EWE BWANA MUNGU WANGU Tumaini Choir & Mombasa memorial Cathedral Choir
Музыка
Ziko nyakati tunapita kwenye maisha, zinazobeba vipindi viggumu au ambavyo ni ngumu kuvielewa au kuvielezea.
MUNGU anatujua, ni vema kumuomba asisimame mbali nasi katika nyakati hizo.
Tumaini Shangilieni Choir,
/ tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir
Пікірлер: 76
Hii nyimbo Ina maneno mazito sana.. Simama nasi Bwana hata Sasa ktk janga la Corona.. Bonyeza like Kama unakubaliana Mami.
Amen! This song makes me flashback to the 90s to be exactly in 1999. This album was played for week during morning prayers RTD n I was in the middle of toughness! I used to harness my strength here for a day ahead🙏
Viumbe vyote vitetemeke vikisikia jina la bwana, Yehova ntalisifu jina lako, nabarikiwa sana sana,, sauti ya baraka.
Huu wimbo mzuri sana...ni wa zamani umerudiwa tena
Hakika Mungu ni mwema. Bwana Usisimame mbali nami kwani wewe ni nguvu na wokovu wangu. Viumbe vyote vitetereke vikisikia jina lako.
@meshakjob1755
4 жыл бұрын
Barikiweni sana
Tunakumbuka huu wimbo na tunaomba Mungu atuwezasha tuimbe zingine pamoja zingine tunatarajia kuziweka hapa hivi karibuni
Wimbo huu unanikumbusha mbali Sana mwaka 1998 nikiwa singida kotazi za mwenge secondary,Ni kwaya iliyonishawishi kuja kumwimbia Mungu,na Sasa ninaimba na kumtumikia Mungu
Mungu awabariki Tumaini St. James Choir.. mmetumika vema hapa duniani.
Nabarikiwa Sana
Mnanibariki sana kwa utumishi wenu. Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi.
Yani wakati nipo secondary miaka hiyo kwaya ya Ukwata walikuwa wanauimba sana nkajua ni wimbo uliotungwa shuleni,leo hii ndio nimejua ni Tumaini kwaya,nimebarikiwa Sana Sana.
Huu wimbo hauchoshi........ Mbarikiwe sana
*nakukimbiliiaa nisiaibiikee..* That voice is so invincible🤝👏🙏✌️
Wow,Nmefurahi kusikia tena Nyimbo Hii,Mungu wa mbinguni azidi Kuwainua na kuwabarikia, Nawapenda my family.
Hallelujah..... Binafsi naweza sema neno moja. Nalo ni.... NAWAPENDA SANA 😍😍 Tangu utotoni Hadi leo... Mungu awabariki sana
Hamjui tu - nilikua nausubiri huu wimbo kiasi gani. Nimeutafuta sana sikuupata. Here i go now. Praise the Lord
@vijanafurniture1810
4 жыл бұрын
Kama mimi
@emmanuelbongo9382
3 жыл бұрын
Me pia, bado kuna nyimbo naitafuta inaimbwa"Mungu kamuita musa, kutoka katkat ya kijitii, we musa musa, musa kasema mimi hapa aaa
@bukombeshy3644
2 жыл бұрын
@@emmanuelbongo9382 mbona hata wimbo wa Musa pia wameuimba kama huu walipokuwa mombasa, search hapo juu utaupata
Amina Amina. Mungu awabariki na kuwatunza katika huduma hii..hakika mnabariki wengi kupitia huduma hii.
Nimebarikiwa sana Mungu aendelee kiwatumia mtumike sawasawa na mapenzi yake amina
Mungu apewe sifa ndungu zangu mungu awabariki nawapenda wote
Ongereni Sana mmeimba vizuri sana
Daa hamjawah kuniangusha....kuna ule wimbo wa siionei haya injili mkiurudia latest version aisee mtatisha saanaa....mbarikiwe sana
Naipenda hii kwaya sana
Tangu enzi hizo hadi leo nyimbo hizi hazikifu kusikiza. Atukuzwe Bwana
S Dah huu wimbo nliusubiri sana muuingize humu hatimaye Mungu amenijibu
shangilieni kwaya kwahili pande mna mpizani kazi ya bwana iendele big up!!
