Izi ndio safari za mziki wengi tunaziitaji siyo mtu ametoka kulima korosho anataka tumsikilize lazima atatusumbua we love CHUCHU from 255🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@ladymoretaboraprincess6190
Жыл бұрын
Duuh underground tunakazi hahahaaa
@benthomasy84694 жыл бұрын
Tujuene ambao tumemtafuta zuchu baada ya kusainiwa wcb
@ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын
Watu wanao sema Zuchu siyo mzuri mwangalieni akiwa chibonge she's damn sexy
@starboymartin72904 жыл бұрын
wangap tumekuja huk baada ya zuchu kuachia #EP yake😂
@severinemgimwa69493 жыл бұрын
Huu mwili umeenda WAP zuchu...was so amazng
@OmanOman-dd5tk3 жыл бұрын
Duu zuchu ulikua na mwili mzuri MashaAllah. Unafanya diet
@dianarobert56404 жыл бұрын
Sikuwa namfatilia sana zuchu ila uko vizuri dogo👌mtoto wa nyoka ninyoka nimeamini
@Akama09273 жыл бұрын
Nandy won here but Zucchu is rolling now, kwa ground vitu ni different bana
@sarahjosefu35535 жыл бұрын
Uko vizuri sana pambana japo vikwazo nivingi kaza my
@majaliwabernard75654 жыл бұрын
Wangapi tulokuja KZread kumcheki zuchu, mwaka huu litakufa jitu atucheki na kima dadeeeq
@preciousmoshi3392
4 жыл бұрын
Hahahhahaah hataar
@majaliwabernard7565
4 жыл бұрын
Noma sana
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
Alkua kibonge
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Nyie ndo mnaofanya watu wawena mabifu ya kijinga, baada ya kuombea mziki wa Tanzania ufike mbali wee eti litakufa jitu, jitu gani sasa
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Wangap tumeona hii baada ya kuja wasaf
@aoodalbadi84734 жыл бұрын
Shoga unajua xana kuimba mbona timu kiba kazi mtakua nayo mwaka wenu huuuu wapi timu mond like tafadhali👇👇👇👇👇👇
@Millah-x7d8 күн бұрын
Kumbe zuchu ulikuwa mnene jmn nakupenda kwel ndmn nakufatilia kila kona
@rahmanramadhan84834 жыл бұрын
kumbe kufanya wimbo na Yem alade ni simpl ty anatujua kitambo @WCB for life
@thejofaexperiences32224 жыл бұрын
Ni mkali sana,na yupo sehemu saahihi"WCB"
@akibarahamadi50584 жыл бұрын
zuchu ni mkali kabisaaaa
@cliffdinho3 жыл бұрын
My Sugar Sukari😍
@RitahTasmaniah2 жыл бұрын
I can notice her voice has had more prowess,over the years, thats growth and i lov it,I really do❤❤🎀❤❤
@japhetbarton82685 жыл бұрын
Okaay nmeelewa safari ya music si kitu tahs hvyo
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
😭😅🤔😆👌👏🙌
@luluadam30864 жыл бұрын
Wapi nandy wapi ruby mkali tumempataaaa hatari
@heriethjosephat4787
4 жыл бұрын
Hakuna chochote hapo
@hidayaomary3405
4 жыл бұрын
Kwa Ruby atasugua gaga
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤kisha alikuwa mzuri mnene shepu nzuri
@lilianaledy38884 жыл бұрын
mekuja baada yakuona amesainiwa wcb
@ramafrica90164 жыл бұрын
Mi nataka colabo zuchu ft ruby...nasubiria kwa hamuuu
@diallokimbumbu7843 Жыл бұрын
Oh 7 years ago, nobody couldn't imagine.
