EXLUSIVE : MKE WA MOMO ATOA SABABU ZA ESMA KUSEMA ANATEMBEA NA MSIZWA

Ойын-сауық

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 175

  • @naimanurdin1354
    @naimanurdin13543 жыл бұрын

    Dini inasisitiza tufichiane aibu zetu haya mambo yanakuwajee jamaniii

  • @nasmasalim2352
    @nasmasalim23523 жыл бұрын

    Pole mamy 💕💕💕

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv55743 жыл бұрын

    Daaaah dunia hii bhana Mungu endelea kunipa namba niendelee kuyaona mengi ila nisikukosee tu.

  • @emmymtambo2874
    @emmymtambo28743 жыл бұрын

    Itakuwa kweli,maana nyie wakina dada,mnapenda ela,ulijua msizwa anapesa

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture54823 жыл бұрын

    Hii familia ya kisenge sana hiii

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14863 жыл бұрын

    Hii wasafi sasa haina maana kabisa, haina faida kwa watanzania

  • @superstuwart2434

    @superstuwart2434

    3 жыл бұрын

    Yani wanataka kufanya familia ya diamond iwe ina trend huu ni ushamba wanazingua

  • @mnubimnubi4081

    @mnubimnubi4081

    3 жыл бұрын

    @@superstuwart2434 chuki binafsi itawauwa nyie suseni kwani ukiwa na Tv ndio nyie msiwe na haki ya kuhojiwa kisa watazamaji watachukia

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    3 жыл бұрын

    Peke yako,,wengine tunapenda,,,,hata radio za abroad kuna vipindi km hivi na vinapendwa

  • @maujanjatv24h41

    @maujanjatv24h41

    3 жыл бұрын

    Kwendraaaaaaa tuachie wasafi yetu

  • @bongomstv6517

    @bongomstv6517

    3 жыл бұрын

    Pita kureeeeeeeerrrre

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu21303 жыл бұрын

    Media za tanzania zinaendeshwa na umbea tu.Nchi zima inazungushwa na umbea wa familia moja na maceleb nkt!

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    3 жыл бұрын

    Ni upumbavu kabisa

  • @The_bright_tz

    @The_bright_tz

    3 жыл бұрын

    We kwendraaaaaa si uangalie Tbc huku unafanya nn umbea tu na ww

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Uko sahihi

  • @tresiakaovela9109
    @tresiakaovela91093 жыл бұрын

    Ukiwa na mawazo ingia wasafi kwasababu kunamambo yajabu hayo nimambo kifamily inakuwaje mnaweka kwenye mtandao

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama63873 жыл бұрын

    kumamake huu ukoo...!! Dah 😅😅😅

  • @naamohamed9964
    @naamohamed99643 жыл бұрын

    Siku hizi hakuna hata haja ya kuangalia bongo move interview za hawa watu zinatosha

  • @khdigahk4246

    @khdigahk4246

    3 жыл бұрын

    Kumbe eee 😂😂😂😂

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    @@khdigahk4246 😃😃😃😃Ndioo hivyo

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP3 жыл бұрын

    Ni mwongo tuu na huyo ricardo anajua kabisa

  • @razmuhammad7223
    @razmuhammad72233 жыл бұрын

    Wee momo huna akili... Mwanamume mzim waenda kweny media kuzungumz mambo yko na mkeo?

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    Kwelii upuuzi sijui wanawazaga nn hawa watu

  • @benjaminmaganga7402

    @benjaminmaganga7402

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Si kila anaevaa suruali ni mwanaume halisi,,,,

  • @Nufaila442
    @Nufaila4423 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 2021 mwaka wa wawasafi

  • @ahmadishaibufataha1481
    @ahmadishaibufataha14813 жыл бұрын

    Hii wasafi imekuwa ni redio.ya familia na tv.yao na unafiki tuu washamba wamaisha sana

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu28163 жыл бұрын

    Yan wifi yako anaumwa, kupata muda kwenda kumuona ulikosa ila kufuatilia ela nyumban uliweza.. Aiseee wifi wenza kazi

