuh lkn kitu kzuriii pepa za ndani kama gejing ni ngumu mnoo adi mtu unajiona labda hamna kitu kumbe inakujengea hali ya kutorizika pepa ya necta ikija unaona wastani tuh so kupata one inakua kugusa huu utamaduni ni mzuri sanaaa

  • @hamisaswedi6640
    @hamisaswedi66402 жыл бұрын

    Kusoma ni mazingira,,, ata maisha anayotoka yanajieleza.. despite of jitihada binafs, all in all hongera sana kijana..

  • @abasihussein1166

    @abasihussein1166

    Жыл бұрын

    Ww ndo umeongea point

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim19892 жыл бұрын

    Masha'Allah Tabarakallah mwenyeez Mungu akuzidishie kila la kheri Insha'Allah uendelee hivyo hivyo. Mwenyeez Mungu akuondoshee hasad.

  • @laylapagae6324

    @laylapagae6324

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @ashgothey

    @ashgothey

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @georgechonjo9375
    @georgechonjo93752 жыл бұрын

    Mungu akusaidie ....huko uendako u deserve it bro umepambana sana

  • @cleverkifaluka4337
    @cleverkifaluka43372 жыл бұрын

    Mawenzi sekondari na Mzumbe sio shule ya kata mkuu. Ni special school kana ulikuwa hujui... Hongera sana mangi kwa matokeo mazuri umetujengea heshima kubwa.

  • @ismailmajala2802

    @ismailmajala2802

    2 жыл бұрын

    amemaanisha ni mtoto wa familia bora ila ametokea humo humo

  • @brendakavishe3320

    @brendakavishe3320

    2 жыл бұрын

    Mawenzi sio Kata yes.Mawenzi ni shule kubwa kimkoa

  • @joachimshirima5578

    @joachimshirima5578

    2 жыл бұрын

    Nimesoma mawenzi sec bila juhudi binafsi hutoki mzee.. huyu mtoto ni hatari... Mbaya zaidi kasoma shaurimoyo majengo palivyo choka mitoto ya kwamtei pale na akapata A flat... Ifike mahali mumpe heshima yake

  • @tillahmboya6582

    @tillahmboya6582

    2 жыл бұрын

    @@joachimshirima5578 umeonaee nimesoma mawenzi pia bila juhudi zako ni ziiii hongera mdogoangu 👏👏👏

  • @ahmadally2437

    @ahmadally2437

    6 ай бұрын

    Mzee izo special school kama mzumbe, ilboru na kadhalika bila msuli hutoboi hakuna kufundishwa kivile,,kijana kapambana aisee pia jah amebless

  • @footballlove4413
    @footballlove44132 жыл бұрын

    Mwanafunzi wangu huyu Congratulations boy

  • @premier2562
    @premier25622 жыл бұрын

    kaka hongera sana #mzumbefamily are proud of you

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63522 жыл бұрын

    Huyu mwamba hatari sana. Ukiangalia matokeo yake anatisha kwasababu ana A zote kuanzia Mtihani wa Shule ya Msingi hadi Form 6. Msimchululie poa. Hao walio 10 Bora ukitafuta matokeo yao ya Darasa la saba na Form 4 hawamkamagi huyu bro. Hongera Sana Genius wangu wa Mlongo huu.

  • @abdulkilufi9230

    @abdulkilufi9230

    2 жыл бұрын

    Tunamkaribisha MUHAS

  • @yoootang621

    @yoootang621

    2 жыл бұрын

    Ni Mungu tu . Si kwa uwezo wake

  • @kareemabdallah6693

    @kareemabdallah6693

    2 жыл бұрын

    @@abdulkilufi9230 Pale ndo center ya Ukaguzi wa ma TO

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    2 жыл бұрын

    Kama ni Mungu wewe unashetani? Acha zako Mungu kafanya upande wake kumpa akili yeye kaweka kuhudi tena kubwa

