FATMA MDIDI MBELE YA RAIS SAMIA SULUHU "UISLAM HAUKUMBAGUA MWANAMKE KATIKA UCHUMI | KONGAMANO ZNZ
Ойын-сауық
Kueelekea katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam, Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar. Mgeni rasmi Rais wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu
Пікірлер: 37
Ma sha Allah ,Allah akulipe khery nying nimekusikiliza mpaka Raha hakika mda mchache umeongea vizuri umegusa Kila Kona ,Allah akuzidishie Elim
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! SWADAQTA ❤
Allah akulipe Fatma, nakupenda kwa ajili ya Allah
ukty uko n busra Allah akupe umri mrefu inshallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤ mashaaalah jazakallahu lkheri mamaaa🎉🎉🎉🎉🎉
MashaAllah ❤❤❤
Mashallah
Best speech ever
Mashaallh ukhuty umeongea ponti ❤️
MashaAllah uislamu haukuacha kitu
Asante sanaaa Ukhty😊
إذا أسند الأمر إلى غير أهله فانتصر الساعة Majukum yakielekezwa Kwa wasio sitahili subirini qiyama
Huyu dada namkubali hutuba zake,japo mimi si mwislam ila huwa nampenda na na mwelewa sana ,she speak very friendly
MashaAllah
Najiskia faraja nikiona uislam unavyotikisa media nyng
Ma shaa Allah
Ukhti umeonge vizuri sans maneno pwenti tupu
❤❤❤❤❤
❤a
7:12 lakini ukhty si ALLAH kawambia mkae majumbani kwenu??? Suratu al Ahzab aya ya 33
@saidtembele3070
11 ай бұрын
Labda hiyo aya haijambainikia 😢😢😢😢 mtihani saana
@yazidbafunda5092
9 ай бұрын
Wanaiona ila hawaielewi tafsir yake nahisi
Elimu inayokusudiwa hapo ni elimu ya kisheria nasi yakidunia
@saidtembele3070
11 ай бұрын
Mtihani saana
Tuonyesheni kazi ya bunge mubashara ya africa ya mashariki wakizungumzia maswala yawainchi wanainchi walo ishi ndani ya hzi inchi
Yanaohusu dini utarudishwa nyuma tu.ama yale ya haki yako utapata sasa kuna wanawake wengine wanataka nusu kwa nusu na wakipewa katika mfumo wa dini wanakwambia uwislam unawazurumu
Itifaki ndo salamu au pana makafiri apo
Mbona wanapiga makofi tena😅.nimeshtuka hapo kuna mchanganyiko waislam hatupigi makofi Abadan
Huyu dada naona kunakitu anakitafuta Lakini anatafuta chansi kwajina la dini Inaweza kuona unajua kumbe ni jaahil
@Badrumchekwa
11 ай бұрын
umeona ee dada anazingua
Musitafute sababu za kuzurura mitaani kaeni majumbani mwenu mulee watoto
@sygtamks1643
Жыл бұрын
😅😅😅msilalamike sasa kuwa hali ngumu kipato hakitoshi
@IbnuAlly-cg2gn
Жыл бұрын
@@sygtamks1643 kwan hali ngumu na kipato kuwa kidogo ni wanawake kutokufanya kaz au ni kutokana na maendeleo madogo ya nchi? Na hata wawe tayari kufanya kaz ziko wap?
@husseinhumudy1463
Жыл бұрын
Swadkta
@maulidmloto
Жыл бұрын
@@husseinhumudy1463 bishaykhayt umy umetoa wp hayo tupe dalili nje ya dini kama ndani qur-an kama wanwume wanakosea