Full Interview na Mtoto Itham Mwenye Akili za Ajabu, Anajua Kila Kitu Kuanzia Siasa Mpaka Soka
#Mtoto #Ithan #Mahafudh, mwenye umri wa miaka miwili, ameendelea kuthibitisha #kipaji kikubwa alichonacho, akiwa na uwezo wa kuwataja karibu marais wa nchi zote duniani ambapo #Pasaka hii, alikuwa kivutio kwenye #event iliyoandaliwa na #Shilawadu ambapo alijibu maswali yote ya papo kwa hapo.
Mtoto huyo, licha ya uwezo wake wa kutaja majina ya viongozi mbalimbali, anao uwezo mkubwa wa kukariri mambo mengi kwa wakati mmoja. Mtazame zaidi hapa... bit.ly/2oOwCko
Maajabu mengine ya mtoto Ithan ni kuwa anafahamu kuendesha gari na pia anajua kutumia kompyuta na simu za kisasa yaani smartphones, kwani anao uwezo wa kuingia katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Visit globalpublishers.co.tz/
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Пікірлер: 437
Usimunyeshe kwenye mitandao binadamu wanaweza kumfanyia husda, mungu amlinde na amuongoze zaid
Mfundishe dini uyo asome Qur'an awe mwana wachuon Inshallah
masha allah nyie wazee mpelekeni mtoto akahifadhi Q-arun ataishi kwamisingi mema hatamkifa atawaombea duwa jamani tusihangaike na dunia
Genius boy God be with you... Kenyans in Saudi Arabia watching It's Only God who knows
Uwezo wa Mungu mtoto mdogo sana Mungu amtunze
mashaa Allah mpelekeni shulea ya kiisilam mtoto wenu ili ahi fadhi Qur'an ndio azina ya kweli katka maisha yenu baada ya kufa kwenu
@salminisalehe9417
4 жыл бұрын
Naam Naam
Mtoto mzur Maasha Allah gonge liker apa kama angelisoma dini yake akaifadhi Cor an
mashallah mtto huyo inafaa mumpelek n madrassa pia kwan hyo ndo ilmu ya akhera dunian mapita n kwa mungu tutaregea
mfundishen na dini amjue mungu
Maashallah! Mola amjalie azamie kwenye swala zima la elimu.Huenda ikawa mtoto huyu akaja kuvumbua makubwa na kutatua matatizo yanayosumbua waja duniani. Inshallah! Pokeeni salam chekwa kutokea Kenya.
mashaalah Allah amkuuze zaid ya hapo
MASHAALAH MTOTO AITHAM INATAKIWA KWA SASA AANZE MADRASA UMRI UNARUHUSU NA PIA APEKWE CHEKE CHEKEA AKAANZE ELIMU ILI UMRI UNAPOONGEZEKA AHIFADHI VITU HIVYO MUHIMU KWA AJILI YA KUJIANDAA KATIKA MAISHA YAKE HONGERENI WAZAZI KUPATA HUYO MTOTO MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU
Mimi najua tu president wetu wa kenya na president wa Tz hawa wengi haha sifatilii God bless you more boy
Ningependa sana aijue qur an ili awe katka misingi mizur ya kimaadili na aweze kwendana na maamrisho pamoja na makatazo ya MwenyezMungu. Alaf wasimnyoe km walivyofanya hapo..
@kudoja_fish_shop9592
7 жыл бұрын
akiaanza tu kuran atawaza kuchinja chinja tu na kuvaa suruali njiwa
@nurdinahmedi8653
7 жыл бұрын
william appolinary : unatombwa braza
@jackliineurio8099
7 жыл бұрын
+Nurdin Ahmedi sasa mbona unatoa tusi we jitete bans usitukane
@anastaziuscyriacus5415
7 жыл бұрын
nafikiri ajifunze vitu ambavyo vitamuingizia pesa...Asome elimu itakayo msaidia kuleta maendeleo ktk taifa..Mtoto n Mzalendo Tayari Huyu....Ajifunze Biblia Nafikiri
@hasnuhasan9577
7 жыл бұрын
Anastazius Cyriacus ajifunze bibilia ili aingie motoni
Masha allah ana kipaj kikubwa sana
mama maaamaaaa uyu mtoto namempenda bure nampenda sana nataman angekuwa wangu
His memory ability is extremely high. Such personalities excell in programming where remembering queries and commands is among the most important traits which very few humans have.
