EPISODE; 87 MTUME MUHAMMAD S A W ALIHIJI MARA NGAPI ?

Пікірлер: 79

  • @iddyiddy1282
    @iddyiddy128214 сағат бұрын

    Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatu Mashiiiiii❤

  • @ZainaBu-zs6wc
    @ZainaBu-zs6wc21 күн бұрын

    Mashaallha mwana wa mashi unanifurahisha saana

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu Mashallah tabaraka llah 🥰 kipindi pendwa Kabisa 🥰🌹 Shukran sanaصل الله عليه وسلم ❤️

  • @nyiranshutidjamila2410

    @nyiranshutidjamila2410

    4 ай бұрын

    Allah akuwongezeye babu heee❤

  • @azaniasaidi93
    @azaniasaidi93 Жыл бұрын

    Mashaa'Allah watu wa kimanzichana wapo vizur....japo mtangazaj anawatisha😅

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 Жыл бұрын

    Jamani uyo sheikh nimependa kwa ajili ya Allah ni mkarimuu sana Allah azidi kumpa moyo uwo uwo wa kuwahimiza vijana kwa ajili ya ibada

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 Жыл бұрын

    Mzee wa kwanza ma shaa Allah alatul kajibu vilivyo 😍🥰👌

  • @abbnaiyah6009
    @abbnaiyah6009 Жыл бұрын

    Wallaykum salam warhmatullahi wabarakatuh

  • @hassanboru
    @hassanboruАй бұрын

    Ndugu wacha wajibu wenyewe ukisema mara kumi na utawapoteza In shaa Allah

  • @latifah6601
    @latifah6601 Жыл бұрын

    Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh MashaAllah

  • @hasnakid
    @hasnakid Жыл бұрын

    Waalykum salaam warahmatullah wabarakatuh. MashaAllah kpnd chetu tukipendacho juma hil mpema kabisa. Ama kwahakika #Kishk tv ni nuru ya din yetu😋

  • @saidisalum6490
    @saidisalum6490 Жыл бұрын

    Masha Allah, Allah awabariki kwa kufika hadi kwetu kutukumbusha mambo mema Allah awaalipe kila la kheli

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Жыл бұрын

    Masha Allha kilwa kipatim ndo nyumbani uko mm mtto wamaleem shekhe Mtalawanje Allha ampe nulu ndani ya Kabuli lake

  • @miriammaruwa2046
    @miriammaruwa2046 Жыл бұрын

    Mashallah mungu akubariki kwa kutuelimisha...

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668 Жыл бұрын

    Tabia ya kumuwacha aliyepatia swali na kuwauliza wengine kabla ya kumpa zawadi aliyepatia si nzuri, inaweza kumpa shaka yule aliyepatia na kudhani pengine amekosea.

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    Жыл бұрын

    Mie mwenyew sijapenda

  • @mohammedbaraka9230

    @mohammedbaraka9230

    Жыл бұрын

    Hapana Mimi ninavyojua hapa anataka kurefusha kipindi tu na kuendeleza challenge ndg...!!

  • @qaboossalim47

    @qaboossalim47

    Жыл бұрын

    Hajui anachofanyaa huyu

  • @sidrasidra8616

    @sidrasidra8616

    Жыл бұрын

    Kama ana uakika na jibu lake kwanini awe na wasisasi!. Kipindi hakitaki majibu ya kubahatisha

  • @toomaaloufi6221

    @toomaaloufi6221

    Жыл бұрын

    @@sidrasidra8616 kabisa

  • @safiyaabdalalah4713
    @safiyaabdalalah4713 Жыл бұрын

    Walykumussalam warahmatullah wabarakatuh ❤ mashaallah

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Жыл бұрын

    M.A❤

  • @afric01
    @afric01 Жыл бұрын

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir ❤❤

  • @ashahossein1743
    @ashahossein1743 Жыл бұрын

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatu

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi218310 ай бұрын

    Tabarak Allah ❤

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Жыл бұрын

    Tujipongeze waza liwa kilwa kiukweli kwenye masomo yadini Mashekhe wetu wanajitahidi kutupatia Elim Allha azidi kuwaongoza vema

