Full Interview na Mtoto Itham Mwenye Akili za Ajabu, Anajua Kila Kitu Kuanzia Siasa Mpaka Soka

#Mtoto #Ithan #Mahafudh, mwenye umri wa miaka miwili, ameendelea kuthibitisha #kipaji kikubwa alichonacho, akiwa na uwezo wa kuwataja karibu marais wa nchi zote duniani ambapo #Pasaka hii, alikuwa kivutio kwenye #event iliyoandaliwa na #Shilawadu ambapo alijibu maswali yote ya papo kwa hapo.
Mtoto huyo, licha ya uwezo wake wa kutaja majina ya viongozi mbalimbali, anao uwezo mkubwa wa kukariri mambo mengi kwa wakati mmoja. Mtazame zaidi hapa... bit.ly/2oOwCko
Maajabu mengine ya mtoto Ithan ni kuwa anafahamu kuendesha gari na pia anajua kutumia kompyuta na simu za kisasa yaani smartphones, kwani anao uwezo wa kuingia katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Visit globalpublishers.co.tz/
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1

Пікірлер: 437

  • @makamefoum8058
    @makamefoum80586 жыл бұрын

    Usimunyeshe kwenye mitandao binadamu wanaweza kumfanyia husda, mungu amlinde na amuongoze zaid

  • @biyambaarakallahufiikshekh9198
    @biyambaarakallahufiikshekh91983 жыл бұрын

    Mfundishe dini uyo asome Qur'an awe mwana wachuon Inshallah

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano79387 жыл бұрын

    masha allah nyie wazee mpelekeni mtoto akahifadhi Q-arun ataishi kwamisingi mema hatamkifa atawaombea duwa jamani tusihangaike na dunia

  • @jbdebbielish8483
    @jbdebbielish84836 жыл бұрын

    Genius boy God be with you... Kenyans in Saudi Arabia watching It's Only God who knows

  • @surayammanga8190
    @surayammanga81906 жыл бұрын

    Uwezo wa Mungu mtoto mdogo sana Mungu amtunze

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu54567 жыл бұрын

    mashaa Allah mpelekeni shulea ya kiisilam mtoto wenu ili ahi fadhi Qur'an ndio azina ya kweli katka maisha yenu baada ya kufa kwenu

  • @salminisalehe9417

    @salminisalehe9417

    4 жыл бұрын

    Naam Naam

  • @shummylove1084
    @shummylove10845 жыл бұрын

    Mtoto mzur Maasha Allah gonge liker apa kama angelisoma dini yake akaifadhi Cor an

  • @ayshahamsi2297
    @ayshahamsi22976 жыл бұрын

    mashallah mtto huyo inafaa mumpelek n madrassa pia kwan hyo ndo ilmu ya akhera dunian mapita n kwa mungu tutaregea

  • @juliusbryson2599
    @juliusbryson25996 жыл бұрын

    mfundishen na dini amjue mungu

  • @vanasae9823
    @vanasae98236 жыл бұрын

    Maashallah! Mola amjalie azamie kwenye swala zima la elimu.Huenda ikawa mtoto huyu akaja kuvumbua makubwa na kutatua matatizo yanayosumbua waja duniani. Inshallah! Pokeeni salam chekwa kutokea Kenya.

  • @salmaakida3485
    @salmaakida34857 жыл бұрын

    mashaalah Allah amkuuze zaid ya hapo

  • @asmakhamis498
    @asmakhamis4987 жыл бұрын

    MASHAALAH MTOTO AITHAM INATAKIWA KWA SASA AANZE MADRASA UMRI UNARUHUSU NA PIA APEKWE CHEKE CHEKEA AKAANZE ELIMU ILI UMRI UNAPOONGEZEKA AHIFADHI VITU HIVYO MUHIMU KWA AJILI YA KUJIANDAA KATIKA MAISHA YAKE HONGERENI WAZAZI KUPATA HUYO MTOTO MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU

  • @beckybeto4328
    @beckybeto43287 жыл бұрын

    Mimi najua tu president wetu wa kenya na president wa Tz hawa wengi haha sifatilii God bless you more boy

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab72387 жыл бұрын

    Ningependa sana aijue qur an ili awe katka misingi mizur ya kimaadili na aweze kwendana na maamrisho pamoja na makatazo ya MwenyezMungu. Alaf wasimnyoe km walivyofanya hapo..