Mungu atufichie mtoto mzuri asije akatekwa
Mwanangu umenishangaza sana, yaani nimefurahishwa na wewe, wazazi mtoto huyo mpeni malezi bora daima ili nyota yake iendelee kung'aa..
Bwana ndiye mchungaji wake,hakika wema na fadhili za Bwana zitamfuata siku zote za maisha yake atakuwa salama kwa jina la Yesu.
allah amlinde kwa kipaji alichomjalia inashaallah mpeleke madrasa akaijue qu-ran tukufu pa1 na mitume wake
this young boy is really genius according to is doing
very sharp mind! congrate boy.
Mashallah mungu amuhifathi mtoto na namuombea mungu ampe akili zaidi ya kuisoma quran inshallah l
vizur san axe ni genius wa ukwel
I adore him. Gods blessings
mtoto mzuri sana mpe kazi afundishe wenzie
Aaaw, this kid though 💕💗💗💗💗
This is so amazing ,mm nawajua mawaziri lakini sijui kazizao,jamani heeeee uyo mtoto anifundishe mim jamaniiii.
I pray for the family and the bright Boy Itham, May God bless him and become more successful for the help of the future generations in his growth.
MashaAllah mungu amuhifadhi ningefurahi umpeleke shule nzuri MashaAllah beautiful family
Masha allah
kubwa sana Mpeleke Madrasa ahifadhishwe Qur an kitabu chake na Muongozo wake , Azidi kuwa Mtoto bora
@anastaziuscyriacus5415
7 жыл бұрын
Apelekwe Best Schools....Ajifunze Kupambanua baya na Jema....Ajue Kutumia mazingira yanayo mzunguka kujiletea maendeleo....Sio kukimbilia Qur an tuu
@Ajira_na_biashara
7 жыл бұрын
Anastazius Cyriacus mbona haupendi watu wakimwambia ajifunze Qur'an????
@burbiddy316
6 жыл бұрын
tulia kfr ww
@burbiddy316
6 жыл бұрын
qur-an ni bora
@myunaniniahmad6463
4 жыл бұрын
Wewe muhaya hawezi kujitokeaza mzamini, peleka shule.
He can be a great teacher too.
mafunzo ya dini ni lazima kwa watoto wote sio huyo tu, hata elimu dunia ni lazima kwa watoto wote...
dogo nomaaa!! as an adult i would just answer 4 of the first questions
Dah mtoto katisha balaa hongera nyingi sana kwake
Masha'Allah barakallah fikum
mtoto mzuri sana kwa Dunia kwa ujumla
Nampa hongera sana Itham na mungu azidi kumtangulia
My God!!what a genius!
Maashaallaah Mimi mwenye tuu sinamoja Wala mbir hahaha mungu amuongoze kipaji chake kikue
Mashaallah
Inshallah nahona somo la quran ndio sahi kwake
mtoto uyu kweli anafaa kuendelezwa kipaji chake
Good talent God bless that baby.
mashallah Itham
mashllah uko vzr mtt mungu akusidishie
huyo dogo anabidi akasome shule nzuri sana, dogo ni genius wa bongo, a sapotiwe na serikali atakuja fanya maendeleo mazuri.
Mashallah mtoto akili nzuri
Wazazi mfundisheni Quran ahifadhi ndio cha maana zaidi kuliko hayo kwa umri wake
@scottsanga557
6 жыл бұрын
Hata bible ipo vizuri sana💖💖
@scottsanga557
6 жыл бұрын
TWENDE NA WAKATI⏰⏰⏰💒💒💒
@antonymwajombe8536
3 жыл бұрын
Tunaenda kidunia dogo yuko vzr unataka biblia hata rais magu angekua paloko kunamgawanyo wa lishe duniani
Mashaa Allah ❤️❤️
Ubarikiwe sana tena uinuliwe zayidi
nice God bless ifan
Mungu kamjalia kipaji mtoto huyo hiyo inaonesha dhahiri ukimuangalia kwa umakini ...Eee Mungu Nijalie mimi nipate waoto kama hao wenye vipaji maalum.Itham kanifurahisha sana na imenifanya nimsikilize kwa umakini sana
Ma Sha Allah... Allah akuekee In sha Allah
Mtot atasifiwa akiihifadhi Quran tukufu sio mambo ya dunia ivo
Mashaallah mungu amkuze vyema ktk maadili ya dini pia
MashAllah...
