FATMA MDIDI MBELE YA RAIS SAMIA SULUHU "UISLAM HAUKUMBAGUA MWANAMKE KATIKA UCHUMI | KONGAMANO ZNZ

Ойын-сауық

Kueelekea katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam, Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar. Mgeni rasmi Rais wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 37

  • @azanaturalproducts7992
    @azanaturalproducts7992Ай бұрын

    Ma sha Allah ,Allah akulipe khery nying nimekusikiliza mpaka Raha hakika mda mchache umeongea vizuri umegusa Kila Kona ,Allah akuzidishie Elim

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Жыл бұрын

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! SWADAQTA ❤

  • @ZaitunShaban-vr2vi
    @ZaitunShaban-vr2vi6 күн бұрын

    Allah akulipe Fatma, nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @chimilasaid447
    @chimilasaid447 Жыл бұрын

    ukty uko n busra Allah akupe umri mrefu inshallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-mx1gj3cp3l
    @user-mx1gj3cp3l Жыл бұрын

    ❤❤❤❤ mashaaalah jazakallahu lkheri mamaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    MashaAllah ❤❤❤

  • @aminamwinyi4189
    @aminamwinyi4189 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-hj6nn3se3z
    @user-hj6nn3se3z11 күн бұрын

    Best speech ever

  • @dottohami
    @dottohami Жыл бұрын

    Mashaallh ukhuty umeongea ponti ❤️

  • @rect5590
    @rect5590 Жыл бұрын

    MashaAllah uislamu haukuacha kitu

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 Жыл бұрын

    Asante sanaaa Ukhty😊

  • @sadamabdulally1979
    @sadamabdulally1979 Жыл бұрын

    إذا أسند الأمر إلى غير أهله فانتصر الساعة Majukum yakielekezwa Kwa wasio sitahili subirini qiyama

  • @bigboys016
    @bigboys01611 күн бұрын

    Huyu dada namkubali hutuba zake,japo mimi si mwislam ila huwa nampenda na na mwelewa sana ,she speak very friendly

  • @MatanoSalim-il9fk
    @MatanoSalim-il9fk Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @haliyashauri4906
    @haliyashauri4906 Жыл бұрын

    Najiskia faraja nikiona uislam unavyotikisa media nyng

  • @ummumuuminsalim4330
    @ummumuuminsalim433011 ай бұрын

    Ma shaa Allah

  • @JumaHory-nl6lb
    @JumaHory-nl6lb Жыл бұрын

    Ukhti umeonge vizuri sans maneno pwenti tupu

  • @saumkisira9328
    @saumkisira9328 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @fatmanaila
    @fatmanaila Жыл бұрын

    ❤a

  • @yazidbafunda5092
    @yazidbafunda509211 ай бұрын

    7:12 lakini ukhty si ALLAH kawambia mkae majumbani kwenu??? Suratu al Ahzab aya ya 33

  • @saidtembele3070

    @saidtembele3070

    11 ай бұрын

    Labda hiyo aya haijambainikia 😢😢😢😢 mtihani saana

  • @yazidbafunda5092

    @yazidbafunda5092

    9 ай бұрын

    Wanaiona ila hawaielewi tafsir yake nahisi

  • @aishaswidiq
    @aishaswidiq11 ай бұрын

    Elimu inayokusudiwa hapo ni elimu ya kisheria nasi yakidunia

  • @saidtembele3070

    @saidtembele3070

    11 ай бұрын

    Mtihani saana

  • @metrom8009
    @metrom800911 ай бұрын

    Tuonyesheni kazi ya bunge mubashara ya africa ya mashariki wakizungumzia maswala yawainchi wanainchi walo ishi ndani ya hzi inchi

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary238311 ай бұрын

    Yanaohusu dini utarudishwa nyuma tu.ama yale ya haki yako utapata sasa kuna wanawake wengine wanataka nusu kwa nusu na wakipewa katika mfumo wa dini wanakwambia uwislam unawazurumu

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын

    Itifaki ndo salamu au pana makafiri apo

  • @salminimwaipopo2349
    @salminimwaipopo2349 Жыл бұрын

    Mbona wanapiga makofi tena😅.nimeshtuka hapo kuna mchanganyiko waislam hatupigi makofi Abadan

  • @sadamabdulally1979
    @sadamabdulally1979 Жыл бұрын

    Huyu dada naona kunakitu anakitafuta Lakini anatafuta chansi kwajina la dini Inaweza kuona unajua kumbe ni jaahil

  • @Badrumchekwa

    @Badrumchekwa

    11 ай бұрын

    umeona ee dada anazingua

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын

    Musitafute sababu za kuzurura mitaani kaeni majumbani mwenu mulee watoto

  • @sygtamks1643

    @sygtamks1643

    Жыл бұрын

    😅😅😅msilalamike sasa kuwa hali ngumu kipato hakitoshi

  • @IbnuAlly-cg2gn

    @IbnuAlly-cg2gn

    Жыл бұрын

    @@sygtamks1643 kwan hali ngumu na kipato kuwa kidogo ni wanawake kutokufanya kaz au ni kutokana na maendeleo madogo ya nchi? Na hata wawe tayari kufanya kaz ziko wap?

  • @husseinhumudy1463

    @husseinhumudy1463

    Жыл бұрын

    Swadkta

  • @maulidmloto

    @maulidmloto

    Жыл бұрын

    @@husseinhumudy1463 bishaykhayt umy umetoa wp hayo tupe dalili nje ya dini kama ndani qur-an kama wanwume wanakosea

Келесі