EXCLUSIVE: MTOTO ALIELELEWA NA NYANI KWA MIAKA MIWILI, TABIA ZAKE NA VYAKULA ANAVYOPENDA
Joseph Bukombe Mabula ni mtoto alielelewa na nyani kwa zaidi ya miaka miwili katika pori la msitu wa Bukobe mkoa wa Geita inadhaniwa ni baada ya kutupwa na mzazi wake kisha kuokotwa na watu wa misitu na baadae kumkabidhi kwa watu wa Ustawi wa jamii, Kwa sasa mtoto Mabula analelewa na kituo cha Upendo Daima cha Mwanza
Пікірлер: 77
Nyani ana Lea watoto wa binadamu Sana Ila watanzania hatujui ilo
Huyo nyani mmemkosea San kwan mbinu nyingine ilikusekana hyo ndio Kam Mama yke mzazi daah
@chainbre275
3 жыл бұрын
Kabisa
@maryamabdullah9169
2 жыл бұрын
Kweli lakini Anakua kama mtoto wake hataki kumtoa
Masikini nyani wema wake umemponza😭😭😭
Nimeumia sana kwa kumuua nyani mlezi wa huyu mtoto
Na kijana mwingine anaitwa BARAKA
Mungu awalipe kwakila jema mulio mtendea
Duh RIP Nyani...
Mungu ana MAKUSUDI yake
Huyo mlezi sio mtanzania kiswahili kinamshinda
Daaah mungu awalipe Pia ampe afya mabula
Good questions. Reporter✌️
Mungu we2 waajabu sana
Mungu tumwacheni yuko peke yake, kaumba viumbe vyote ili tutegemeane kwa utukufu wake
Mipango ya mungu
Sasa Nyani kwanini wasimuleweshe tu awape mtoto ? Sasa kumuua hamuoni mnatuondolea walezi ? Na nyani wengine wanaojua hilo sakata wakipata mtoto mwingine siwataona Kama kukaa na gunia la MARIJUANA ? oyaa acheni kuuwa viumbe visivyo na HATIA
Wamefanya makosa sana kumuua nyani wa watu
Mwalimu kisura kizuri nimempenda😅😅😅
Tazan wa bongo 😃
daaah kinacho niuma ni nyani kuuawa, Nyani kilicho mponza ni kumlea huyu mtoto
Aya maisha yana changamoto
Mshikeni kw makini mana anaweza wakimbia muda wwote huyo na kurejea polini mana hapo akili yake hata haipo haelewi elewi hvi🌝
6
Uyo nyani kulikuwa hkun ulazima wa kumuua
Ee MUNGU NI MWEMA SANA
Dah maskini nyani wa pori huruma yake imempoza
@chainbre275
3 жыл бұрын
Walikosea snaa hakika
HHAHAHA MWALIMU SIO MBABE KWA WENZIE , HUKO MLIKOMTOA HAKUNA LUGHA ISIPOKUWA SAUTI NA VITENDO , HIVYO KUKATAZA MTU KUGUSA KITU CHAKE NI KUMPIGA MIKONONI TU ,HIYO NDIO ACHA😅
Mlijuwaje aliishi nanyanyi mdawamyaka 2? Je muliwai kusikiya fununo kwamba familiya iliyopoteza mtoto?
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
Namie najiuliza ivo ivo
@theafricaiknow6615
3 жыл бұрын
Hata mimi najiuliza
@ommietrendz7175
3 жыл бұрын
Si wamesema hapo dah Nyani alionekana mara nyingi akiwa kambeba mpaka mara ya mwisho wakajipanga waingie msituni kwenda kuwasaka nyani na kumchua mtoto Muwe mnasikiliza
Kuna kijana Baraka yuko wapi kwa sasa?
