GEAH HABIBU AFUNGUKA MAKUBWA KUHUSU MWIJAKU, UGUMU WA KUFANYA NAE KAZI

Пікірлер: 42

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 Жыл бұрын

    Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo

  • @hamidahamis4537
    @hamidahamis4537 Жыл бұрын

    Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Жыл бұрын

    Kumbe ndugu mashaallah 🥰

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Жыл бұрын

    Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole

  • @bahakyejo3800

    @bahakyejo3800

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @dafemadafema1365

    @dafemadafema1365

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @BobMikwara
    @BobMikwara Жыл бұрын

    Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Жыл бұрын

    Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi

  • @ashuraomar4935

    @ashuraomar4935

    Жыл бұрын

    Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa

  • @abednego3876
    @abednego3876 Жыл бұрын

    Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Жыл бұрын

    Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Жыл бұрын

    Mimi mwenyewe nampenda sana zai

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Жыл бұрын

    Ndomana mme fanana sana

  • @consolatatemu8613

    @consolatatemu8613

    Жыл бұрын

    Ndugu yake mtoto wa baba yake mkubwa

  • @sofina157
    @sofina157 Жыл бұрын

    Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai

  • @irakozeaisha3308
    @irakozeaisha3308 Жыл бұрын

    Mashaallah kumbe mwee ni ndugu

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 Жыл бұрын

    Kumbe ndugu 😍😍😍

  • @norascoseggere9181
    @norascoseggere9181 Жыл бұрын

    Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali

  • @evaristmrope
    @evaristmrope Жыл бұрын

    Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Жыл бұрын

    Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..

  • @teedullah5708
    @teedullah57087 ай бұрын

    Ooh kumbe ni ddko

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Жыл бұрын

    Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo

  • @r9ayyansaid652

    @r9ayyansaid652

    Жыл бұрын

    Hata mie

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Жыл бұрын

    Mmefanana hata hivyoo

  • @ttss7716
    @ttss7716 Жыл бұрын

    Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Love you Gea

  • @madaraka5290
    @madaraka5290 Жыл бұрын

    Zai anastahili hiyo tuzo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын

    lakini kweli Geah na Zai wanafanana

  • @gaspamgasa2366
    @gaspamgasa2366 Жыл бұрын

    Ka geah kazuri jmn

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Жыл бұрын

    Gea Habib

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk

  • @ramajuma4063
    @ramajuma4063 Жыл бұрын

    Mwandishi please

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Жыл бұрын

    Mtangazaji mbea

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын

    Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @abrahambirech4187
    @abrahambirech4187 Жыл бұрын

    Uliza maswali ya Msingi mwandishi

  • @Official83640
    @Official83640 Жыл бұрын

    Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Mtangazaji acha umbea

  • @mariamunika6239
    @mariamunika6239 Жыл бұрын

    Nilihisi ivyo kiukweli

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Zai kama zai

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    sasa mambo ya mwijaku. yamefikaje?

Келесі