Waalykum salaam warahmatullah wabarakatuh. MashaAllah kpnd chetu tukipendacho juma hil mpema kabisa. Ama kwahakika #Kishk tv ni nuru ya din yetu😋
@saidisalum6490 Жыл бұрын
Masha Allah, Allah awabariki kwa kufika hadi kwetu kutukumbusha mambo mema Allah awaalipe kila la kheli
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha kilwa kipatim ndo nyumbani uko mm mtto wamaleem shekhe Mtalawanje Allha ampe nulu ndani ya Kabuli lake
@miriammaruwa2046 Жыл бұрын
Mashallah mungu akubariki kwa kutuelimisha...
@salimmapande4668 Жыл бұрын
Tabia ya kumuwacha aliyepatia swali na kuwauliza wengine kabla ya kumpa zawadi aliyepatia si nzuri, inaweza kumpa shaka yule aliyepatia na kudhani pengine amekosea.
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Mie mwenyew sijapenda
@mohammedbaraka9230
Жыл бұрын
Hapana Mimi ninavyojua hapa anataka kurefusha kipindi tu na kuendeleza challenge ndg...!!
@qaboossalim47
Жыл бұрын
Hajui anachofanyaa huyu
@sidrasidra8616
Жыл бұрын
Kama ana uakika na jibu lake kwanini awe na wasisasi!. Kipindi hakitaki majibu ya kubahatisha
MashaAllah #Abdillah Mash kipind kimekupendeza n kimekukubal mno😇
@halimaa9367 Жыл бұрын
Waleykm msalam warahmatulhai
@fajrahahmed-om5if Жыл бұрын
Waleykum salam
@roqayaro9439 Жыл бұрын
Mashallah
@ismailAbdallah-11 ай бұрын
😅mara moja
@maryammdoe5801 Жыл бұрын
Hii tabia ya mtu kapata jibu na unapita kuuliza wengine sheria ni hao wengine wapatao swali hilo uwape zawadi mana nao wamepata jibu sahihi, pia
@radhiaomary5591
4 ай бұрын
Lengo cyo zawadi t bali nielim Kwahvo me sioni tatizo alikuliza na wengine pia kisha kurud kumpa zawad aliyepata wakwanza
@zulfahussein6784 Жыл бұрын
Waykumussalaam warahmatullahi wabarakatuh MashaAllaah tabaraAllaah kipindi chetu pendwa leo mapema
@sadiajelle5348 Жыл бұрын
Asc kishki tv m.a keep going lakini watoto piya muawulize maswali piya
@ibnomar8144 Жыл бұрын
Mbona zawadi zinabaguliwa 😢 ni kheir uwache tu kuwa unatowa zawadi kwa sababu kuna wenye waliweza kuwa ni moja tu huyo sio uwadilifu hata kidogo
@alhajisengasu595610 ай бұрын
Mashaalaah
@rahimaan6481 Жыл бұрын
Mtu akipatia mpe chake 😂😂unazunguka weee nae unamzungusha sijapentaa 😢
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Kabisa 😏
@Redhwany
11 ай бұрын
hujapenda Hyo ni challenge tu na kama yuko right anajiamin na jib lake kosa liko wap hapo mtaani unatka watu waulizwwe na wajib kiishe vzr anavyoouliza na wengine ili na wengine waelimika kwa hlo swali moja sio sehem moja aulize ajib kiishee@rahimaan6481
@hassanboruАй бұрын
Hapa pia sikuwa nmeangalia kwa ndani alifaa ampe zawadi yake Afwan wape zawadi zao ndugu yangu hawa wamepata
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu mbn leo jumanne tumezowea jumatano
@zu3339 Жыл бұрын
Assalam aleykum Yuko wapi Didas?
@Arishafa547 Жыл бұрын
Waalaykm salm warahmatullah wabarakatu mashallah tunajivunia sana kishik tv
@aesha5468 Жыл бұрын
😘😘😘😘😘❤❤❤❤
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Manala anakufwata unako enda kote ila una jifanya huumuoni😢 si ungempa kajus basi
@user-xs4ix9mp9s Жыл бұрын
njooni Zanzibar Jama🎉 8:50 8:54
@bintmohamedmalevi8874 Жыл бұрын
Hujatenda haki swali kashapata peana zawadi wabania zawadi mbona.