  • @yoootang621

    @yoootang621

    2 жыл бұрын

    @@gibsonjosephat6352 Mjinga tu ww . Kwan wengine awakupewa akili ?!! Yeye kupewa akili na uwezo wa kufaulu na afya kwa ujumla na Baraka zake . That's what we call God himself. Mfano Samson zile nguvu bila Mungu kumpatia ?!! Au Solomon kuwa na akili zaidii ya watu wengine?!!! Kifupi ni Baraka za Mungu juu yake . Just don't be a small minded person. Vp ww ukufanya juhudiii ??? Mwaka gan ulimaliza tuone matokeo Yako ?!? Na hizo juhudiii

  • @halimahalima1488
    @halimahalima14882 жыл бұрын

    MashaaAllah tabaraka Rahman 👏

  • @mwana4599
    @mwana45992 жыл бұрын

    Hongerah. Ila waandishi muwe mnafabya utafiti yeye hajadoma shule za kata ni za serikali. Na ni za,zamani. Za kata zimeanza kwenye 2000s

  • @judymasunzu7517
    @judymasunzu75172 жыл бұрын

    Hongera Kijana Kwa kutusua. Mungu aendelee kukupa Heri Huko mbele ya Safari yako ya Elimu. Ukiweza nakushauri usome BscMD uwe human Doctor

  • @jacobmsigwa383
    @jacobmsigwa3832 жыл бұрын

    Hongera kwake kijana, bila shaka alipata full support kutoka kwa familia yake maana kwa mazingira hayo ni jamii inayojimudu

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia99212 жыл бұрын

    Kupasi sawa umepasi mwanangu sasa hongera kazi kuja kupata kazi

  • @willymalale7975
    @willymalale79752 жыл бұрын

    Hongera sana dogo pambana taifa linakuhitaji

  • @latiffaomar6429
    @latiffaomar64292 жыл бұрын

    MashaALLAH

  • @julianaswai7846
    @julianaswai78462 жыл бұрын

    Hongeraa sana mdogo wangu .Mungu akutangulee

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p2 жыл бұрын

    Mashaallah, hongera sana

  • @lydiajacob560
    @lydiajacob5602 жыл бұрын

    Congratulations budaa

  • @eddyjosephmagenge9446
    @eddyjosephmagenge94462 жыл бұрын

    Hongera sana mdogo wangu

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund79642 жыл бұрын

    Hongera sana mdg angu Mungu akutangulie katika ndoto zako

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba10542 жыл бұрын

    Very genius and intelligent

  • @cnm2976
    @cnm29762 жыл бұрын

    Bravo! Mungu Akusaidie pia kwenye elimu ya juu. Bwana Yesu akulinde.

  • @fredrickpaschal459

    @fredrickpaschal459

    2 жыл бұрын

    Yuko innovative au mark scheme ya kujibu mtihani tu

  • @claudia1500
    @claudia15002 жыл бұрын

    Well done Mr Actually!

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn63342 жыл бұрын

    Kweli uyu dogo yuko vzr sana kaupiga mwingi sana

  • @niaanthony9588
    @niaanthony95882 жыл бұрын

    Nyumba yao tu MashaaAllah

  • @marygregory7566
    @marygregory75662 жыл бұрын

    Well done, endelea kumtegemea Mungu

  • @fadhilimboya8090
    @fadhilimboya80902 жыл бұрын

    Nashukuru kwa comments zenu Nimemaliza PCM Mzumbe Secondary

  • @mcback4384

    @mcback4384

    2 жыл бұрын

    Hongera sana kijana Nimekupenda namna unamshukuru Mungu Utafika mbali

  • @goddkito646

    @goddkito646

    2 жыл бұрын

    💪💪💪✍️

  • @azizamohamed7692

    @azizamohamed7692

    2 жыл бұрын

    Hongera Sana Mungu akusimamie kwa kila jambo

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    2 жыл бұрын

    No. Yako tafadhali dogo.

  • @fadhilimboya8090

    @fadhilimboya8090

    2 жыл бұрын

    @@adkajisi4536 nikiweka contacts na email zinafutika, sasa sijajua nakupataje..