  • @kudoja_fish_shop9592

    @kudoja_fish_shop9592

    7 жыл бұрын

    akiaanza tu kuran atawaza kuchinja chinja tu na kuvaa suruali njiwa

  • @nurdinahmedi8653

    @nurdinahmedi8653

    7 жыл бұрын

    william appolinary : unatombwa braza

  • @jackliineurio8099

    @jackliineurio8099

    7 жыл бұрын

    +Nurdin Ahmedi sasa mbona unatoa tusi we jitete bans usitukane

  • @anastaziuscyriacus5415

    @anastaziuscyriacus5415

    7 жыл бұрын

    nafikiri ajifunze vitu ambavyo vitamuingizia pesa...Asome elimu itakayo msaidia kuleta maendeleo ktk taifa..Mtoto n Mzalendo Tayari Huyu....Ajifunze Biblia Nafikiri

  • @hasnuhasan9577

    @hasnuhasan9577

    7 жыл бұрын

    Anastazius Cyriacus ajifunze bibilia ili aingie motoni

  • @shekilashekilaabudulha5038
    @shekilashekilaabudulha50386 жыл бұрын

    Masha allah ana kipaj kikubwa sana

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed23325 жыл бұрын

    mama maaamaaaa uyu mtoto namempenda bure nampenda sana nataman angekuwa wangu

  • @esthermutali2563
    @esthermutali25637 жыл бұрын

    His memory ability is extremely high. Such personalities excell in programming where remembering queries and commands is among the most important traits which very few humans have.

  • @eddahjulius2646
    @eddahjulius26465 жыл бұрын

    Mungu atufichie mtoto mzuri asije akatekwa

  • @gloriafrank737
    @gloriafrank7376 жыл бұрын

    Mwanangu umenishangaza sana, yaani nimefurahishwa na wewe, wazazi mtoto huyo mpeni malezi bora daima ili nyota yake iendelee kung'aa..

  • @nuruwilson9081
    @nuruwilson90813 жыл бұрын

    Bwana ndiye mchungaji wake,hakika wema na fadhili za Bwana zitamfuata siku zote za maisha yake atakuwa salama kwa jina la Yesu.

  • @muddybmuddyb8165
    @muddybmuddyb81656 жыл бұрын

    allah amlinde kwa kipaji alichomjalia inashaallah mpeleke madrasa akaijue qu-ran tukufu pa1 na mitume wake

  • @datiussemju9619
    @datiussemju96197 жыл бұрын

    this young boy is really genius according to is doing

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed88806 жыл бұрын

    very sharp mind! congrate boy.

  • @maryamomar2002
    @maryamomar20026 жыл бұрын

    Mashallah mungu amuhifathi mtoto na namuombea mungu ampe akili zaidi ya kuisoma quran inshallah l

  • @jumamrindoko5667
    @jumamrindoko56676 жыл бұрын

    vizur san axe ni genius wa ukwel

  • @shanieshallow7887
    @shanieshallow78876 жыл бұрын

    I adore him. Gods blessings

  • @laurencekb489
    @laurencekb4896 жыл бұрын

    mtoto mzuri sana mpe kazi afundishe wenzie

  • @_naimali
    @_naimali6 жыл бұрын

    Aaaw, this kid though 💕💗💗💗💗

  • @scottsanga557
    @scottsanga5576 жыл бұрын

    This is so amazing ,mm nawajua mawaziri lakini sijui kazizao,jamani heeeee uyo mtoto anifundishe mim jamaniiii.

  • @godfreydignalis163
    @godfreydignalis1636 жыл бұрын

    I pray for the family and the bright Boy Itham, May God bless him and become more successful for the help of the future generations in his growth.

