FAIDA ZA MTI WA MSTAFELI KWA KUTIBU UZAZI| TENZI DUME NA MARADHI YA KICHAWI| SHEIKH YUSSUF BIN ALLY

usiache kufatilia vipindi tofauti vya tiba za miti na kujua zaidi kuhusu elimu za tiba na maradhi
DASHIF TV TZ online ipo kwa ajili ya jamii nzima.
SUBSCRIBE ili kupata kila somo litorushwa kwa wakati

Пікірлер: 133

  • @salmaseif2131
    @salmaseif21317 ай бұрын

    Pole kwa jicho tafuta majani ya mzalia nyuma uchemshe jifukize nikiboko kwa macho Allah akipenda naamini itakusaidia inshaallah

  • @hasinaaljabri1502
    @hasinaaljabri15023 ай бұрын

    Jamani mimi napata tabu kwa mafua hayatoki naumwa kichwa saana yaani nikipata mafua naumwa kichwa

  • @suheilasuheilah220
    @suheilasuheilah2202 жыл бұрын

    Asalamu aleikum sheikh allah akupe shifaa ya haraka akulinde ya rabby

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando23152 жыл бұрын

    Masha Allah, sheikh nimekuelewa na insha Allah Mungu akupe ponyo la jicho lako ili tupate tiba na ushauri wa suluhisho la maradhi yetu, amina.

  • @allatifsofia1662
    @allatifsofia16623 жыл бұрын

    MASHAALLAH shukran, Allah akupe shufah ya araka. IN SHAA ALLAH Tumia majani ya mpera 3, mkunazi 3, mbaazi 7 vurunga osha macho na kichwa kizima Hadi nyuma ya maskio kwa nerves. Asubuhi na njioni Kila ukitumia iwe fresh kwa siku Saba.

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @aminaamina3972
    @aminaamina39723 жыл бұрын

    A alykum sheikh ni dawa Gabi inayitibu jipu lisilopone mimi naitwa Amina niko oman

  • @furahamossi3199
    @furahamossi31993 жыл бұрын

    Mansha Allah sheikh Allah akulipe kheir, Allah akupe shiffa insha Allah

  • @fatmaali4794
    @fatmaali47943 жыл бұрын

    Shukran sana jazzakallahul kheri

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman75273 ай бұрын

    Shukran Sana sheikh Allah akufanyie wepesi na akuponye jicho lako

  • @salmasaidally3133
    @salmasaidally31333 жыл бұрын

    In Shaa Allah mwenyezi mungu atakupa Shifaa Kwa haraka

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin inshallah

  • @samiasadiki2928
    @samiasadiki29283 жыл бұрын

    Pole Sana , inshallah mwenyezi mungu akipenda shifaa haraka .

  • @zamdahassan6960

    @zamdahassan6960

    3 жыл бұрын

    Pol San kwa jicho kaka ang

  • @mohammedalaraby0073
    @mohammedalaraby00732 жыл бұрын

    Pole Sana sheikh yussuf bin Ali Allah Hafiz

  • @khadijaibrahim870
    @khadijaibrahim870 Жыл бұрын

    Shukran sana mimi nina kijiuvimbe kwa koo hakiumi wala haujui uvimbe huo in shaa Allah ntakutumia mstafeli shukran sana

  • @khadijaibrahim870

    @khadijaibrahim870

    Жыл бұрын

    Wala haukui

  • @habibamtumbwe4682
    @habibamtumbwe46822 жыл бұрын

    Shukran shekhe pole kwa maradhi Allah akupe shifaa,,naomba nijuze hyo ya fangus ni kwa mda gani naona umesahau kusema

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Pole sana sheikh wetu kwa kuumwa jicho Allah atakuponya inshaallah

  • @sanifaabasi9868
    @sanifaabasi9868 Жыл бұрын

    Mashaallah shukuran san shekhe wetu Allah akupe shifaa ya haraka iliweze kutu elimisha zaidi inshaallah

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g3 жыл бұрын

    Mungu akuwekeye wepesi katika tiba yako ishaalla🙏🙏

  • @antonysilamukola6273
    @antonysilamukola62733 жыл бұрын

    Asante Sana Kwa time yako God bless you 🙏🙏🙏

  • @muhamedyhakimu8225
    @muhamedyhakimu8225 Жыл бұрын

    Polesana mwalimu mungu akupeshufaa sasa ukiwa natenzi dume huna kansa utajitibu ivo ivo

