GENIUS HAJAWAHI PATA ZERO, KOTE KASOMA KATA, FORM FOUR DIV. 1.7, SIX DIV 1.3
Leo nakukutanisha na Mwanafunzi ambaye amepata Division One ya 3 katika mayokeo yaliyotangazwa leo na NECTA, Fadhili John Mboya ana umri wa miaka 20 katika maisha yake ya kusoma yote amesoma Shule za Serikali maarufu za Kata, Primary, Olevel alisoma mawenzi ambapo alipata division one ya 7, akaenda Mzunbe ambapo leo amepata One ya 3, Fadhili anatueleza amepokeaje matokeo na safari yake itakuaje.
Пікірлер: 310
Ila watu wanaokuaga na akili sana wanaringaga ila naona huyu yuko humble sana anamshukuru Mungu kwa kila neno analotoa mwenyez Mungu amsimamie kulikobak
@laylapagae6324
2 жыл бұрын
Amiin
Eeeh Mungu naomba watoto wng wawe naakir km Fadhili
Daah maisha inamruhusu ingekuw ni sisi tuliosoma unavaa kiatu mwaka soksi mwaka ikitoboka🤣 unageuza rangi ya viatu napaka unga wa bettry ile nyeusi unarudi nyumbn humkuti mtu Wala chakula daaah sitosahau jameni ila Asant mungu now I have a good life I don't forget this memories 🤔🤔
Wow that's awesome Mungu ndio kila kitu. Congratulations Brother 🙏
Hongeren sana mliofaulu wote.. IMkimaliza na elimu ya Juu Mkumbuke kuwa Kuna Elimu ya Mtaani Tuweke akili hiloo..
@kakaaignas3675
2 жыл бұрын
Hatar
Mazingira mazuri,yanachochea,sijawai kuona mwanafunzi aliyetoka kwenye nyumba ya tembe,kabomoa,so far ongera kwake coz,ametumia oppotunity ya kwao vizur.
Safi sanaa dogo ata mimi pia nmepita mzumbe secondary advance na leo ni mining engineer well done mzumbe moto wetu nakumbuka wkt nipo ulkua ni kupiga msuli yatima yaani unasoma bila kujihurumia ni kupiga buku tuh lkn kitu kzuriii pepa za ndani kama gejing ni ngumu mnoo adi mtu unajiona labda hamna kitu kumbe inakujengea hali ya kutorizika pepa ya necta ikija unaona wastani tuh so kupata one inakua kugusa huu utamaduni ni mzuri sanaaa
Kusoma ni mazingira,,, ata maisha anayotoka yanajieleza.. despite of jitihada binafs, all in all hongera sana kijana..
@abasihussein1166
Жыл бұрын
Ww ndo umeongea point
Masha'Allah Tabarakallah mwenyeez Mungu akuzidishie kila la kheri Insha'Allah uendelee hivyo hivyo. Mwenyeez Mungu akuondoshee hasad.
@laylapagae6324
2 жыл бұрын
Amiin
@ashgothey
2 жыл бұрын
Ameen
Mungu akusaidie ....huko uendako u deserve it bro umepambana sana
Mawenzi sekondari na Mzumbe sio shule ya kata mkuu. Ni special school kana ulikuwa hujui... Hongera sana mangi kwa matokeo mazuri umetujengea heshima kubwa.
@ismailmajala2802
2 жыл бұрын
amemaanisha ni mtoto wa familia bora ila ametokea humo humo
@brendakavishe3320
2 жыл бұрын
Mawenzi sio Kata yes.Mawenzi ni shule kubwa kimkoa
@joachimshirima5578
2 жыл бұрын
Nimesoma mawenzi sec bila juhudi binafsi hutoki mzee.. huyu mtoto ni hatari... Mbaya zaidi kasoma shaurimoyo majengo palivyo choka mitoto ya kwamtei pale na akapata A flat... Ifike mahali mumpe heshima yake
@tillahmboya6582
2 жыл бұрын
@@joachimshirima5578 umeonaee nimesoma mawenzi pia bila juhudi zako ni ziiii hongera mdogoangu 👏👏👏
@ahmadally2437
6 ай бұрын
Mzee izo special school kama mzumbe, ilboru na kadhalika bila msuli hutoboi hakuna kufundishwa kivile,,kijana kapambana aisee pia jah amebless
Mwanafunzi wangu huyu Congratulations boy
kaka hongera sana #mzumbefamily are proud of you
Huyu mwamba hatari sana. Ukiangalia matokeo yake anatisha kwasababu ana A zote kuanzia Mtihani wa Shule ya Msingi hadi Form 6. Msimchululie poa. Hao walio 10 Bora ukitafuta matokeo yao ya Darasa la saba na Form 4 hawamkamagi huyu bro. Hongera Sana Genius wangu wa Mlongo huu.