  • @hasnakid
    @hasnakid Жыл бұрын

    MashaAllah #Abdillah Mash kipind kimekupendeza n kimekukubal mno😇

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    Waleykm msalam warahmatulhai

  • @fajrahahmed-om5if
    @fajrahahmed-om5if Жыл бұрын

    Waleykum salam

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @ismailAbdallah-
    @ismailAbdallah-11 ай бұрын

    😅mara moja

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Жыл бұрын

    Hii tabia ya mtu kapata jibu na unapita kuuliza wengine sheria ni hao wengine wapatao swali hilo uwape zawadi mana nao wamepata jibu sahihi, pia

  • @radhiaomary5591

    @radhiaomary5591

    4 ай бұрын

    Lengo cyo zawadi t bali nielim Kwahvo me sioni tatizo alikuliza na wengine pia kisha kurud kumpa zawad aliyepata wakwanza

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Жыл бұрын

    Waykumussalaam warahmatullahi wabarakatuh MashaAllaah tabaraAllaah kipindi chetu pendwa leo mapema

  • @sadiajelle5348
    @sadiajelle5348 Жыл бұрын

    Asc kishki tv m.a keep going lakini watoto piya muawulize maswali piya

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Mbona zawadi zinabaguliwa 😢 ni kheir uwache tu kuwa unatowa zawadi kwa sababu kuna wenye waliweza kuwa ni moja tu huyo sio uwadilifu hata kidogo

  • @alhajisengasu5956
    @alhajisengasu595610 ай бұрын

    Mashaalaah

  • @rahimaan6481
    @rahimaan6481 Жыл бұрын

    Mtu akipatia mpe chake 😂😂unazunguka weee nae unamzungusha sijapentaa 😢

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    Жыл бұрын

    Kabisa 😏

  • @Redhwany

    @Redhwany

    11 ай бұрын

    hujapenda Hyo ni challenge tu na kama yuko right anajiamin na jib lake kosa liko wap hapo mtaani unatka watu waulizwwe na wajib kiishe vzr anavyoouliza na wengine ili na wengine waelimika kwa hlo swali moja sio sehem moja aulize ajib kiishee@rahimaan6481

  • @hassanboru
    @hassanboruАй бұрын

    Hapa pia sikuwa nmeangalia kwa ndani alifaa ampe zawadi yake Afwan wape zawadi zao ndugu yangu hawa wamepata

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Жыл бұрын

    Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu mbn leo jumanne tumezowea jumatano

  • @zu3339
    @zu3339 Жыл бұрын

    Assalam aleykum Yuko wapi Didas?

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Жыл бұрын

    Waalaykm salm warahmatullah wabarakatu mashallah tunajivunia sana kishik tv

  • @aesha5468
    @aesha5468 Жыл бұрын

    😘😘😘😘😘❤❤❤❤

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Жыл бұрын

    Manala anakufwata unako enda kote ila una jifanya huumuoni😢 si ungempa kajus basi

  • @user-xs4ix9mp9s
    @user-xs4ix9mp9s Жыл бұрын

    njooni Zanzibar Jama🎉 8:50 8:54

  • @bintmohamedmalevi8874
    @bintmohamedmalevi8874 Жыл бұрын

    Hujatenda haki swali kashapata peana zawadi wabania zawadi mbona.