  • @ombamasudi5454
    @ombamasudi54542 жыл бұрын

    Pole sana sheikh wetu allah akupe shifaa

  • @fadiashami6381
    @fadiashami63813 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @abdullahkassim4957
    @abdullahkassim49573 жыл бұрын

    Mashallah shekh wangu ALLAH akuweke na kupe umri mrefu wenye manufaaa

  • @omarsultan7195
    @omarsultan71953 жыл бұрын

    Pole sana shekh Allah akupe afya njema uzidi kutuelimisha inshallah

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH barik

  • @mohamedshame6475
    @mohamedshame64753 жыл бұрын

    Pole sana usthadhi yussuf, afueni ya haraka

  • @fatmaali4794
    @fatmaali47943 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepes jicho lipoe na liwe salama salimin inshaallah

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin

  • @badrurajabu391

    @badrurajabu391

    3 жыл бұрын

    Sheikh pole sana

  • @antoinemisigaro7467
    @antoinemisigaro74678 ай бұрын

    Assalam aalaikum ndungu zangu ALLAH AKUPE SHIFAA NDUGU YETU BI IDHNILLAH ALAFU NA mimi mina tatizo la infection bacteria inayo nisabishiya vidonda vya tumbu nimetumia dawa nyingi ivi sasa mwaka umekwisha ila bado sijapowa huwenda sijapatiya kwenye matibabu naomba anae jua aniilimishe tiba ALLAH Atamliba

  • @zungulee4913
    @zungulee49133 жыл бұрын

    Salaam... wallah mie ndio ninaumwa hiyo hiyo mgongo kiuno mpk kichwa wallah... shukran sana.... allah ibariq

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula37183 жыл бұрын

    Polesana shekhee mwenyezimungu akufanyie wepsi katika uponyaji

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin

  • @naha7097
    @naha7097 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @aishanassor-wf8vq
    @aishanassor-wf8vq9 ай бұрын

    Shukurani ust mumgu akupe wepesi ktk kazi zako inshall Allah

  • @mariamumapunda4614
    @mariamumapunda46143 жыл бұрын

    Mungu akupe umri mrefu wenye manufaa najifunza mengi kutoka kwako

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin inshallah

  • @Nuratyathumani-se4ll
    @Nuratyathumani-se4ll Жыл бұрын

    Masha Allah mwenyez mungu akuzdishie ujuz

  • @sabrahmohammad6361
    @sabrahmohammad63613 жыл бұрын

    Allah awalipe inshaallah.... Mnatufundisha mengi

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya42833 жыл бұрын

    Pole allh atakuafu inshaallh

  • @safiyajafari1940
    @safiyajafari1940 Жыл бұрын

    Asalam alaikum warahmatullah vp hali docteur wetu Allah azidi kuwa hifadhi zaidi kwa juhudi zeni mm nilikuwa nauliziya aya majani ya mstafel kwa mtu mwenye ujauzito jee aya mzuru akitumiy

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g3 жыл бұрын

    Asante sana sheikh Kwatiba yako 🤲

  • @tembomsafi4010
    @tembomsafi40103 жыл бұрын

    In God We Trust

  • @khayratchigalika3029
    @khayratchigalika30293 жыл бұрын

    mashaallah

  • @mariammaulidlimo9332
    @mariammaulidlimo9332 Жыл бұрын

    Pole shekhe wetu Allah akuoe shifaa

  • @salimaalobadany5900
    @salimaalobadany59003 жыл бұрын

    Inshallah mwenyezi mungu atakuaf

  • @luhajufilmstanzania
    @luhajufilmstanzania3 жыл бұрын

    Safi sana Dr

  • @aminahhamed747
    @aminahhamed7473 жыл бұрын

    Waalaikum salam warahmatullah wabarakatu shukran sana shekh allah akupe shifaa uendelee na mizunguko yko ya kila siku

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin inshallah

  • @hawadere9241
    @hawadere92413 жыл бұрын

    Shukran Jazakallah khaira

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Pole kwa kwa kuumwa jicho

  • @zamdambalilo9718
    @zamdambalilo97189 ай бұрын

    Barikiwa sana mtu waMungu

  • @user-mm2wt2nx5v
    @user-mm2wt2nx5v6 ай бұрын

    Pôle Sana mungu atakujaliya

  • @daulatibrahim7765
    @daulatibrahim77653 жыл бұрын

    Insha Allah shukraaan sanaa Allah akubarik sana

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin inshallah

  • @mariamumughandi7179

    @mariamumughandi7179

    2 жыл бұрын

    Tufundisheni na mizizi take inatibu

  • @aliamar4422
    @aliamar44223 жыл бұрын

    Shukraan

  • @halimamasudi7221
    @halimamasudi72213 жыл бұрын

    Pole sana Sheikh Yusuph Rabbi Akupe afueni ya haraka Insha Allah.

