GEAH HABIBU AFUNGUKA MAKUBWA KUHUSU MWIJAKU, UGUMU WA KUFANYA NAE KAZI
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@kitonekantasha1687 Жыл бұрын
Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo
@hamidahamis4537 Жыл бұрын
Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai
@sharifahabsi5004 Жыл бұрын
Kumbe ndugu mashaallah 🥰
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole
@bahakyejo3800
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@dafemadafema1365
Жыл бұрын
Kweli
@BobMikwara Жыл бұрын
Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂
@azizaabeid2055 Жыл бұрын
Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi
@ashuraomar4935
Жыл бұрын
Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa
@abednego3876 Жыл бұрын
Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman
@stelamwakatulile2455 Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nampenda sana zai
@OmanOman-bx5du Жыл бұрын
Ndomana mme fanana sana
@consolatatemu8613
Жыл бұрын
Ndugu yake mtoto wa baba yake mkubwa
@sofina157 Жыл бұрын
Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai
@irakozeaisha3308 Жыл бұрын
Mashaallah kumbe mwee ni ndugu
@pendobaharia5598 Жыл бұрын
Kumbe ndugu 😍😍😍
@norascoseggere9181 Жыл бұрын
Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali
@evaristmrope Жыл бұрын
Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣
@sifamushi1747 Жыл бұрын
Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..
@teedullah57087 ай бұрын
Ooh kumbe ni ddko
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo
@r9ayyansaid652
Жыл бұрын
Hata mie
@ashurakiswamba7085 Жыл бұрын
Mmefanana hata hivyoo
@ttss7716 Жыл бұрын
Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Love you Gea
@madaraka5290 Жыл бұрын
Zai anastahili hiyo tuzo
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
lakini kweli Geah na Zai wanafanana
@gaspamgasa2366 Жыл бұрын
Ka geah kazuri jmn
@mustaphasegeja1712 Жыл бұрын
Gea Habib
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk
@ramajuma4063 Жыл бұрын
Mwandishi please
@hijamwinyi3233 Жыл бұрын
Mtangazaji mbea
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae
@marthageorge5043 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@abrahambirech4187 Жыл бұрын
Uliza maswali ya Msingi mwandishi
@Official83640 Жыл бұрын
Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa
Пікірлер: 42
Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo
Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai
Kumbe ndugu mashaallah 🥰
Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole
@bahakyejo3800
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@dafemadafema1365
Жыл бұрын
Kweli
Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂
Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi
@ashuraomar4935
Жыл бұрын
Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa
Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn
Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio
Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman
Mimi mwenyewe nampenda sana zai
Ndomana mme fanana sana
@consolatatemu8613
Жыл бұрын
Ndugu yake mtoto wa baba yake mkubwa
Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai
Mashaallah kumbe mwee ni ndugu
Kumbe ndugu 😍😍😍
Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali
Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣
Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..
Ooh kumbe ni ddko
Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo
@r9ayyansaid652
Жыл бұрын
Hata mie
Mmefanana hata hivyoo
Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆
Love you Gea
Zai anastahili hiyo tuzo
lakini kweli Geah na Zai wanafanana
Ka geah kazuri jmn
Gea Habib
Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk
Mwandishi please
Mtangazaji mbea
Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae
🔥🔥🔥🔥
Uliza maswali ya Msingi mwandishi
Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa
Mtangazaji acha umbea
Nilihisi ivyo kiukweli
Zai kama zai
sasa mambo ya mwijaku. yamefikaje?