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Kenyans sauti sol judging Zuchu and African princess Nandy. Neither of them won but their dreams are shinning now. Hao mlio wapaga mataji hata hatuwasikii, Kisha walitoka Nigeria khah mliniboa majirani😭🤪
@nanaaissa8102
3 ай бұрын
Alishinda nan
@graphixmaster61463 жыл бұрын
I see u twins, Zuchu + Yemi😄
@naurinesalome1271 Жыл бұрын
She has always been a performer
@majourboytzmbosore98575 жыл бұрын
moto utawaka uko #wasafi
@ayishasalum42162 жыл бұрын
Kumbe io heeeeey ulikua nay tokea zamn
@chescomwakipese34225 жыл бұрын
Saf sana WCB mkwap
@SportySparks3 жыл бұрын
God's timing i tell you !!
@iraqgirl21433 жыл бұрын
Zuchu hapa anaonekana mnene
@trillionthamani4 жыл бұрын
Ulitakiwa kuja mjini mapema.like nandy
@tynnahpaul86394 жыл бұрын
Alikuwaaa kibongeeee kweli
@samuelibky89894 жыл бұрын
wangapu tumekuja haps baada huyu dada kusainiwa wcb wasafi???
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Mbona hapa alikuaga mzur
@ashurasuleimani1704 жыл бұрын
Jamn ckuwah kujua kama unajua kuimba ivi duh
@khadijaissa17244 жыл бұрын
Tunatoa mbali.... Kapigania mpk kufikia hapo alipo
@JaneObote-to1zn4 ай бұрын
Kumbe alikuwa mzuri kitambo
@jejufima48874 жыл бұрын
Kalikuwa kabonge
@sylvestermasuva59134 жыл бұрын
Daaah watu wanatoka mbali asee 🙏
@linnatbu56034 жыл бұрын
She kinda looks like my Yemi!🙃👍🏽
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Very true
@majaliwapili29285 жыл бұрын
Subili uingie wasafi lazima umkalishe chini kwini dalini
@goodlucksydney8317
3 жыл бұрын
Kashamkalksha
@shakilaabdallaherio56174 жыл бұрын
Hongera sana dada
@benjatz55985 жыл бұрын
huyu demu ni moto
@zuwenaomar4201 Жыл бұрын
Hapa ulikua mzur zuchu
@mercynthemba599 ай бұрын
Zuchu wa siku hizi mwili ulienda wapi❤
@mosesvpajitv66443 жыл бұрын
Alikua mnene
@raymondmwaka79025 жыл бұрын
Waoooo
@agnesvintan15384 жыл бұрын
Mrembo🔥🔥🔥
@arafakhatib1996
4 жыл бұрын
Zuchu hongera
@chefamos44224 жыл бұрын
Napenda ulivoimba wimbo wa Jux
@filomenabarongo6934 жыл бұрын
👌👌👌👌
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Nice ulikua bonge kumbe
@babosytuppa81384 жыл бұрын
baada ya WCB
@nzeyimanaaston73053 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jacqymichaels7693 Жыл бұрын
Na hapa alikua amenenepa
@sofiasadi7384 жыл бұрын
lovely sister
@vailetimzungu53354 жыл бұрын
Waoooooo
@nelo81004 жыл бұрын
Dope
@sophiajoseph26303 жыл бұрын
Wangapi wapo apa baada ya cheche?? Na kutaka kujua Yule mshindi walio mchagua baada ya zuchu Yuko anauza magimbi mtaa gani?🤣
@graphixmaster61464 жыл бұрын
Waooh
@hawaynatimam9824 жыл бұрын
Kwani hii baada ya kusainiwa au kabla
@elizabethfaustine3114
3 жыл бұрын
Kabla hajasainiwa WCB
@mariamsfamily4824 жыл бұрын
Nakupa sapoti sister
@rahemasaid75943 жыл бұрын
Safi Sana ni mzur hari
@watuhuru61282 жыл бұрын
Jamani zuchu alikua na shepu
@doreenmniko96072 ай бұрын
2024 🎉
@NasraNasa-mp7mf10 ай бұрын
Jux ameiyona hii kweli
@salmaabdallah1516 Жыл бұрын
Zuchu alikuw bonge
@latifambarouk10856 жыл бұрын
Uko vizur my
@rahmanramadhan84834 жыл бұрын
Nimeifata IH Chanel cz WCB ni Chama lao
@anitakamene50734 жыл бұрын
Zuchi
@georgesewe15664 жыл бұрын
where were you all that long anyway only time tells shine now zuchu
@lindamasitsa48163 жыл бұрын
Consistency..
