EWE BWANA MUNGU WANGU Tumaini Choir & Mombasa memorial Cathedral Choir

Музыка

Ziko nyakati tunapita kwenye maisha, zinazobeba vipindi viggumu au ambavyo ni ngumu kuvielewa au kuvielezea.
MUNGU anatujua, ni vema kumuomba asisimame mbali nasi katika nyakati hizo.
Tumaini Shangilieni Choir,
/ tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Пікірлер: 76

  • @samedward4211
    @samedward42113 жыл бұрын

    Hii nyimbo Ina maneno mazito sana.. Simama nasi Bwana hata Sasa ktk janga la Corona.. Bonyeza like Kama unakubaliana Mami.

  • @evansmtambi9673
    @evansmtambi96734 жыл бұрын

    Amen! This song makes me flashback to the 90s to be exactly in 1999. This album was played for week during morning prayers RTD n I was in the middle of toughness! I used to harness my strength here for a day ahead🙏

  • @kombakomba7922
    @kombakomba79224 жыл бұрын

    Viumbe vyote vitetemeke vikisikia jina la bwana, Yehova ntalisifu jina lako, nabarikiwa sana sana,, sauti ya baraka.

  • @zumasamson6603
    @zumasamson66032 жыл бұрын

    Huu wimbo mzuri sana...ni wa zamani umerudiwa tena

  • @gidionsheiza
    @gidionsheiza4 жыл бұрын

    Hakika Mungu ni mwema. Bwana Usisimame mbali nami kwani wewe ni nguvu na wokovu wangu. Viumbe vyote vitetereke vikisikia jina lako.

  • @meshakjob1755

    @meshakjob1755

    4 жыл бұрын

    Barikiweni sana

  • @williamnzano2073
    @williamnzano20734 жыл бұрын

    Tunakumbuka huu wimbo na tunaomba Mungu atuwezasha tuimbe zingine pamoja zingine tunatarajia kuziweka hapa hivi karibuni

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka89914 жыл бұрын

    Wimbo huu unanikumbusha mbali Sana mwaka 1998 nikiwa singida kotazi za mwenge secondary,Ni kwaya iliyonishawishi kuja kumwimbia Mungu,na Sasa ninaimba na kumtumikia Mungu

  • @kevineric5598
    @kevineric55984 жыл бұрын

    Mungu awabariki Tumaini St. James Choir.. mmetumika vema hapa duniani.

  • @priscacrement3413
    @priscacrement34133 жыл бұрын

    Nabarikiwa Sana

  • @laurenciamasalu3619
    @laurenciamasalu36194 жыл бұрын

    Mnanibariki sana kwa utumishi wenu. Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi.

  • @kombakomba7922
    @kombakomba79224 жыл бұрын

    Yani wakati nipo secondary miaka hiyo kwaya ya Ukwata walikuwa wanauimba sana nkajua ni wimbo uliotungwa shuleni,leo hii ndio nimejua ni Tumaini kwaya,nimebarikiwa Sana Sana.

  • @kyomobill
    @kyomobill4 жыл бұрын

    Huu wimbo hauchoshi........ Mbarikiwe sana

  • @obiobinna3819
    @obiobinna3819 Жыл бұрын

    *nakukimbiliiaa nisiaibiikee..* That voice is so invincible🤝👏🙏✌️

  • @leokadiapius8413
    @leokadiapius84134 жыл бұрын

    Wow,Nmefurahi kusikia tena Nyimbo Hii,Mungu wa mbinguni azidi Kuwainua na kuwabarikia, Nawapenda my family.

  • @gabrielfred2202
    @gabrielfred22024 жыл бұрын

    Hallelujah..... Binafsi naweza sema neno moja. Nalo ni.... NAWAPENDA SANA 😍😍 Tangu utotoni Hadi leo... Mungu awabariki sana

  • @gentleclass2163
    @gentleclass21634 жыл бұрын

    Hamjui tu - nilikua nausubiri huu wimbo kiasi gani. Nimeutafuta sana sikuupata. Here i go now. Praise the Lord

  • @vijanafurniture1810

    @vijanafurniture1810

    4 жыл бұрын

    Kama mimi

  • @emmanuelbongo9382

    @emmanuelbongo9382

    3 жыл бұрын

    Me pia, bado kuna nyimbo naitafuta inaimbwa"Mungu kamuita musa, kutoka katkat ya kijitii, we musa musa, musa kasema mimi hapa aaa

  • @bukombeshy3644

    @bukombeshy3644

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelbongo9382 mbona hata wimbo wa Musa pia wameuimba kama huu walipokuwa mombasa, search hapo juu utaupata

  • @neemamollel4514
    @neemamollel45144 жыл бұрын

    Amina Amina. Mungu awabariki na kuwatunza katika huduma hii..hakika mnabariki wengi kupitia huduma hii.