Sidhan kama miaka 13 amefika labda 9 au 10
Angekuwa Anajua Kuimba, Mngemleta Kondegang #Konde Gang For Every Body
@aminanoor5637
3 жыл бұрын
aaaah
TARZAN in real life
Doh sasa kwanini huyo nyani mkamuua wangetumia mbinu mbadala
Wangewapiga ht sindano za usingizi
Unajuaje kakaa miaka miwili ? Ndio umri wa mtoto aliokutwa nao au alipotea kwa miaka miwili?
Kwanini huyo nyani wamamuua,wlishindwa kumpiga hata sindano ya usingizi
@zeraally7377
3 жыл бұрын
Kiukweli na mm imeniuma
@gseventz4663
3 жыл бұрын
We chizi kweli
@gseventz4663
3 жыл бұрын
Unamjua nyani ww?? Mda wakumpiga sindano unatoka wapi??
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Sisi Waafrika wapuuzi sana haswa Tanzania hawajui kudili na wanyama. Huyu ni wapili wamemuokoa akiwa analelewa na nyani na wakamuuwa nyani. Moyo unauma sana😢😢
@kobzy06
3 жыл бұрын
@@gseventz4663 kwani mda wa kumuua waliupata wapi
Nyani wema wake umechukua uhai wake
Ulaya nyani asinge uliwa
Walijuaje aliishi na nyani miaka miwili? Hii habari ina mapungufu
@iddimaka6705
3 жыл бұрын
Umeona eee mh!
Inamaana huyo mtoto hatakuwa naukoo
@snico2275
3 жыл бұрын
Inabidi aanzishe ukoo wake
Askari pori wangetumia mbinu nyingine ili kuwaacha hao nyani iwe km kumbukumbu ili angekua aende hy sehemu km moja ya memory na hao nyani wasingemsahau cos ndy wazazi wk
Uyo dada mwenyewe kafanana na ngedere
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
Makubwa duh
@hawamongwa6725
3 жыл бұрын
jaman
@jenipherchristopher8083
3 жыл бұрын
Jmn wewe Mungu anakuona
@claramboya2018
3 жыл бұрын
Jmn jmn jmn
@jeniphermsaki2627
3 жыл бұрын
Hajielewi huyu
Kumuuwa nyani ni kosa kubwa sana tena la kinyama. Sijui akili ndio hawana au vipi. Bora hata wangeomba msaada kwa wenye ujuzi wakaweza kumuokoa mtoto bila kumuuwa nyani mwenyewe. Bure kabisa. Tukio la pili kulisikia wakiokoa watoto waliolelewa na nyani kwa kumuuwa nyani mlezi
@ramlamburi9743
3 жыл бұрын
Kweli, wasingemuua. Ina maana nyani ana huruma kuliko mwanadam!!
@joseamsekena7592
3 жыл бұрын
Kwakweli
mdingemuua huyo nyani wangejitahidi tu kumchukua huyo nyani pia wamlee kwa wanyama na huyo mtoto mngemchukua kuliko kumua nyan kwani yeye alitoa msaada mkubwa kwa huyo mtoto
sA.si.wAnGi.MoMbA.aTa.wAzU.nGu.wAmUkA.mAtE.nYaNi.sA.si.wApuMbAvU.tUmi.MuWa.nYaNi.mWanYeWe. wAmiMuLi.yA.MA.mA.kE.jAmAni .aNgiKu.wA.mUkUbWa.sA.uYo.aTa.wALaMikiYa.mUniMuwA.MA.aKe.sl.iNiuMiuMa.sAnA.jAmAni .
@ramlamburi9743
3 жыл бұрын
🙆🙆
@kobzy06
3 жыл бұрын
Sasa ina maana gan kuandika hivyo
@joramkimario6174
3 жыл бұрын
@@kobzy06 huyu kiatu naptiaga comment zake huwa anaandikaga hvhv. Sa cjui nikutokujua au ndo anabuni yake
@snico2275
3 жыл бұрын
Khaaaah! 😂😂😂
@minmaxc485
3 жыл бұрын
weee ng'ombe umeandika nini sasa
Mungu mkubwa