EXCLUSIVE: MTOTO ALIELELEWA NA NYANI KWA MIAKA MIWILI, TABIA ZAKE NA VYAKULA ANAVYOPENDA

Joseph Bukombe Mabula ni mtoto alielelewa na nyani kwa zaidi ya miaka miwili katika pori la msitu wa Bukobe mkoa wa Geita inadhaniwa ni baada ya kutupwa na mzazi wake kisha kuokotwa na watu wa misitu na baadae kumkabidhi kwa watu wa Ustawi wa jamii, Kwa sasa mtoto Mabula analelewa na kituo cha Upendo Daima cha Mwanza

Пікірлер: 77

  • @marryemmanuel4254
    @marryemmanuel42542 жыл бұрын

    Nyani ana Lea watoto wa binadamu Sana Ila watanzania hatujui ilo

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon7823 жыл бұрын

    Huyo nyani mmemkosea San kwan mbinu nyingine ilikusekana hyo ndio Kam Mama yke mzazi daah

  • @chainbre275

    @chainbre275

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @maryamabdullah9169

    @maryamabdullah9169

    2 жыл бұрын

    Kweli lakini Anakua kama mtoto wake hataki kumtoa

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24883 жыл бұрын

    Masikini nyani wema wake umemponza😭😭😭

  • @mercy.cjonathan6860
    @mercy.cjonathan68603 жыл бұрын

    Nimeumia sana kwa kumuua nyani mlezi wa huyu mtoto

  • @joseamsekena7592
    @joseamsekena75923 жыл бұрын

    Na kijana mwingine anaitwa BARAKA

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti68393 жыл бұрын

    Mungu awalipe kwakila jema mulio mtendea

  • @storytownTv
    @storytownTv2 жыл бұрын

    Duh RIP Nyani...

  • @amosyohana5351
    @amosyohana53513 жыл бұрын

    Mungu ana MAKUSUDI yake

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon7823 жыл бұрын

    Huyo mlezi sio mtanzania kiswahili kinamshinda

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp82243 жыл бұрын

    Daaah mungu awalipe Pia ampe afya mabula

  • @b.o.b2661
    @b.o.b26613 жыл бұрын

    Good questions. Reporter✌️

  • @tabatamwaju7733
    @tabatamwaju77333 жыл бұрын

    Mungu we2 waajabu sana

  • @daviddotto3529
    @daviddotto35293 жыл бұрын

    Mungu tumwacheni yuko peke yake, kaumba viumbe vyote ili tutegemeane kwa utukufu wake

  • @nevackkadege6389
    @nevackkadege63893 жыл бұрын

    Mipango ya mungu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 ай бұрын

    Sasa Nyani kwanini wasimuleweshe tu awape mtoto ? Sasa kumuua hamuoni mnatuondolea walezi ? Na nyani wengine wanaojua hilo sakata wakipata mtoto mwingine siwataona Kama kukaa na gunia la MARIJUANA ? oyaa acheni kuuwa viumbe visivyo na HATIA

  • @joelsamson9932
    @joelsamson99323 жыл бұрын

    Wamefanya makosa sana kumuua nyani wa watu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 ай бұрын

    Mwalimu kisura kizuri nimempenda😅😅😅

  • @tinnahmosha5177
    @tinnahmosha51773 жыл бұрын

    Tazan wa bongo 😃

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow12253 жыл бұрын

    daaah kinacho niuma ni nyani kuuawa, Nyani kilicho mponza ni kumlea huyu mtoto

  • @j-ray4711
    @j-ray47113 жыл бұрын

    Aya maisha yana changamoto

  • @abdallahramadhani860
    @abdallahramadhani8603 жыл бұрын

    Mshikeni kw makini mana anaweza wakimbia muda wwote huyo na kurejea polini mana hapo akili yake hata haipo haelewi elewi hvi🌝

  • @bestinarajabu34
    @bestinarajabu343 жыл бұрын

    6

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter11153 жыл бұрын

    Uyo nyani kulikuwa hkun ulazima wa kumuua

  • @vero57
    @vero573 жыл бұрын

    Ee MUNGU NI MWEMA SANA

  • @augustryann365
    @augustryann3653 жыл бұрын

    Dah maskini nyani wa pori huruma yake imempoza

  • @chainbre275

    @chainbre275

    3 жыл бұрын

    Walikosea snaa hakika

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 ай бұрын

    HHAHAHA MWALIMU SIO MBABE KWA WENZIE , HUKO MLIKOMTOA HAKUNA LUGHA ISIPOKUWA SAUTI NA VITENDO , HIVYO KUKATAZA MTU KUGUSA KITU CHAKE NI KUMPIGA MIKONONI TU ,HIYO NDIO ACHA😅

  • @angelanikalenga4757
    @angelanikalenga47573 жыл бұрын

    Mlijuwaje aliishi nanyanyi mdawamyaka 2? Je muliwai kusikiya fununo kwamba familiya iliyopoteza mtoto?

  • @maloomaalmnsj5111

    @maloomaalmnsj5111

    3 жыл бұрын

    Namie najiuliza ivo ivo

  • @theafricaiknow6615

    @theafricaiknow6615

    3 жыл бұрын

    Hata mimi najiuliza

  • @ommietrendz7175

    @ommietrendz7175

    3 жыл бұрын

    Si wamesema hapo dah Nyani alionekana mara nyingi akiwa kambeba mpaka mara ya mwisho wakajipanga waingie msituni kwenda kuwasaka nyani na kumchua mtoto Muwe mnasikiliza

  • @janemsamati6700
    @janemsamati67003 жыл бұрын

    Kuna kijana Baraka yuko wapi kwa sasa?