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando23153 жыл бұрын

    Sadakta sheikh,ilmu twaipata sawia.

  • @annamkinga910
    @annamkinga9102 жыл бұрын

    Shuklani🙏🙏

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Pole shehe

  • @ShidaKitabu
    @ShidaKitabu8 ай бұрын

    Pole sana

  • @brynwalk4489
    @brynwalk4489 Жыл бұрын

    Hubarikiwe

  • @aminarashidi4757
    @aminarashidi47573 жыл бұрын

    الله يشفيك .

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    أمين

  • @suheilasuheilah220
    @suheilasuheilah2202 жыл бұрын

    Allah akuhifadhwi sheikh wetu

  • @suheilasuheilah220

    @suheilasuheilah220

    2 жыл бұрын

    Allah awapikie kila lakheri

  • @ShidaKitabu
    @ShidaKitabu8 ай бұрын

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii11743 жыл бұрын

    Wallah sheghe unatoa sadaqa tun'jaria Allah atakulipa ... insyaallah

  • @elimika8892
    @elimika88922 жыл бұрын

    Shukuran sana Tumia majani ya mnyanya poli kutibu hilo jicho rafiki

  • @Mwanahamisi-kl3jd

    @Mwanahamisi-kl3jd

    Ай бұрын

    Asante sana. Je kustanj ivyo na. Chumvi

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma30033 жыл бұрын

    Shukuraan

  • @latifamkubwa
    @latifamkubwa11 ай бұрын

    Allha atakujaliya utapowa

  • @mabegeonlinetv.9201
    @mabegeonlinetv.9201 Жыл бұрын

    naomba kujua mti wa mchulusuki na faida zake

  • @hemedimshanafihiri5371
    @hemedimshanafihiri53717 ай бұрын

    Majani na blend vip

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Presha zote au ya kupanda au ya kushuka

  • @user-of1vz7lw3s
    @user-of1vz7lw3s5 ай бұрын

    mimi nasaga juice fresh tatizo rangu fangas nisawa

  • @AmadouIzobikora-nt9bq
    @AmadouIzobikora-nt9bq8 ай бұрын

    Assalamwalekum sheihk Wang mim nakufatilitga San lakin Nina tatiz Nina mdog Wang nimwizi anaib anashikw sas sijuw km kunawez patikan daw yakulutib aac wizi??

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed73813 жыл бұрын

    Masha Allah Sheikh inshallah get well soon with your eye 👁 infection, such a great lesson, BarakAllah feek to our beloved Swaahibu Al-Ashjar

  • @alfajrtvtzonline9315

    @alfajrtvtzonline9315

    3 жыл бұрын

    Amiiiin inshallah

  • @shaidadaudi537

    @shaidadaudi537

    3 жыл бұрын

    Asalam aleikum sheghe no haionekani@@alfajrtvtzonline9315

  • @neemamwijage

    @neemamwijage

    4 ай бұрын

    Je huo mti unatibu na goiter ninatazizo ya goiter

  • @ThuwaibahHaji
    @ThuwaibahHaji3 ай бұрын

    Asalam aleykum je kama mtu yuko mbali na ana cansa ya koo na huu mti haupo je makavu yanafaa?

  • @playstore790
    @playstore7903 жыл бұрын

    Asante mugu atakuaf

  • @gideonjohnson
    @gideonjohnson3 жыл бұрын

    Dawa ya asili

  • @ElizaThadei-fb8hb
    @ElizaThadei-fb8hb Жыл бұрын

    Unatumika siku ngap mwenye fangas

  • @monicamkombo3900
    @monicamkombo39004 ай бұрын

    Samahani kunasehemu niliona majani ya mstafeli hutibu uvimbe kwenye kizazi naweza kutumiaje?