  • @funnymeiz4909
    @funnymeiz49092 жыл бұрын

    Congrats sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 ай бұрын

    Ubarikiwe saana Fadhili

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Yuko intelligent sana na ana jielewa kweli

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly2 жыл бұрын

    Wooooow hongera kijana mwenye bidii zake,nafurahi kuona unaanza na "namshukuru sana Mungu"na kuendelea kusisitiza kumshukuru Mungu,humility,God bless . Hongera sana

  • @cymone6159

    @cymone6159

    2 жыл бұрын

    Hata mimi nimeona hivyo aisee

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti5162 жыл бұрын

    Mungu akutangulie sana

  • @roselynurio269
    @roselynurio2692 жыл бұрын

    Congratulation am soo inspired👏

  • @florampayo6593
    @florampayo65932 жыл бұрын

    Good boy!! Congratulations

  • @stevenkyando7364
    @stevenkyando73642 жыл бұрын

    Hongera kijana Ila mmefanana na mtangazaji au kaka ako

  • @comanbo
    @comanbo Жыл бұрын

    Mashaalh mungu azidi kukuwezesha

  • @gracesilayo7670
    @gracesilayo76702 жыл бұрын

    Hongeraaaaaaaaaa nyingi kwako dear

  • @lovenoor988
    @lovenoor9882 жыл бұрын

    Congrats bro 👏🎉

  • @johaneskyaruzi8789
    @johaneskyaruzi87892 жыл бұрын

    hongera cn

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula55422 жыл бұрын

    Kusema shule ya kata ilikuwa ni kuvuta hadhira ifatilie story. Ila mhimu haya mambo yanachangiana mazingira wezeshi+ubongo usio na hitilafu+ jitihada au bidii ya mhusika= excellent. Best yangu alitokea mazingira duni+ kupoteza wazazi wote+ ndugu kutomsapoti= A masomo yote kwa A-Level.

  • @carinamatt1031
    @carinamatt10312 жыл бұрын

    Maisha yako yenyewe tu kufaulu tosha unaishi pazuri ivyo kufeli kujitakia mungu azidi kukusimamia mtoto mzuri usibadilike usiige maisha ya wengine unajielewa sana

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini50742 жыл бұрын

    Hongera-Mwanamke Kongole-Mwanaume

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Mungu akuongoze kwa kila jambo🙏🙏

  • @lazaromaria5334
    @lazaromaria53342 жыл бұрын

    wachagga 😎

  • @joshuanf7916
    @joshuanf79162 жыл бұрын

    Hongera sana MANGI👐👐

  • @ibrahimmbwate787
    @ibrahimmbwate787 Жыл бұрын

    Sikujua kama wewe ni Genius kiasi hiki@Fadhil John Mboya 👊👊

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili84322 жыл бұрын

    Safiiiii dogo Hongera sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    Wowo hongera sana

  • @msechutimotheo4830
    @msechutimotheo48302 жыл бұрын

    Keep it up brother

  • @brendakavishe3320
    @brendakavishe33202 жыл бұрын

    Mawenzi Product tunatisha sana..MAWENZI SECONDARY OYEEE

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43562 жыл бұрын

    Mungu akisaidie hivyo hivyo baada yakumaliza masomo pia ufauru kupata kazi.Mungu akutangulie.Najisikia furaha sana mtu anapozungumzia shule za kata nakufanikiwa kufauru masomo yake.

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana37002 жыл бұрын

    Hongera sana kijana

  • @jandreamk
    @jandreamk2 жыл бұрын

    Congrats 👊🏽

  • @jesicaayo5641
    @jesicaayo56412 жыл бұрын

    👏👏hongera sana kijana

  • @florencemsigala6549
    @florencemsigala65492 жыл бұрын

    Hongera mwanangu Mungu akulinde na kukutunza ufike mbele zaidi

  • @laylapagae6324

    @laylapagae6324

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Hongera sana dogo🙏🙏

  • @nipautago8574
    @nipautago85742 жыл бұрын

    Hongera sana!