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko71723 жыл бұрын

    Wasafi hii Miwani Miwani kwa TV imezindii 😁🤣

  • @aishaabdul1712
    @aishaabdul17123 жыл бұрын

    Esma siyo chizi eti halafu huyu ni wifi ake haya mambo yangekuwa hayana uhakika asingesema huyo msizwa ndo hana adabu

  • @ibrahimsurvive3311

    @ibrahimsurvive3311

    3 жыл бұрын

    nikweli dada angu uko sahihi

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti36573 жыл бұрын

    Dah mji mzito huu

  • @nishaabias5694
    @nishaabias56943 жыл бұрын

    Ni radio ya familia hii

  • @robertmolila7545
    @robertmolila75453 жыл бұрын

    Wasafi media Ni habari za familia ya mond tuuuu

  • @ngwacahnyagwaswa9979

    @ngwacahnyagwaswa9979

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Media ya Familia habari za familia 😂😂😂

  • @lovemyselflovemyself954
    @lovemyselflovemyself9543 жыл бұрын

    Iyi familia ya mama dangote ima mambo mengi Sana ambaye ina fichwa. kwa Zamaradi Esma alisema akukuwa na mimba. Apa Inasemekana alikuwa na mimba 😩 sasa ukweli uko wapi?

  • @kinggaming928

    @kinggaming928

    3 жыл бұрын

    Mana yake esma ni muongo kweli ila iwe Mama mtoto ni sawa ana atake Diamond dad Sasa sikia ana atake wifi zake ni mambo Esma ni primary kicuani shame on her

  • @mwatumudogo3948

    @mwatumudogo3948

    3 жыл бұрын

    Yaaani ni mkorogo kabisa

  • @beatricemshiu2816

    @beatricemshiu2816

    3 жыл бұрын

    Mwenye ukweli wa mimba ni mbeba mimba mwenyew

  • @littlelloyd3930

    @littlelloyd3930

    3 жыл бұрын

    Swali: Huko Tanzania hakuna hospitali za kufanya DNA?

  • @lovemyselflovemyself954

    @lovemyselflovemyself954

    3 жыл бұрын

    @@littlelloyd3930 ziko nyingi Sana 2

  • @zahrasulaiman8827
    @zahrasulaiman88273 жыл бұрын

    Hii familia nishida hahahaa ESMA kakataa haja toa mimba Leo Maraika anasibitisha umetoa mimba mungu awalaani mtt na mama ake Kwa kuishi Maisha feki uku mnajisifu sio feki mko kimasilahi zaidi

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 Жыл бұрын

    Kumbe momo nae yupo 😂😂😂😂😂😂 dah .... mapenzi ya tz ya michoreshano na ukiangilia wote ni wasaka tonge wakina bill gates wanaachika sembuse nyie wenzangu na mm

  • @janatahmad7048
    @janatahmad70483 жыл бұрын

    huo esma ni malay tu na tabia mbaya jamani yani ndoa imemshinda sasa anataka kuhalibia wengune dooo ewe mungu njo maana siwezi wifi mimi siwezi kua karibu na ma wifi

  • @Agnes-qq4np

    @Agnes-qq4np

    3 жыл бұрын

    Wifi wa mtu nimbanda yake ulikua aujuwi ilo ka mbali na mawifi

  • @fredymassawe6125
    @fredymassawe61253 жыл бұрын

    Malaika

  • @moriscollins4494
    @moriscollins44943 жыл бұрын

    Hii media ingeitwa ukahaba Media

  • @safiyamohamudadan6526
    @safiyamohamudadan65263 жыл бұрын

    Anataka kumharibia ndoa yake imemshinda

  • @dktnandulenandule4970
    @dktnandulenandule49703 жыл бұрын

    Esma gani Tena jamani?😂

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala93743 жыл бұрын

    Ukoo wa kimjinimjini ni shida tu Bora uku bush tunaenjoy life tukikosana baadhi ya ndu wazee wambanga wanayamaliza

  • @rhodajames8912
    @rhodajames89123 жыл бұрын

    Huyu Dada nimuhongo

  • @goodmarkjulius8806
    @goodmarkjulius88063 жыл бұрын

    Na radio ifungwe tuuuuuh haina inachofundisha kwa jamii naomba tcra tuonane chapu🤺🤺

  • @ramak.9587
    @ramak.95873 жыл бұрын

    Ulishindwa kuenda kumuona akiumwa lakini ulienda kufata pesa? Mbna Msizwa asijiandae kuja na hela ama achague azieke alete pesa atwae instead ya kuandamana nae kwake kufata hela ukijua aumwa na hukua umemtembelea kumjulia hali? Apa mnatucheza aisee.

