FAIDA ZA MTI WA MSTAFELI KWA KUTIBU UZAZI| TENZI DUME NA MARADHI YA KICHAWI| SHEIKH YUSSUF BIN ALLY
usiache kufatilia vipindi tofauti vya tiba za miti na kujua zaidi kuhusu elimu za tiba na maradhi
DASHIF TV TZ online ipo kwa ajili ya jamii nzima.
SUBSCRIBE ili kupata kila somo litorushwa kwa wakati
Пікірлер: 133
Pole kwa jicho tafuta majani ya mzalia nyuma uchemshe jifukize nikiboko kwa macho Allah akipenda naamini itakusaidia inshaallah
Jamani mimi napata tabu kwa mafua hayatoki naumwa kichwa saana yaani nikipata mafua naumwa kichwa
Asalamu aleikum sheikh allah akupe shifaa ya haraka akulinde ya rabby
Masha Allah, sheikh nimekuelewa na insha Allah Mungu akupe ponyo la jicho lako ili tupate tiba na ushauri wa suluhisho la maradhi yetu, amina.
MASHAALLAH shukran, Allah akupe shufah ya araka. IN SHAA ALLAH Tumia majani ya mpera 3, mkunazi 3, mbaazi 7 vurunga osha macho na kichwa kizima Hadi nyuma ya maskio kwa nerves. Asubuhi na njioni Kila ukitumia iwe fresh kwa siku Saba.
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Shukran
A alykum sheikh ni dawa Gabi inayitibu jipu lisilopone mimi naitwa Amina niko oman
Mansha Allah sheikh Allah akulipe kheir, Allah akupe shiffa insha Allah
Shukran sana jazzakallahul kheri
Shukran Sana sheikh Allah akufanyie wepesi na akuponye jicho lako
In Shaa Allah mwenyezi mungu atakupa Shifaa Kwa haraka
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
Pole Sana , inshallah mwenyezi mungu akipenda shifaa haraka .
@zamdahassan6960
3 жыл бұрын
Pol San kwa jicho kaka ang
Pole Sana sheikh yussuf bin Ali Allah Hafiz
Shukran sana mimi nina kijiuvimbe kwa koo hakiumi wala haujui uvimbe huo in shaa Allah ntakutumia mstafeli shukran sana
@khadijaibrahim870
Жыл бұрын
Wala haukui
Shukran shekhe pole kwa maradhi Allah akupe shifaa,,naomba nijuze hyo ya fangus ni kwa mda gani naona umesahau kusema
Pole sana sheikh wetu kwa kuumwa jicho Allah atakuponya inshaallah
Mashaallah shukuran san shekhe wetu Allah akupe shifaa ya haraka iliweze kutu elimisha zaidi inshaallah
Mungu akuwekeye wepesi katika tiba yako ishaalla🙏🙏
Asante Sana Kwa time yako God bless you 🙏🙏🙏
Polesana mwalimu mungu akupeshufaa sasa ukiwa natenzi dume huna kansa utajitibu ivo ivo
Pole sana sheikh wetu allah akupe shifaa
Mashaallah
Mashallah shekh wangu ALLAH akuweke na kupe umri mrefu wenye manufaaa
Pole sana shekh Allah akupe afya njema uzidi kutuelimisha inshallah
Mashallah ALLAH barik
Pole sana usthadhi yussuf, afueni ya haraka
Allah akufanyie wepes jicho lipoe na liwe salama salimin inshaallah
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin
@badrurajabu391
3 жыл бұрын
Sheikh pole sana
Assalam aalaikum ndungu zangu ALLAH AKUPE SHIFAA NDUGU YETU BI IDHNILLAH ALAFU NA mimi mina tatizo la infection bacteria inayo nisabishiya vidonda vya tumbu nimetumia dawa nyingi ivi sasa mwaka umekwisha ila bado sijapowa huwenda sijapatiya kwenye matibabu naomba anae jua aniilimishe tiba ALLAH Atamliba
Salaam... wallah mie ndio ninaumwa hiyo hiyo mgongo kiuno mpk kichwa wallah... shukran sana.... allah ibariq
Polesana shekhee mwenyezimungu akufanyie wepsi katika uponyaji
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin
Masha Allah
Shukurani ust mumgu akupe wepesi ktk kazi zako inshall Allah
Mungu akupe umri mrefu wenye manufaa najifunza mengi kutoka kwako
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
Masha Allah mwenyez mungu akuzdishie ujuz
Allah awalipe inshaallah.... Mnatufundisha mengi
Pole allh atakuafu inshaallh
Asalam alaikum warahmatullah vp hali docteur wetu Allah azidi kuwa hifadhi zaidi kwa juhudi zeni mm nilikuwa nauliziya aya majani ya mstafel kwa mtu mwenye ujauzito jee aya mzuru akitumiy
Asante sana sheikh Kwatiba yako 🤲
In God We Trust
mashaallah
Pole shekhe wetu Allah akuoe shifaa
Inshallah mwenyezi mungu atakuaf
Safi sana Dr
Waalaikum salam warahmatullah wabarakatu shukran sana shekh allah akupe shifaa uendelee na mizunguko yko ya kila siku
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
Shukran Jazakallah khaira
Pole kwa kwa kuumwa jicho
Barikiwa sana mtu waMungu
Pôle Sana mungu atakujaliya
Insha Allah shukraaan sanaa Allah akubarik sana
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
@mariamumughandi7179
2 жыл бұрын
Tufundisheni na mizizi take inatibu
Shukraan
Pole sana Sheikh Yusuph Rabbi Akupe afueni ya haraka Insha Allah.