Instrumentals kwa wimbo wa kwanza bado ni kali ila upako ni ule ule
Naipenda sana kwaya hii; MUNGU awabariki sana
Kwaya pekee ambayo imedumu muda mrefu kuliko zote Tanzania ikiwa bado na waimbaji wake wa enzi hizo kama Beatrice Mhone
@esthershaffi9356
Жыл бұрын
Beatric muhone hayupo ila mume wake ndio yupo
Wouh! Wouh! Wouh.....!!!!👏👏👏 Nawapenda sana nyie watoto wa Mfalme!!!💞💞💞♥️ Since 1999 nlipowaskia kwa mara ya kwanza, (Ingawa miaka hyo sikua imara saaaana kiroho) mmefanyika kuwa baraka kubwa sana kwangu had leo hii... Kila wimbo mnaoimba unanifanya nipige kahatua kumsogelea Mungu, yaaani Cjui hata nielezee vp?!?!?! MUNGU AZIDI KUWABARIKI NA KUWATUNZA, AENDELEE KUWAMIMINI NEEMA ZAKE ILI SIKU MOJA KAMA MLIVYO MKAENDELEZE UTUME HUO MKIZUNGUKA KITI CHAKE CHA ENZI LIVE LIVE!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa kweli sina cha kusema jins wimbo huu ulivyonivusha
My all time favorite song.. Tumaini choir hamjawahi kukosea.. you always bring classic songs... hizi nyimbo zinaishi yaani ukisikia ni kama mpya.. Mungu azidi kuwabariki..
Amen. Awesome.
Mungu awabariki sana. Naomba na nyingine mlizoimba na wakenya.
This is great be blessed. Tunakosa Wimbo wa ''Musa'' in new version like this.
Bigup, love it nyimbo nzuri sana be blessed
Nimebarikiwa sana kwa huu Wimbo I surely miss home.
Nice
Ewe Jehovah nitalisifu jina lako waoo cjui niseme nini enzi nighteens Aliyewaza Jambo hili Mungu wa Mbingu azidi kukutumia
Wimbo huu unagusa sana. Upako upako upako
I am my own grand pa
Uimbaji mzuri kutoka kwenye kwaya nzuri yenye nyimbo na sifa nzuri tu. Japo nilikuwepo, kazi swafi hii.
Daaah...so sweet nimekumbuka mbali saaaaaana😢
Mnanibariki sana
Hii wimbo inanibariki sana Mungu awabariki sana
Wow lovely unity
Mungu spewed sifa u made my day gr3at
Naomba muweke vizuri hii video, hainekani kwenye fully screen,nawapenda sana untie watu
Wonderful ,may good Lord bless you
nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo zenu,,, mbarikkiwe sana siku nikija arusha nitahdulia ibada mojawapo, mungu aendelee kuwabariki sana tu
You guys r amazing
Wimbo mzuri sana,nabarikiwa sana. Hi kwaya inaimba usharika gani Arusha.
@fredrickmtangoo5071
Жыл бұрын
St.James Anglican Church Kaloleni Karibu na mnara wa mwenge.
NAWAPENDA HADI NAOGOPA MBARIKIWE
This song has brought back many memories when we were young we used to listen to Radio Sauti Ya Injili in Tata Hills in Kenya. Be blessed.
Nitalisifa jina lako jehova
90s.. and still hot at 2021..Bwana Wangu Njoo karibu Nami!!!
Hallelujah Asante kwa wimbo mzuri Amen 🙏 🙌
Wimbo huu unanikumbusha mwaka 2000 katika basi la Mandala kutoka Mbeya mjini kwenda Ruvuma Songea boys naenda kujiunga form five PCB sijawahi kusahau
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza ndugu
@sirnunda3758
3 жыл бұрын
Amina nawapenda sana Mungu aendelee kuwatumia kwa viwango vya juu kama ambavyo amekuwa akifanya kwenu siku zote
Nice song, nice instrument, solo amestrugle mno sauti kwake nzito imemshinda angeimba kawaida.
@lembrisjacob9781
4 жыл бұрын
I think she is perfect
@isayaluhazi4326
3 жыл бұрын
Kweli saut imekuwa nzito imemshinda
ninapokuwa matexoni unirehemu ninapokuwa nahtaji unijaza vyako usifiwe
Wimbo mtamu viombo sawa wau mungu awabariki sana
Beautiful
Where can I get this album. I want to gift my mother on Mother's Day
Daah...mmenibariki sana na huu wimbo. Je, original yake naweza ipataje?
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Tafadhali wasiliana na dukani kwa 0762862225