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH barik

  • @edmundkaziri6672
    @edmundkaziri66722 жыл бұрын

    Kaka hongera sana. Mzumbe fam✊🏾

  • @fadhilimboya8090

    @fadhilimboya8090

    2 жыл бұрын

    Ahsante sana kaka.

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo65102 жыл бұрын

    Congratulations broo👏

  • @gracejulius3966
    @gracejulius39662 жыл бұрын

    Hongera Kijana

  • @upendosr
    @upendosr2 жыл бұрын

    Hongera kwako

  • @MultiSide
    @MultiSide2 жыл бұрын

    hongera

  • @roggersnathan2592
    @roggersnathan25922 жыл бұрын

    Kawatafuteni vijana wa Tabora boys muwahoji acheni matabaka

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula56952 жыл бұрын

    Lifestyle yake tu inatosha kwa hatua aliyo fika maana ingekuwa vyema kama ingetokea kwa watu ambao maisha Yao ni ya kubahatisha apo ingekuwa ni mfano wa kuiga sio kwa hawa mboga saba 😃

  • @emmanuelshayo4703

    @emmanuelshayo4703

    2 жыл бұрын

    Uwe na life style kama hii halafu usifaulu kwa kiwango cha juu! Si nitakupiga bastola nikuue.

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelshayo4703 haaaaaa nimecheka mno

  • @hanirashuwesu4239

    @hanirashuwesu4239

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelshayo4703 😂😂😂😂

  • @mariandesario6468

    @mariandesario6468

    2 жыл бұрын

    Jamani wangapi wanatoka familia bora na wanafeli? Wengine wanaishia kuwa mateja! Hongera kwake sana sanaàaa

  • @claudyjrjunior8610

    @claudyjrjunior8610

    2 жыл бұрын

    Life la kusoma na life style ya nyumbani inachangia sana

  • @nicholausdominic9218
    @nicholausdominic92182 жыл бұрын

    Mungu mwema sana!! Kaona tulipotokaa !! Tuwakilishee🙏

  • @funnymeiz4909

    @funnymeiz4909

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @hassanmugire1497

    @hassanmugire1497

    2 жыл бұрын

    Hongera kaka

  • @amlikejacob6565

    @amlikejacob6565

    2 жыл бұрын

    Sio poa mwanangu

  • @odrianinicolaus5353
    @odrianinicolaus53532 жыл бұрын

    Huyu Kijana ana nidhamu sana kwa muonekano na anamtaja Mungu katika kila Sentesi.

  • @musicheals1545
    @musicheals15452 жыл бұрын

    Wakishuaaa sana chaliii...

  • @florameza1028
    @florameza10282 жыл бұрын

    Tunafurahiaa na kushangilia shughuli ni kupata KAZI Mungu saidia watoto wako

  • @zalubiasalim240
    @zalubiasalim2402 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @gadiusjoely5503
    @gadiusjoely55032 жыл бұрын

    Hongera pia pole sana maana maisha yenu uwa yanakuwa magumu sana kwa mfumo wanchi hii

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    2 жыл бұрын

    hawezi elewa

  • @mcback4384

    @mcback4384

    2 жыл бұрын

    Kwa namna anavyoishi na ni mwanafunzi ana maisha mazuri huenda usije kuyapata mpaka unakufa

  • @elizabertjackson7944
    @elizabertjackson79442 жыл бұрын

    wamarangu hoyeeeeeeeeeeeeeeee

  • @giftgodwin8748
    @giftgodwin87482 жыл бұрын

    Kajitahid Sana kinoma noma

  • @c75923
    @c759232 жыл бұрын

    Ndugu mwandishi leo afadhali kaja na Ka script Ka kudesa ili asiulize yale maswali yake ya ki zero brain Ha Ha haaaa safi sana 👏🏾👍

  • @mkingasana400
    @mkingasana4002 жыл бұрын

    Safi

  • @laurenmselletv4280
    @laurenmselletv42802 жыл бұрын

    Hata mm nlikuwa vizuri ila shida viporo na kwenda shule bila kula ndo kulifanya bora yaishe

