Elon Musk: Bilionea Muafrika Kusini aliyempiku Bill Gates na kuwa TAJIRI #2 Duniani
Elon Musk amempiku rasmi Bill Gates na kuwa mtu tajiri namba mbili duniani, ikiwa ni wiki moja tu baada ya kumpiku mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg na kuwa tajiri namba 3 duniani.
Mfahamu zaidi bilionea huyu kwenye makala hii
Пікірлер: 117
Hapo amesema ukweli kuwa marekani ni nchi ya kutimiza ndoto kwa haraka zaidi kuliko nchi yeyote duniani, mungu ambariki sana
Mungu akikuandikia kukupa hakuna anaweza kupiga. Mungu tubarik afya njema na utubarik mafanikio na sie tutimize ndoto zetu 🙏🏿
@hajjiomary2383
2 жыл бұрын
🙏
Nilichojifunza hapa ni kwamba hata iweje utajiri unakuja baada ya safari ndefu sana ya ups and downs
Kwangu Bill gates atabaki kuwa si tajiri namba Moja pekee Bali pia tajiri Bora wa Muda wote duniani!
Kubwa sana hii, baadhi ya story za uyu jamaa ambazo sikuwahi kuzisikia nimezipata hapa ndani ya dk 12:44, big up...
Mashallah #PESA SnS daima
Masha Allah
Weuwee sns mmetisha 🔥🔥🔥🔥
monkibhai and priyanka....the song soo amazing
Umeelezea vizuri sana Sky Walker 💪💪💪💪
My best tv online ever sns
Story nzuri za maisha.
Duuh huyu nahis ndo genius mmojawapo kupata kutokea anaeiyeish ndo zake
Respect iz guy
S N S ✊🏿✊🏿✊🏿
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Nengaa.. Shukrani sana mzee
@silvabrown9116
3 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti mbona kwenye replying mme-show love kwa mtu mmoja Billnass au wengine cyo fans wenu acheni ubinafisi nawapenda sana SNS ila kwenye hili mmenikela
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
@@silvabrown9116 Billnass ndiye aliyetupa wazo la kufanya makala ya huyu jamaa. Tunawapenda mashabiki wetu wote. Pamoja sana
@silvabrown9116
3 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti okay nimeshakuelewa tuko pamoja
Sky, inakaribia kasi ya mwanga??hapa umezingua, sio kweli🌝🌝
Sns 💯💯
He is very genius
Someni kitabu chake cha elon musk and the quest for fantastic future
@ahz6907
3 жыл бұрын
Nimekipata aisee wacha nikipige mwanzo mwisho nichimbe madini.... Be blessed!
Uyu jamaa tokea ana bill20 usd ,ideas zake tuu una ona ipo siku atakuwa mbali
Noma
Bg up
Mungu nisaindey kwali tukumbuke sisi pia Mungu
Nice
Tusiwaze ooh kuna kifo ndomana wala sihangaiki nije niwe na pesa🤣🤣 kila mmoja wetu tutafte ela wewe Mungu haku tuumba ili tuje tuwe maskini 🙏🙏
@mwarahsemor6301
3 жыл бұрын
hakika mr
@nanandayishimiye761
3 жыл бұрын
Thrust be told
@medsonmathias1399
3 жыл бұрын
Roho za kimasikini
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
We tafuta tu kivyako ila kifo kipo
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 tena utakufa kinywa wazi na jinsi utavyolaaniwa vibya
SnS 🙏
Simuliz yako inamfanya mtu ahisi kufanikiwa ni rahis.
Hyperloop inasafiri Karibu na mwendokasi wa sauti na sio mwanga,hakuna kitu ambacho kinaweza kusafiri kwa speed kali kama ya mwanga
@learntoearn9588
3 жыл бұрын
Hakika,mwanga ni 3×10^8m/s....wakati sauti ni 240m/s,hivyo kitu pekee ambacho kinaweza kusafiri kwa kasi kama hiyo ni fikra shupavu,Ambapo speed yake ni 3×10^6m/s
Ndioo
Wote ndo walewale wazungu wenyewe kwa wenyewe2 wanatawala dunia
Mbona video Iliyopita mmedai eron musk ndio tajiri #no_1 duniani
SNS 🔥
Uyo ana kaka ake timbu musk,una ruka ruka sana bwana jamaa ana bonge moja la story
Unajua Sana ...but not dat alot of whtes from S.A wanaondoka daily since 1994 ...
@mgasathedon1579
3 жыл бұрын
Wanaondoka wap bro
@ahz6907
3 жыл бұрын
Vp yani?
Izo Dolla taja kwa kiswahili
Huyu ndio tegemo la America dhidi ya KimIl Jong na Putin
Rais wa Urus ndio namba moja kwa pesa dunian tena hawa hawamfikii hata kwambali
Watu wanapindua meza hawalali
SNS🤗♥️
100%£
Jana mwaarabu akaniambia mtu mwenye pesa akil hamnazo mààñà halal kesho ntafanya ññ mlolongo wa maisha ya huyu yana endana ñâ usemi wa mwaraabu
SnS🔥🔥🔥, The next MillardAyo in Tz..🔥🔥🔥 #SinaShakaNaWewe
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Thank you
@davidmagundu2285
3 жыл бұрын
Kawaida sn mzee wangu ss hz story si unasoma tu Wikipedia halaf unakuja kuelezea tu hapa 0% creativity!.
