FAHAMU NGUVU YA UTAKASO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 18/02/2024
PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Пікірлер: 71
Amen pastor mungu akubriki hili neno la leo naona kubdilshwa ❤❤❤❤🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Asante pastor nimebarikiwa nanibebadilisha maisha
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu maubiri yako imenipatilisha sana 🙏
Amen amen amen 💖🙏🙏
Nimebarikiwa nakukuwakiroho sana nikiwa Burundi mngu azidi kukuinuwa
Amen Amen
Amen 🙏 🙏 🙏
Nabarikiwa naahubiri yenye kibal nahuishwa siku Hadi siku
Ujumbe wa Leo umeniguza sana ,mungu anitie nguvu zaidi niishi katika neno lake! 🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤OH MY goodness Peophet
Mungu ni mwema njamani kutupa waubiri na waimbaji wote keenye mtandao amem bwana. Yesu mzururi ❤❤🎉🎉🎉🌹🔥🔥🔥🔥🔥🥰❤️🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼👏👏🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥
Harrelluyah Jehova uzidi kubariki mchunganji Na Neema Kwa Wingo.mafundisho yake inatupatia uzima wako❤❤❤❤Asante yesu
Amen ubarikiwe Paston George, kwa neno nzuri la Mungu nimebarikiwa sana.
Mungu ututakase kabisa
Mungu wa mbingu na nchi akubariki mtumishi wa Mungu
Hakika leo naona wazi wazi kuwa Mungu amesema nami na kunijibu maswali yangu na shida zangu zote..
Asante pastor,kuanjia leo najitakaza Kwa bwana,nataka niishi maisha ya kumpendeza mungu🙏🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu,ninabarikiwa sana na mafundisho yako,Mungu aendelee kukutumia.
Nakufuatilia kutoka Kenya naomba utukufu wa Mungu kwa maisha yangu. God bless you man of God❤
Nimebarikiwa sana namtukuza Mungu WA mbinguni kwajili ya mtumishi