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78503 жыл бұрын

    Redio hz zinazungumzia umbea tu Watanzania sijui wanapenda

  • @kamtandeabdala3271

    @kamtandeabdala3271

    3 жыл бұрын

    Mashamsham NI umbea maana yake

  • @bmbnndailylife2096
    @bmbnndailylife20963 жыл бұрын

    Kumbe wewe ndo uliye muambia msizwa hesma atatoa mimba

  • @mamyamin1885
    @mamyamin18853 жыл бұрын

    Muongo ulishindwa kuniona mgonjwa kwenye pesa uende ww sema kweli

  • @adamsaga6700

    @adamsaga6700

    3 жыл бұрын

    Sasa aache pesa zake kisa Kuna mgonjwa na ameambiwa hela ziko home

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto3 жыл бұрын

    WANAWAKE WAKUOGOPA NA KUKAA MBALI NAO. WABAYAAA KINOMA HAO NDANI

  • @charotelimo5026
    @charotelimo50263 жыл бұрын

    TCRA Si waifunge na hii redio wasitusumbue

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    3 жыл бұрын

    Sasa waifungie kwa kosa gani mbona we unafuatilia 😂 habari c uende TCRA ukatoe malalamiko

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP3 жыл бұрын

    MALAIKA huyo anajiuza huku uarabuni ni malaya tu atashindwaje kutembea na mume wa mtu

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c2 ай бұрын

    Kwnn mambo ya familia mnaleta kwenye media make ukuna patanisho ni umbea tyu media baada ya kuleta suruhu ni umbea na nyie wanandoa mnaoleta mambo yenu humu nyote amna akili sawa sawa kila mtu ana changamoto kwenye ndoa yake wanakaa wanamaliza tofauti zao

  • @vero57
    @vero573 жыл бұрын

    Vua miwani dada

  • @aishamusumba8469
    @aishamusumba84693 жыл бұрын

    Sasa hawa watu ni madui na esma iweje wakubali kaka yako diamond kuwa makini hawa watu wana mipango mbaya kwako

  • @benjaminmahenge313
    @benjaminmahenge3133 жыл бұрын

    no problem na dada ni hviiiii

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa94133 жыл бұрын

    Wasizwa na wanyange mnatuvurugaaa huku dai nyange huku msizwa eeeeh

  • @zaerajuma9159
    @zaerajuma91593 жыл бұрын

    Interview short

  • @mosekombo3657

    @mosekombo3657

    3 жыл бұрын

    Iko full pia

  • @YTZBOY
    @YTZBOY3 жыл бұрын

    Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse29613 жыл бұрын

    Malaika uko mrembo ila uko Mnafki mume wa Esma anakutombaa sana malaya wewe momo ana mke muna leta haya nyinyi family ya dangote

  • @Queen-by6ei
    @Queen-by6ei3 жыл бұрын

    Mjamzito gani tena ??!

  • @allynama5247
    @allynama52473 жыл бұрын

    Msizwa kala mzigo

  • @goldenfoot1102
    @goldenfoot11023 жыл бұрын

    Hawa jamaaa wanahatari Sana

  • @aisharamadhani9438
    @aisharamadhani94383 жыл бұрын

    Jmn dunia cmama nishuke mmetuchosha Hali ngumu mnaleta Kiki za ovyo

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Unashuka kituogani

  • @user-fk4hq8yw9u

    @user-fk4hq8yw9u

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse29613 жыл бұрын

    Tokaa pala we kahaba momo ana lolote Esma ni yuda ila kaongea point

  • @jayfadhil8404
    @jayfadhil84043 жыл бұрын

    Dunia simama nishuke ninunue njugu

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba4713 жыл бұрын

    Mmejipanga ila konde nyimbo itawaka tuh. Mara cyo baba yke mara esma nae na wifi yke mmmmh kiki