  • @jacquejngazi1510
    @jacquejngazi15104 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana Mungu aendelee kiwatumia mtumike sawasawa na mapenzi yake amina

  • @georgesmulumbeni913
    @georgesmulumbeni9134 жыл бұрын

    Mungu apewe sifa ndungu zangu mungu awabariki nawapenda wote

  • @veronicanyamsusa4974
    @veronicanyamsusa4974 Жыл бұрын

    Ongereni Sana mmeimba vizuri sana

  • @doncaster8272
    @doncaster82724 жыл бұрын

    Daa hamjawah kuniangusha....kuna ule wimbo wa siionei haya injili mkiurudia latest version aisee mtatisha saanaa....mbarikiwe sana

  • @rehemajames5351
    @rehemajames53514 жыл бұрын

    Naipenda hii kwaya sana

  • @soomoche
    @soomoche4 жыл бұрын

    Tangu enzi hizo hadi leo nyimbo hizi hazikifu kusikiza. Atukuzwe Bwana

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture18104 жыл бұрын

    S Dah huu wimbo nliusubiri sana muuingize humu hatimaye Mungu amenijibu

  • @fadhilimartin9466
    @fadhilimartin94664 жыл бұрын

    shangilieni kwaya kwahili pande mna mpizani kazi ya bwana iendele big up!!

  • @elijahaywago7274
    @elijahaywago72744 жыл бұрын

    Instrumentals kwa wimbo wa kwanza bado ni kali ila upako ni ule ule

  • @kiangoneema2979
    @kiangoneema29794 жыл бұрын

    Naipenda sana kwaya hii; MUNGU awabariki sana

  • @barakachristopher2504
    @barakachristopher25044 жыл бұрын

    Kwaya pekee ambayo imedumu muda mrefu kuliko zote Tanzania ikiwa bado na waimbaji wake wa enzi hizo kama Beatrice Mhone

  • @esthershaffi9356

    @esthershaffi9356

    Жыл бұрын

    Beatric muhone hayupo ila mume wake ndio yupo

  • @annahulilo6719
    @annahulilo6719 Жыл бұрын

    Wouh! Wouh! Wouh.....!!!!👏👏👏 Nawapenda sana nyie watoto wa Mfalme!!!💞💞💞♥️ Since 1999 nlipowaskia kwa mara ya kwanza, (Ingawa miaka hyo sikua imara saaaana kiroho) mmefanyika kuwa baraka kubwa sana kwangu had leo hii... Kila wimbo mnaoimba unanifanya nipige kahatua kumsogelea Mungu, yaaani Cjui hata nielezee vp?!?!?! MUNGU AZIDI KUWABARIKI NA KUWATUNZA, AENDELEE KUWAMIMINI NEEMA ZAKE ILI SIKU MOJA KAMA MLIVYO MKAENDELEZE UTUME HUO MKIZUNGUKA KITI CHAKE CHA ENZI LIVE LIVE!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏

  • @christinamyombo6229
    @christinamyombo62293 жыл бұрын

    Kwa kweli sina cha kusema jins wimbo huu ulivyonivusha

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10834 жыл бұрын

    My all time favorite song.. Tumaini choir hamjawahi kukosea.. you always bring classic songs... hizi nyimbo zinaishi yaani ukisikia ni kama mpya.. Mungu azidi kuwabariki..

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba79302 жыл бұрын

    Amen. Awesome.

  • @ezrameshack8104
    @ezrameshack81044 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana. Naomba na nyingine mlizoimba na wakenya.

  • @tuherikidenya3876
    @tuherikidenya38764 жыл бұрын

    This is great be blessed. Tunakosa Wimbo wa ''Musa'' in new version like this.

  • @bonelkana2455
    @bonelkana24554 жыл бұрын

    Bigup, love it nyimbo nzuri sana be blessed

  • @blandinachitallah6311
    @blandinachitallah63114 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana kwa huu Wimbo I surely miss home.