@abdulkilufi9230
2 жыл бұрын
Tunamkaribisha MUHAS
@yoootang621
2 жыл бұрын
Ni Mungu tu . Si kwa uwezo wake
@kareemabdallah6693
2 жыл бұрын
@@abdulkilufi9230 Pale ndo center ya Ukaguzi wa ma TO
@gibsonjosephat6352
2 жыл бұрын
Kama ni Mungu wewe unashetani? Acha zako Mungu kafanya upande wake kumpa akili yeye kaweka kuhudi tena kubwa
@yoootang621
2 жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352 Mjinga tu ww . Kwan wengine awakupewa akili ?!! Yeye kupewa akili na uwezo wa kufaulu na afya kwa ujumla na Baraka zake . That's what we call God himself. Mfano Samson zile nguvu bila Mungu kumpatia ?!! Au Solomon kuwa na akili zaidii ya watu wengine?!!! Kifupi ni Baraka za Mungu juu yake . Just don't be a small minded person. Vp ww ukufanya juhudiii ??? Mwaka gan ulimaliza tuone matokeo Yako ?!? Na hizo juhudiii
MashaaAllah tabaraka Rahman 👏
Hongerah. Ila waandishi muwe mnafabya utafiti yeye hajadoma shule za kata ni za serikali. Na ni za,zamani. Za kata zimeanza kwenye 2000s
Hongera Kijana Kwa kutusua. Mungu aendelee kukupa Heri Huko mbele ya Safari yako ya Elimu. Ukiweza nakushauri usome BscMD uwe human Doctor
Hongera kwake kijana, bila shaka alipata full support kutoka kwa familia yake maana kwa mazingira hayo ni jamii inayojimudu
Kupasi sawa umepasi mwanangu sasa hongera kazi kuja kupata kazi
Hongera sana dogo pambana taifa linakuhitaji
MashaALLAH
Hongeraa sana mdogo wangu .Mungu akutangulee
Mashaallah, hongera sana
Congratulations budaa
Hongera sana mdogo wangu
Hongera sana mdg angu Mungu akutangulie katika ndoto zako
Very genius and intelligent
Bravo! Mungu Akusaidie pia kwenye elimu ya juu. Bwana Yesu akulinde.
@fredrickpaschal459
2 жыл бұрын
Yuko innovative au mark scheme ya kujibu mtihani tu
Well done Mr Actually!
Kweli uyu dogo yuko vzr sana kaupiga mwingi sana
Nyumba yao tu MashaaAllah
Well done, endelea kumtegemea Mungu
Nashukuru kwa comments zenu Nimemaliza PCM Mzumbe Secondary
@mcback4384
2 жыл бұрын
Hongera sana kijana Nimekupenda namna unamshukuru Mungu Utafika mbali
@goddkito646
2 жыл бұрын
💪💪💪✍️
@azizamohamed7692
2 жыл бұрын
Hongera Sana Mungu akusimamie kwa kila jambo
@adkajisi4536
2 жыл бұрын
No. Yako tafadhali dogo.
@fadhilimboya8090
2 жыл бұрын
@@adkajisi4536 nikiweka contacts na email zinafutika, sasa sijajua nakupataje..
Congrats sana
Ubarikiwe saana Fadhili
Yuko intelligent sana na ana jielewa kweli
Wooooow hongera kijana mwenye bidii zake,nafurahi kuona unaanza na "namshukuru sana Mungu"na kuendelea kusisitiza kumshukuru Mungu,humility,God bless . Hongera sana
@cymone6159
2 жыл бұрын
Hata mimi nimeona hivyo aisee
Mungu akutangulie sana
Congratulation am soo inspired👏
Good boy!! Congratulations
Hongera kijana Ila mmefanana na mtangazaji au kaka ako
Mashaalh mungu azidi kukuwezesha
Hongeraaaaaaaaaa nyingi kwako dear
Congrats bro 👏🎉
hongera cn
Kusema shule ya kata ilikuwa ni kuvuta hadhira ifatilie story. Ila mhimu haya mambo yanachangiana mazingira wezeshi+ubongo usio na hitilafu+ jitihada au bidii ya mhusika= excellent. Best yangu alitokea mazingira duni+ kupoteza wazazi wote+ ndugu kutomsapoti= A masomo yote kwa A-Level.
Maisha yako yenyewe tu kufaulu tosha unaishi pazuri ivyo kufeli kujitakia mungu azidi kukusimamia mtoto mzuri usibadilike usiige maisha ya wengine unajielewa sana
Hongera-Mwanamke Kongole-Mwanaume
Mungu akuongoze kwa kila jambo🙏🙏
wachagga 😎
Hongera sana MANGI👐👐
Sikujua kama wewe ni Genius kiasi hiki@Fadhil John Mboya 👊👊
Safiiiii dogo Hongera sana
Wowo hongera sana
Keep it up brother
Mawenzi Product tunatisha sana..MAWENZI SECONDARY OYEEE
Mungu akisaidie hivyo hivyo baada yakumaliza masomo pia ufauru kupata kazi.Mungu akutangulie.Najisikia furaha sana mtu anapozungumzia shule za kata nakufanikiwa kufauru masomo yake.
Hongera sana kijana
Congrats 👊🏽
👏👏hongera sana kijana
Hongera mwanangu Mungu akulinde na kukutunza ufike mbele zaidi
@laylapagae6324
2 жыл бұрын
Amiin
Hongera sana dogo🙏🙏
Hongera sana!