  • @gresitimoth4142
    @gresitimoth41423 жыл бұрын

    E

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Жыл бұрын

    Muda wa kufuata ela ulikuwa nao ila kwenda kumuona ulishindww

  • @goodvibetv4065
    @goodvibetv40653 жыл бұрын

    Toka mmetangaziwa kufungiwa basi mnahangaika na kuzalilishana ndan ya familia zenu ili tu kupata attention

  • @dorisjessy5960
    @dorisjessy59603 жыл бұрын

    Lakini inaonyesha malaika humshirikisha momo kila kitu chake ambapo ni vizuri hawatofautiani kwenye kauli

  • @FatimaFatima-fy7yv
    @FatimaFatima-fy7yv3 жыл бұрын

    Duuuuuu family hii ina matatizo daaaaah ujinga kira siku

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    3 жыл бұрын

    Afuu me nashangaa kitu kidg hadi mtandaon sijui nini

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    3 жыл бұрын

    Sasa we unafuatilia nini

  • @lusePro
    @lusePro3 жыл бұрын

    Yani nyie hamnaga habari zingine? Kila cku ni mambo ya familia tu!

  • @brainsngaugula6075
    @brainsngaugula60753 жыл бұрын

    Ukiona manyoya... Niliacha kuamini wanawake kitambo!

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    Aaaaaaa Tutake radhi bwana

  • @safiyamohamudadan6526
    @safiyamohamudadan65263 жыл бұрын

    Ni muongo mbona haja screen shot?

  • @iflamusa7645
    @iflamusa76453 жыл бұрын

    Hio sio kiki ya kufunika wimbo wa hamo

  • @zachariamduma3411
    @zachariamduma34113 жыл бұрын

    Lkn hyo familia ina balaa gni jmni,mama zero,watoto zero.

  • @connortripp9304

    @connortripp9304

    3 жыл бұрын

    I guess it's quite off topic but does anyone know of a good website to watch new series online ?

  • @huxleyaydin6562

    @huxleyaydin6562

    3 жыл бұрын

    @Connor Tripp Lately I have been using Flixzone. Just google for it :)

  • @ernestojayson3652

    @ernestojayson3652

    3 жыл бұрын

    @Huxley Aydin Yea, have been watching on flixzone for months myself :D

  • @connortripp9304

    @connortripp9304

    3 жыл бұрын

    @Huxley Aydin thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :D I appreciate it !

  • @huxleyaydin6562

    @huxleyaydin6562

    3 жыл бұрын

    @Connor Tripp you are welcome xD

  • @erickkisindja2670
    @erickkisindja26703 жыл бұрын

    Kilicho nifiraisha kuona mwislam kuongelea Mambo ya Yesu kristo kuliko Muhammad akika biblia ndio Neno la kweli lsbMungu.

  • @leonidamatungwa5328
    @leonidamatungwa53283 жыл бұрын

    Hivi hamna aibu na mambo ya familia kwenye radio

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    3 жыл бұрын

    Sheytwan akikushika kakushika

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    3 жыл бұрын

    Kwn lazima uwasikilize.famly inamigogoro iyo

  • @com_sci123
    @com_sci1233 жыл бұрын

    This family I can't 🤦🤦🤦

  • @claudiangowi9585

    @claudiangowi9585

    3 жыл бұрын

    🙅hata mimi nimechoka kabisa

  • @flavianwilliams2888
    @flavianwilliams28883 жыл бұрын

    Hapa na pale dukani maneno yamepishana

  • @afrobongobeats1686
    @afrobongobeats16863 жыл бұрын

    Familia ina drama hii khaaa😂😂 Nyange family

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃Etiii nyange family

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv3 жыл бұрын

    Momo sauti kama mondi

  • @The_bright_tz

    @The_bright_tz

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @sponsor7882
    @sponsor78823 жыл бұрын

    Freemason wameanza kuvuruga family.