  • @alexissangali8650
    @alexissangali86504 жыл бұрын

    Nice

  • @gracesaulomisonge6069
    @gracesaulomisonge60694 жыл бұрын

    Ewe Jehovah nitalisifu jina lako waoo cjui niseme nini enzi nighteens Aliyewaza Jambo hili Mungu wa Mbingu azidi kukutumia

  • @soomoche
    @soomoche3 жыл бұрын

    Wimbo huu unagusa sana. Upako upako upako

  • @sonelosonelo4006
    @sonelosonelo40063 жыл бұрын

    I am my own grand pa

  • @georgedinda7400
    @georgedinda74003 жыл бұрын

    Uimbaji mzuri kutoka kwenye kwaya nzuri yenye nyimbo na sifa nzuri tu. Japo nilikuwepo, kazi swafi hii.

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu25234 жыл бұрын

    Daaah...so sweet nimekumbuka mbali saaaaaana😢

  • @felistersjachi4792
    @felistersjachi47924 жыл бұрын

    Mnanibariki sana

  • @mwanukematenga4939
    @mwanukematenga49392 жыл бұрын

    Hii wimbo inanibariki sana Mungu awabariki sana

  • @jemamadole1407
    @jemamadole14074 жыл бұрын

    Wow lovely unity

  • @kaswalalabenjamin5354
    @kaswalalabenjamin53544 жыл бұрын

    Mungu spewed sifa u made my day gr3at

  • @kaswalalabenjamin5354
    @kaswalalabenjamin53544 жыл бұрын

    Naomba muweke vizuri hii video, hainekani kwenye fully screen,nawapenda sana untie watu

  • @godwinnassary5878
    @godwinnassary58784 жыл бұрын

    Wonderful ,may good Lord bless you

  • @kaswalalabenjamin5354
    @kaswalalabenjamin5354 Жыл бұрын

    nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo zenu,,, mbarikkiwe sana siku nikija arusha nitahdulia ibada mojawapo, mungu aendelee kuwabariki sana tu

  • @mariagasper2486
    @mariagasper24864 жыл бұрын

    You guys r amazing

  • @hildasegele548
    @hildasegele548 Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana,nabarikiwa sana. Hi kwaya inaimba usharika gani Arusha.

  • @fredrickmtangoo5071

    @fredrickmtangoo5071

    Жыл бұрын

    St.James Anglican Church Kaloleni Karibu na mnara wa mwenge.

  • @leeblly4943
    @leeblly49434 жыл бұрын

    NAWAPENDA HADI NAOGOPA MBARIKIWE

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo25724 жыл бұрын

    This song has brought back many memories when we were young we used to listen to Radio Sauti Ya Injili in Tata Hills in Kenya. Be blessed.

  • @vumiliamwangasa3627
    @vumiliamwangasa36274 жыл бұрын

    Nitalisifa jina lako jehova

  • @petronilamruma2418
    @petronilamruma24182 жыл бұрын

    90s.. and still hot at 2021..Bwana Wangu Njoo karibu Nami!!!

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor99642 жыл бұрын

    Hallelujah Asante kwa wimbo mzuri Amen 🙏 🙌

  • @sirnunda3758
    @sirnunda37583 жыл бұрын

    Wimbo huu unanikumbusha mwaka 2000 katika basi la Mandala kutoka Mbeya mjini kwenda Ruvuma Songea boys naenda kujiunga form five PCB sijawahi kusahau

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukutunza ndugu

  • @sirnunda3758

    @sirnunda3758

    3 жыл бұрын

    Amina nawapenda sana Mungu aendelee kuwatumia kwa viwango vya juu kama ambavyo amekuwa akifanya kwenu siku zote

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Nice song, nice instrument, solo amestrugle mno sauti kwake nzito imemshinda angeimba kawaida.

  • @lembrisjacob9781

    @lembrisjacob9781

    4 жыл бұрын

    I think she is perfect

  • @isayaluhazi4326

    @isayaluhazi4326

    3 жыл бұрын

    Kweli saut imekuwa nzito imemshinda

  • @rachelemmanuel6244
    @rachelemmanuel62444 жыл бұрын

    ninapokuwa matexoni unirehemu ninapokuwa nahtaji unijaza vyako usifiwe

  • @patricksoriney6315
    @patricksoriney63153 жыл бұрын

    Wimbo mtamu viombo sawa wau mungu awabariki sana

  • @olexanderj.6969
    @olexanderj.69692 жыл бұрын

    Beautiful

  • @mgandatolbert4405
    @mgandatolbert4405 Жыл бұрын

    Where can I get this album. I want to gift my mother on Mother's Day

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo74472 жыл бұрын

    Daah...mmenibariki sana na huu wimbo. Je, original yake naweza ipataje?

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Tafadhali wasiliana na dukani kwa 0762862225

Келесі