No video

Genge lenye silaha lawavamia wakazi wa Kisauni

Kijana mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa kwa tuhuma za shambulizi lililomwacha mwanamke mmoja akiuguza majeraha katika zahanati moja Kisauni kaunti ya Mombasa.

Пікірлер: 14