EXCLUSIVE NA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA | HUU NDIO UKWELI WA HISTORIA YAKE YA UTAJIRI
Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
;Cast Latifa Mussa
:Host JS
: Camera 1 Charles
: Camer 2 Kasamalu
Пікірлер: 73
huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo
@arafatali2796
25 күн бұрын
kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip
@LiangGirle
23 күн бұрын
Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer@@arafatali2796
@Official83640
21 күн бұрын
Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂
@aminamaulid7371
19 күн бұрын
Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.
Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto. Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua
Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au
Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?
Dada mwamin mungu yeye nitajir wamatajir
Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule
Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.
kumbe ajakoma😊😊
Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu
Huyu dada ni muongo sana
@SwaumuRamadhanDhahabu
13 күн бұрын
Tena sio kidg
Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga
@SharonGodwill
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa
Mmmh ss yule nyoka ilikuaje
Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.
Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi
Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.
@LiangGirle
23 күн бұрын
Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer
@SwaumuRamadhanDhahabu
13 күн бұрын
Huyu ni muongo sana jaman
Ukweli tunaujua uchawi was nyoka tunaujua wewe nimchawi kweli Acha kutuzuga
mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio
Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na
Uongo mtupu, Wala haielekei uongo wake. Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.
Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers KZread na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa
huyu anaogopa mkwala wa serikali
Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!
@LiangGirle
23 күн бұрын
Nikwer kabisa huyu dada nimchawi tu
Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam
@nusaebahkeis6774
25 күн бұрын
Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake
Mmh
Na kile ulichotonyesha ni nn mdoli
Ni muongo sana
Na jina pia sio lako na sio msambaa
Dress code
Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨
upuuuzi
@user-fi4md4np3h
25 күн бұрын
🤣
Nyoka ulimpatq wap
Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
❤hakika
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
❤❤❤❤
Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa
@husnathabiti4114
25 күн бұрын
Sasa kumbe Alishika nn
Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya
Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et
Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii
Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
We fal kwel watak ukwel au watak nguo
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
😂😢
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂
Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe
@arafatali2796
25 күн бұрын
unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga
@prophetmwonajisamson2079
25 күн бұрын
@@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu
Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga
@user-xs8lf7hp7i
25 күн бұрын
Akiwem wewe
@user-iy3fx7cl1j
25 күн бұрын
Ata ww kwenye ujinga umo
Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu? Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!
Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta
@BestLife486
26 күн бұрын
Tazama video acha kukurupuka wewe
@fathiyahmuzney7367
26 күн бұрын
@@BestLife486 Ukitazama ww inatosha🤣
@fathiyahmuzney7367
26 күн бұрын
@@BestLife486 Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣
@BestLife486
25 күн бұрын
Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue
@fathiyahmuzney7367
25 күн бұрын
@@BestLife486 Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza