FULL MATCH HIGHLIGHTS : ZAMBIA 1-1 TANZANIA

Спорт

Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)

Пікірлер: 46

  • @kenchanda8592
    @kenchanda85924 ай бұрын

    What a powerful header from Patson Daka!!! Classic!!! Indeed, such a wonderful header could only come from someone from the EPL... 🎉❤😍😘🥰💪💪🥰

  • @user-bl7ex4ld6x
    @user-bl7ex4ld6x4 ай бұрын

    Tunaenda kumchapa Congo mungu hawez kututupa mara zote nitarudia comment hi baada ya mchezo na congo

  • @EdwinChindia-gs3ef

    @EdwinChindia-gs3ef

    4 ай бұрын

    Mungu kawatupa au wenyewe mwajitupa, come on 😢

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    4 ай бұрын

    ​@@wisedupshop2731acha dharau

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    4 ай бұрын

    safi mzalendo wa kweli

  • @nesbitmiriti4366

    @nesbitmiriti4366

    4 ай бұрын

    Kwani congo huabudu shetani?🤔🤔kazi ipo😂

  • @bellenoe414

    @bellenoe414

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time13484 ай бұрын

    Kibu denis n bonge la player❤❤

  • @user-ez9lj3ye1u
    @user-ez9lj3ye1uАй бұрын

    Félicitations wa Tanzanie

  • @YoungsterMasaleni
    @YoungsterMasaleni4 ай бұрын

    Taifa star Bado Sana

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84774 ай бұрын

    mmepambana sana ,, mtafanya vizuri zaid mchezo ujao

  • @abrahmannassor4259
    @abrahmannassor42594 ай бұрын

    Tumecheza vzur sana first half

  • @jebace
    @jebace4 ай бұрын

    tumejitahidi sio mbaya sana

  • @HalimaSuleiman-kt5wi
    @HalimaSuleiman-kt5wi4 ай бұрын

    Tanzania waooo

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp4 ай бұрын

    Kazitumeio mmepambana mungu atuvushe mechi ijayo huenda tukafurahi mwisho hata hiki sihaba

  • @user-eh5lr4dk6l
    @user-eh5lr4dk6l4 ай бұрын

    Very good wa Tanzania

  • @omarysaid8725
    @omarysaid87254 ай бұрын

    Timu imeshinda goli moja tuna relax tunacheza pasi za nyuma badala ya kupiga pasi ndefu halafu pasi za nyuma zenyewe tunatoa maboko dah bora kushabikia tumu za wana wake katima mashindano makubwa kama haya maana wana tuwakilisha vyema

  • @user-jn8cr8ei1u
    @user-jn8cr8ei1u4 ай бұрын

    Mbola na lesa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60014 ай бұрын

    Sisi ni VIGODORO na VIDUKU, lkn MPIRA hatuwezi....!..ujinga mwingi..!

  • @NANGATV123
    @NANGATV1234 ай бұрын

    Taifa star nikichwa cha mwenda wazimu mimi ni mshabiki wa yanga na senegal

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki54424 ай бұрын

    Sisi kweli kichwa cha mwendawazimu.Licha ya jamaa kuwa pungufu uwanjani lakini tumeshindwa kuwafunga.

  • @kevinchavatusti2016
    @kevinchavatusti20164 ай бұрын

    good

  • @FanuelChilale
    @FanuelChilale4 ай бұрын

    Hizi substitution, bench liwe makini ,ukimtoa Kibu ni kama umeloga timu, acha akomae mpaka mwisho anabahati huyoo.

  • @aikaM74
    @aikaM744 ай бұрын

    Refa hakutenda haki kabisa kwa kadi nyekundu

  • @rickymwamba9681
    @rickymwamba96814 ай бұрын

    DRC must beat Tanzania in order to stay!