@hamisimterela454 жыл бұрын
Huuyu mtt lzm awe hatari sana baba yake ni mwanamuziki mkubwa sana
@robertmuhongo917
4 жыл бұрын
Mind juu
@robertmuhongo917
4 жыл бұрын
Simbaa
@abassking8296
4 жыл бұрын
Baba yk mwanamuziki mama yk Kaka zake kwahiyo kipaji kwao Cha ukoo
@catherinedavidy90174 жыл бұрын
To be honest hana pumzi huyudem bas tu
@user-uk8pk5vn9b
4 жыл бұрын
😂😂 mashindano yamepita miaka mingi Sana hapa we fikil kakaa wcb miaka minne na hapo baada ya miaka kma 2 baada ya mashindano haya kupita ,ksshafuliwa vibaya mno
Пікірлер: 116
Wangapi tumekuja hapa baada ya huyu Dada kusainiwa WCB?
@rehemachilalu4770
4 жыл бұрын
Mimi apa🤣🤣🤣🤣🤣
@samiramohamed3718
4 жыл бұрын
Dahhhhhh.nkajua pekeangu.🤔
@ramadhanbofu3144
4 жыл бұрын
👍
@lisawasama9194
4 жыл бұрын
jr lamar mm hapa
@allyfatma7359
4 жыл бұрын
Hahahaha.tupo,tangu atangazwe nakesha KZread kuangalia clip zake.tupo ndugu.
Izi ndio safari za mziki wengi tunaziitaji siyo mtu ametoka kulima korosho anataka tumsikilize lazima atatusumbua we love CHUCHU from 255🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@ladymoretaboraprincess6190
Жыл бұрын
Duuh underground tunakazi hahahaaa
Tujuene ambao tumemtafuta zuchu baada ya kusainiwa wcb
Watu wanao sema Zuchu siyo mzuri mwangalieni akiwa chibonge she's damn sexy
wangap tumekuja huk baada ya zuchu kuachia #EP yake😂
Huu mwili umeenda WAP zuchu...was so amazng
Duu zuchu ulikua na mwili mzuri MashaAllah. Unafanya diet
Sikuwa namfatilia sana zuchu ila uko vizuri dogo👌mtoto wa nyoka ninyoka nimeamini
Nandy won here but Zucchu is rolling now, kwa ground vitu ni different bana
Uko vizuri sana pambana japo vikwazo nivingi kaza my
Wangapi tulokuja KZread kumcheki zuchu, mwaka huu litakufa jitu atucheki na kima dadeeeq
@preciousmoshi3392
4 жыл бұрын
Hahahhahaah hataar
@majaliwabernard7565
4 жыл бұрын
Noma sana
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
Alkua kibonge
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Nyie ndo mnaofanya watu wawena mabifu ya kijinga, baada ya kuombea mziki wa Tanzania ufike mbali wee eti litakufa jitu, jitu gani sasa
Wangap tumeona hii baada ya kuja wasaf
Shoga unajua xana kuimba mbona timu kiba kazi mtakua nayo mwaka wenu huuuu wapi timu mond like tafadhali👇👇👇👇👇👇
Kumbe zuchu ulikuwa mnene jmn nakupenda kwel ndmn nakufatilia kila kona
kumbe kufanya wimbo na Yem alade ni simpl ty anatujua kitambo @WCB for life
Ni mkali sana,na yupo sehemu saahihi"WCB"
zuchu ni mkali kabisaaaa
My Sugar Sukari😍
I can notice her voice has had more prowess,over the years, thats growth and i lov it,I really do❤❤🎀❤❤
Okaay nmeelewa safari ya music si kitu tahs hvyo
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
😭😅🤔😆👌👏🙌
Wapi nandy wapi ruby mkali tumempataaaa hatari
@heriethjosephat4787
4 жыл бұрын
Hakuna chochote hapo
@hidayaomary3405
4 жыл бұрын
Kwa Ruby atasugua gaga
❤❤❤❤❤❤kisha alikuwa mzuri mnene shepu nzuri
mekuja baada yakuona amesainiwa wcb
Mi nataka colabo zuchu ft ruby...nasubiria kwa hamuuu
Oh 7 years ago, nobody couldn't imagine.
