FULL MATCH HIGHLIGHTS : ZAMBIA 1-1 TANZANIA
Спорт
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
Пікірлер: 46
What a powerful header from Patson Daka!!! Classic!!! Indeed, such a wonderful header could only come from someone from the EPL... 🎉❤😍😘🥰💪💪🥰
Tunaenda kumchapa Congo mungu hawez kututupa mara zote nitarudia comment hi baada ya mchezo na congo
@EdwinChindia-gs3ef
4 ай бұрын
Mungu kawatupa au wenyewe mwajitupa, come on 😢
@luckygmdegela8477
4 ай бұрын
@@wisedupshop2731acha dharau
@luckygmdegela8477
4 ай бұрын
safi mzalendo wa kweli
@nesbitmiriti4366
4 ай бұрын
Kwani congo huabudu shetani?🤔🤔kazi ipo😂
@bellenoe414
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Kibu denis n bonge la player❤❤
Félicitations wa Tanzanie
Taifa star Bado Sana
mmepambana sana ,, mtafanya vizuri zaid mchezo ujao
Tumecheza vzur sana first half
tumejitahidi sio mbaya sana
Tanzania waooo
Kazitumeio mmepambana mungu atuvushe mechi ijayo huenda tukafurahi mwisho hata hiki sihaba
Very good wa Tanzania
Timu imeshinda goli moja tuna relax tunacheza pasi za nyuma badala ya kupiga pasi ndefu halafu pasi za nyuma zenyewe tunatoa maboko dah bora kushabikia tumu za wana wake katima mashindano makubwa kama haya maana wana tuwakilisha vyema
Mbola na lesa
Sisi ni VIGODORO na VIDUKU, lkn MPIRA hatuwezi....!..ujinga mwingi..!
Taifa star nikichwa cha mwenda wazimu mimi ni mshabiki wa yanga na senegal
Sisi kweli kichwa cha mwendawazimu.Licha ya jamaa kuwa pungufu uwanjani lakini tumeshindwa kuwafunga.
good
Hizi substitution, bench liwe makini ,ukimtoa Kibu ni kama umeloga timu, acha akomae mpaka mwisho anabahati huyoo.
Refa hakutenda haki kabisa kwa kadi nyekundu
DRC must beat Tanzania in order to stay!
@hassanbulla8262
4 ай бұрын
If beating is just easy as you think, then people coudn't have been loosing bet
Piga hawoooo
Mchezo ulikuwa wetu tushinde lakini wachezaji hawajitambui na sijui kwa nini makocha waliwacha watoe back passes nyingi bila kushambulia kwa nguvu. . Timu ilicheza kama wameongoza goli 4-0. Walizinduka baada ya Zambia kusawazisha. What a mess🙈🙈
kona ya chama imetuua waTz😢😢😢
Wachezaji badala ya kukimbiza mpira mbele kushambulia,eti wanapiga passes nyuma,,kwa kweli ni kichwa cha mwenda wazimu😢😢😢
Mgunda kocha wa Boli
Hamijapigwa, munsubiri kupigwa
Congo 6-0
Kocha anahojiwa anasema tulijua mchezo utakuwa mgumu baada ya zambia kuwa pungufu c'mon coach what are you talking about?😮😮
Ss watanzania tunajifanya na. Ss walabu oasi zanyuma kuliko mbele nakicha anaona yupi kimya tu
Sasa hawa pungufu tumewashindwa tuta waweza drc hawa hapa ndipo tulipo takiwa kumaliza game mapema tu
Mwali shuka ba mwachiusa, muletola nobwapona.
Umakini tu ulikuwa haupo gemu ilikuwa yetu Tanzania
Amazing to see Countries like Tanzania Qualify for CAF na Kenya Siasa tu nyingi na maendeleo hakuna.😢
hii tabia ya kuwa tunawakilishwa na watu wasiyo na uwezo tunaaibika wote si sawa. Wachezaji wanachezea jikoni tuuuuuu!!!! inamaana hawaoni wenzao? wapimwe akili
Unawaita wachezaji kutoka nje alafu unapanga walewale wakila siku xaxa tumewaitia nini. Inatakiwa mahamuzi magumu ili tufanikiwe
@afterfull-time1348
4 ай бұрын
Mbona wabongo siwaelewi😅😅😅
NCHI HII TIMU YA TAIFA INATUKANISHA KWAKUA HAWAJUI MAANA YA KUFUNGWA NI MATUSI 1.NCHI IMEJAA MAMBUMBUMBU 2.WAVIVU 3.TUNAKULA KWA KUBANGAIZA
Mfumo wa taifa staa bado saana tena saana mchezo wakurudisha nyuma mpra unapo utumia hakikisha wachezaji wawe nauwezo wa kupiga mipra ya pasi ndefu na pili wachezaji wawe na uwezo mkubwa mipira ya mbio 7bu unapocheza mpira wa kujilinda basi tambua unampa adui nafasi ya kukushambulia hivyo basi ni wazi kabisa mfumo wa mchezo huo hatuna uwezo nao na baado hatubadiliki
Kiukweli nimeamini hapa hatuna timu watu pungufu lakini wametufunga sisi ni ndugu wasindikizaji tu miaka yote