Mungu amuzidishie
Nice mtoto
yk vizuri
God blessing you beby boy
Good boy for studies and good memories.
Naimani kuna vitu vingi hapo sema ndio hivo tu umaskin unatusumbua ila kwa nchi za wenzetu angepewa thaman ya hali ya juu
Mfundishen na dua yakulala nakuingia choon
@dinaelpha5487
7 жыл бұрын
makubwa dua ya chooni
@masseanadir2904
7 жыл бұрын
+dina elpha unadhani chooni unaingia tu?
@gurunath2085
6 жыл бұрын
Fafi 90
gifted child, he should be taken to a special school
MTOTO ANA KIPAJI, FAMILIA TULIVU, MASWALI MAZURI NA YANAELIMISHA PIA. THANKS GLOBAL TV.
@mwanaharakatclassictz3557
7 жыл бұрын
mmmhhh mtt mzuri Sana
@mwamvuaally5899
7 жыл бұрын
Seiff Kibwana
@saidijuma2236
6 жыл бұрын
Seiff Kibwana mashallah ni bora angehifadhi quran
@shazymean8829
6 жыл бұрын
saidi juma mungu amzidishie
@johnjoy5686
6 жыл бұрын
Seiff Kibwana my ty so r to
Hongera kwa wazazi na mtoto.
Mshukuru Mungu baba mwanao ana IQ ya hali ya juu.Namwombea afike mbali
Itham kweli washangaza malaika wa mungu
Tunatakiwa kuwalinda na kuwajali watoto wote wenye vpji na wasio nao,, hongera wazazi na watanzania kwa ujumla tuwasaide hawa watto
Wowoooo honger San mtoto
Ma Shaa Allah
daaaah! mpaka nimetaman na Wang angekua hvyo
appriciate.....
hongera sana mtot
God bless you little boy
@rehemakivamba6809
6 жыл бұрын
good good
mungu amuwezeshe zaid na zaidi
to the parents, it would be appropriate to learn more about gifted kids to know how to balance expectations on this child. there are great innovation that his brain can process. but most important is to protect your child from people whò might want to take advantage of his gift. already you can see technology is a field to explore. he can manipulate a phone without formal education.
waohhhh Allah ambariki
Waoooh mtt yuk pw sanaa ad rahaaa
Mashallah
nakupendaa mwananguu
Jamani mtoto uyo anakipaj kisicho chakawaid kumbuka iyonizawad kutoka kwaallah so I wish mngempeleka akahifadhi Quran ingekua vizur zaid maybe Allah alitaka haitham aje dunian kuhifadh Qur'an mpeleken akamjue mola wake nawetu
Nimempenda bule nice
Leo ndo nimemwoma muhaya myenyekevu. Saf Bro. Mtunze sana dogo
mtoto huyu mungu amjaliezaid ila natamani namimi nipate mtoto kamahuyu jamani.
@michaelndubi4904
5 жыл бұрын
Sa God amu protect
@josewillson1813
3 жыл бұрын
Nenda kazae na yule mama naww akuzalie ktt Kama hicho😜
what a smart kid
Noma sana
Ilove him
Huyo mtoto ni muhimu akapata shule ya vipaji,
Nyerere wa Baadaye
Hata mm mwanangu ana kipaji km cha huyo mtoto alianza kumtambua mama yake akiwa na miezi mitatu ,kucheza mziki alipokaa tu sasa ana mwaka 1 na miezi 4 anacheza na kuimba miziki akisikia kwenye tv ,cm au redioni
@christophermsuyachannel8856
6 жыл бұрын
Huyo atakuwa Kiba
Mungu ni mwema asee
mashaallah
safi sana
Asee watu vilaza Kweli, wakati mtoto anatakiwa kwenda shule nyingi mwataka madrasa , kwa faida zip kwa jamii na taifa
Wah, haya basi
só happy