  • @zahrajumaa8965
    @zahrajumaa89652 жыл бұрын

    Sidhan kama miaka 13 amefika labda 9 au 10

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper4033 жыл бұрын

    Angekuwa Anajua Kuimba, Mngemleta Kondegang #Konde Gang For Every Body

  • @aminanoor5637

    @aminanoor5637

    3 жыл бұрын

    aaaah

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44293 жыл бұрын

    TARZAN in real life

  • @daudiminde8496
    @daudiminde84962 жыл бұрын

    Doh sasa kwanini huyo nyani mkamuua wangetumia mbinu mbadala

  • @tamashanyerere1448
    @tamashanyerere14483 жыл бұрын

    Wangewapiga ht sindano za usingizi

  • @dicksonchilalile
    @dicksonchilalile3 жыл бұрын

    Unajuaje kakaa miaka miwili ? Ndio umri wa mtoto aliokutwa nao au alipotea kwa miaka miwili?

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi64283 жыл бұрын

    Kwanini huyo nyani wamamuua,wlishindwa kumpiga hata sindano ya usingizi

  • @zeraally7377

    @zeraally7377

    3 жыл бұрын

    Kiukweli na mm imeniuma

  • @gseventz4663

    @gseventz4663

    3 жыл бұрын

    We chizi kweli

  • @gseventz4663

    @gseventz4663

    3 жыл бұрын

    Unamjua nyani ww?? Mda wakumpiga sindano unatoka wapi??

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    3 жыл бұрын

    Sisi Waafrika wapuuzi sana haswa Tanzania hawajui kudili na wanyama. Huyu ni wapili wamemuokoa akiwa analelewa na nyani na wakamuuwa nyani. Moyo unauma sana😢😢

  • @kobzy06

    @kobzy06

    3 жыл бұрын

    @@gseventz4663 kwani mda wa kumuua waliupata wapi

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow12253 жыл бұрын

    Nyani wema wake umechukua uhai wake

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu17202 жыл бұрын

    Ulaya nyani asinge uliwa

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow66153 жыл бұрын

    Walijuaje aliishi na nyani miaka miwili? Hii habari ina mapungufu

  • @iddimaka6705

    @iddimaka6705

    3 жыл бұрын

    Umeona eee mh!

  • @agapembukwa6185
    @agapembukwa61853 жыл бұрын

    Inamaana huyo mtoto hatakuwa naukoo

  • @snico2275

    @snico2275

    3 жыл бұрын

    Inabidi aanzishe ukoo wake

  • @tamashanyerere1448
    @tamashanyerere14483 жыл бұрын

    Askari pori wangetumia mbinu nyingine ili kuwaacha hao nyani iwe km kumbukumbu ili angekua aende hy sehemu km moja ya memory na hao nyani wasingemsahau cos ndy wazazi wk

  • @jumamuhunzi8378
    @jumamuhunzi83783 жыл бұрын

    Uyo dada mwenyewe kafanana na ngedere

  • @maloomaalmnsj5111

    @maloomaalmnsj5111

    3 жыл бұрын

    Makubwa duh

  • @hawamongwa6725

    @hawamongwa6725

    3 жыл бұрын

    jaman

  • @jenipherchristopher8083

    @jenipherchristopher8083

    3 жыл бұрын

    Jmn wewe Mungu anakuona

  • @claramboya2018

    @claramboya2018

    3 жыл бұрын

    Jmn jmn jmn

  • @jeniphermsaki2627

    @jeniphermsaki2627

    3 жыл бұрын

    Hajielewi huyu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94893 жыл бұрын

    Kumuuwa nyani ni kosa kubwa sana tena la kinyama. Sijui akili ndio hawana au vipi. Bora hata wangeomba msaada kwa wenye ujuzi wakaweza kumuokoa mtoto bila kumuuwa nyani mwenyewe. Bure kabisa. Tukio la pili kulisikia wakiokoa watoto waliolelewa na nyani kwa kumuuwa nyani mlezi

  • @ramlamburi9743

    @ramlamburi9743

    3 жыл бұрын

    Kweli, wasingemuua. Ina maana nyani ana huruma kuliko mwanadam!!

  • @joseamsekena7592

    @joseamsekena7592

    3 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @mmangajuma5642
    @mmangajuma56423 жыл бұрын

    mdingemuua huyo nyani wangejitahidi tu kumchukua huyo nyani pia wamlee kwa wanyama na huyo mtoto mngemchukua kuliko kumua nyan kwani yeye alitoa msaada mkubwa kwa huyo mtoto

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.6283 жыл бұрын

    sA.si.wAnGi.MoMbA.aTa.wAzU.nGu.wAmUkA.mAtE.nYaNi.sA.si.wApuMbAvU.tUmi.MuWa.nYaNi.mWanYeWe. wAmiMuLi.yA.MA.mA.kE.jAmAni .aNgiKu.wA.mUkUbWa.sA.uYo.aTa.wALaMikiYa.mUniMuwA.MA.aKe.sl.iNiuMiuMa.sAnA.jAmAni .

  • @ramlamburi9743

    @ramlamburi9743

    3 жыл бұрын

    🙆🙆

  • @kobzy06

    @kobzy06

    3 жыл бұрын

    Sasa ina maana gan kuandika hivyo

  • @joramkimario6174

    @joramkimario6174

    3 жыл бұрын

    @@kobzy06 huyu kiatu naptiaga comment zake huwa anaandikaga hvhv. Sa cjui nikutokujua au ndo anabuni yake

  • @snico2275

    @snico2275

    3 жыл бұрын

    Khaaaah! 😂😂😂

  • @minmaxc485

    @minmaxc485

    3 жыл бұрын

    weee ng'ombe umeandika nini sasa

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78483 жыл бұрын

    Mungu mkubwa

Келесі