  • @Vince-kw9hu
    @Vince-kw9hu3 жыл бұрын

    Kwani wasafi imekua patanisho Useless kabisaaa

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52413 жыл бұрын

    Mmsameh bure nae hamjui baba yake anabandikizwatu eti nimwarabu wakati niwawahindi wa kariakoo 😂😂😂

  • @dinahshirima6356

    @dinahshirima6356

    3 жыл бұрын

    Nacheka comet yako

  • @asinatikarim5401

    @asinatikarim5401

    3 жыл бұрын

    Aloo haha

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃

  • @H-moneybags
    @H-moneybags3 жыл бұрын

    Upuzi mtupu

  • @lamzashedu9825
    @lamzashedu98253 жыл бұрын

    Mbona media mambo ya familia daily

  • @mariamakungwa5391
    @mariamakungwa53913 жыл бұрын

    Kwani uwifi umeisha?mbona kazi ipo

  • @mubamuba3450

    @mubamuba3450

    3 жыл бұрын

    Walana wenyew kwa wenyew mimba nyingine izo

  • @mubamuba3450

    @mubamuba3450

    3 жыл бұрын

    Zinakuja utaona

  • @bmbnndailylife2096
    @bmbnndailylife20963 жыл бұрын

    Ulijua msizwa anapesa malaya tu wewe

  • @neemadeo7803
    @neemadeo78033 жыл бұрын

    Alikuwa mjamzito hahaha makubwa

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    3 жыл бұрын

    Dah kazi kweli kweli

  • @adamismailly1784
    @adamismailly17843 жыл бұрын

    Acheni drama mikundu nyie mwataka muwatoe watu kwenye inshu ya ma dangote ya ukahaba mwatuketea mambo ya msinzwa

  • @venerandamasunga6789
    @venerandamasunga67893 жыл бұрын

    ndugu wa diamond ni matahira tena hamnazo kabisa kinachowastiri ni pesa tu tena kwasasa siwezi kumshabikia diamond tena hawajielewi kabisa

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    3 жыл бұрын

    Wewe ni shabiki mandazi... kwani unashabikia kazi zake au unashabikia drama za familia yake?

  • @anitaerasto5482

    @anitaerasto5482

    3 жыл бұрын

    haaaaaaah usinichekeshe mie

  • @josewillson1813

    @josewillson1813

    3 жыл бұрын

    Kwan umemwona diamond apo au aliyeongea ujinga ni mond

  • @venerandamasunga6789

    @venerandamasunga6789

    3 жыл бұрын

    @@BigZhumbe tangu wamwmkataa mzee Abdul siwakubali kwa mziki wala drama unazozungumzia

  • @kalufunyangenyakinyungu5087

    @kalufunyangenyakinyungu5087

    3 жыл бұрын

    Hata kabla hukuwa shabiki wa Mondi Unajinafikia mwenyewe

  • @issabakari1916
    @issabakari19163 жыл бұрын

    Uyo msizwa na wewe muke WA mutu, wote mazwazwa,, we umemwambia mwezio upo busy, amekuomba ukamjulie Hali anaumwa, we ungesema upo busy, harafu unaenda home kwake,!🤔

  • @frenchygigi
    @frenchygigi3 жыл бұрын

    Kiki za ujinga..

  • @amaningonyani2775
    @amaningonyani27753 жыл бұрын

    Hii TV saiv ni ya ukoo maana interview zote za ndugu tu mnataka ukoo mzima uwe maharufu

  • @mutalemwagabrie9791
    @mutalemwagabrie97913 жыл бұрын

    Momo ametoa mahari lakini?😂😂😂😂😂

  • @wozanawewoz979

    @wozanawewoz979

    3 жыл бұрын

    Mahari si swalaaa tuu😃😃

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27733 жыл бұрын

    KUNA LAANA KATIKA FAMILIA YA MAMA D.MAMBO YAO NI MATUKIO YA AJABU AJABU.WANAHITAJI MAOMBI

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    3 жыл бұрын

    Sanaaa

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga17403 жыл бұрын

    Dada una fanan na bikidude 😂 alikua mama yako?

