Freestyle Rap Battle |Black Mc Vs Mteganda |Season 2 Ep.18 | City Rap Battles (CRB)
Музыка
Hii ilikuwa ni Main Game ya CRB Season 2 Episode ya 18 ambapo Mteganda alikuwa akichuana na Black Mc katika mpambano wa Round 5.
Show hii hufanyika kila Jumapili pale Mi Casa Lounge Ubungo kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 12 jioni. Fuatilia pages zetu za Instagram @cityrapbattles kufahamu zaidi.
Пікірлер: 48
Not fair judges. Black MC deserved that one
@davidndomba1068
4 жыл бұрын
Sure
@daveme9180
2 жыл бұрын
Sure man
Black mc mwana hip hop
Uyo K wa mapacha sio jaji alafu watu kama ao wawe walinzi wa mlangani
@boyjopar8717
5 жыл бұрын
Kweli aisee halijuwi kabisa
Battle hii ilikuwa ngumu sana.
Uyo K kazingua Sanaa Awezi Kujudge
Mteganda👍
Aaaah mnafel majaji black 💥💥💥
great movement guys
mteganda fundiii
black round ya kwanza kakamua ile mbaya lakini mteganda aliutumia uzowefu wake kujitetea
Black. Unaweza
Mansory ndo jaji mkweli
Wakali wangu wa battle ni toxic fuvu, cado kitengo, stan rhymes, jaco geezy na mteganda
mtegandaaa
round ya pili black alispit freestyle ya nikki vs sr lu ...line kama 3 ila wote wakalii .... but mteganda konyooo
Mtegandaaa
Black mc round ya 4 ume tishaaaa
Black kuna mistar ya Vero ameiga toka kwa nikki mbishi
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Ni kweli ilikuw Nikki vs sir Lu
@mulanmike1997
5 жыл бұрын
yeahhh man
Mkali wao stany. Rymes yuko wap
Black fundiii hkichek round ya 2 kauwa mteganda amn ki2 mmembeba
Kumbe we kweli uyo k
Hii ndo freestyle bana..ukweli black ana flow fresh sema matusi mengi
Mteganda Pouwaaaa sanaaa round ya 3
Soon I will be there too
@boniphacehamis8974
5 жыл бұрын
Cyclon X 92 nouma xna
Black fundi
Huyu k Wa mapacha namkataaa
Noma sana
Cado kitengo vp mbona simuoni mkali wao
@mvungigaming
5 жыл бұрын
BIG NATION COOLboy!.* sijui jamaa yupo wp mzee wa midamu
Black noma sana
Huyo K wa mapacha asiwepo tena kwenye ujaji
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Sandroman Miguel hakuna anacho jua kuhusu ujaji.....yy ana sema lolote analo jiskia....hana uwezo wa kujaji.....
Mteganda mganga wa kienyeji sio rapa
Nahimbisha tarab🤣🤣😂
Mteganda #genius
No
k sio judge amna kityu
Wote ni wakali sanaaa
Guy in red is not a good judge.
K wa mapacha yupo poa sana harembi kutoa dro wakat round inaonyesha nani kakimbiza ... mteganda ana punch kali sana.. kamkimbiza jamaa raund karibia zote.. style kal mawe ya maana
Mteganda moto