  • @faridahussein4962
    @faridahussein49626 жыл бұрын

    MashaAllah mungu amuhifadhi ningefurahi umpeleke shule nzuri MashaAllah beautiful family

  • @nuurbonzo7330
    @nuurbonzo73307 жыл бұрын

    Masha allah

  • @mrsmrshassan7473
    @mrsmrshassan74737 жыл бұрын

    kubwa sana Mpeleke Madrasa ahifadhishwe Qur an kitabu chake na Muongozo wake , Azidi kuwa Mtoto bora

  • @anastaziuscyriacus5415

    @anastaziuscyriacus5415

    7 жыл бұрын

    Apelekwe Best Schools....Ajifunze Kupambanua baya na Jema....Ajue Kutumia mazingira yanayo mzunguka kujiletea maendeleo....Sio kukimbilia Qur an tuu

  • @Ajira_na_biashara

    @Ajira_na_biashara

    7 жыл бұрын

    Anastazius Cyriacus mbona haupendi watu wakimwambia ajifunze Qur'an????

  • @burbiddy316

    @burbiddy316

    6 жыл бұрын

    tulia kfr ww

  • @burbiddy316

    @burbiddy316

    6 жыл бұрын

    qur-an ni bora

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    4 жыл бұрын

    Wewe muhaya hawezi kujitokeaza mzamini, peleka shule.

  • @esthermutali2563
    @esthermutali25637 жыл бұрын

    He can be a great teacher too.

  • @thadeomaina7614
    @thadeomaina76146 жыл бұрын

    mafunzo ya dini ni lazima kwa watoto wote sio huyo tu, hata elimu dunia ni lazima kwa watoto wote...

  • @willynkya
    @willynkya7 жыл бұрын

    dogo nomaaa!! as an adult i would just answer 4 of the first questions

  • @ayubudamianmwanga4329
    @ayubudamianmwanga43296 жыл бұрын

    Dah mtoto katisha balaa hongera nyingi sana kwake

  • @aishasalim1393
    @aishasalim13936 жыл бұрын

    Masha'Allah barakallah fikum

  • @thomasorembo6131
    @thomasorembo61317 жыл бұрын

    mtoto mzuri sana kwa Dunia kwa ujumla

  • @emmanueldawson4073
    @emmanueldawson40737 жыл бұрын

    Nampa hongera sana Itham na mungu azidi kumtangulia

  • @vickk5225
    @vickk52256 жыл бұрын

    My God!!what a genius!

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed71382 жыл бұрын

    Maashaallaah Mimi mwenye tuu sinamoja Wala mbir hahaha mungu amuongoze kipaji chake kikue

  • @aishamkongo3333
    @aishamkongo33336 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23185 жыл бұрын

    Inshallah nahona somo la quran ndio sahi kwake

  • @jofreyinosent9779
    @jofreyinosent97796 жыл бұрын

    mtoto uyu kweli anafaa kuendelezwa kipaji chake

  • @ABENNIPRO2565
    @ABENNIPRO25656 жыл бұрын

    Good talent God bless that baby.

  • @princesspee6004
    @princesspee60047 жыл бұрын

    mashallah Itham

  • @asmaaliy7980
    @asmaaliy79806 жыл бұрын

    mashllah uko vzr mtt mungu akusidishie

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo7 жыл бұрын

    huyo dogo anabidi akasome shule nzuri sana, dogo ni genius wa bongo, a sapotiwe na serikali atakuja fanya maendeleo mazuri.

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja33606 жыл бұрын

    Mashallah mtoto akili nzuri

  • @fatma2496
    @fatma24967 жыл бұрын

    Wazazi mfundisheni Quran ahifadhi ndio cha maana zaidi kuliko hayo kwa umri wake

  • @scottsanga557

    @scottsanga557

    6 жыл бұрын

    Hata bible ipo vizuri sana💖💖

  • @scottsanga557

    @scottsanga557

    6 жыл бұрын

    TWENDE NA WAKATI⏰⏰⏰💒💒💒

  • @antonymwajombe8536

    @antonymwajombe8536

    3 жыл бұрын

    Tunaenda kidunia dogo yuko vzr unataka biblia hata rais magu angekua paloko kunamgawanyo wa lishe duniani

  • @rukiaomary4380
    @rukiaomary43805 жыл бұрын

    Mashaa Allah ❤️❤️

  • @rebeccatushabe
    @rebeccatushabe6 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana tena uinuliwe zayidi