Sadakta sheikh,ilmu twaipata sawia.
Shuklani🙏🙏
Pole shehe
Pole sana
Hubarikiwe
الله يشفيك .
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
أمين
Allah akuhifadhwi sheikh wetu
@suheilasuheilah220
2 жыл бұрын
Allah awapikie kila lakheri
❤
Wallah sheghe unatoa sadaqa tun'jaria Allah atakulipa ... insyaallah
Shukuran sana Tumia majani ya mnyanya poli kutibu hilo jicho rafiki
@Mwanahamisi-kl3jd
Ай бұрын
Asante sana. Je kustanj ivyo na. Chumvi
Shukuraan
Allha atakujaliya utapowa
naomba kujua mti wa mchulusuki na faida zake
Majani na blend vip
Presha zote au ya kupanda au ya kushuka
mimi nasaga juice fresh tatizo rangu fangas nisawa
Assalamwalekum sheihk Wang mim nakufatilitga San lakin Nina tatiz Nina mdog Wang nimwizi anaib anashikw sas sijuw km kunawez patikan daw yakulutib aac wizi??
Masha Allah Sheikh inshallah get well soon with your eye 👁 infection, such a great lesson, BarakAllah feek to our beloved Swaahibu Al-Ashjar
@alfajrtvtzonline9315
3 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
@shaidadaudi537
3 жыл бұрын
Asalam aleikum sheghe no haionekani@@alfajrtvtzonline9315
@neemamwijage
4 ай бұрын
Je huo mti unatibu na goiter ninatazizo ya goiter
Asalam aleykum je kama mtu yuko mbali na ana cansa ya koo na huu mti haupo je makavu yanafaa?
Asante mugu atakuaf
Dawa ya asili
Unatumika siku ngap mwenye fangas
Samahani kunasehemu niliona majani ya mstafeli hutibu uvimbe kwenye kizazi naweza kutumiaje?
Akisanti
Hi kaka Niko Kenya uko naiyo dawa ya kusikaniza mwenamuke mwenye anatoma inje ya ndoa
Ndio nilisikia mionzi sio mizur
Mimi natwa katana kutoka Kenya Mimi ni konashida ni mepata namba ya sumu tasaidikale?
Mimizi je. Inatibu
Me nimekunywa lakini najisikia kutapka na tumbo linauma alf nalewa
A alykum sheikh ni dawa gani inayotibu matatizo ya uzazi yaani sioni hedhi naninatamani lushika mimba
Nna mtoto wangu alifura nyuma ya ckio kma nundu....nini dawa yake please
Jaman asante muwasho unasumbuwa
Mwalim je kwa kujichambia kipindi chá muda gani ikiwa kutwa Mara 2, Je Kwa mwanamume mwenye kuwasha ema fangasi makalioni atumiaje na pata uwasho makalioni MPA sehemu za Siri iwezeka kutumia mti uu wa mstaferi?
Hiyo spital ipo wapi
Kwauvimbe je doktat
Mjamzito anaweza kutumia??
Sheikh Mwenyezi Mungu akuondolee.....Sheikh kama una pressure ya kichawi nitumie nini.?
@vuaijaku4644
Жыл бұрын
Tumia magome ya mrongwe
Cm numba
Nna salatani ya matiti naweza kufanya tendo last ndoa uku natumia dawa
Je Kama unauvimbe unatumiaje?
Sorry docter mie nimetumia Leo kijiko kimoja Cha unga wa mstafeli nimeharisha sana shida itakuwa ni nini?
Sheikh hapo kwenye mizizi ya mstaferi kuchanganýa na ubani,,, Ubani upi? Mashtaka, makka, zuhura, lawi, maiti… .ebu sheikh niabarishe nipate faida…
Kwa muda gani?
Sasa uyu mdada mwenye fangasi ya uzazi utakunywa kwa siku ngapi
Kwa wenye kansa utachuma majan machanga au yaliyokomaa
Mjamzito anatumia?l
Sheghe unapatikana mkoa gan
@TeamKRX
9 ай бұрын
Zanzibar
Asalam aleykum, Sheikh mm naomba unifahamishe vzur kuhusu dawa ya Tezi Dume kwa mtoto kufura upande mmoja
@munnahsaid7329
3 жыл бұрын
Mm pia
Mti wa mzalia nyuma nimti gan ili nijue na mm macho yananiuma
Ndio Omar atamlipa