  • @kijahnikwelinyalinga1740

    @kijahnikwelinyalinga1740

    3 жыл бұрын

    Dida una fanana na bikidude ni mama yako😂

  • @sarahtaste2876

    @sarahtaste2876

    3 жыл бұрын

    Ww mbingu utaisikia tu😂😂😂

  • @H-moneybags
    @H-moneybags3 жыл бұрын

    Ricardo momo wenu kachapiwa

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    FAMILIA YOTE MALAYA😆😆😆😅

  • @subirangellah8779
    @subirangellah87793 жыл бұрын

    Mjamzito??

  • @subirangellah8779

    @subirangellah8779

    3 жыл бұрын

    Si amesema hakuwahi kua na mimba ya msizwa

  • @thisiszai2045

    @thisiszai2045

    3 жыл бұрын

    Hicho ndo kino ni changanya mie pia, kwenye interview na zamaradi kasema haku wahi kushika mimba

  • @yusramohamed111
    @yusramohamed1113 жыл бұрын

    mambo mengiiii daah , family imejaa balaa, im losing interest.

  • @samonaukiro4391
    @samonaukiro43913 жыл бұрын

    Redio ya kipuuzi sana hii ....ujingaaaa mtupu

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 жыл бұрын

    Sam onaukiro acha uchoko wewe icho ni kipindi na wapo wenye interest nacho kukifatilia ivyo Kama unaona hakikupi Mambo unayotaka wewe pita kushoto kasikilize tbc mbona ipo unafata Nini uku punguza shobo

  • @samonaukiro4391

    @samonaukiro4391

    3 жыл бұрын

    @@albertkadyanji9722 sawa shoga la wasafi nimekuelewa matako ww na redio ya famil

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 жыл бұрын

    @@samonaukiro4391 choko wewe unaonekana mwanaume sio ridhiki wewe wanaume wa shoka hatuna kodi hizo choko fresh wewe

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын

    Hamna janga kubwa maishani kama kutokuwa na elimu ni bora uwe masikini au kipato cha kawaida ila umeenda shule . Madada wengi wa mjini kama hawa shule ndogo na ndio thinking capacity yao hii

  • @amanimanase5794

    @amanimanase5794

    3 жыл бұрын

    Ulimbukeni wa kipato broo ndomaana wanahisi Tz yao

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    3 жыл бұрын

    @@amanimanase5794 Yaani ni shida haswa na ukiwa na bahati mbaya ukioa mke kama huyo umekwisha.

  • @amanimanase5794

    @amanimanase5794

    3 жыл бұрын

    @@kabwelasutiviraka4765 daah si mchezo broo ingekuwa wanawake wote wako kama ivi walahi acha nikose bahat ya kuwa na mke kabisa

  • @rafiamasoud9166
    @rafiamasoud91663 жыл бұрын

    Dar hii familia kiukweli ni pasua kichwa Yan baada ya kufungiwa tv yao Sasa Kila kukicha wanatuibulia vioja ili kusudi tu wasisahaulike vichwan mwa watu

  • @mr.pilipili5289
    @mr.pilipili52893 жыл бұрын

    esma muuaji kashaua kiumbe anataka wenzie waliotulia nao wawe kama yey malayaa wa mbugan

  • @naimanurdin1354

    @naimanurdin1354

    3 жыл бұрын

    Na alisema live istagramu kweli alitoa mimba alafu zamaradi alivyomuuliza anasema hapana aliongea kwa hasiraa hii familia jamanii tuiombee tu iwe na khofu ya Mungu

  • @mr.pilipili5289

    @mr.pilipili5289

    3 жыл бұрын

    Familia ya hovyoo sanaa lakin yoote ji kwa sababu ya shule shule ni msaaada snaaa pesa sio kila kitu Aibu kila mtu anajieka uchi kuanzia mama adi watoto dah

  • @shuweynalove3622
    @shuweynalove36223 жыл бұрын

    Uyo Malaika atoe miwani tuone anavo babaika

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    3 жыл бұрын

    Umeona eeh

  • @fatmakhalid9176

    @fatmakhalid9176

    3 жыл бұрын

    Kweli ana sema urongo

Келесі