FAHAMU NGUVU YA UTAKASO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 18/02/2024

PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 71

  • @user-md7ks7um4o
    @user-md7ks7um4o

    Amen pastor mungu akubriki hili neno la leo naona kubdilshwa ❤❤❤❤🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌

  • @bettymrema3642
    @bettymrema3642

    Asante pastor nimebarikiwa nanibebadilisha maisha

  • @alicerosah3084
    @alicerosah3084

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu maubiri yako imenipatilisha sana 🙏

  • @AgnesNyaleso
    @AgnesNyaleso

    Amen amen amen 💖🙏🙏

  • @user-mo9pg7kj4v
    @user-mo9pg7kj4v

    Nimebarikiwa nakukuwakiroho sana nikiwa Burundi mngu azidi kukuinuwa

  • @FloraMbelwa
    @FloraMbelwa

    Amen Amen

  • @HariytAsd
    @HariytAsd

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @GodluckMmbaga-nd3nf
    @GodluckMmbaga-nd3nf

    Nabarikiwa naahubiri yenye kibal nahuishwa siku Hadi siku

  • @user-kj8cd9zt7b
    @user-kj8cd9zt7b

    Ujumbe wa Leo umeniguza sana ,mungu anitie nguvu zaidi niishi katika neno lake! 🙏🙏🙏

  • @kmtcuniversity9310
    @kmtcuniversity931028 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤OH MY goodness Peophet

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113

    Mungu ni mwema njamani kutupa waubiri na waimbaji wote keenye mtandao amem bwana. Yesu mzururi ❤❤🎉🎉🎉🌹🔥🔥🔥🔥🔥🥰❤️🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼👏👏🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥

  • @PurMer-lx4qf
    @PurMer-lx4qf

    Harrelluyah Jehova uzidi kubariki mchunganji Na Neema Kwa Wingo.mafundisho yake inatupatia uzima wako❤❤❤❤Asante yesu

  • @everinemasoka6923
    @everinemasoka6923

    Amen ubarikiwe Paston George, kwa neno nzuri la Mungu nimebarikiwa sana.

  • @user-rl3nb9gj5b
    @user-rl3nb9gj5b

    Mungu ututakase kabisa

  • @neemakaaya3252
    @neemakaaya3252

    Mungu wa mbingu na nchi akubariki mtumishi wa Mungu

  • @user-eg8vz4cm2n
    @user-eg8vz4cm2n

    Hakika leo naona wazi wazi kuwa Mungu amesema nami na kunijibu maswali yangu na shida zangu zote..

  • @VioletFlora-qx5xl
    @VioletFlora-qx5xl

    Asante pastor,kuanjia leo najitakaza Kwa bwana,nataka niishi maisha ya kumpendeza mungu🙏🙏

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu,ninabarikiwa sana na mafundisho yako,Mungu aendelee kukutumia.

  • @user-yf8co5vt4u
    @user-yf8co5vt4u

    Nakufuatilia kutoka Kenya naomba utukufu wa Mungu kwa maisha yangu. God bless you man of God❤

  • @violethnyangasa9495
    @violethnyangasa9495

    Nimebarikiwa sana namtukuza Mungu WA mbinguni kwajili ya mtumishi