  • @KikyoMoses-vl2le
    @KikyoMoses-vl2le Жыл бұрын

    Akisanti

  • @MONYANCHACYRUS-ql1ek
    @MONYANCHACYRUS-ql1ek10 ай бұрын

    Hi kaka Niko Kenya uko naiyo dawa ya kusikaniza mwenamuke mwenye anatoma inje ya ndoa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Ndio nilisikia mionzi sio mizur

  • @kitsaokatana7016
    @kitsaokatana70162 жыл бұрын

    Mimi natwa katana kutoka Kenya Mimi ni konashida ni mepata namba ya sumu tasaidikale?

  • @mariamumughandi7179
    @mariamumughandi71792 жыл бұрын

    Mimizi je. Inatibu

  • @NasmaAbdallah-cj2xb
    @NasmaAbdallah-cj2xb2 күн бұрын

    Me nimekunywa lakini najisikia kutapka na tumbo linauma alf nalewa

  • @LidyMotto
    @LidyMotto2 ай бұрын

    A alykum sheikh ni dawa gani inayotibu matatizo ya uzazi yaani sioni hedhi naninatamani lushika mimba

  • @munnahsaid7329
    @munnahsaid73293 жыл бұрын

    Nna mtoto wangu alifura nyuma ya ckio kma nundu....nini dawa yake please

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Jaman asante muwasho unasumbuwa

  • @SaideCrobidoSaide-jb2px
    @SaideCrobidoSaide-jb2px Жыл бұрын

    Mwalim je kwa kujichambia kipindi chá muda gani ikiwa kutwa Mara 2, Je Kwa mwanamume mwenye kuwasha ema fangasi makalioni atumiaje na pata uwasho makalioni MPA sehemu za Siri iwezeka kutumia mti uu wa mstaferi?

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani71943 жыл бұрын

    Hiyo spital ipo wapi

  • @sophiaernest3772
    @sophiaernest37722 жыл бұрын

    Kwauvimbe je doktat

  • @MulhatHMohd
    @MulhatHMohd2 жыл бұрын

    Mjamzito anaweza kutumia??

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed3 жыл бұрын

    Sheikh Mwenyezi Mungu akuondolee.....Sheikh kama una pressure ya kichawi nitumie nini.?

  • @vuaijaku4644

    @vuaijaku4644

    Жыл бұрын

    Tumia magome ya mrongwe

  • @user-dw1um8rc2w
    @user-dw1um8rc2w8 ай бұрын

    Cm numba

  • @anithamussa-hb5zu
    @anithamussa-hb5zu3 ай бұрын

    Nna salatani ya matiti naweza kufanya tendo last ndoa uku natumia dawa

  • @dorotheamtwar3068
    @dorotheamtwar30682 жыл бұрын

    Je Kama unauvimbe unatumiaje?

  • @EvelinaMwasile
    @EvelinaMwasile2 ай бұрын

    Sorry docter mie nimetumia Leo kijiko kimoja Cha unga wa mstafeli nimeharisha sana shida itakuwa ni nini?

  • @fundimagari5825
    @fundimagari58253 жыл бұрын

    Sheikh hapo kwenye mizizi ya mstaferi kuchanganýa na ubani,,, Ubani upi? Mashtaka, makka, zuhura, lawi, maiti… .ebu sheikh niabarishe nipate faida…

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Жыл бұрын

    Kwa muda gani?

  • @Nimalese
    @Nimalese2 жыл бұрын

    Sasa uyu mdada mwenye fangasi ya uzazi utakunywa kwa siku ngapi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Kwa wenye kansa utachuma majan machanga au yaliyokomaa

  • @mozzaalliy504
    @mozzaalliy5043 жыл бұрын

    Mjamzito anatumia?l

  • @durunuhu7748
    @durunuhu77483 жыл бұрын

    Sheghe unapatikana mkoa gan

  • @TeamKRX

    @TeamKRX

    9 ай бұрын

    Zanzibar

  • @chunaamina8719
    @chunaamina87193 жыл бұрын

    Asalam aleykum, Sheikh mm naomba unifahamishe vzur kuhusu dawa ya Tezi Dume kwa mtoto kufura upande mmoja

  • @munnahsaid7329

    @munnahsaid7329

    3 жыл бұрын

    Mm pia

  • @user-ll3mm2hm9u
    @user-ll3mm2hm9u4 ай бұрын

    Mti wa mzalia nyuma nimti gan ili nijue na mm macho yananiuma

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio Omar atamlipa

Келесі