  • @alhajimohamedi5454
    @alhajimohamedi54546 жыл бұрын

    nice God bless ifan

  • @sechongemussa3550
    @sechongemussa35507 жыл бұрын

    Mungu kamjalia kipaji mtoto huyo hiyo inaonesha dhahiri ukimuangalia kwa umakini ...Eee Mungu Nijalie mimi nipate waoto kama hao wenye vipaji maalum.Itham kanifurahisha sana na imenifanya nimsikilize kwa umakini sana

  • @ladymuna4945
    @ladymuna49453 жыл бұрын

    Ma Sha Allah... Allah akuekee In sha Allah

  • @alickomasoud5477
    @alickomasoud54776 жыл бұрын

    Mtot atasifiwa akiihifadhi Quran tukufu sio mambo ya dunia ivo

  • @mimahussein9314
    @mimahussein93147 жыл бұрын

    Mashaallah mungu amkuze vyema ktk maadili ya dini pia

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy12817 жыл бұрын

    MashAllah...

  • @milkametrine2670
    @milkametrine26706 жыл бұрын

    Mungu amuzidishie

  • @lathifakhamady6309
    @lathifakhamady63097 жыл бұрын

    Nice mtoto

  • @thadeuskisaka4804
    @thadeuskisaka48045 жыл бұрын

    yk vizuri

  • @paulinaelibarick6960
    @paulinaelibarick69606 жыл бұрын

    God blessing you beby boy

  • @gloryshayo9309
    @gloryshayo93093 жыл бұрын

    Good boy for studies and good memories.

  • @kibahasrall7387
    @kibahasrall73877 жыл бұрын

    Naimani kuna vitu vingi hapo sema ndio hivo tu umaskin unatusumbua ila kwa nchi za wenzetu angepewa thaman ya hali ya juu

  • @fafi9092
    @fafi90927 жыл бұрын

    Mfundishen na dua yakulala nakuingia choon

  • @dinaelpha5487

    @dinaelpha5487

    7 жыл бұрын

    makubwa dua ya chooni

  • @masseanadir2904

    @masseanadir2904

    7 жыл бұрын

    +dina elpha unadhani chooni unaingia tu?

  • @gurunath2085

    @gurunath2085

    6 жыл бұрын

    Fafi 90

  • @faboge
    @faboge6 жыл бұрын

    gifted child, he should be taken to a special school

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana7 жыл бұрын

    MTOTO ANA KIPAJI, FAMILIA TULIVU, MASWALI MAZURI NA YANAELIMISHA PIA. THANKS GLOBAL TV.

  • @mwanaharakatclassictz3557

    @mwanaharakatclassictz3557

    7 жыл бұрын

    mmmhhh mtt mzuri Sana

  • @mwamvuaally5899

    @mwamvuaally5899

    7 жыл бұрын

    Seiff Kibwana

  • @saidijuma2236

    @saidijuma2236

    6 жыл бұрын

    Seiff Kibwana mashallah ni bora angehifadhi quran

  • @shazymean8829

    @shazymean8829

    6 жыл бұрын

    saidi juma mungu amzidishie

  • @johnjoy5686

    @johnjoy5686

    6 жыл бұрын

    Seiff Kibwana my ty so r to

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao7 жыл бұрын

    Hongera kwa wazazi na mtoto.

  • @stellakimwery2024
    @stellakimwery20246 жыл бұрын

    Mshukuru Mungu baba mwanao ana IQ ya hali ya juu.Namwombea afike mbali

  • @victorfibretv5923
    @victorfibretv59236 жыл бұрын

    Itham kweli washangaza malaika wa mungu

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz31204 жыл бұрын

    Tunatakiwa kuwalinda na kuwajali watoto wote wenye vpji na wasio nao,, hongera wazazi na watanzania kwa ujumla tuwasaide hawa watto

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli69263 жыл бұрын

    Wowoooo honger San mtoto

  • @sumiismaelsumi8137
    @sumiismaelsumi81376 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @rebecasamuel6657
    @rebecasamuel66576 жыл бұрын

    daaaah! mpaka nimetaman na Wang angekua hvyo

  • @menacekatembwa6181
    @menacekatembwa61816 жыл бұрын

    appriciate.....