Mashallah ALLAH barik
Kaka hongera sana. Mzumbe fam✊🏾
@fadhilimboya8090
2 жыл бұрын
Ahsante sana kaka.
Congratulations broo👏
Hongera Kijana
Hongera kwako
hongera
Kawatafuteni vijana wa Tabora boys muwahoji acheni matabaka
Lifestyle yake tu inatosha kwa hatua aliyo fika maana ingekuwa vyema kama ingetokea kwa watu ambao maisha Yao ni ya kubahatisha apo ingekuwa ni mfano wa kuiga sio kwa hawa mboga saba 😃
@emmanuelshayo4703
2 жыл бұрын
Uwe na life style kama hii halafu usifaulu kwa kiwango cha juu! Si nitakupiga bastola nikuue.
@ukhutfatumah1154
2 жыл бұрын
@@emmanuelshayo4703 haaaaaa nimecheka mno
@hanirashuwesu4239
2 жыл бұрын
@@emmanuelshayo4703 😂😂😂😂
@mariandesario6468
2 жыл бұрын
Jamani wangapi wanatoka familia bora na wanafeli? Wengine wanaishia kuwa mateja! Hongera kwake sana sanaàaa
@claudyjrjunior8610
2 жыл бұрын
Life la kusoma na life style ya nyumbani inachangia sana
Mungu mwema sana!! Kaona tulipotokaa !! Tuwakilishee🙏
@funnymeiz4909
2 жыл бұрын
Kabisa
@hassanmugire1497
2 жыл бұрын
Hongera kaka
@amlikejacob6565
2 жыл бұрын
Sio poa mwanangu
Huyu Kijana ana nidhamu sana kwa muonekano na anamtaja Mungu katika kila Sentesi.
Wakishuaaa sana chaliii...
Tunafurahiaa na kushangilia shughuli ni kupata KAZI Mungu saidia watoto wako
Mashaallah
Hongera pia pole sana maana maisha yenu uwa yanakuwa magumu sana kwa mfumo wanchi hii
@adkajisi4536
2 жыл бұрын
hawezi elewa
@mcback4384
2 жыл бұрын
Kwa namna anavyoishi na ni mwanafunzi ana maisha mazuri huenda usije kuyapata mpaka unakufa
wamarangu hoyeeeeeeeeeeeeeeee
Kajitahid Sana kinoma noma
Ndugu mwandishi leo afadhali kaja na Ka script Ka kudesa ili asiulize yale maswali yake ya ki zero brain Ha Ha haaaa safi sana 👏🏾👍
Safi
Hata mm nlikuwa vizuri ila shida viporo na kwenda shule bila kula ndo kulifanya bora yaishe
😂😂oyaaa mzee baba tuwakilishe uko mzee umeupiga mwingi sana
@edmundkaziri6672
2 жыл бұрын
😂hatari sana kaka ametisha
@amlikejacob6565
2 жыл бұрын
@@edmundkaziri6672 sio poa mzee the guy anajua kuongea fresh sana😂✊
@nicholausdominic9218
2 жыл бұрын
Nomaaa😂🔥🔥
Top ten hayupo wavulana wametupwa sana
Daaah sjui tumwambie au tumuache Genius it's not about grades it's mindset..Watu wana GPA 5/5 wanakuwa vilazaa
Nyayoo
Kudra za mwenyezi Mungu
Safi kijana
Inshallah
Mtangazaji kilaza sana haulizi jina Kwa mtu anaemhoji yupoyupo tu
@jumakhamis8208
2 жыл бұрын
Mbn jina limetajwa
@minjesha
2 жыл бұрын
Nilifikiri nimeona mwenyewe, hata hayo maswali yake tu hayavutii, kwa ujumla hajui kuhoji
@karimjuma4019
2 жыл бұрын
@@minjesha Hana taaluma ya uandishi
1 au 0 zote Ni namba.... Maisha Ni mapambano... Mapambano bado yanaendelea.... Maisha ndio kipimo Cha mtihani hapa duniani
@happylynguya3464
2 жыл бұрын
Hahahahaha nimependa
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
safi sana kifaa chochote kinachotumia utashi wa computer hakiwezi kufanya kazi bila ya 1 na 0
@lucydavie718
2 жыл бұрын
Wivu tu, itakuwa ulipata zero
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
@@lucydavie718 hiv namba sifuri aligundua nani vile
@christinachriss9231
2 жыл бұрын
Punguza makasiriko
Kijana kasome medicine (udaktari), biomedical is ok lakini medicine is everything, all the best
Hiyo Mawenzi siifahamu lakini mzumbe sio shule ya kuibeza
20 yrs
Halafu msomi kweli pia anamfahamu Mungu
Pin point📌📌Mazingira yasikubadilishe wewe..Wewe ndo ubadili mazingila.
Mawenzi sec ya 2007 nyoosheni vidole juu
#Genus.
aisee ndugu mtangazaji mawenzi sec na mzumbe sio shule za kata.
Hawa tulikua tunawaita JON KISOMO...!