  • @hassanbulla8262

    @hassanbulla8262

    4 ай бұрын

    If beating is just easy as you think, then people coudn't have been loosing bet

  • @lusekelohaonga5263
    @lusekelohaonga52634 ай бұрын

    Piga hawoooo

  • @shantungamaumba7159
    @shantungamaumba71594 ай бұрын

    Mchezo ulikuwa wetu tushinde lakini wachezaji hawajitambui na sijui kwa nini makocha waliwacha watoe back passes nyingi bila kushambulia kwa nguvu. . Timu ilicheza kama wameongoza goli 4-0. Walizinduka baada ya Zambia kusawazisha. What a mess🙈🙈

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time13484 ай бұрын

    kona ya chama imetuua waTz😢😢😢

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale3744 ай бұрын

    Wachezaji badala ya kukimbiza mpira mbele kushambulia,eti wanapiga passes nyuma,,kwa kweli ni kichwa cha mwenda wazimu😢😢😢

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time13484 ай бұрын

    Mgunda kocha wa Boli

  • @PascalJames-my2oe
    @PascalJames-my2oe4 ай бұрын

    Hamijapigwa, munsubiri kupigwa

  • @user-df6ke7rh9i
    @user-df6ke7rh9i4 ай бұрын

    Congo 6-0

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale3744 ай бұрын

    Kocha anahojiwa anasema tulijua mchezo utakuwa mgumu baada ya zambia kuwa pungufu c'mon coach what are you talking about?😮😮

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah46414 ай бұрын

    Ss watanzania tunajifanya na. Ss walabu oasi zanyuma kuliko mbele nakicha anaona yupi kimya tu

  • @omarysaid8725
    @omarysaid87254 ай бұрын

    Sasa hawa pungufu tumewashindwa tuta waweza drc hawa hapa ndipo tulipo takiwa kumaliza game mapema tu

  • @ignatiusmwape4647
    @ignatiusmwape46474 ай бұрын

    Mwali shuka ba mwachiusa, muletola nobwapona.

  • @user-tq1jz3wm3f
    @user-tq1jz3wm3f4 ай бұрын

    Umakini tu ulikuwa haupo gemu ilikuwa yetu Tanzania

  • @rgouz2056
    @rgouz20564 ай бұрын

    Amazing to see Countries like Tanzania Qualify for CAF na Kenya Siasa tu nyingi na maendeleo hakuna.😢

  • @prorwega
    @prorwega4 ай бұрын

    hii tabia ya kuwa tunawakilishwa na watu wasiyo na uwezo tunaaibika wote si sawa. Wachezaji wanachezea jikoni tuuuuuu!!!! inamaana hawaoni wenzao? wapimwe akili

  • @user-qw5ke5co5b
    @user-qw5ke5co5b4 ай бұрын

    Unawaita wachezaji kutoka nje alafu unapanga walewale wakila siku xaxa tumewaitia nini. Inatakiwa mahamuzi magumu ili tufanikiwe

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    4 ай бұрын

    Mbona wabongo siwaelewi😅😅😅

  • @shabankibinda6445
    @shabankibinda64454 ай бұрын

    NCHI HII TIMU YA TAIFA INATUKANISHA KWAKUA HAWAJUI MAANA YA KUFUNGWA NI MATUSI 1.NCHI IMEJAA MAMBUMBUMBU 2.WAVIVU 3.TUNAKULA KWA KUBANGAIZA

  • @davidpaulbernard
    @davidpaulbernard4 ай бұрын

    Mfumo wa taifa staa bado saana tena saana mchezo wakurudisha nyuma mpra unapo utumia hakikisha wachezaji wawe nauwezo wa kupiga mipra ya pasi ndefu na pili wachezaji wawe na uwezo mkubwa mipira ya mbio 7bu unapocheza mpira wa kujilinda basi tambua unampa adui nafasi ya kukushambulia hivyo basi ni wazi kabisa mfumo wa mchezo huo hatuna uwezo nao na baado hatubadiliki

  • @omarysaid8725
    @omarysaid87254 ай бұрын

    Kiukweli nimeamini hapa hatuna timu watu pungufu lakini wametufunga sisi ni ndugu wasindikizaji tu miaka yote

Келесі