  • @tumainimwakasungu9145
    @tumainimwakasungu91456 жыл бұрын

    hongera sana mtot

  • @mwangazagrace7976
    @mwangazagrace79767 жыл бұрын

    God bless you little boy

  • @rehemakivamba6809

    @rehemakivamba6809

    6 жыл бұрын

    good good

  • @noelahjonathan6508
    @noelahjonathan65087 жыл бұрын

    mungu amuwezeshe zaid na zaidi

  • @esthermutali2563
    @esthermutali25637 жыл бұрын

    to the parents, it would be appropriate to learn more about gifted kids to know how to balance expectations on this child. there are great innovation that his brain can process. but most important is to protect your child from people whò might want to take advantage of his gift. already you can see technology is a field to explore. he can manipulate a phone without formal education.

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa68076 жыл бұрын

    waohhhh Allah ambariki

  • @mathahinju4661
    @mathahinju46616 жыл бұрын

    Waoooh mtt yuk pw sanaa ad rahaaa

  • @ayshamahariq8126
    @ayshamahariq81266 жыл бұрын

    Mashallah

  • @niceladeus1697
    @niceladeus16976 жыл бұрын

    nakupendaa mwananguu

  • @activefuntz848
    @activefuntz8486 жыл бұрын

    Jamani mtoto uyo anakipaj kisicho chakawaid kumbuka iyonizawad kutoka kwaallah so I wish mngempeleka akahifadhi Quran ingekua vizur zaid maybe Allah alitaka haitham aje dunian kuhifadh Qur'an mpeleken akamjue mola wake nawetu

  • @queencashmadam8340
    @queencashmadam83407 жыл бұрын

    Nimempenda bule nice

  • @reginaldhhayuma6907
    @reginaldhhayuma6907 Жыл бұрын

    Leo ndo nimemwoma muhaya myenyekevu. Saf Bro. Mtunze sana dogo

  • @allyabeid342
    @allyabeid3427 жыл бұрын

    mtoto huyu mungu amjaliezaid ila natamani namimi nipate mtoto kamahuyu jamani.

  • @michaelndubi4904

    @michaelndubi4904

    5 жыл бұрын

    Sa God amu protect

  • @josewillson1813

    @josewillson1813

    3 жыл бұрын

    Nenda kazae na yule mama naww akuzalie ktt Kama hicho😜

  • @suzanewilliams1453
    @suzanewilliams14537 жыл бұрын

    what a smart kid

  • @muniramussa1530
    @muniramussa15306 жыл бұрын

    Noma sana

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17967 жыл бұрын

    Ilove him

  • @princesinko4073
    @princesinko40736 жыл бұрын

    Huyo mtoto ni muhimu akapata shule ya vipaji,

  • @lalasheshop9036
    @lalasheshop90366 жыл бұрын

    Nyerere wa Baadaye

  • @masukamarco1659
    @masukamarco16597 жыл бұрын

    Hata mm mwanangu ana kipaji km cha huyo mtoto alianza kumtambua mama yake akiwa na miezi mitatu ,kucheza mziki alipokaa tu sasa ana mwaka 1 na miezi 4 anacheza na kuimba miziki akisikia kwenye tv ,cm au redioni

  • @christophermsuyachannel8856

    @christophermsuyachannel8856

    6 жыл бұрын

    Huyo atakuwa Kiba

  • @ayoubrogath4297
    @ayoubrogath42977 жыл бұрын

    Mungu ni mwema asee

  • @saidothman4527
    @saidothman45276 жыл бұрын

    mashaallah

  • @mdachitimamu
    @mdachitimamu7 жыл бұрын

    safi sana

  • @emmanuelnaiman4228
    @emmanuelnaiman42286 жыл бұрын

    Asee watu vilaza Kweli, wakati mtoto anatakiwa kwenda shule nyingi mwataka madrasa , kwa faida zip kwa jamii na taifa

  • @kelvinmwasafu2116
    @kelvinmwasafu21166 жыл бұрын

    Wah, haya basi

  • @saramkin4055
    @saramkin40556 жыл бұрын

    só happy

Келесі