@kamalmukaddam1521 Жыл бұрын
3
@KassimSalim-bj1yd10 ай бұрын
Safi sana
@kasibalhosni8132 Жыл бұрын
Asalam alaikum, Mtu akipatia swali basi apewe zawadi yake, Kumuacha pembeni asuburi c katika Jambo zuri, Ni ushauri tu
A.alaikum,sheikh Ukiwaambia mara kumi na ngapi unawapotosha
@Redhwany
11 ай бұрын
Anawapotosha wap???? Hujui challenge nakama mtu anajiiamin na jib lake hapotoshwi ..na sio kujib kwa kubatishaa tuuu mtu ajiamn na jib lake akikosea anaelimishwa @salumomar-ku2ji
@ummohammed8380
4 ай бұрын
Asallam aleikum Ndugu yangu ukiandika hii Asallam aleikum usilifupishe ikamilishe Jina la Asallam ni jina la Mungu haifai kulifupisha
@ismailkilume1436 Жыл бұрын
Mtangazaji hauko sawa unamuhoji mtu haujamalizana nae unamuacha
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ila bonge nyie alivyojb 😁😁
@sakinat2527
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 huyo kipara sio, amejibu ajuavyo 🤣🤣🤣
@SharifaOman-bf1bn Жыл бұрын
Mtangazaji usitishe unao waelimisha
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Fikeni jmn na kibiti bc 😁😁
@salimmapande4668 Жыл бұрын
SWALI LIMEKOSEWA KUULIZWA!!! Si vizuri kuuliza ALIHIJI MARA KUMI NA NGAPI??? ikiwa muulizaji anajuwa si zaidi ya mara kumi. Hii kumuelekeza mtu kujibu zaidi ya mara kumi. Alipaswa kuuliza ALIHIJI MARA NGAPI? na kuwacha uhuru wa idadi kutoka kwa mwenye kujibu.
@rahimaan6481
Жыл бұрын
Amekosea sana
@maryammdoe5801
Жыл бұрын
Nikweli sio vzr inabidi wajirekebishe kuhusu mtu anapata jibu sasa na ww washangaa wakua wamtia mashaka na ukizunguka kuuliza wengine wakipatia nao wapatiwe zawadi.
@rahamhassana-bj8ox
Жыл бұрын
@@maryammdoe5801 9
@Redhwany
11 ай бұрын
Kama mtu anajua jib lake na ajiaamn awe na shaka ya nn ajiamn na jib lake na sio kwa kubahatisha hajakosea wala nn untaka aulize km shule swali na ujibu 😂😂😂😂 hpo mitaani lzm awe changamshee ukosa unapewa elimu
@qaboossalim47 Жыл бұрын
Wanaharibu kipindi mtu kashindaa badala ya kumpaa zawadi yake anakwenda kuuliza watu wenginee .yani sasa ndio anauliza watu wote .huyu hafai kwenda na kipindi hajui anaboa tu anatutoa raha ya kuangalia
Пікірлер: 79
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatu Mashiiiiii❤
Mashaallha mwana wa mashi unanifurahisha saana
Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu Mashallah tabaraka llah 🥰 kipindi pendwa Kabisa 🥰🌹 Shukran sanaصل الله عليه وسلم ❤️
@nyiranshutidjamila2410
4 ай бұрын
Allah akuwongezeye babu heee❤
Mashaa'Allah watu wa kimanzichana wapo vizur....japo mtangazaj anawatisha😅
Jamani uyo sheikh nimependa kwa ajili ya Allah ni mkarimuu sana Allah azidi kumpa moyo uwo uwo wa kuwahimiza vijana kwa ajili ya ibada
Mzee wa kwanza ma shaa Allah alatul kajibu vilivyo 😍🥰👌
Wallaykum salam warhmatullahi wabarakatuh
Ndugu wacha wajibu wenyewe ukisema mara kumi na utawapoteza In shaa Allah
Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh MashaAllah
Waalykum salaam warahmatullah wabarakatuh. MashaAllah kpnd chetu tukipendacho juma hil mpema kabisa. Ama kwahakika #Kishk tv ni nuru ya din yetu😋
Masha Allah, Allah awabariki kwa kufika hadi kwetu kutukumbusha mambo mema Allah awaalipe kila la kheli
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Masha Allha kilwa kipatim ndo nyumbani uko mm mtto wamaleem shekhe Mtalawanje Allha ampe nulu ndani ya Kabuli lake
Mashallah mungu akubariki kwa kutuelimisha...
Tabia ya kumuwacha aliyepatia swali na kuwauliza wengine kabla ya kumpa zawadi aliyepatia si nzuri, inaweza kumpa shaka yule aliyepatia na kudhani pengine amekosea.
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Mie mwenyew sijapenda
@mohammedbaraka9230
Жыл бұрын
Hapana Mimi ninavyojua hapa anataka kurefusha kipindi tu na kuendeleza challenge ndg...!!
