EXCLUSIVE: SAFARI YA MUZIKI WA SARAPHINA, KUIMBA BAR NA KULIPWA ELFU 20 "NIMECHEZA MPAKA MPIRA"
Mfahamu msanii Saraphina anayefanya vizuri kwa upande wa wasanii wa kike ambae kwasasa tayari amepata nafasi ya kuperform kwenye matukio makubwa likiwemo la Simba Day na hata kwenye show ya Nandy Festival Dar.
Sarah aliyeng'ara kupitia shindano la Bongo Star Search na kisha baadae kupata shavu la kurekodi Jingle ya Clouds FM, sasa time hii amekaa kwenye Ayo TV & Millardayo.com kafunguka mengi zaidi.
Пікірлер: 8
Tunaomjua saraphina she is baddest when it comes to live music,siku akifanya ndo mtaelewa how beast she is vocally
Ana sauti Kama vanessa
Dada unajua kwakweli my African sister am so excited with you
Keep pushing saraphina
🔥🔥🔥🔥