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 Жыл бұрын

    3

  • @KassimSalim-bj1yd
    @KassimSalim-bj1yd10 ай бұрын

    Safi sana

  • @kasibalhosni8132
    @kasibalhosni8132 Жыл бұрын

    Asalam alaikum, Mtu akipatia swali basi apewe zawadi yake, Kumuacha pembeni asuburi c katika Jambo zuri, Ni ushauri tu

  • @hassanboru

    @hassanboru

    Ай бұрын

    Cha muhimu ni tumejifunza dini yetu

  • @user-lq7rr3kg7c
    @user-lq7rr3kg7c10 ай бұрын

    Nai penda KISHKI tv Niko msobiji

  • @miriammaruwa2046
    @miriammaruwa2046 Жыл бұрын

    Shekh jaman ulizeni na watoto pia

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    😁🤣

  • @safmarwa2977
    @safmarwa2977 Жыл бұрын

    Ali hiji mara moja

  • @zainabissa7327
    @zainabissa73277 ай бұрын

    Je aliendaumraa marangapi

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Kutosema sijuwi katika dini ni nusu ya elimu

  • @abedikapangasabiti5551
    @abedikapangasabiti5551 Жыл бұрын

    Natoa ushauri kwanini wanawake hawaulizwi maswali ili nao wajipokelee zawadi ?

  • @SalumOmar-ku2ji
    @SalumOmar-ku2ji Жыл бұрын

    A.alaikum,sheikh Ukiwaambia mara kumi na ngapi unawapotosha

  • @Redhwany

    @Redhwany

    11 ай бұрын

    Anawapotosha wap???? Hujui challenge nakama mtu anajiiamin na jib lake hapotoshwi ..na sio kujib kwa kubatishaa tuuu mtu ajiamn na jib lake akikosea anaelimishwa @salumomar-ku2ji

  • @ummohammed8380

    @ummohammed8380

    4 ай бұрын

    Asallam aleikum Ndugu yangu ukiandika hii Asallam aleikum usilifupishe ikamilishe Jina la Asallam ni jina la Mungu haifai kulifupisha

  • @ismailkilume1436
    @ismailkilume1436 Жыл бұрын

    Mtangazaji hauko sawa unamuhoji mtu haujamalizana nae unamuacha

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Ila bonge nyie alivyojb 😁😁

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 huyo kipara sio, amejibu ajuavyo 🤣🤣🤣

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Жыл бұрын

    Mtangazaji usitishe unao waelimisha

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Fikeni jmn na kibiti bc 😁😁

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668 Жыл бұрын

    SWALI LIMEKOSEWA KUULIZWA!!! Si vizuri kuuliza ALIHIJI MARA KUMI NA NGAPI??? ikiwa muulizaji anajuwa si zaidi ya mara kumi. Hii kumuelekeza mtu kujibu zaidi ya mara kumi. Alipaswa kuuliza ALIHIJI MARA NGAPI? na kuwacha uhuru wa idadi kutoka kwa mwenye kujibu.

  • @rahimaan6481

    @rahimaan6481

    Жыл бұрын

    Amekosea sana

  • @maryammdoe5801

    @maryammdoe5801

    Жыл бұрын

    Nikweli sio vzr inabidi wajirekebishe kuhusu mtu anapata jibu sasa na ww washangaa wakua wamtia mashaka na ukizunguka kuuliza wengine wakipatia nao wapatiwe zawadi.

  • @rahamhassana-bj8ox

    @rahamhassana-bj8ox

    Жыл бұрын

    @@maryammdoe5801 9

  • @Redhwany

    @Redhwany

    11 ай бұрын

    Kama mtu anajua jib lake na ajiaamn awe na shaka ya nn ajiamn na jib lake na sio kwa kubahatisha hajakosea wala nn untaka aulize km shule swali na ujibu 😂😂😂😂 hpo mitaani lzm awe changamshee ukosa unapewa elimu

  • @qaboossalim47
    @qaboossalim47 Жыл бұрын

    Wanaharibu kipindi mtu kashindaa badala ya kumpaa zawadi yake anakwenda kuuliza watu wenginee .yani sasa ndio anauliza watu wote .huyu hafai kwenda na kipindi hajui anaboa tu anatutoa raha ya kuangalia

  • @ssdd647

    @ssdd647

    Жыл бұрын

    Kweli

Келесі