@qaboossalim47
Жыл бұрын
Hajui anachofanyaa huyu
@sidrasidra8616
Жыл бұрын
Kama ana uakika na jibu lake kwanini awe na wasisasi!. Kipindi hakitaki majibu ya kubahatisha
@toomaaloufi6221
Жыл бұрын
@@sidrasidra8616 kabisa
Walykumussalam warahmatullah wabarakatuh ❤ mashaallah
M.A❤
Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir ❤❤
Waalekum salam warahmatullah wabarakatu
Tabarak Allah ❤
Tujipongeze waza liwa kilwa kiukweli kwenye masomo yadini Mashekhe wetu wanajitahidi kutupatia Elim Allha azidi kuwaongoza vema
MashaAllah #Abdillah Mash kipind kimekupendeza n kimekukubal mno😇
Waleykm msalam warahmatulhai
Waleykum salam
Mashallah
😅mara moja
Hii tabia ya mtu kapata jibu na unapita kuuliza wengine sheria ni hao wengine wapatao swali hilo uwape zawadi mana nao wamepata jibu sahihi, pia
@radhiaomary5591
4 ай бұрын
Lengo cyo zawadi t bali nielim Kwahvo me sioni tatizo alikuliza na wengine pia kisha kurud kumpa zawad aliyepata wakwanza
Waykumussalaam warahmatullahi wabarakatuh MashaAllaah tabaraAllaah kipindi chetu pendwa leo mapema
Asc kishki tv m.a keep going lakini watoto piya muawulize maswali piya
Mbona zawadi zinabaguliwa 😢 ni kheir uwache tu kuwa unatowa zawadi kwa sababu kuna wenye waliweza kuwa ni moja tu huyo sio uwadilifu hata kidogo
Mashaalaah
Mtu akipatia mpe chake 😂😂unazunguka weee nae unamzungusha sijapentaa 😢
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Kabisa 😏
@Redhwany
11 ай бұрын
hujapenda Hyo ni challenge tu na kama yuko right anajiamin na jib lake kosa liko wap hapo mtaani unatka watu waulizwwe na wajib kiishe vzr anavyoouliza na wengine ili na wengine waelimika kwa hlo swali moja sio sehem moja aulize ajib kiishee@rahimaan6481
Hapa pia sikuwa nmeangalia kwa ndani alifaa ampe zawadi yake Afwan wape zawadi zao ndugu yangu hawa wamepata
Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu mbn leo jumanne tumezowea jumatano
Assalam aleykum Yuko wapi Didas?
Waalaykm salm warahmatullah wabarakatu mashallah tunajivunia sana kishik tv
😘😘😘😘😘❤❤❤❤
Manala anakufwata unako enda kote ila una jifanya huumuoni😢 si ungempa kajus basi
njooni Zanzibar Jama🎉 8:50 8:54
Hujatenda haki swali kashapata peana zawadi wabania zawadi mbona.
3
Safi sana
Asalam alaikum, Mtu akipatia swali basi apewe zawadi yake, Kumuacha pembeni asuburi c katika Jambo zuri, Ni ushauri tu
@hassanboru
Ай бұрын
Cha muhimu ni tumejifunza dini yetu
Nai penda KISHKI tv Niko msobiji
Shekh jaman ulizeni na watoto pia
😁🤣
Ali hiji mara moja
Je aliendaumraa marangapi
Kutosema sijuwi katika dini ni nusu ya elimu
Natoa ushauri kwanini wanawake hawaulizwi maswali ili nao wajipokelee zawadi ?
A.alaikum,sheikh Ukiwaambia mara kumi na ngapi unawapotosha
@Redhwany
11 ай бұрын
Anawapotosha wap???? Hujui challenge nakama mtu anajiiamin na jib lake hapotoshwi ..na sio kujib kwa kubatishaa tuuu mtu ajiamn na jib lake akikosea anaelimishwa @salumomar-ku2ji
@ummohammed8380
4 ай бұрын
Asallam aleikum Ndugu yangu ukiandika hii Asallam aleikum usilifupishe ikamilishe Jina la Asallam ni jina la Mungu haifai kulifupisha
Mtangazaji hauko sawa unamuhoji mtu haujamalizana nae unamuacha
Ila bonge nyie alivyojb 😁😁
@sakinat2527
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 huyo kipara sio, amejibu ajuavyo 🤣🤣🤣
Mtangazaji usitishe unao waelimisha
Fikeni jmn na kibiti bc 😁😁
SWALI LIMEKOSEWA KUULIZWA!!! Si vizuri kuuliza ALIHIJI MARA KUMI NA NGAPI??? ikiwa muulizaji anajuwa si zaidi ya mara kumi. Hii kumuelekeza mtu kujibu zaidi ya mara kumi. Alipaswa kuuliza ALIHIJI MARA NGAPI? na kuwacha uhuru wa idadi kutoka kwa mwenye kujibu.
@rahimaan6481
Жыл бұрын
Amekosea sana
@maryammdoe5801
Жыл бұрын
Nikweli sio vzr inabidi wajirekebishe kuhusu mtu anapata jibu sasa na ww washangaa wakua wamtia mashaka na ukizunguka kuuliza wengine wakipatia nao wapatiwe zawadi.
@rahamhassana-bj8ox
Жыл бұрын
@@maryammdoe5801 9
@Redhwany
11 ай бұрын
Kama mtu anajua jib lake na ajiaamn awe na shaka ya nn ajiamn na jib lake na sio kwa kubahatisha hajakosea wala nn untaka aulize km shule swali na ujibu 😂😂😂😂 hpo mitaani lzm awe changamshee ukosa unapewa elimu
Wanaharibu kipindi mtu kashindaa badala ya kumpaa zawadi yake anakwenda kuuliza watu wenginee .yani sasa ndio anauliza watu wote .huyu hafai kwenda na kipindi hajui anaboa tu anatutoa raha ya kuangalia
@ssdd647
Жыл бұрын
Kweli