Kenyans sauti sol judging Zuchu and African princess Nandy. Neither of them won but their dreams are shinning now. Hao mlio wapaga mataji hata hatuwasikii, Kisha walitoka Nigeria khah mliniboa majirani😭🤪
@nanaaissa8102
3 ай бұрын
Alishinda nan
I see u twins, Zuchu + Yemi😄
She has always been a performer
moto utawaka uko #wasafi
Kumbe io heeeeey ulikua nay tokea zamn
Saf sana WCB mkwap
God's timing i tell you !!
Zuchu hapa anaonekana mnene
Ulitakiwa kuja mjini mapema.like nandy
Alikuwaaa kibongeeee kweli
wangapu tumekuja haps baada huyu dada kusainiwa wcb wasafi???
Mbona hapa alikuaga mzur
Jamn ckuwah kujua kama unajua kuimba ivi duh
Tunatoa mbali.... Kapigania mpk kufikia hapo alipo
Kumbe alikuwa mzuri kitambo
Kalikuwa kabonge
Daaah watu wanatoka mbali asee 🙏
She kinda looks like my Yemi!🙃👍🏽
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Very true
Subili uingie wasafi lazima umkalishe chini kwini dalini
@goodlucksydney8317
3 жыл бұрын
Kashamkalksha
Hongera sana dada
huyu demu ni moto
Hapa ulikua mzur zuchu
Zuchu wa siku hizi mwili ulienda wapi❤
Alikua mnene
Waoooo
Mrembo🔥🔥🔥
@arafakhatib1996
4 жыл бұрын
Zuchu hongera
Napenda ulivoimba wimbo wa Jux
👌👌👌👌
Nice ulikua bonge kumbe
baada ya WCB
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na hapa alikua amenenepa
lovely sister
Waoooooo
Dope
Wangapi wapo apa baada ya cheche?? Na kutaka kujua Yule mshindi walio mchagua baada ya zuchu Yuko anauza magimbi mtaa gani?🤣
Waooh
Kwani hii baada ya kusainiwa au kabla
@elizabethfaustine3114
3 жыл бұрын
Kabla hajasainiwa WCB
Nakupa sapoti sister
Safi Sana ni mzur hari
Jamani zuchu alikua na shepu
2024 🎉
Jux ameiyona hii kweli
Zuchu alikuw bonge
Uko vizur my
Nimeifata IH Chanel cz WCB ni Chama lao
Zuchi
where were you all that long anyway only time tells shine now zuchu
Consistency..
Huuyu mtt lzm awe hatari sana baba yake ni mwanamuziki mkubwa sana
@robertmuhongo917
4 жыл бұрын
Mind juu
@robertmuhongo917
4 жыл бұрын
Simbaa
@abassking8296
4 жыл бұрын
Baba yk mwanamuziki mama yk Kaka zake kwahiyo kipaji kwao Cha ukoo
To be honest hana pumzi huyudem bas tu
@user-uk8pk5vn9b
4 жыл бұрын
😂😂 mashindano yamepita miaka mingi Sana hapa we fikil kakaa wcb miaka minne na hapo baada ya miaka kma 2 baada ya mashindano haya kupita ,ksshafuliwa vibaya mno
@jumachire5776
3 жыл бұрын
Mazoezi tu kidogo...atakuwa na pumsi
@bahathmuro7145
6 ай бұрын
Hana pumzi hadi leo live hawezi!
Zuchu alikua kibonge san
Alikua Mnene