Freestyle Rap Battle | Cado Kitengo VS Bobcat Mc | Season 2 Ep.20 | City Rap Battles (CRB)
Музыка
Hii ilikuwa ni mojawapo ya mapambano ya Preliminary Game ambayo hujumuisha washiriki 8. Main Game alikuwa Mteganda Vs Ghost The Living.
Show hii hufanyika kila Jumapili pale Mi Casa Lounge Ubungo kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 12 jioni. Fuatilia pages zetu za Instagram @cityrapbattles kufahamu zaidi.
Пікірлер: 78
Bob cat we si rapper kabisaaaaaaaa .....hata biti hufuati
Damn!!! Holly Sh*t!! Bobcat what the f*ck!!! You are flawless men!!! Out of mind out of sight nigga!!! Kadonondo thumbs up nigga!! Uv killed the show men!! Keep it up ma nigga!! From Kenya!! Border of SOMALIA mandera county!! Tuned in!
Duh Kado round ya pili umeua sana kisayansi kuliko round ya kwanza... Big up man, round ya kwanza niliogopa sana mpinzani wako
Kadooooo🔥🔥🔥huwa nainjoy SNA uwepo wko
Haya majitu ya arusha yanaharbu hii session.. majinga jinga tu.
Uyo cado anajua so lazma muweke level madalaja pawe na changamoto uyo cut bado ila Ana watu wake nae alafu dj kazngua naye beat gan izo za battle
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Beat mbovu
Dah kadonondo amazing
Huyu Bob cat fala hajui kabsa
Ili beat la round ya kwanza ni nyimbo ya nani?
Burudika maridhawa na ma _mc WA CRB,, micasa lounge ubungo ...Kado n kitengo kinachowapasua ma _mc wepes kwa kutumia mistar Nondo....
Hahahaa mwanangU nondo...hatari Sana
Bobcat kauwa yanapiga iyoo kadonondoo mbaka morii inaingia kwenye flow atarii ubunifuu kwa wanao elewa❤❤😂😂😂 A town👣
Daaah!!! Noma sana
Ww bobcat Mc, ww sio Arusha bahna Arusha hatuna Rap zaivo zakidandara
Kado noma sana. Mbn uyu jamaa ajui kabisa
nondo kaktana na muhubiri
Kadooooo nondooooo
Cardo ni big up kwko.nakukubali sana upo vzur
Hamna kitu hyo dogo
Hahahaha nimemuelew sanaa huyoo chalii wa chuga ni atar yupo very creativ
Huyo sio chuganistani Wewe hatunaga rapper kama hao
bobcat mc 😂😂😂😂😂
Aki ya ya nani kwa hii crb siamini kuna finali bila cado kitengo
BobCat anamtishia Cado Round 1
Huyu dogo ni mlevi
Noma sana asee.. BOBCAT MC.
ahhahaahahha dah
anakiuno kizur cha kupigwa tatoo #cado nondoo
nasikia panc za raf mc kado sijaon ubunifu
Ephesians 5:15-17 Be very careful, then, how you live - not as unwise but as wise, making the most of every opportunity, because the days are evil. Therefore do not be foolish, but understand what the Lord’s will is.
Cado kitengo&Toxic hawa jamaa ni MCs hatar
aaayeeeee😂😂😂
Ayeeeeeeee
Cado nomaa
Ayeeeeeeeeeeeee ayeeeeeeeaaaaa
kado kitengooooooo on 🔥 for
Kado uko vizuri broo
Kitengoooo aiyeeeeeeee
Cado hawezekaniki
@patrickmpangala3098
2 жыл бұрын
Kiboko yake ni toxic
Nakubari sana wanaaah
eti umevaaa mzula mbaya hahahahaha
Namuona onesmo 130 paleeeew
Lit
Eti unadamu ya kunguni haipimiki DNA
bobcat banaaa unaznguaaa unachana tu hakuna vina
Kweliiii axe cadoop
Hv nyie cado mnapgisha na mtot achen dharau nyie
Kadonondo Yuko sawaaaaaaaa
KIPINDI CHENU NIMEKIKUBALI SANA...HONGERENI
😂Ayeeeh
Dogo bado sana
Cado nomaaaaa
Bobcat kaa angusha arusha.... mbya
Kado hatari sana huyu mtyuu
hii ni ufala kwani bobcat anagombana
Kado kitengo n kiboko bna...
noma
Cado big up
OY
Bobcat kaboa mamae
Team kitengo tujuane
Kamaa kama analia hahahha.. nondo n hatar
hko ni kumdharilisha kado
Huyo ndio kado mc kafanya yanke
Muhubili wa kanixa gani
cado mottoo
bobcat panic brooo
Bobcat unaboa
H
hahahaha bobcat ww ni chizi nn
😁😁😁😁😁