@gaudencemaumba7594
3 жыл бұрын
@@davidmagundu2285 cjatoa judgement kwa7bu ya makala hiyo tu, ukiangalia clip zake mbalimbali, uchambuz na mpangilio wa story husika, anavyotulia na anavyopangilia maswali wakati anamuinterview mtu utauona utofauti wake, take time utamuelewa tuu
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
@@davidmagundu2285 Una bahati wewe unaelewa Kiingereza. Asilimia kubwa ya Watanzania waliosubscribe hawaelewi na hiyo ndio kazi yetu kuwasaidia kuwaelewesha historia za watu kama hawa. Wewe ambaye unaelewa usiwanyime haki wenzio, na kwa hii makala inaonekana sio target audience, na wala haitushtui. Ishia kusoma Wikipedia
@davidmagundu2285
3 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti Si tushazoea story za umbea... Anyway, kuna huu ushauri hapa ukiweza kuufanyia kazi itakua poa & itaboresha makala zako "kwa mfano kwa case hii ya Elon na nyinginezo ungempata mtaalam yoyote wa masuala ya technology & business akamzungumzia Elon na jambo lake la kua tajiri namba mbili duniani hata ukampa dk 2 tu tukapata professional point of view ingekua poa zaidi kuliko kusoma / kuelezea tu infos kutoka sites zingine!"
Kuna kitu nakiona ambacho sidhan km kmekaa ki professional, kwa mfano kwa case hii ya Elon na nyinginezo kwa nn usingemtafuta mtaalam yoyote wa masuala ya technology & business akamzungumzia Elon na jambo lake la kua tajiri namba mbili duniani hata ukampa dk 2 tu tukapata professional point of view ingekua poa zaidi kuliko kusoma / kuelezea tu infos kutoka sites zingine!
@kelvinolenasha16
3 жыл бұрын
Hamna MTU Kama uyo
@davidmagundu2285
3 жыл бұрын
@@kelvinolenasha16 sema hujamtafuta sio HAYUPO!
@renatusdeogratias2108
Жыл бұрын
we jamaa una ushenzi sana kwani lazima umsikilizie why unapenda kumuundermine sky
Kaka Sky we unastahili Tuzo kwa mema mengi unayotenda ktk tasinia ya habari. Unayomengi siwezi yataja yote but kongole kwa kazi nzuri utendayo
@mwarahsemor6301
3 жыл бұрын
Hakika
Bill Gates anafanya charity sana great soul
@shabanishabanii6203
3 жыл бұрын
Yuko safi sana
Big up sns,hampo nyuma kutupasha news zinazo trend.
MSHKAJI WAKE KANYE WEST
Elon fuckin must namkubali sanaaaaa
Ahame Carlifonia income tax ni kubwa. Majimbo ya democrats(blue states) ni jipu
Angekua mweusi ingekua big deal
@goodluckmsoka3660
3 жыл бұрын
Ungesikia ana joka linatema pesa
Mimi kwa upande wangu tajiri ni yule anaelala zake tu na kufanya chochote anachotaka uku pesa inaingia tu from somewhere. Hawa wanaotafuta pesa kwa jasho hawana raha yoyote
@davidmagundu2285
3 жыл бұрын
Asie fanya kazi na ASILE ~ somewhere in the Bible!
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
@@davidmagundu2285 mie sifanyi na ninakula vibaya mnooo
@deotv503
3 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 ww c mtt Wa Laizer boss Wa madn unashindwaje xx
@danielmwanja457
3 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hapana shaka ww ni mfugo
@ahz6907
3 жыл бұрын
Hakuna hela inaingia bila kutoa jasho. Hata mbunye huwezi toa bure bure.😊
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Ety mwafirika
@flackomasterbaddest4155
3 жыл бұрын
Ndio
Habari za milladayo huwa nzuri sana
@user-lr2iv3gj1u
3 жыл бұрын
Ss una fanya nn huko mshamba ww
@ndegejr4218
3 жыл бұрын
So hapa unafanya Nini?
@abdulkadirali9349
3 жыл бұрын
Mjinga mmoja toka apa
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
Millard Ayo hana jipya mbona
@maembamwita5874
3 жыл бұрын
Millard ayo anaendeshwa na cloud ubaguzi wa nyimbo na story tofauti but hapa tunapata Kla kitu tena kwa ufasaha kama huyo millard anatoa habar bora mwambie atoe story za diamond platnumz na wcb wasafi imetoka nyimbo yake mpya sjaona akipost na nimwanahabarii
Watanzania tusaidiane na sie tuanze kutoa mabilionea wengi kama JPM alivotaka kutoa Mabilionea 100 kwa wakati wake tena weusi sio ngozi nyeusi kila siku kwenye top ten za tz
Bill Gates kinachomsababisha ni Agenda zake za kishetani
@Hassan-ot1mc
3 жыл бұрын
Taja moja hizo agenda au unamjua sana bill gates
@silvabrown9116
3 жыл бұрын
@@Hassan-ot1mc COVID 19
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
Wewe mwenye agenda za ki non shetani mali zako niaje?
@mgasathedon1579
3 жыл бұрын
@@silvabrown9116 bro uko smart sana achana na wengine wasiojua dunia inaendaje
@mgasathedon1579
3 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 Mali zangu za kuhusu Nini au ndo unanifokea