Familia mbili kaunti ya Busia zadai haki baada ya mahakama kuamuru zilipwe fidia
Familia mbili kutoka kaunti ya Busia zinalilia haki baada ya serikali ya kaunti hiyo kukataa kuwalipa fidia ya ardhi yao iliyochukuliwa na serikali hata baada ya mahakama ya Busia kutoa uamuzi walipwe pesa zao. Familia hizo mbili zinaishi maisha ya uchochole baada ya kuuza mali na mifugo yao katika safari ya kutafuta haki makamani.
Пікірлер: 2
Kenya justice hakunaga kwa maskini.
Gangster regimes