EXCLUSIVE NA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA | HUU NDIO UKWELI WA HISTORIA YAKE YA UTAJIRI

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
;Cast Latifa Mussa
:Host JS
: Camera 1 Charles
: Camer 2 Kasamalu

Пікірлер: 73

  • @mathiasndekimo3983
    @mathiasndekimo398325 күн бұрын

    huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    25 күн бұрын

    kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip

  • @LiangGirle

    @LiangGirle

    23 күн бұрын

    Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer​@@arafatali2796

  • @Official83640

    @Official83640

    21 күн бұрын

    Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂

  • @aminamaulid7371

    @aminamaulid7371

    19 күн бұрын

    Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari263325 күн бұрын

    Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto. Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari263325 күн бұрын

    Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au

  • @channychizzo5144
    @channychizzo514420 күн бұрын

    Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?

  • @user-ob9qd4vu4j
    @user-ob9qd4vu4j18 күн бұрын

    Dada mwamin mungu yeye nitajir wamatajir

  • @LuluByams
    @LuluByams20 күн бұрын

    Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule

  • @GodfreyGabriel-jn8ge
    @GodfreyGabriel-jn8ge25 күн бұрын

    Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z25 күн бұрын

    kumbe ajakoma😊😊

  • @VictorLyimo-so9xr
    @VictorLyimo-so9xr25 күн бұрын

    Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu

  • @HawaShaibu-dq5nr
    @HawaShaibu-dq5nr19 күн бұрын

    Huyu dada ni muongo sana

  • @SwaumuRamadhanDhahabu

    @SwaumuRamadhanDhahabu

    13 күн бұрын

    Tena sio kidg

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j25 күн бұрын

    Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga

  • @SharonGodwill

    @SharonGodwill

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa

  • @user-gm4fq4xj2z
    @user-gm4fq4xj2z26 күн бұрын

    Mmmh ss yule nyoka ilikuaje

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w25 күн бұрын

    Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.

  • @user-ib8vo3qb4c
    @user-ib8vo3qb4c21 күн бұрын

    Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi

  • @jamyabdul4321
    @jamyabdul432125 күн бұрын

    Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.

  • @LiangGirle

    @LiangGirle

    23 күн бұрын

    Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer

  • @SwaumuRamadhanDhahabu

    @SwaumuRamadhanDhahabu

    13 күн бұрын

    Huyu ni muongo sana jaman

  • @PauloBarton
    @PauloBarton25 күн бұрын

    Ukweli tunaujua uchawi was nyoka tunaujua wewe nimchawi kweli Acha kutuzuga

  • @rukiahabib3444
    @rukiahabib344424 күн бұрын

    mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam536026 күн бұрын

    Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa681725 күн бұрын

    Uongo mtupu, Wala haielekei uongo wake. Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j25 күн бұрын

    Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers KZread na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid413925 күн бұрын

    huyu anaogopa mkwala wa serikali

  • @charlestryphone656
    @charlestryphone65625 күн бұрын

    Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!

  • @LiangGirle

    @LiangGirle

    23 күн бұрын

    Nikwer kabisa huyu dada nimchawi tu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam536025 күн бұрын

    Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam

  • @nusaebahkeis6774

    @nusaebahkeis6774

    25 күн бұрын

    Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake

  • @MwaIne
    @MwaIne25 күн бұрын

    Mmh

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid413925 күн бұрын

    Na kile ulichotonyesha ni nn mdoli

  • @josemselle3844
    @josemselle384425 күн бұрын

    Ni muongo sana

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam536025 күн бұрын

    Na jina pia sio lako na sio msambaa

  • @susanlikokhe4361
    @susanlikokhe436125 күн бұрын

    Dress code

  • @magdalenaisrael3432
    @magdalenaisrael343225 күн бұрын

    Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x25 күн бұрын

    upuuuzi

  • @user-fi4md4np3h

    @user-fi4md4np3h

    25 күн бұрын

    🤣

  • @esterpaul5856
    @esterpaul585625 күн бұрын

    Nyoka ulimpatq wap

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w25 күн бұрын

    Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    ❤hakika

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @salamamohamed843
    @salamamohamed84325 күн бұрын

    Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa

  • @husnathabiti4114

    @husnathabiti4114

    25 күн бұрын

    Sasa kumbe Alishika nn

  • @user-gm4fq4xj2z
    @user-gm4fq4xj2z25 күн бұрын

    Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya

  • @user-gm4fq4xj2z
    @user-gm4fq4xj2z25 күн бұрын

    Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o25 күн бұрын

    Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii

  • @hamzahamza7565
    @hamzahamza756525 күн бұрын

    Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    We fal kwel watak ukwel au watak nguo

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    😂😢

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂

  • @prophetmwonajisamson2079
    @prophetmwonajisamson207925 күн бұрын

    Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    25 күн бұрын

    unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga

  • @prophetmwonajisamson2079

    @prophetmwonajisamson2079

    25 күн бұрын

    @@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j25 күн бұрын

    Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga

  • @user-xs8lf7hp7i

    @user-xs8lf7hp7i

    25 күн бұрын

    Akiwem wewe

  • @user-iy3fx7cl1j

    @user-iy3fx7cl1j

    25 күн бұрын

    Ata ww kwenye ujinga umo

  • @user-xz8mm5kt5m
    @user-xz8mm5kt5m25 күн бұрын

    Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu? Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney736726 күн бұрын

    Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta

  • @BestLife486

    @BestLife486

    26 күн бұрын

    Tazama video acha kukurupuka wewe

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    26 күн бұрын

    @@BestLife486 Ukitazama ww inatosha🤣

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    26 күн бұрын

    @@BestLife486 Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣

  • @BestLife486

    @BestLife486

    25 күн бұрын

    Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    25 күн бұрын

    @@BestLife486 Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza

Келесі