  • @amlikejacob6565
    @amlikejacob65652 жыл бұрын

    😂😂oyaaa mzee baba tuwakilishe uko mzee umeupiga mwingi sana

  • @edmundkaziri6672

    @edmundkaziri6672

    2 жыл бұрын

    😂hatari sana kaka ametisha

  • @amlikejacob6565

    @amlikejacob6565

    2 жыл бұрын

    @@edmundkaziri6672 sio poa mzee the guy anajua kuongea fresh sana😂✊

  • @nicholausdominic9218

    @nicholausdominic9218

    2 жыл бұрын

    Nomaaa😂🔥🔥

  • @marthagabriel3417
    @marthagabriel34172 жыл бұрын

    Top ten hayupo wavulana wametupwa sana

  • @abdulazizshehe4521
    @abdulazizshehe45212 жыл бұрын

    Daaah sjui tumwambie au tumuache Genius it's not about grades it's mindset..Watu wana GPA 5/5 wanakuwa vilazaa

  • @harunajackson9608
    @harunajackson96082 жыл бұрын

    Nyayoo

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau25852 жыл бұрын

    Kudra za mwenyezi Mungu

  • @michaelboaz8108
    @michaelboaz81082 жыл бұрын

    Safi kijana

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk3 ай бұрын

    Inshallah

  • @karimjuma4019
    @karimjuma40192 жыл бұрын

    Mtangazaji kilaza sana haulizi jina Kwa mtu anaemhoji yupoyupo tu

  • @jumakhamis8208

    @jumakhamis8208

    2 жыл бұрын

    Mbn jina limetajwa

  • @minjesha

    @minjesha

    2 жыл бұрын

    Nilifikiri nimeona mwenyewe, hata hayo maswali yake tu hayavutii, kwa ujumla hajui kuhoji

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    2 жыл бұрын

    @@minjesha Hana taaluma ya uandishi

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    1 au 0 zote Ni namba.... Maisha Ni mapambano... Mapambano bado yanaendelea.... Maisha ndio kipimo Cha mtihani hapa duniani

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    2 жыл бұрын

    Hahahahaha nimependa

  • @abdulrazakhassanor498

    @abdulrazakhassanor498

    2 жыл бұрын

    safi sana kifaa chochote kinachotumia utashi wa computer hakiwezi kufanya kazi bila ya 1 na 0

  • @lucydavie718

    @lucydavie718

    2 жыл бұрын

    Wivu tu, itakuwa ulipata zero

  • @abdulrazakhassanor498

    @abdulrazakhassanor498

    2 жыл бұрын

    @@lucydavie718 hiv namba sifuri aligundua nani vile

  • @christinachriss9231

    @christinachriss9231

    2 жыл бұрын

    Punguza makasiriko

  • @kamanda007
    @kamanda0072 жыл бұрын

    Kijana kasome medicine (udaktari), biomedical is ok lakini medicine is everything, all the best

  • @hilaliabousalim2715
    @hilaliabousalim27152 жыл бұрын

    Hiyo Mawenzi siifahamu lakini mzumbe sio shule ya kuibeza

  • @lukamkogwe6252
    @lukamkogwe62522 жыл бұрын

    20 yrs

  • @cymone6159
    @cymone61592 жыл бұрын

    Halafu msomi kweli pia anamfahamu Mungu

  • @jumayusuph4533
    @jumayusuph45332 жыл бұрын

    Pin point📌📌Mazingira yasikubadilishe wewe..Wewe ndo ubadili mazingila.

  • @mamafloraofficial4315
    @mamafloraofficial43152 жыл бұрын

    Mawenzi sec ya 2007 nyoosheni vidole juu

  • @kassebo
    @kassebo2 жыл бұрын

    #Genus.

  • @philipmakupa5662
    @philipmakupa56622 жыл бұрын

    aisee ndugu mtangazaji mawenzi sec na mzumbe sio shule za kata.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60012 жыл бұрын

    Hawa tulikua tunawaita JON KISOMO...!

Келесі